1İtalya'ya doğru yelken açmamıza karar verilince, Pavlus'la diğer bazı tutukluları Avgustus taburundan Yulyus adlı bir yüzbaşıya teslim ettiler.
1Walipokwisha amua tusafiri mpaka Italia, walimweka Paulo pamoja na wafungwa wengine chini ya ulinzi wa Yulio aliyekuwa ofisa wa jeshi katika kikosi kiitwacho "Kikosi cha Augusto."
2Asya ilinin kıyılarındaki limanlara uğrayacak olan bir Edremit gemisine binerek denize açıldık. Selanik'ten Makedonyalı Aristarkus da yanımızdaydı.
2Tulipanda meli ya Adiramito iliyokuwa inasafiri na kupitia bandari kadhaa za mkoa wa Asia, tukaanza safari. Aristarko, mwenyeji wa Makedonia kutoka Thesalonika, alikuwa pamoja nasi.
3Ertesi gün Sayda'ya uğradık. Pavlus'a dostça davranan Yulyus, ihtiyaçlarını karşılamaları için dostlarının yanına gitmesine izin verdi.
3Kesho yake tulitia nanga katika bandari ya Sidoni. Yulio alimtendea Paulo vizuri kwa kumruhusu awaone rafiki zake na kupata mahitaji yake.
4Oradan yine denize açıldık. Rüzgâr ters yönden estiği için Kıbrıs'ın rüzgâr altından geçtik.
4Kutoka huko tuliendelea na safari, lakini kwa kuwa upepo ulikuwa unavuma kwa kasi kutujia kwa mbele, tulipitia upande wa kisiwa cha Kupro ambapo upepo haukuwa mwingi.
5Kilikya ve Pamfilya açıklarından geçerek Likya'nın Mira kentine geldik.
5Halafu tulivuka bahari ya Kilikia na Pamfulia, tukatia nanga Mura, mji wa Lukia.
6Orada, İtalya'ya gidecek olan bir İskenderiye gemisi bulan yüzbaşı, bizi o gemiye bindirdi.
6Hapo yule ofisa alikuta meli moja ya Aleksandria iliyokuwa inakwenda Italia, na hivyo akatupandisha ndani.
7Günlerce ağır ağır yol alarak Knidos kentinin açıklarına güçlükle gelebildik. Rüzgâr bize engel olduğundan Salmone burnundan dolanarak Girit'in rüzgâr altından geçtik.
7Kwa muda wa siku nyingi tulisafiri polepole, na kwa shida tulifika karibu na Nido. Kwa sababu upepo ulikuwa bado unatupinga, tuliendelea mbele moja kwa moja tukapitia upande wa Krete karibu na rasi Salmone ambapo upepo haukuwa mwingi.
8Kıyı boyunca güçlükle ilerleyerek Laseya kentinin yakınlarında bulunan ve Güzel Limanlar denilen bir yere geldik.
8Tulipita kando yake polepole tukafika mahali paitwapo "Bandari Nzuri", karibu na mji wa Lasea.
9Epey vakit kaybetmiştik; oruç günü bile geçmişti. O mevsimde deniz yolculuğu tehlikeli olacaktı. Bu nedenle Pavlus onları uyardı: «Efendiler» dedi, «bu yolculuğun yalnız yük ve gemiye değil, canlarımıza da çok zarar ve ziyan getireceğini görüyorum.»
9Muda mrefu ulikuwa umepita, na hata siku ya kufunga ilikuwa imekwisha pita. Sasa ilikuwa hatari sana kusafiri kwa meli. Basi, Paulo aliwapa onyo:
11Ama yüzbaşı, Pavlus'un söylediklerini dinleyeceğine, kaptanla gemi sahibinin sözüne uydu.
10"Waheshimiwa, nahisi kwamba safari hii itakuwa ya shida na hasara nyingi si kwa shehena na meli tu, bali pia kwa maisha yetu."
12Liman kışlamaya elverişli olmadığından gemidekilerin çoğu, oradan tekrar denize açılmaya, mümkünse Feniks'e ulaşıp kışı orada geçirmeye karar verdiler. Feniks, Girit'in lodos ve karayele kapalı bir limanıdır.
11Lakini yule ofisa alivutiwa zaidi na maoni ya nahodha na ya mwenye meli kuliko yale aliyosema Paulo.
13Güneyden hafif bir yel esmeye başlayınca, bekledikleri anın geldiğini sanarak demir aldılar; Girit kıyısını yakından izleyerek ilerlemeye başladılar.
12Kwa kuwa bandari hiyo haikuwa mahali pazuri pa kukaa wakati wa baridi, wengi walipendelea kuendelea na safari, ikiwezekana mpaka Foinike. Foinike ni bandari ya Krete inayoelekea kusini-magharibi na kaskazini-magharibi; na huko wangeweza kukaa wakati wa baridi.
14Ne var ki, çok geçmeden karadan `Evrakilon' denen bir kasırga koptu.
13Basi, upepo mzuri wa kusi ulianza kuvuma, nao wakadhani wamefanikiwa lengo lao; hivyo wakang'oa nanga, wakaiendesha meli karibu sana na pwani ya Krete.
15Kasırgaya tutulan gemi rüzgâra karşı gidemeyince, kendimizi sürüklenmeye bıraktık.
14Lakini haukupita muda, upepo mkali uitwao "Upepo wa Kaskazi" ulianza kuvuma kutoka kisiwani.
16Gavdos denen küçükbir adanın rüzgâr altına sığınarak geminin filikasını güçlükle sağlama alabildik.
15Upepo uliipiga ile meli, na kwa kuwa hatukuweza kuukabili, tukaiacha ikokotwe na huo upepo.
17Filikayı yukarı çektikten sonra halatlar kullanarak gemiyi alttan kuşattılar. Sirte körfezinin sığlıklarında karaya oturmaktan korktukları için yelken takımlarını indirip kendilerini sürüklenmeye bıraktılar.
16Kisiwa kimoja kiitwacho Kanda kilitukinga kidogo na ule upepo; na tulipopita kusini mwake tulifaulu, ingawa kwa shida, kuusalimisha ule mtumbwi wa meli.
18Fırtına bizi bir hayli hırpaladığı için ertesi gün gemiden yük atmaya başladılar.
17Wale wanamaji waliuvuta mtumbwi ndani, kisha wakaizungushia meli kamba na kuifunga kwa nguvu. Waliogopa kwamba wangeweza kukwama kwenye ufuko wa bahari, pwani ya Libya. Kwa hiyo walishusha matanga na kuiacha meli ikokotwe na upepo.
19Üçüncü gün geminin takımlarını kendi elleriyle denize attılar.
18Dhoruba iliendelea kuvuma na kesho yake wakaanza kutupa nje shehena ya meli.
20Günlerce ne güneş ne de yıldızlar göründü. Fırtına da olanca şiddetiyle sürdüğünden, artık kurtuluş umudunu tümden yitirmiştik.
19Siku ya tatu, wakaanza pia kutupa majini vifaa vya meli kwa mikono yao wenyewe.
21Adamlar uzun zaman yemek yiyemeyince Pavlus ortaya çıkıp şöyle dedi: «Efendiler, beni dinleyip Girit'ten ayrılmamanız, bu zarar ve ziyana uğramamanız gerekirdi.
20Kwa muda wa siku nyingi hatukuweza kuona jua wala nyota; dhoruba iliendelea kuvuma sana, hata matumaini yote ya kuokoka yakatuishia.
22Şimdi size öğüdüm şu: Cesur olun! Gemi mahvolacak, ama aranızda hiçbir can kaybı olmayacak.
21Baada ya kukaa muda mrefu bila kula chakula, Paulo alisimama kati yao, akasema, "Waheshimiwa, ingalikuwa afadhali kama mngalinisikiliza na kuacha kusafiri kutoka Krete. Kama mngalifanya hivyo tungaliiepuka shida hii na hasara hizi zote.
23Çünkü kendisine ait olduğum, kendisine kulluk ettiğim Tanrı'nın bir meleği bu gece yanıma gelip dedi ki, `Korkma Pavlus, Sezar'ın önüne çıkman gerekiyor. Dahası Tanrı, seninle birlikte yolculuk edenlerin hepsini sana bağışlamıştır.
22Lakini sasa ninawaombeni muwe na moyo; hakuna hata mmoja wenu atakayepoteza maisha yake; meli tu ndiyo itakayopotea.
25Bunun için efendiler, cesur olun! Tanrı'ya inanıyorum ki, her şey tıpkı bana bildirildiği gibi olacak.
23Kwa maana jana usiku malaika wa yule Mungu ambaye mimi ni wake na ambaye mimi ninamwabudu alinitokea,
26Ancak bir adada karaya oturmamız gerek.»
24akaniambia: Paulo usiogope! Ni lazima utasimama mbele ya Kaisari; naye Mungu, kwa wema wake, amekufadhili kwa kuwaokoa wote wanaosafiri nawe wasiangamie.
27On dördüncü gece İyon denizinde sürükleniyorduk. Gece yarısına doğru gemiciler karaya yaklaştıklarını sezinlediler.
25Hivyo, waheshimiwa, jipeni moyo! Maana ninamwamini Mungu kwamba itakuwa sawa kama nilivyoambiwa.
28Denizin derinliğini ölçtüler ve yirmi kulaç olduğunu gördüler. Biraz ilerledikten sonra bir daha ölçtüler, on beş kulaç olduğunu gördüler.
26Lakini ni lazima tutatupwa ufukoni mwa kisiwa fulani."
29Kayalıklara bindirmekten korkarak kıçtan dört demir attılar ve günün tez doğması için dua ettiler.
27Usiku wa siku ya kumi na nne, tulikuwa tunakokotwa huku na huku katika bahari ya Adria. Karibu na usiku wa manane wanamaji walijihisi kuwa karibu na nchi kavu.
30Bu sırada gemiciler gemiden kaçma girişiminde bulundular. Baş taraftan demir atacaklarmış gibi yapıp filikayı denize indirdiler.
28Hivyo walitafuta kina cha bahari kwa kuteremsha kamba iliyokuwa imefungiwa kitu kizito, wakapata kina cha mita arobaini. Baadaye wakapima tena wakapata mita thelathini.
31Ama Pavlus yüzbaşıyla askerlere, «Bunlar gemide kalmazsa, siz kurtulamazsınız» dedi.
29Kwa sababu ya kuogopa kukwama kwenye miamba, waliteremsha nanga nne nyuma ya meli; wakaomba kuche upesi.
32Bunun üzerine askerler ipleri kesip filikayı denize düşürdüler.
30Wanamaji walitaka kutoroka, na walikwisha kuteremsha ule mtumbwi majini, wakijisingizia kwamba wanakwenda kuteremsha nanga upande wa mbele wa meli.
33Gün doğmak üzereyken Pavlus herkesi yemek yemeye çağırdı. «Bugün on dört gündür kaygılı bir bekleyiş içindesiniz, hiçbir şey yemeyip aç kaldınız» dedi.
31Lakini Paulo alimwambia yule ofisa wa jeshi na askari wake, "Kama wanamaji hawa hawabaki ndani ya meli, hamtaokoka."
34«Bunun için size rica ediyorum, yemek yiyin. Kurtuluşunuz için bu gerekli. Hiçbirinizin başından bir saç teli bile eksilmeyecektir.»
32Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji.
35Pavlus bunları söyledikten sonra ekmek aldı, hepsinin önünde Tanrı'ya şükretti, ekmeği bölüp yemeye başladı.
33Karibu na alfajiri, Paulo aliwahimiza wote wale chakula: "Kwa siku kumi na nne sasa mmekuwa katika mashaka na bila kula; hamjala kitu chochote.
36Hepsi bundan cesaret alarak yemek yedi.
34Basi, ninawasihi mle chakula kwa maana mnakihitaji ili mweze kuendelea kuishi. Maana hata unywele mmoja wa vichwa vyenu hautapotea."
37Gemide toplam iki yüz yetmiş altı kişiydik.
35Baada ya kusema hivyo, Paulo alichukua mkate, akamshukuru Mungu mbele yao wote, akaumega, akaanza kula.
38Herkes doyduktan sonra, buğdayı denize boşaltarak gemiyi hafiflettiler.
36Hapo wote wakapata moyo, nao pia wakala chakula.
39Gündüz olunca gördükleri karayı tanıyamadılar. Ama kumsalı olan bir körfez farkederek, mümkünse gemiyi orada karaya oturtmaya karar verdiler.
37Jumla tulikuwa watu mia mbili na sabini na sita katika meli.
40Demirleri kesip denizde bıraktılar. Aynı anda dümenlerin iplerini çözüp ön yelkeni rüzgâra vererek kumsala yöneldiler.
38Baada ya kila mmoja kula chakula cha kutosha, walipunguza uzito wa meli kwa kutupa nafaka baharini.
41Gemi bir kum yükseltisine çarpıp karaya oturdu. Geminin başı kuma saplanıp kımıldamaz oldu, kıç tarafı ise dalgaların şiddetiyle dağılmaya başladı.
39Kulipokucha, wanamaji hawakuweza kuitambua nchi ile, ila waliona ghuba moja yenye ufuko; wakaamua kutia nanga huko kama ikiwezekana.
42Askerler, tutuklulardan hiçbiri yüzerek kaçmasın diye onları öldürmek niyetindeydi.
40Hivyo walikata nanga na kuziacha baharini, na wakati huohuo wakazifungua kamba zilizokuwa zimeufunga usukani, kisha wakatweka tanga moja mbele kushika upepo, wakaelekea ufukoni.
43Ama Pavlus'u kurtarmak isteyen yüzbaşı askerleri bu düşünceden vazgeçirdi. Önce yüzme bilenlerin denize atlayıp karaya çıkmalarını, sonra geriye kalanların, kiminin tahtalara kiminin de geminin diğer döküntülerine tutunarak onlarıizlemesini buyurdu. Böylelikle herkes sağ salim karaya çıktı.
41Lakini walifika mahali ambapo mikondo miwili ya bahari hukutana, na meli ikakwama. Sehemu ya mbele ilikuwa imezama mchangani bila kutikisika. Sehemu ya nyuma ya meli ilianza kuvunjika vipandevipande kwa mapigo ya nguvu ya mawimbi.
42Askari walitaka kuwaua wafungwa wote kwa kuogopa kwamba wangeogelea hadi pwani na kutoroka.
43Lakini kwa vile yule ofisajeshi alitaka kumwokoa Paulo, aliwazuia wasifanye hivyo. Aliamuru wale waliojua kuogelea waruke kutoka melini na kuogelea hadi pwani,
44na wengine wafuate wakijishikilia kwenye mbao au kwenye vipande vya meli iliyovunjika. Ndivyo sisi sote tulivyofika salama pwani.