1派提摩太前往
1Mwishowe hatukuweza kuvumilia zaidi. Basi, tuliamua kubaki kule Athene peke yetu,
2派我们的弟兄,就是在基督的福音上和 神同工的提摩太去,为了要在你们的信仰上坚定你们,劝慰你们,
2na kumtuma kwenu ndugu yetu Timotheo, ambaye ni mfanyakazi mwenzetu kwa ajili ya Mungu katika kuhubiri Habari Njema ya Kristo. Tulimtuma ili awaimarisheni na kuwafarijini,
3免得有人在各样的患难中动摇了。你们自己知道,我们受患难原是命定的。
3kusudi imani ya mtu yeyote miongoni mwenu isije ikafifia kwa sababu ya taabu hizo. Ninyi mnajua kwamba tunapaswa kupata mateso.
4我们在你们那里的时候,早已对你们说过,我们将会遭受患难。后来应验了,这是你们知道的。
4Maana, tulipokuwa pamoja nanyi, tuliwaambieni kwamba tutateswa; na kama mjuavyo ndivyo ilivyotukia.
5因此,我既然不能再忍下去,就派人去打听你们的信心怎样;恐怕那试探人的诱惑了你们,以致我们的劳苦白费了。
5Ndio maana nilimtuma Timotheo kwenu. Sikuweza kungoja zaidi, na hivyo nilimtuma nipate habari za imani yenu. Isije ikawa labda Mshawishi aliwajaribuni na kazi yote tuliyofanya miongoni mwenu imepotea bure!
6提摩太刚刚从你们那里回来,把你们信心和爱心的好消息带给我们。他还说,你们常常怀念我们,切切想见我们,好像我们想见你们一样。
6Sasa Timotheo amekwisha rudi, naye ametupa habari za kufurahisha kuhusu imani na upendo wenu. Ametuarifu kwamba mnatukumbuka daima, na kwamba mna hamu ya kutuona sisi kama nasi tulivyo na hamu ya kuwaoneni.
7所以弟兄们,我们在这一切困苦患难中,因着你们的信心就得了安慰。
7Basi, habari za imani yenu zimetutia moyo katika taabu na mateso yetu yote,
8如果你们在主里站立得稳,我们就可以活下去了。
8kwani sasa tunaishi kweli ikiwa ninyi mnasimama imara katika kuungana na Bwana.
9我们因你们的缘故,在我们的 神面前满有喜乐;为这一切喜乐,我们可以为你们向 神献上怎么样的感谢呢!
9Sasa twaweza kumshukuru Mungu wetu kwa ajili yenu. Tunamshukuru kwa furaha tuliyo nayo mbele yake kwa sababu yenu.
10我们昼夜迫切祈求,要见你们的面,并且要补满你们信心的不足。
10Tunazidi kumwomba Mungu usiku na mchana kwa moyo wetu wote ili atupatie fursa ya kuwaoneni uso kwa uso ili tuweze kurekebisha chochote kilichopungua katika imani yenu.
11愿我们的父 神自己和我们的主耶稣为我们开路,使我们可以到你们那里去。
11Tunamwomba Mungu, Baba yetu mwenyewe, na Bwana wetu Yesu atutayarishie njia ya kuja kwenu.
12又愿主叫你们彼此相爱的心,和爱众人的心,都充充足足,多而又多,好像我们爱你们一样。
12Bwana awawezeshe ninyi kupendana na kuwapenda watu wote zaidi na zaidi, kama vile sisi tunavyowapenda ninyi.
13也愿他坚定你们的心,好叫你们在我们主耶稣和众圣徒再来的时候,在我们的父 神面前,完全圣洁,无可指摘。
13Hivyo ataiimarisha mioyo yenu, nanyi mtakuwa wakamilifu na watakatifu mbele ya Mungu na Baba yetu wakati Bwana wetu Yesu atakapokuja pamoja na wote walio wake.