聖經新譯本 (Simplified)

Swahili: New Testament

2 Corinthians

1

1问安
1Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Timotheo, tunawaandikia ninyi mlio kanisa la Mungu huko Korintho, na watu wote wa Mungu kila mahali katika Akaya.
2愿恩惠平安从我们的父 神和主耶稣基督临到你们。
2Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
3患难中 神赐安慰我们主耶稣基督的父 神是应当称颂的。他是满有怜悯的父,赐各样安慰的 神。
3Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba mwenye huruma na Mungu mwenye kuleta faraja yote.
4我们在一切患难中, 神都安慰我们,使我们能用他所赐的安慰,去安慰那些在各样患难中的人。
4Yeye hutufariji sisi katika taabu zetu zote, ili nasi tupate kuwafariji wengine katika kila taabu kwa faraja hiyohiyo tunayopokea kutoka kwa Mungu.
5我们既然多受基督所受的痛苦,就靠着基督多得安慰。
5Naam, kadiri mateso ya Kristo yanavyozidi ndani yetu, ni kadiri hiyohiyo tunazidi kufarijiwa naye.
6如果我们遭遇患难,那是要使你们得着安慰,得着拯救;如果我们得到安慰,也是要使你们得到安慰。这安慰使你们能够忍受我们所受那样的痛苦。
6Ikiwa tunapata taabu, basi ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu. Tukifarijika, ni kwa ajili ya kuwafariji ninyi na kuwaunga mkono mpate nguvu ya kustahimili mateso yaleyale tunayoteseka sisi.
7我们对你们的盼望是坚定的,因为知道你们既然一同受痛苦,也必照样同得安慰。
7Tena, matumaini tuliyo nayo kwa ajili yenu ni imara; tunajua kwamba mkishiriki mateso yetu, mtashiriki pia faraja yetu.
8弟兄们,我们在亚西亚遭受的患难,我们很想让你们知道。那时我们受到了过于我们所能忍受的压力,甚至活下去的希望都没有了,
8Ndugu, tunataka kuwajulisheni taabu zilizotupata kule Asia; taabu hizo zilitulemea kupita kiasi, hata tukakata matumaini yote ya kuendelea kuishi.
9而且断定自己是必死的了;然而,这正是要我们不倚靠自己,只倚靠那叫死人复活的 神。
9Naam, tulikuwa kama watu waliohukumiwa kuuawa, ili tufundishwe kumtegemea Mungu mwenye kuwafufua wafu, badala ya kutegemea nguvu zetu sisi wenyewe.
10他救我们脱离了那极大的死亡,而且他还要救我们,我们希望他将来仍要救我们。
10Yeye alituokoa katika hatari kubwa ya kifo, na anaendelea kutuokoa; sisi tumemwekea tumaini letu kwamba atatuokoa tena,
11请你们一同用祷告支持我们,好使许多人为着我们所蒙的恩献上感谢。这恩是借着许多人的代求而得到的。
11ninyi mkiwa mnatuunga mkono kwa kutuombea. Hivyo neema tutakazokuwa tumepata kutokana na maombi ya watu wengi hivyo, ziwe sababu ya watu wengi zaidi kumshukuru Mungu kwa ajili yetu.
12保罗计划再到哥林多我们引以为荣的,就是我们处世为人,是本着 神的圣洁和真诚,不是靠着人的聪明,而是靠着 神的恩典,对你们更是这样,这是我们的良心可以作证的。
12Sisi tunajivunia kitu kimoja: dhamiri yetu inatuhakikishia kwamba tumeishi ulimwenguni hapa, na hasa kati yenu, kwa unyenyekevu na unyofu tuliojaliwa na Mungu; hatukuongozwa na hekima ya kibinadamu bali neema ya Mungu.
13我们现在写给你们的,不外是你们可以宣读、可以明白的。
13Tunawaandikia ninyi mambo mnayoweza kuyasoma na kuyaelewa. Ninatumaini kwamba mtaelewa vizuri kabisa,
14正如你们对我们已经有些认识,我盼望你们可以彻底明白:在我们的主耶稣的日子,我们是你们的光荣,你们也是我们的光荣。
14maana mpaka sasa mmenielewa kiasi fulani tu. Tunajua kwamba katika ile Siku ya Bwana Yesu mtaweza kutuonea sisi fahari kama nasi tunavyowaonea ninyi fahari.
15我既然有这样的信念,就打算先到你们那里,使你们再一次得到恩惠,
15Nikiwa na matumaini hayo, nilikusudia kuja kwenu hapo awali ili mpate baraka maradufu.
16然后经过你们那里,往马其顿去,再从马其顿回到你们中间,让你们给我送行往犹太去。
16Nilikusudia kupita kwenu nikiwa safarini kwenda Makedonia, na wakati wa kurudi pia, ili nipate msaada wenu kwa safari yangu kwenda Yudea.
17我这样决定,难道是反复不定吗?我所决定的,难道是体贴肉体而定,使我忽是忽非吗?
17Je, mnadhani nilipopanga hivyo nimekuwa kama mtu asiye na msimamo? Je, mnadhani kwamba ninafanya uamuzi wangu kwa fikira za kibinadamu na kwamba nasema "Ndiyo" na "Siyo" papo hapo?
18 神是信实的,我们向你们所传的道并不是“是”而又“非”的,
18Mungu ni ukweli mtupu; basi, kile tulichowaambia ninyi si jambo la "Ndiyo" na "Siyo".
19因为我、西拉和提摩太,在你们中间所宣扬的耶稣基督, 神的儿子,并不是“是”而又“非”的,在他总是“是”的。
19Maana Kristo Yesu, Mwana wa Mungu, ambaye mimi, Silwano na Timotheo, tulimhubiri kwenu, hakuwa mtu wa "Ndiyo" na "Siyo"; bali yeye daima ni "Ndiyo" ya Mungu.
20因为 神的一切应许,在基督里都是“是”的,为此我们借着他说“阿们”,使荣耀归于 神。
20Maana ndani yake ahadi zote za Mungu zimekuwa "Ndiyo". Kwa sababu hiyo, "Amina" yetu husemwa kwa njia ya Kristo kwa ajili ya kumtukuza Mungu.
21那在基督里坚定我们和你们,又膏抹我们的,就是 神。
21Mungu mwenyewe ndiye mwenye kutuimarisha sisi na ninyi pia katika Kristo, na ndiye anayetuweka wakfu;
22他在我们身上盖了印,就是赐圣灵在我们心里作凭据。
22ndiye aliyetutia mhuri wa kuwa mali yake yeye na kutujalia Roho mioyoni mwetu kama dhamana ya mambo yote ambayo ametuwekea.
23我呼求 神给我作证,我没有再到哥林多来,是要宽容你们。
23Mungu ndiye shahidi wangu--yeye anajua moyo wangu! Mimi sikuja tena Korintho, kwa sababu tu ya kuwahurumieni.
24我们并不是要辖制你们的信仰,而是要作你们的同工,使你们喜乐,因为你们在信仰上已经站稳了。
24Hatutaki kutumia mabavu juu ya imani yenu; ninyi mko imara katika imani yenu. Wajibu wetu ni kufanya kazi pamoja kwa ajili ya furaha yenu.