Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Acts

19

1YA susede mientras estataba si Apolos guiya Corinto, si Pablo malofan gui managquilo na costa ya mato Efeso: ya mañoda palo disipulo sija güije.
1Wakati Apolo alipokuwa Korintho, Paulo alisafiri sehemu za bara, akafika Efeso ambako aliwakuta wanafunzi kadhaa.
2Ya ilegña nu sija: Inresibe y Espiritu Santo desde qui manmanjonggue jamyo? Ya ilegñija: Taya nae injingog cao esta manae Espiritu Santo.
2Akauliza, "Je, mlipopata kuwa waumini mlipokea Roho Mtakatifu?" Nao wakamjibu, "La! Hata kusikia kwamba kuna Roho Mtakatifu hatujasikia."
3Ya ilegña nu sija: Jafa nae manmatagpangenmiyo? Ya sija ilegñija: Y tinagpangen Juan.
3Naye akasema, "Sasa mlipata ubatizo wa namna gani?" Wakamjibu, "Ubatizo wa Yohane."
4Ayonae ilegña si Pablo: Si Juan, magajet na managpapange ni y tinagpangen sinetsot, ya jasangane y taotao sija, na ujajonggue ayo y ufato despues di güiya, ayo y as Cristo Jesus.
4Naye Paulo akasema, "Ubatizo wa Yohane ulikuwa wa kuonyesha kwamba watu wametubu. Yohane aliwaambia watu wamwamini yule ambaye alikuwa anakuja baada yake, yaani Yesu."
5Ya anae jajungog sija este, manmatagpange ni y naan y Señot Jesus.
5Baada ya kusikia hayo, walibatizwa kwa jina la Bwana Yesu.
6Ya anae munjayan japlanta si Pablo y canaeña gui jiloñija, y Espiritu Santo mato gui jiloñija: ya manguentos ni y tifinoñija, ya manmanprofetisa.
6Basi, Paulo akawawekea mikono, na Roho Mtakatifu akawashukia, wakaanza kusema lugha mbalimbali na kutangaza ujumbe wa Mungu.
7Ayo sija todos dose na taotao lalaje.
7Wote jumla, walikuwa watu wapatao kumi na wawili.
8¶ Ya jumalom si Pablo gui sinagoga, ya cumuentos libre tres meses; jasangan yan y animo gui raenon Yuus.
8Kwa muda wa miezi mitatu Paulo alikuwa akienda katika sunagogi, akawa na majadiliano ya kuvutia sana juu ya Ufalme wa Mungu.
9Lao anae palo manmajetog, ya ti manmalago manmanjonggue, ya manguecuentos taelaye pot ayo na Chalan gui menan y linajyan taotao, sumuja si Pablo guiya sija, ya janafañuja y disipulo sija, ya manadingan cada jaane gui escuelan Tiranno.
9Lakini wengine walikuwa wakaidi, wakakataa kuamini, wakaanza kuongea vibaya hadharani juu ya Njia ya Bwana. Hapo Paulo alivunja uhusiano nao, akawachukua pembeni wale wanafunzi wake, akawa anazungumza nao kila siku katika jumba la masomo la Turano.
10Ya dos años di mafatinas este: para todo ayo y mañasaga Asia ujajungog y sinangan y Señot Jesus, parejoja y Judio yan y Griego sija.
10Aliendelea kufanya hivyo kwa muda wa miaka miwili hata wakazi wote wa Asia, Wayahudi na watu wa mataifa mengine, wakaweza kusikia neno la Bwana.
11Ya jafatinas si Yuus milagro pot y canae Pablo:
11Mungu alifanya miujiza ya ajabu kwa mikono ya Paulo.
12Para guinin y tataotaoña nae umachule paño sija para y manmalango, ya y chetnot ufañuja guiya sija; yan y manaelaye na espiritu ufanjuyong guiya sija.
12Watu walikuwa wakichukua leso na nguo nyingine za kazi ambazo Paulo alikuwa amezitumia, wakazipeleka kwa wagonjwa, nao wakaponywa magonjwa yao; na wale waliokuwa na pepo wabaya wakatokwa na pepo hao.
13Ya palo Judios na manaesagañija, taotao binanggelio, japrocura na jasangan nu ayo sija y manguaja taelaye na espiritu y naan y Señot Jesus, ilegñija: Innafanjula jao pot si Jesus, ni y japredidica si Pablo.
13Wayahudi kadhaa wenye kupunga pepo wabaya, walisafiri huko na huko, wakijaribu kulitumia jina la Bwana Yesu kwa wale waliokuwa wamepagawa na pepo wabaya. Walikuwa wakisema: "Ninawaamuru kwa jina la Yesu ambaye Paulo anamhubiri."
14Ya guaja siete na lalaje, famaguon un Judio ni naaña si Sceva, ya magas mamale, na jafatinas este sija.
14Watoto saba wa Skewa, Kuhani Mkuu wa Kiyahudi, walikuwa miongoni mwa hao waliokuwa wanafanya hivyo.
15Ya manope y taelaye na espiritu, ilegña: Si Jesus jutungo, yan si Pablo jutungo; lao jaye jamyo?
15Lakini pepo mbaya aliwajibu, "Ninamfahamu Yesu, ninamjua pia Paulo, lakini ninyi ni nani?"
16Ya y taotao ni y guaja taelaye na espiritu, tumayog gui jiloñija; ya jagana sija, sa mas gaeninasiñaña qui sija; ya esta manmalago sija güije na guma, manerido yan taya magaguñija.
16Kisha yule mtu aliyepagawa aliwarukia wote kwa kishindo, akawashinda nguvu. Na hao watoto wa Skewa wakakimbia kutoka ile nyumba wakiwa uchi na wamejaa majeraha.
17Ya matungo este todo ni y Judios, yan y Griego sija yan ayo sija y mañasaga Efeso; ya podong y minaañao gui jiloñija todos, ya manadangculo y naan y Señot Jesus.
17Kila mtu huko Efeso, Myahudi na asiye Myahudi, alisikia juu ya tukio hilo. Wote waliingiwa na hofu, wakalitukuza jina la Bwana Yesu.
18Ya megae ni y manmanjonggue manmato, ya mangonfesat manmañangane ni y chechoñija.
18Waumini wengi walijitokeza wakakiri hadharani mambo waliyokuwa wametenda.
19Ya megae ni ayo sija locue y umuusa y magica jachule y leblonñija, ya jasonggue gui menan todo y taotao: ya matufong y balenñija, ya masoda na sincuenta mil na pidason salape,
19Wengine waliokuwa wameshughulikia mambo ya uchawi hapo awali, walikusanya vitabu vyao, wakavichoma mbele ya wote. Walikisia gharama ya vitabu hivyo, wakaona yafikia vipande vya fedha elfu hamsini.
20Ya taegüenao mumegagaeña y ninasiñan y sinangan Yuus.
20Kwa namna hiyo, neno la Bwana lilizidi kuenea na kuwa na nguvu zaidi.
21¶ Ya despues di este sija, jajaso si Pablo gui espirituña, anae malofan inanaco Masedonia yan Acaya na ujanao para Jerusalem, ilegña: Yaguin esta matoyo güije, nesesita yo na julie locue Roma.
21Baada ya mambo hayo, Paulo aliamua kwenda Yerusalemu kwa kupitia Makedonia na Akaya. Alisema, "Baada ya kufika huko, itanilazimu kuona Roma pia."
22Ya depues di jatago dos para Masedonia ni y sumesetbe güe, si Timoteo yan Erasto, güiya sumagaja Asia un rato.
22Hivyo, aliwatuma wawili wa wasaidizi wake, Timotheo na Erasto, wamtangulie kwenda Makedonia, naye akabaki kwa muda huko Asia.
23¶ Ya ayo na tiempo guaja güije atboroto pot ayo na Chalan.
23Wakati huo ndipo kulipotokea ghasia kubwa huko Efeso kwa sababu ya hiyo Njia ya Bwana.
24Sa un platero na taotao na y naanña si Demetrio, ya mamatitinas attat salape para si Diana, ya ti didide na ganansia chinileleña para y manmamatitinas.
24Kulikuwa na mfua fedha mmoja aitwaye Demetrio, ambaye alikuwa na kazi ya kutengeneza sanamu za nyumba ya mungu wa kike aitwaye Artemi. Shughuli hiyo iliwapatia mafundi faida kubwa.
25Ya janaetnon yan todo y manmachochocho ni y taegüije, ya ilegña: Señores, intingoja na este na chocho nae manmañoñodajit güinajata.
25Demetrio aliwakusanya hao wafanyakazi pamoja na wengine waliokuwa na kazi kama hiyo, akawaambia, "Wananchi, mnafahamu kwamba kipato chetu kinatokana na biashara hii.
26Ya inliija yan injingog, na ti ayoja iya Efeso, lao cana todo iya Asia nae megae na taotao jasuug si Pablo, yan jabira, sa ilegña na ti manyuus ayo sija y finatinas canae.
26Sasa, mnaweza kusikia na kujionea wenyewe mambo Paulo anayofanya, si tu hapa Efeso, ila pia kote katika Asia. Yeye amewashawishi na kuwageuza watu wakakubali kwamba miungu ile iliyotengenezwa na watu si miungu hata kidogo.
27Ya ti esteja nae uguaja peligro y chechota na unafanaebale lao asta y templon y dangculo na yuus si Diana umarechasa, ya y tinaquiloña umayulang, ni y todo iya Asia yan todo y tano umadodora.
27Hivyo iko hatari kwamba biashara yetu itakuwa na jina baya. Si hivyo tu, bali pia jambo hilo linaweza kuifanya nyumba ya mungu Artemi kuwa si kitu cha maana. Hatimaye sifa zake huyo ambaye Asia na dunia yote inamwabudu, zitakwisha."
28¶ Ya anae jajungog sija este na sinangan, ninafangosbubu, ya managang ilegñija: Dangculo y Dianan Efesios.
28Waliposikia hayo, waliwaka hasira, wakaanza kupiga kelele: "Mkuu ni Artemi, wa Efeso!"
29Ya y siuda bula atboroto; ya mandaña unoja ya manjalom gui teatro ya macone si Gayo yan Aristarco, taotao Masedonia mangachong Pablo gui jinanaoña.
29Mji wote ukajaa ghasia. Wakawavamia Gayo na Aristarko, wenyeji wa Makedonia, ambao walikuwa wasafiri wenzake Paulo, wakakimbia nao mpaka kwenye ukumbi wa michezo.
30Ya malago si Pablo na ufalag y anae mangaegue y taotao sija; lao ti mapolo ni y disipulo.
30Paulo mwenyewe alitaka kuukabili huo umati wa watu, lakini wale waumini walimzuia.
31Ya palo ni y manmagas Asia ni y manamiguña, manmanago na umasangane na chaña jumalom güe gui teatro.
31Maofisa wengine wa huo mkoa wa Asia, waliokuwa rafiki zake, walimtumia Paulo ujumbe wakimsihi asijihatarishe kwa kwenda kwenye ukumbi wa michezo.
32Ya y palo, managang un inagang: ya y palo, otro inagang; sa manatborotao y dinana; ya megaeña ti tumungo jafa na mandaña sija.
32Wakati huo, kila mtu alikuwa anapayuka; wengine hili na wengine lile, mpaka hata ule mkutano ukavurugika. Wengi hawakujua hata sababu ya kukutana kwao.
33Ya macone si Alejandro gui entre y linajyan taotao, ya mapolo mona ni y Judios, ya mañeñas si Alejandro ni y canaeña na ufanmamatquilo, sa malago umadingane y taotao sija,
33Kwa vile Wayahudi walimfanya Aleksanda ajitokeze mbele, baadhi ya watu katika ule umati walidhani kuwa ndiye. Basi, Aleksanda aliwaashiria watu kwa mkono akitaka kujitetea mbele ya ule umati wa watu.
34Lao anae matungo na Judio güe, todos managang gui un inagang buente dos oras, ilegñija: Dangculo y Dianan Efesios.
34Lakini walipotambua kuwa yeye ni Myahudi, wote kwa sauti moja walipiga kelele: "Mkuu ni Artemi wa Efeso!" Wakaendelea kupayukapayuka hivyo kwa muda wa saa mbili.
35Ya anae y secretario y inetnon magalalaje munjayan janaquieto y taotao, ilegña nu sija: Jamyo ni y taotao Efeso, jafa na taotao ayo y ti jatungo na y siuda Efesios manmanadodora ni y dangculo na yuus Diana, yan y imagen ni y podong guinin y Jupiter?
35Hatimaye karani wa mji alifaulu kuwanyamazisha, akawaambia, "Wananchi wa Efeso, kila mtu anajua kwamba mji huu wa Efeso ni mlinzi wa nyumba ya mungu Artemi na mlinzi wa ile sanamu iliyoanguka kutoka mbinguni.
36Inlie na estesija ti siña macontra, nesesita na infanmamatquilo, ya chamiyo fumatitinas jafa.
36Hakuna anayeweza kukana mambo haya. Hivyo basi, tulieni; msifanye chochote bila hadhari.
37Sa jamyo cumone mague este sija na taotao, na ti mañaque gui guimayuus, ni ujachatfino contra y yuusmiyo.
37Mmewaita watu hawa hapa ingawaje hawakuikufuru nyumba ya mungu wala kumtukana mungu wetu wa kike.
38Yaguin si Demetrio yan y palo ni y mangachongña guaja quejanñija contra y otro taotao: guaja tribunal y lay: ya guaja y jues; polo ya ufanafaaela uno y otro.
38Kama, basi Demetrio na wafanyakazi wake wana mashtaka yao kuhusu watu hawa, yapo mahakama na wakuu wa mikoa; wanaweza kushtakiana huko.
39Lao yaguin inseda jamyo jafa pot otro sija, umafatinas gui inetnon y magalalaje taemanoja y lay.
39Kama mna matatizo mengine, yapelekeni katika kikao halali.
40Sa mangaeguejit gui peligro, na utafanmafaesen pot este sija na atboroto, ya taya jafa siña urasonta pot este.
40Kwa maana tungaliweza kushtakiwa kwa kusababisha ghasia kutokana na vituko vya leo. Ghasia hii haina msingi halali na hatungeweza kutoa sababu za kuridhisha za ghasia hiyo."
41Ya anae munjayan cumuentos, janajanao y dinaña.
41Baada ya kusema hayo aliuvunja mkutano.