聖經新譯本 (Simplified)

Swahili: New Testament

1 Thessalonians

2

1保罗在帖撒罗尼迦的工作
1Ndugu, ninyi wenyewe mnafahamu kwamba ziara yetu kwenu haikuwa bure.
2我们从前在腓立比虽然受了苦,又被凌辱,可是靠着我们的 神,在强烈的反对之下,仍然放胆向你们述说 神的福音,这是你们知道的。
2Mnajua jinsi tulivyodhulumiwa na kutukanwa kule Filipi kabla ya kufika kwenu Thesalonike. Ingawa kulikuwa na upinzani mwingi, Mungu wetu alitujalia uhodari wa kuwahubirieni Habari Njema yake.
3我们的呼吁,不是错谬的,不是污秽的,也没有诡诈。
3Jambo tunalosisitiza kwenu si jambo linalotegemea uongo au nia mbaya; wala hatupendi kumdanganya mtu yeyote.
4相反地, 神既然考验过我们,把福音委托给我们,我们就传讲,不像是讨人欢心的,而是讨那察验我们心思的 神的喜悦。
4Sisi twanena daima kama atakavyo Mungu kwani yeye alituona kwamba tunafaa, akatukabidhi hii Habari Njema. Si nia yetu kuwapendeza watu hata kidogo, bali twataka kumpendeza Mungu ambaye anajua mioyo yetu mpaka ndani.
5我们从来不说奉承的话,这是你们知道的, 神可以作证,我们并没有借故起贪心,
5Ninyi mnajua kwamba sisi hatukuja kwenu na maneno matamu ya kubembeleza wala hatukutumia maneno ya kijanja ya kuficha ubinafsi fulani; Mungu ni shahidi!
6也没有向你们或别人求取人的荣誉。
6Hatukutafuta sifa kutoka kwa watu, wala kutoka kwenu, wala kutoka kwa mtu yeyote,
7我们身为基督使徒的,虽然有权利受人尊敬,但我们在你们中间却是谦和的,就像母亲乳养自己的孩子。
7ingawa sisi tukiwa mitume wa Kristo, tungeweza kudai mambo fulani kwenu. Lakini sisi tulikuwa Wapole kati yenu kama alivyo mama kwa watoto wake.
8我们这样疼爱你们,不但乐意把 神的福音传给你们,连自己的性命也乐意给你们,因为你们是我们所爱的。
8Tuliwapenda ninyi sana hata tukawa tayari kuwashirikisha si tu Habari Njema ya Mungu, bali pia na maisha yetu. Ndivyo mlivyokuwa wapenzi wetu!
9弟兄们,你们应该记得我们的辛苦和劳碌;我们把 神的福音传给你们的时候,怎样昼夜作工,免得你们有人受累。
9Ndugu, mnakumbuka jinsi tulivyofanya kazi na kutaabika. Tulipowaleteeni Habari Njema ya Mungu tulifanya kazi mchana na usiku kusudi tusiwe mzigo kwa mtu yeyote miongoni mwenu.
10我们对你们信的人是多么圣洁、公义、无可指摘,这是你们和 神都可以作证的。
10Ninyi mnaweza kushuhudia, na Mungu pia ni shahidi, jinsi mwenendo wetu kati yenu ninyi mnaoamini ulivyokuwa mzuri, mwadilifu na usio na lawama.
11正如你们知道的,我们是怎样好像父亲对待儿女一样对待你们各人:
11Mnajua kwamba sisi tulimtendea kila mmoja wenu kama vile baba anavyowatendea watoto wake mwenyewe.
12劝勉你们,鼓励你们,叮嘱你们,要你们行事为人,配得上那召你们进入他的国和荣耀的 神。
12Tuliwapeni moyo, tuliwafarijini na kuwahimiza ili mpate kuishi maisha yampendezayo Mungu ambaye aliwaiteni mshiriki Utawala na utukufu wake.
13我们也为这缘故不住感谢 神,因为你们接受了我们所传的 神的道,不认为这是人的道,而认为这确实是 神的道。这道也运行在你们信的人里面。
13Tena tunayo sababu nyingine ya kumshukuru Mungu: tulipowaleteeni ujumbe wa Mungu, ninyi mliusikia mkaupokea, si kama vile ujumbe wa binadamu, bali kama ujumbe wa Mungu, na kweli ndivyo ulivyo. Maana Mungu anafanya kazi ndani yenu ninyi mnaoamini.
14弟兄们,你们好像犹太地在基督耶稣里 神的众教会一样,他们怎样遭受犹太人的迫害,你们也照样遭受同族人的迫害。
14Ndugu, ninyi mmepatwa na mambo yaleyale yaliyoyapata makanisa ya Mungu kule Yudea, mambo yaliyowapata watu walio wake Kristo Yesu. Ninyi mlidhulumiwa na wananchi wenzenu kama vile wao walivyodhulumiwa na wenzao Wayahudi,
15这些犹太人杀了主耶稣和众先知,又把我们赶出来。他们得不到 神的喜悦,并且和所有的人作对,
15ambao walimuua Bwana Yesu na manabii, wakatutesa na sisi pia. Watu hao wanamchukiza Mungu, tena ni adui za kila mtu!
16阻挠我们向外族人传道,不让他们得救,以致恶贯满盈。 神的忿怒终必临到他们身上。
16Hata walijaribu kutuzuia kuwahubiria watu wa mataifa mengine ujumbe utakaowaletea wokovu. Ndivyo walivyokamilisha orodha ya dhambi zote walizotenda siku zote. Lakini sasa hasira ya Mungu imewaangukia.
17保罗渴望再访帖撒罗尼迦弟兄们,我们被迫暂时离开你们,不过是身体离开,心却没有离开。我们非常渴望再见到你们。
17Ndugu, kuachana kwetu nanyi kulikuwa kwa muda tu, tena kuachana huko kulikuwa kwa mwili tu na si kwa roho. Kitambo kifupi baadaye, tulishikwa na hamu kubwa ya kuwaoneni tena!
18因此,我们很想到你们那里去,我保罗也一再想去,只是撒但阻挡了我们。
18Kwa hiyo tuliamua kuwatembeleeni tena. Nami, Paulo, nilijaribu kuja kwenu zaidi ya mara moja, lakini Shetani alituzuia.
19我们主耶稣再来的时候,我们在他面前的盼望、喜乐或所夸耀的冠冕是什么呢?不就是你们吗?
19Je, tutakaposimama mbele ya Bwana Yesu wakati atakapokuja, fahari ya ushindi wetu itakuwa nini? Itakuwa ni ninyi wenyewe; ninyi ndio tumaini letu na furaha yetu.
20是的,你们就是我们的荣耀,我们的喜乐。
20Naam, ninyi ni utukufu wetu na furaha yetu!