Turkish: New Testament

Swahili: New Testament

1 Corinthians

1

1Tanrı'nın isteğiyle Mesih İsa'nın elçisi olmaya çağrılan ben Pavlus ve kardeşimiz Sostenis'ten, Tanrı'nın Korint'teki topluluğuna selam! Mesih İsa'da kutsal kılınmış ve kutsal olmaya çağrılmış olan sizlere ve hepimizin Rabbi İsa Mesih'in adını her yerde anan herkese, Babamız Tanrı'dan ve Rab İsa Mesih'ten lütuf ve esenlik olsun.
1Mimi Paulo, niliyeitwa kuwa mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Sosthene,
4Tanrı'nın Mesih İsa'da size bağışladığı lütuftan ötürü sizin için her zaman Tanrıma şükrediyorum.
2tunawaandikia ninyi mlio kanisa la Mungu huko Korintho. Ninyi mmefanywa watakatifu katika kuungana na Kristo Yesu, mkaitwa muwe watu wa Mungu, pamoja na watu wote popote wanaomwomba Bwana wetu Yesu Kristo aliye Bwana wao na wetu pia.
5Mesih'le ilgili tanıklığımız sizde pekiştiği gibi Mesih'te her şeyde, her söz ve her bilgide zenginleştiniz.
3Nawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu Kristo.
7Şöyle ki, siz Rabbimiz İsa Mesih'in görünmesini beklerken hiçbir ruhsal armağandan yoksun değilsiniz.
4Ninamshukuru Mungu wangu daima kwa ajili yenu kwa sababu amewatunukia ninyi neema yake kwa njia ya Kristo Yesu.
8Rabbimiz İsa Mesih, kendi gününde kusursuz olmanız için sizi sonuna dek pekiştirecektir.
5Maana, kwa kuungana na Kristo mmetajirishwa katika kila kitu. Mmejaliwa elimu yote na uwezo wote wa kuhubiri,
9Sizi, Oğlu Rabbimiz İsa Mesih'le paydaşlığa çağırmış olan Tanrı güvenilirdir.
6kwani, ujumbe juu ya Kristo umethibitishwa ndani yenu,
10Kardeşler, Rabbimiz İsa Mesih'in adıyla yalvarıyorum: hepiniz uyum içinde olun, aranızda bölünmeler olmadan aynı düşüncede ve aynı yargıda birleşin.
7hata hampungukiwi kipaji chochote cha kiroho mkiwa mnangojea kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo.
11Kardeşlerim, Klovi'nin ev halkından aranızda çekişmeler olduğunu öğrendim.
8Yeye atawaimarisha ninyi mpaka mwisho mpate kuonekana bila hatia Siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.
12Şunu demek istiyorum: her biriniz, «Ben Pavlus yanlısıyım», «Ben Apollos yanlısıyım», «Ben Kefas yanlısıyım» ya da «Ben Mesih yanlısıyım» diyormuş.
9Mungu ni mwaminifu; yeye aliwaita ninyi muwe na umoja na Mwanae Yesu Kristo Bwana wetu.
13Mesih bölündü mü? Sizin için çarmıha gerilen Pavlus muydu? Pavlus'un adıyla mı vaftiz edildiniz?
10Ndugu, ninawasihi kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo: pataneni nyote katika kila jambo msemalo; yasiweko mafarakano kati yenu; muwe na fikira moja na nia moja.
14Hiç kimse benim adımla vaftiz edildiğinizi söylemesin diye sizlerden Krispus ve Gayus'tan başkasını vaftiz etmediğim için Tanrı'ya şükrediyorum.
11Ndugu zangu, habari nilizopata kutoka kwa watu kadhaa wa jamaa ya Kloe, zaonyesha wazi kwamba kuna kutoelewana kati yenu.
16Evet, bir de İstefanas'ın ev halkını vaftiz ettim; bunun dışında kimseyi vaftiz ettiğimi hatırlamıyorum.
12Nataka kusema hivi: kila mmoja anasema chake: mmoja husema, "Mimi ni wa Paulo," mwingine: "Mimi ni wa Apolo," mwingine: "Mimi ni wa Kefa," na mwingine: "Mimi ni wa Kristo,".
17Mesih beni vaftiz etmeye değil, Mesih'in çarmıhtaki ölümü boşa gitmesin diye, bilgece sözlere dayanmaksızın Müjde'yi yaymaya gönderdi.
13Je, Kristo amegawanyika? Je, Paulo ndiye aliyesulubiwa kwa ajili yenu? Au je, mlibatizwa kwa jina la Paulo?
18Çarmıhla ilgili bildiri mahvolanlar için saçmalık, ama kurtulmakta olan bizler için Tanrı'nın gücüdür.
14Namshukuru Mungu kwamba sikumbatiza mtu yeyote miongoni mwenu isipokuwa tu Krispo na Gayo.
19Nitekim şöyle yazılmıştır: «Bilgelerin bilgeliğini yok edeceğim, zekilerin zekâsını boşa çıkaracağım.»
15Kwa hiyo hakuna awezaye kusema amebatizwa kwa jina langu.
20O halde bilge kişi nerede? Din bilgini nerede? Bu çağın hünerli tartışmacısı nerede? Tanrı, dünya bilgeliğinin saçma olduğunu göstermedi mi?
16(Samahani, nilibatiza pia jamaa ya Stefana; lakini zaidi ya hawa, sidhani kama nilimbatiza mtu mwingine yeyote.)
21Mademki dünya, Tanrı'nın bilgeliğine göre Tanrı'yı kendi bilgeliğiyle tanımadı, Tanrı, iman edenleri, saçma sayılan bildiriyle kurtarmaya razı oldu.
17Kristo hakunituma kubatiza, bali kuhubiri Habari Njema; tena, niihubiri bila kutegemea maarifa ya hotuba za watu kusudi nguvu ya kifo cha Kristo msalabani isibatilishwe.
22Yahudiler doğaüstü belirtiler ister, Grekler ise bilgelik ararlar.
18Maana ujumbe kuhusu kifo cha Kristo msalabani ni jambo la kipumbavu kwa wale walio katika mkumbo wa kupotea, lakini kwetu sisi tulio katika njia ya wokovu ujumbe huo ni nguvu ya Mungu.
23Ama biz, çarmıha gerilmiş olan Mesih'i tanıtıyoruz. Yahudiler bunu bir yüzkarası, diğer uluslar da saçmalık sayarlar.
19Maana Maandiko Matakatifu yasema: "Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, na elimu ya wataalamu nitaitupilia mbali."
24Oysa Mesih, çağrılmış olanlar için,ister Yahudi ister Grek olsunlar, Tanrı'nın gücü ve Tanrı'nın bilgeliğidir.
20Yu wapi basi, mwenye hekima? Yu wapi basi, mwalimu wa Sheria? Naye bingwa wa mabishano wa nyakati hizi yuko wapi? Mungu ameifanya hekima ya ulimwengu kuwa upumbavu.
25Çünkü Tanrı'nın `saçmalığı' insan bilgeliğinden daha üstün, Tanrı'nın `zayıflığı' insan gücünden daha güçlüdür.
21Maana, kadiri ya hekima ya Mungu, watu hawawezi kumjua Mungu kwa njia ya hekima yao wenyewe. Badala yake, Mungu amependa kuwaokoa wale wanaoamini kwa njia ya kile ambacho wenye hekima wanakiona kuwa ni upumbavu, yaani ujumbe tunaohubiri.
26Kardeşlerim, aldığınız çağrıyı düşünün. Birçoğunuz insan ölçülerine göre bilge, güçlü ya da soylu kişiler değildiniz.
22Wayahudi wanataka ishara, na Wagiriki wanatafuta hekima;
27Ama Tanrı, bilgeleri utandırmak için dünyanın saçma saydıklarını, güçlüleri utandırmak için de dünyanın zayıf saydıklarını seçti.
23lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyesulubiwa. Kwa Wayahudi jambo hili ni kikwazo, na kwa watu wa mataifa ni upumbavu;
28Tanrı, dünyanın önemli gördüklerini hiçe indirmek için, dünyanın önemsiz, soysuz ve değersiz gördüklerini seçti.
24lakini kwa wale walioitwa, Wayahudi kwa Wagiriki, Kristo ni nguvu ya Mungu na hekima ya Mungu.
29Öyle ki, Tanrı'nın önünde hiçbir insan övünmesin.
25Maana kinachoonekana kuwa ni upumbavu wa Mungu, kina busara zaidi kuliko hekima ya binadamu; na kinachoonekana kuwa ni udhaifu wa Mungu, kina nguvu zaidi kuliko nguvu za binadamu.
30Ama siz Tanrı sayesinde Mesih İsa'dasınız. O bizim için Tanrısal bilgelik, doğruluk, kutsallık ve kurtuluş oldu.
26Ndugu, kumbukeni wakati mlipoitwa: wengi wenu hawakuwa wenye hekima hata kwa fikira za binadamu; wengi hawakuwa wenye nguvu au watu wa tabaka ya juu.
31Bunun için, yazılmış olduğu gibi, «Övünen, Rab ile övünsün.»
27Ndiyo kusema, Mungu aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni upumbavu, ili awaaibishe wenye hekima; na aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni dhaifu, ili awaaibishe wenye nguvu.
28Mungu ameyachagua yale ambayo kwa fikira za dunia ni mambo yaliyo duni na yanayodharauliwa, mambo ambayo hata hayakuwako, ili kwa hayo ayafutilie mbali yale ambayo kwa fikira za binadamu ni mambo ya maana.
29Basi, hakuna mtu awezaye kujivunia chochote mbele ya Mungu.
30Mungu mwenyewe ndiye aliyewaunganisha ninyi na Kristo Yesu. Mungu amemfanya Kristo awe hekima yetu; kwa njia yake sisi tunapatanishwa na Mungu, tunakuwa watu wake Mungu na kukombolewa.
31Basi, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Mwenye kutaka kujivuna, basi, na ajivunie kazi ya Bwana."