聖經新譯本 (Simplified)

Swahili: New Testament

Hebrews

5

1每一个大祭司都是从人间选出来,奉派替人办理与 神有关的事,为的是要献上礼物和赎罪的祭物。
1Kila kuhani mkuu huchaguliwa kutoka miongoni mwa watu kwa ajili ya kumtumikia Mungu kwa niaba yao, kutolea zawadi na tambiko kwa ajili ya dhambi zao.
2他能够温和地对待那些无知和迷误的人,因为他自己也被软弱所困。
2Maadamu yeye mwenyewe yu dhaifu anaweza kuwaonea huruma wale wasiojua kitu na wanaofanya makosa.
3因此,他怎样为人民的罪献祭,也应该怎样为自己的罪献祭。
3Na kwa vile yeye mwenyewe ni dhaifu, anapaswa kutolea dhabihu si tu kwa ajili ya watu, bali pia kwa ajili ya dhambi zake.
4没有人可以自己取得这大祭司的尊荣,只有像亚伦一样,蒙 神选召的才可以。
4Hakuna mtu awezaye kujitwalia mwenyewe heshima ya kuwa kuhani mkuu. Kila mmoja huteuliwa na Mungu kuwa kuhani mkuu kama alivyokuwa Aroni.
5照样,基督也没有自己争取作大祭司的尊荣,而是曾经对他说:“你是我的儿子,我今日生了你”的 神荣耀了他;
5Hali kadhalika naye Kristo hakujitwalia mwenyewe heshima ya kuwa kuhani mkuu, bali Mungu alimwambia: "Wewe ni Mwanangu; mimi leo nimekuwa baba yako."
6就像他在另一处说:“你是照着麦基洗德的体系,永远作祭司的。”
6Alisema pia mahali pengine: "Wewe ni kuhani milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki."
7基督在世的时候,曾经流泪大声祷告恳求那位能救他脱离死亡的 神;因着他的敬虔,就蒙了应允。
7Yesu alipokuwa anaishi hapa duniani, kwa kilio kikuu na machozi, alisali na kumwomba Mungu ambaye alikuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka kifo; naye alisikilizwa kwa sababu ya kumcha Mungu.
8他虽然是儿子,还是因着所受的苦难学会了顺从。
8Lakini, ingawa alikuwa Mwana wa Mungu, alijifunza kutii kwa njia ya mateso.
9他既然顺从到底,就成了所有顺从他的人得到永远救恩的根源;
9Na alipofanywa mkamilifu, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wale wote wanaomtii,
10而且蒙 神照着麦基洗德的体系,称他为大祭司。
10naye Mungu akamteua kuwa kuhani mkuu kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.
11劝勉信徒要长大成人论到这些事,我们有很多话要说,可是很难解释;因为你们已经迟钝了,听不进去。
11Tunayo Mengi ya kusema juu ya jambo hili, lakini ni vigumu kuwaelezeni, kwa sababu ninyi si wepesi wa kuelewa.
12到这个时候,你们应该已经作老师了;可是你们还需要有人再把 神道理的初步教导你们。你们成了只能吃奶而不能吃干粮的人!
12Sasa mngalipaswa kuwa tayari walimu, lakini mnahitaji bado mtu wa kuwafundisheni mafundisho ya mwanzo ya ujumbe wa Mungu. Badala ya kula chakula kigumu, mnapaswa bado kunywa maziwa.
13凡是吃奶的,还是个婴孩,对公义的道理没有经历;
13Kila anayepaswa kunywa maziwa huyo ni mtoto bado, hajui uadilifu ni nini.
14只有长大成人的,才能吃干粮,他们的官能因为操练纯熟,就能分辨是非了。
14Lakini chakula kigumu ni kwa ajili ya watu waliokomaa, ambao wanaweza kubainisha mema na mabaya.