聖經新譯本 (Simplified)

Swahili: New Testament

2 Corinthians

6

1表明是 神的仆人
1Basi, tukiwa wafanyakazi pamoja na Mungu, tunawasihi msikubali ile neema mliyopokea kutoka kwa Mungu ipotee bure.
2因为他说:“在悦纳的时候,我应允了你;在拯救的日子,我帮助了你。”看哪!现在就是悦纳的时候,现在就是拯救的日子。
2Mungu asema hivi: "Wakati wa kufaa nimekusikiliza, wakati wa wokovu nikakusaidia." Basi, sasa ndio wakati wa kufaa, sasa ndiyo siku ya wokovu!
3我们凡事都没有妨碍人,不让这职分受到毁谤,
3Kusudi tusiwe na lawama yoyote katika utumishi wetu, hatupendi kumwekea mtu yeyote kizuio chochote.
4反而在各样的事上,表明自己是 神的仆人,就如持久的忍耐、患难、贫乏、困苦、
4Badala yake, tunajionyesha kuwa kweli watumishi wa Mungu kwa kila kitu: kwa uvumilivu mwingi wakati wa mateso, shida na taabu.
5鞭打、监禁、扰乱、劳苦、不睡觉、禁食、
5Tumepigwa, tumetiwa gerezani na kuzomewa hadharani; tumefanya kazi tukachoka; tumekesha na kukaa bila kula.
6纯洁、知识、容忍、恩慈、圣灵、无伪的爱心、
6Tunajionyesha kuwa watumishi wa Mungu kwa usafi wa moyo, elimu, uvumilivu na wema; kwa Roho Mtakatifu, kwa upendo usio na unafiki,
7真理的道、 神的大能等事上;并且是借着左右两手中公义的武器,
7kwa ujumbe wa kweli na kwa nguvu ya Mungu. Uadilifu ndiyo silaha yetu upande wa kulia na upande wa kushoto.
8借着荣耀和羞辱、坏名声和好名誉。我们好像是骗人的,却是真诚的,
8Tuko tayari kupata heshima na kudharauliwa, kulaumiwa na kusifiwa. Twadhaniwa kuwa waongo, kumbe twasema kweli;
9好像是人所不知的,却是人所共知的;好像是必死的,你看,我们却是活着的;好像是受惩罚的,却没有处死;
9kama wasiojulikana, kumbe twajulikana kwa wote, kama waliokufa, lakini mwonavyo, sisi ni wazima kabisa.
10好像忧愁,却是常常喜乐的;好像贫穷,却使很多人富足;好像是什么都没有,却是样样都有。
10Ingawa tumeadhibiwa, hatukuuawa; ingawa tunayo huzuni, twafurahi daima; ingawa tu maskini hohehahe, lakini twatajirisha watu wengi; twaonekana kuwa watu tusio na chochote, kumbe tuna kila kitu.
11哥林多人哪!我们对你们,口是坦率的,心是宽宏的。
11Ndugu Wakorintho, tumezungumza nanyi kwa unyofu; mioyo yetu iko wazi kabisa.
12并不是我们对你们器量小,而是你们自己心胸狭窄。
12Kama mnaona kuna kizuizi chochote kile, kizuizi hicho kiko kwenu ninyi wenyewe, na si kwa upande wetu.
13你们也要照样以宽宏的心对待我们,这话正像是我对儿女说的。
13Sasa nasema nanyi kama watoto wangu, wekeni mioyo yenu wazi kama nasi tulivyofanya.
14分别为圣你们和不信的人不可共负一轭,义和不法有什么相同呢?光明和黑暗怎能相通呢?
14Msiambatane na watu wasioamini. Je, wema na uovu vyapatana kweli? Mwanga na giza vyawezaje kukaa pamoja?
15基督和彼列(“彼列”是撒但的别名)怎能和谐呢?信的和不信的有什么联系呢?
15Kristo anawezaje kupatana na Shetani? Muumini ana uhusiano gani na asiyeamini?
16 神的殿和偶像怎能协调呢?我们就是永生 神的殿,正如 神说:“我要住在他们中间,在他们中间来往;我要作他们的 神,他们要作我的子民。”
16Hekalu la Mungu lina uhusiano gani na sanamu za uongo? Maana sisi ni hekalu la Mungu aliye hai. Kama Mungu mwenyewe alivyosema: "Nitafanya makao yangu kwao, na kuishi kati yao; Nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu."
17所以,“主说:你们要从他们中间出来,和他们分开,不可触摸不洁净的东西,我就收纳你们。”
17Kwa hiyo Bwana asema pia: "Ondokeni kati yao, mkajitenge nao, msiguse kitu najisi, nami nitawapokea.
18“我要作你们的父亲,你们要作我的儿女。这是全能的主说的。”
18Mimi nitakuwa Baba yenu, nanyi mtakuwa watoto wangu, waume kwa wake, asema Bwana Mwenye Uwezo."