Turkish: New Testament

Swahili: New Testament

Acts

22

1«Kardeşler ve babalar, size şimdi yapacağım savunmayı dinleyin» dedi.
1"Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni sasa nikijitetea mbele yenu!"
2Pavlus'un kendilerine ibrani dilinde seslendiğini duyduklarında daha derin bir sessizlik oldu. Pavlus şöyle devam etti: «Ben Yahudiyim. Kilikya'nın Tarsus kentinde doğdum ve burada, Kudüs'te Gamalyel'in dizinin dibinde büyüdüm. Atalarımızın yasasıyla ilgili sıkı bir eğitimden geçtim. Bugün hepinizin yaptığı gibi, ben de Tanrı için gayretle çalışan biriydim.
2Waliposikia akiongea nao kwa Kiebrania wakazidi kukaa kimya zaidi kuliko hapo awali. Naye Paulo akaendelea kusema,
4İsa'nın yolundan gidenlere öldüresiye zulmeder, erkek kadın demeden onları bağlayıp hapse atardım.
3"Mimi ni Myahudi, mzaliwa wa Tarso katika Kilikia. Lakini nililelewa papa hapa mjini Yerusalemu chini ya mkufunzi Gamalieli. Nilifundishwa kufuata kwa uthabiti Sheria ya wazee wetu. Nilijitolea kwa moyo wote kwa Mungu kama ninyi wenyewe mlivyo hivi leo.
5Başkâhin ile tüm ihtiyarlar kurulu söylediklerimi doğrulayabilirler. Onlardan Yahudi kardeşlere yazılmış mektuplar alarak Şam'a doğru yola çıkmıştım. Amacım, oradaki İsa inanlılarını da cezalandırmak üzere bağlayıp Kudüs'e getirmekti.
4Niliwatesa hata kuwaua wale watu waliofuata Njia hii. Niliwatia nguvuni wanaume kwa wanawake na kuwafunga gerezani.
6«Ben öğleye doğru yol alıp Şam'a yaklaşırken, birdenbire gökten parlak bir ışık çevremi aydınlatıverdi.
5Kuhani Mkuu na baraza lote la wazee wanaweza kushuhudia jambo hilo. Kutoka kwao nilipokea barua walioandikiwa wale ndugu Wayahudi waliokuwa huko Damasko. Nilikwenda Damasko ili niwatie nguvuni watu hao na kuwaleta wamefungwa mpaka Yerusalemu ili waadhibiwe.
7Yere yıkıldım. Bir sesin bana, `Saul, Saul! Neden bana zulmediyorsun?' dediğini işittim.
6"Basi, nilipokuwa njiani karibu kufika Damasko, yapata saa sita mchana, mwangu mkubwa kutoka mbinguni ulitokea ghafla ukaniangazia pande zote.
8«`Ey efendim, sen kimsin?' diye sordum. «Ses bana, `Ben senin zulmettiğin Nasıralı İsa'yım' dedi.
7Hapo nilianguka chini, nikasikia sauti ikiniambia: Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa?
9Beraberimde olanlar ışığı gördülerse de, benimle konuşanın söylediklerini anlamadılar.
8Nami nikauliza: Nani wewe, Bwana? Naye akaniambia: Mimi ni Yesu wa Nazareti ambaye wewe unamtesa.
10«`Rab, ne yapmalıyım?' diye sordum. «Rab bana, `Kalk, Şam'a git' dedi, `yapmakla görevlendirildiğin her şey orada sana açıklanacak.'
9Wale wenzangu waliuona ule mwanga lakini hawakusikia sauti ya yule aliyeongea nami.
11Parlayan ışığın görkeminden gözlerim görmez olduğundan, beraberimde olanlar elimden tutup beni Şam'a götürdüler.
10Basi, mimi nikauliza: Nifanye nini Bwana? Naye Bwana akaniambia: Simama, nenda Damasko na huko utaambiwa yote ambayo umepangiwa kufanya.
12«Orada Hananya adında dindar, Kutsal Yasa'ya bağlı biri vardı. Kentte yaşayan tüm Yahudilerin kendisinden övgüyle söz ettiği bu adam gelip yanımda durdu ve, `Saul kardeş, gözlerin görsün!' dedi. Ve ben o anda onu gördüm.
11Kutokana na ule mwanga mkali sikuweza kuona na hivyo iliwabidi wale wenzangu kuniongoza kwa kunishika mkono mpaka nikafika Damasko.
14«Hananya, `Atalarımızın Tanrısı, kendisinin isteğini bilmen ve adil Olan'ı görüp O'nun ağzından bir ses işitmen için seni seçmiştir' dedi.
12"Huko kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Anania, mtu mcha Mungu, mwenye kuitii Sheria yetu na aliyeheshimika sana mbele ya Wayahudi waliokuwa wanaishi Damasko.
15`Görüp işittiklerini tüm insanlara duyurarak O'nun tanıklığını yapacaksın.
13Yeye alikuja kuniona, akasimama karibu nami, akasema: Ndugu Saulo! Ona tena. Papo hapo nikaona tena, nikamwangalia.
16Haydi, ne bekliyorsun? Kalk, O'nun adını anarak vaftiz ol ve günahlarından arın!'
14Halafu Anania akasema: Mungu wa babu zetu amekuchagua upate kujua matakwa yake na kumwona yule mtumishi wake mwadilifu na kumsikia yeye mwenyewe akiongea.
17«Ben Kudüs'e döndükten sonra, tapınakta dua ettiğim bir sırada, kendimden geçerek Rab'bi gördüm. Bana, `Çabuk ol' dedi, `Kudüs'ten hemen ayrıl. Çünkü benimle ilgili tanıklığını kabul etmeyecekler.'
15Kwa maana utamshuhudia kwa watu wote ukiwaambia yale uliyoyaona na kuyasikia.
19«`Rab' dedim, `benim havradan havraya giderek sana inananları tutuklayıp dövdüğümü biliyorlar.
16Sasa basi, ya nini kukawia zaidi? Simama ubatizwe na uondolewe dhambi zako kwa kuliungama jina lake.
20Üstelik sana tanıklık eden İstefan'ın kanı döküldüğü zaman, ben de oradaydım. Onu öldürenlerinkaftanlarına bekçilik ederek yapılanları onayladım.'
17"Basi, nilirudi Yerusalemu, na nilipokuwa nikisali Hekaluni, niliona maono.
21«Rab bana, `Git' dedi, `ben seni uzakta olan uluslara göndereceğim.'»
18Nilimwona Bwana akiniambia: Haraka! Ondoka Yerusalemu upesi kwa maana watu wa hapa binadamu hawataukubali ushuhuda wako juu yangu.
22Pavlus'u buraya kadar dinleyenler, bu söz üzerine, «Böylesini yeryüzünden temizlemeli, yaşaması uygun değildir!» diye seslerini yükselttiler.
19Nami nikamjibu: Bwana, wao wanajua wazi kwamba mimi ni yule aliyekuwa anapitapita katika masunagogi na kuwatia nguvuni na kuwapiga wale waliokuwa wanakuamini.
23Onlar böyle bağırır, üstlüklerini sallayıp havaya toz savururken komutan, Pavlus'un kalenin içine götürülmesini buyurdu. Halkın Pavlus'un aleyhine neden böyle bağırdığını öğrenmek için onun kamçılanarak sorguya çekilmesini istedi.
20Na kwamba wakati shahidi wako Stefano alipouawa, mimi binafsi nilikuwako pale nikakubaliana na kitendo hicho na kuyalinda makoti ya wale waliokuwa wanamuua.
25Kendisini sırımlarla bağlayıp kollarını geriyorlardı ki, Pavlus orada duran yüzbaşıya, «Mahkemesi yapılmamış bir Roma vatandaşını kamçılamanız yasaya uygun mudur?» dedi.
21Naye Bwana akaniambia: Nenda; ninakutuma mbali kwa mataifa mengine."
26Yüzbaşı bunu duyunca gidip komutana haber verdi. «Ne yapıyorsun?» dedi. «Bu adam Roma vatandaşıymış.»
22Mpaka hapa, wale watu walikuwa wanamsikiza, lakini aliposema maneno haya, walianza kusema kwa sauti kubwa, "Mwondoe duniani! Mtu wa namna hiyo hastahili kuishi."
27Komutan Pavlus'un yanına geldi, «Söyle bakayım, sen Romalı mısın?» diye sordu. Pavlus da, «Evet» dedi.
23Waliendelea kupayukapayuka huku wakitikisa makoti yao na kurusha vumbi angani.
28Komutan, «Ben bu vatandaşlığı yüklü bir para ödeyerek elde ettim» diye karşılık verdi. Pavlus, «Ben ise doğuştan Roma vatandaşıyım» dedi.
24Mkuu wa jeshi aliwaamuru watu wake wampeleke Paulo ndani ya ngome, akawaambia wamchape viboko ili wapate kujua kisa cha Wayahudi kumpigia kelele.
29Onu sorguya çekecek olanlar hemen yanından çekilip gittiler. Kendisini bağlatmış olan komutan da, onun Roma vatandaşı olduğunu anlayınca korktu.
25Lakini walipokwisha mfunga ili wamchape viboko, Paulo alimwuliza jemadari mmoja aliyesimama hapo, "Je, ni halali kwenu kumpiga viboko raia wa Roma kabla hajahukumiwa?"
30Komutan ertesi gün Yahudilerin Pavlus'u tam olarak neyle suçladıklarını öğrenmek isteyerek onu hapisten getirtti, başkâhinlerle tüm Yüksek Kurul'un toplanması için buyruk verdi ve onu aşağı indirip Kurul'un önüne çıkardı.
26Yule jemadari aliposikia hayo, alimpasha habari mkuu wa jeshi akisema, "Unataka kufanya nini? Mtu huyu ni raia wa Roma!"
27Basi, mkuu wa jeshi alimwendea Paulo, akamwambia, "Niambie; je, wewe ni raia wa Roma?" Paulo akamjibu, "Naam."
28Mkuu wa jeshi akasema, "Mimi nami nimekuwa raia wa Roma kwa kulipa gharama kubwa." Paulo akasema, "Lakini mimi ni raia wa Roma kwa kuzaliwa."
29Wale watu ambao walikuwa tayari kumchunguza Paulo walitoweka mara. Hata yule mkuu wa jeshi aliogopa alipojua kwamba Paulo ni raia wa Roma na kwamba alikuwa amekwisha mfunga minyororo.
30Kesho yake, mkuu wa jeshi alitaka kujua mashtaka kamili ambayo Wayahudi walikuwa wamemwekea Paulo. Hivyo, alimfungua Paulo minyororo, akaamuru makuhani wakuu na Baraza lote wafanye kikao. Kisha alimleta Paulo, akamsimamisha mbele ya Baraza.