Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Acts

20

1YA anae bumasta y atboroto, jaagang si Pablo y disipulo sija, ya anae jaaconsejo ya jadingo, mapos para Masedonia.
1Ile ghasia ya Efeso ilipokwisha tulia Paulo aliwaita pamoja wale waumini, akawatia moyo. Kisha akawaaga, akasafiri kwenda Makedonia.
2Ya anae jajanagüe inanaco ayo sija na lugat, ya janae sija megae na consejo, mapos malag Gresia.
2Alipitia sehemu za nchi zile akiwatia watu moyo kwa maneno mengi. Halafu akafika Ugiriki.
3Ya sumaga güije tres meses, ya manananggaja para ucone ni y Judios, anae maudae gui batco ya janao para Siria, jajaso na utalo guato Masedonia.
3ambako alikaa kwa miezi mitatu. Alipokuwa anajitayarisha kwenda Siria, aligundua kwamba Wayahudi walikuwa wanamfanyia mpango mbaya; hivyo aliamua kurudi kwa kupitia Makedonia.
4Ya maosgaejon asta Asia, si Sopater patgon Pirro guiya Berea, yan iya Tesalónica, si Aristarcho yan si Segundo, yan si Gayo guiya Derbe, yan si Timoteo: ya iya Asia, si Tiquico yan si Trófimo.
4Sopatro, mwana wa Pirho kutoka Berea, aliandamana naye; pia Aristarko na Sekundo kutoka Thesalonika, Gayo kutoka Derbe, Timotheo, Tukiko na Trofimo wa mkoa wa Asia.
5Este sija manjanao finena, ya janananggajam Troas,
5Hao walitutangulia na kutungojea kule Troa.
6Ya despues di y pan sinlibadura, manmaudaejam gui batco desde Filipos, infatoigüe sija guiya Troas gui mina sinco na jaane; ya mañagajam güije siete na jaane.
6Sisi, baada ya sikukuu ya Mikate Isiyotiwa chachu, tulipanda meli kutoka Filipi na baada ya siku tatu tukawafikia kule Troa. Huko tulikaa kwa muda wa juma moja.
7¶ Ya y finenana na jaane gui semana, anae mandaña y disipulo para umaipe y pan, si Pablo japredica guiya sija, sa esta güe listo para ujanao gui inagpaña: ya sisigueja di manpredica asta y tatalopuenge.
7Jumamosi jioni, tulikutana ili kumega mkate. Kwa vile Paulo alikuwa amekusudia kuondoka kesho yake, aliwahutubia watu na kuendelea kuongea nao hadi usiku wa manane.
8Ya megae na candet gui sanjilo na cuatto anae estabajam na mandadaña.
8Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.
9Ya estaba güije un patgon na taotao na y naanña si Eutico, na matatachong sanjilo gui un bentana, ya guesmaego; ya y inanaco y prinedican Pablo, matomba gui maegoña, ya podong desde y mina tres na piso, ya anae majatsa matae.
9Kijana mmoja aitwaye Eutuko alikuwa ameketi dirishani wakati Paulo alipokuwa anaendelea kuhutubu. Eutuko alianza kusinzia kidogokidogo na hatimaye usingizi ukambana, akaanguka chini kutoka ghorofa ya tatu. Wakamwokota amekwisha kufa.
10Ya tumunog papa si Pablo ya dumimo gui jiloña, ya jatogtog ilegña: Chamiyo ninafañachatsaga, sa y linâlâña gaegueja gui sanjalomña.
10Lakini Paulo alishuka chini, akainama, akamkumbatia na kusema, "Msiwe na wasiwasi maana kuna uhai bado ndani yake."
11Ya anae cajulo talo, jaipe y pan ya mañocho, ya cumuentos asta qui manana; ya ayonae jumanao.
11Kisha akapanda tena ghorofani, akamega mkate, akala. Aliendelea kuhubiri kwa muda mrefu hadi alfajiri, halafu akaondoka.
12Ya lâlâ patgon na taotao, ya ti didide ninafanmagof.
12Wale watu walimchukua yule kijana nyumbani akiwa mzima kabisa, wakapata kitulizo kikubwa.
13¶ Ya manmaposjam para y batco, ya manmaudaejam guato Asos, sa para ayo nae inquene si Pablo: sa taegüije matagoña, ya malagoñaja ufamocat.
13Sisi tulipanda meli tukatangulia kwenda Aso ambako tungemchukua Paulo. Ndivyo alivyopanga; maana alitaka kufika huko kwa kupitia nchi kavu.
14Ya anae manasodajam Asos, inquene güe, ya manmatojam Mitilene.
14Basi, alitukuta kule Aso, tukampandisha melini, tukaenda Mitulene.
15Ya desde ayo, manmaudaejam gui batco, ya manmatojam gui inagpaña na jaane gui menan Chio, ya y inagpaña talo güije na jaane, manmatojam Samo, ya mañagajam Trogilio; ya y inagpaña na jaane, manjanaojam para Mileto.
15Kutoka huko tulisafiri tukafika Kio kesho yake. Siku ya pili, tulitia nanga Samo na kesho yake tukafika Mileto.
16Sa si Pablo malagoña umaudae gui batco para Efeso, sa ti malago jagasta y tiempo guiya Asia; sa inalulula, na mano y ninasiñaña, na ufato Jerusalem gui jaanen y Pentecostes.
16Paulo alikuwa amekusudia kuendelea na safari kwa meli bila kupitia Efeso ili asikawie zaidi huko Asia. Alikuwa na haraka ya kufika Yerusalemu kwa sikukuu ya Pentekoste kama ingewezekana.
17¶ Ya desde Mileto manago guato Efeso na ufanmaagange y manamco gui guimayuus.
17Kutoka Mileto Paulo alituma ujumbe kwa wazee wa Efeso wakutane naye.
18Ya anae manmato guiya güiya, ilegña nu sija: Injatingo desde y finenenana na jaane anae matoyo Asia, jafa manaemanojit todo y tiempo,
18Walipofika kwake aliwaambia, "Mnajua jinsi nilivyotumia wakati wote pamoja nanyi tangu siku ile ya kwanza nilipofika Asia.
19Jusetbe y Señot contodo y inimitde na jinaso, yan y minegae lago, yan y tentasion sija ni y manmato guiya guajo pot y ninanggan y Judios.
19Mnajua jinsi nilivyomtumikia Bwana kwa unyenyekevu wote, kwa machozi na matatizo yaliyonipata kutokana na mipango ya hila ya Wayahudi.
20Ya jaftaemano ti maañao yo jusangane jamyo todo y mauleg para jamyo, lao jufanue jamyo yan jufanagüe jamyo, gui publico yan gui guima yan guma.
20Mnajua kwamba sikusita hata kidogo kuwahubiria hadharani na nyumbani mwenu na kuwafundisha chochote ambacho kingewasaidieni.
21Junamatungo gui Judios yan y Griego sija locue, y sinetsot para as Yuus, yan y jinenggue para y Señotta as Jesucristo.
21Niliwaonya wote--Wayahudi kadhalika na watu wa mataifa, wamgeukie Mungu na kumwamini Bwana wetu Yesu.
22Ya pago, estagüe y Espiritu na janajanaoyo para Jerusalem, ti jutungo jafa ufanmato guiya guajo güije.
22Sasa, sikilizeni! Mimi, nikiwa ninamtii Roho, nakwenda Yerusalemu bila kufahamu yatakayonipata huko.
23Esteja y Espiritu Santo janae yo testimonio na gui cada siudad, ilegña, na y guinede yan y pinite ufañaga guiya guajo.
23Ninachojua tu ni kwamba Roho Mtakatifu ananithibitishia katika kila mji kwamba vifungo na mateso ndivyo vinavyoningojea.
24Lao taya güine na güinaja unacalamtenyo, ni ti junaguaguan y linâlâjo para guajo, lao guefmalago yo na junafunjayan y chechojo, yan y obligasionjo ni y juresibe gui Señot Jesus, para junamatungo y ebangelion y grasian Yuus.
24Lakini, siuthamini uhai wangu kuwa ni kitu sana kwangu. Nataka tu nikamilishe ule utume wangu na kumaliza ile kazi aliyonipa Bwana Yesu niifanye, yaani nitangaze Habari Njema ya neema ya Mungu.
25Ya pago, estagüe na jutungo jamyo todos, ya ni uno guiya jamyo ni y anae guinin jupredica y raenon Yuus, ulinie y matajo mas.
25"Nimekuwa nikienda huko na huko kati yenu nikiuhubiri Ufalme wa Mungu. Sasa lakini, najua hakuna hata mmoja wenu atakayeniona tena.
26Enao na jucone jamyo para testigo pago na jaane, na guajo gasgasyo guinin todo y jâgâ y taotao sija.
26Hivyo, leo hii ninawathibitishieni rasmi kwamba ikijatokea akapotea mmoja wenu, mimi sina lawama yoyote.
27Sa trabia ti munjajayan junatungo jamyo todo ni y pinagat Yuus.
27Kwa maana sikusita hata kidogo kuwatangazieni azimio lote la Mungu.
28Guefadaje jamyo, yan todo y manada ni y ninafanmagas jamyo ni y Espiritu Santo, para inapasto inetnon mangilisyano iyon Yuus, ni y jafajan ni y jâgâñaja.
28Jihadharini wenyewe; lilindeni lile kundi ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi muwe walezi wake. Lichungeni kanisa la Mungu ambalo amejipatia kwa damu ya Mwanae.
29Sa jujatungo este, na despues di jumanaoyo, y manaelaye sija na lobo ufanjalom gui entalomiyo, ya ti unasobbla y manada.
29Nafahamu vizuri sana kwamba baada ya kuondoka kwangu mbwa mwitu wakali watawavamieni, na hawatakuwa na huruma kwa kundi hilo.
30Ya iya jamyo locue nae ufangajulo sija taotao na jasasangan y manaelaye na güinaja sija, para ufanmangone disipulo sija para udalalag sija.
30Hata kutoka miongoni mwenu watatokea watu ambao watasema mambo ya uongo ili kuwapotosha watu na kuwafanya wawafuate wao tu.
31Enaomina adaje, ya injaso na pot tres años, ti pumaparayo jusangane cada uno parejoja jaane yan puenge cumacasaoyo.
31Kwa hiyo, muwe macho mkikumbuka kwamba kwa muda wa miaka mitatu, usiku na mchana, sikuchoka kumwonya kila mmoja wenu kwa machozi.
32Ya pago mañelujo, jutayuyute jamyo as Yuus, yan y sinangan y grasiaña, ni y siña manjinatsa jamyo julo, yan infanninae erensianmiyo yan todo ayo sija y manafangasgas.
32"Na sasa basi, ninawaweka ninyi chini ya ulinzi wa Mungu na ujumbe wa neema yake. Yeye anao uwezo wa kuwajenga ninyi na kuwawezesha mzipate zile baraka alizowawekea watu wake.
33Sa taya jucodisia ni jaye na taotao, salape pat oro, pat magago.
33Mimi sikutamani hata mara moja fedha, wala dhahabu, wala nguo za mtu yeyote.
34Ya jamyo, intingo este sija na canae y sumesetbeyo gui nesesidajo, yan ayo sija y mangachochongjo.
34Mnajua ninyi wenyewe kwamba nimefanya kazi kwa mikono yangu mwenyewe, ili kujipatia mahitaji yangu na ya wenzangu.
35Esta junae jamyo mauleg na ejemplo gui todosija, jaftaemano ya guaja obligasionmiyo na inadaje y manaemetgot yan injaso y sinangan y Señot Jesus, ni y ilegña: Mas dichoso y mannae qui y manresibe.
35Nimekuwa nikiwapeni daima mfano kwamba kwa kufanya kazi mithili hiyo tunapaswa kuwasaidia walio dhaifu, tukikumbuka maneno ya Bwana Yesu mwenyewe: Heri zaidi kutoa kuliko kupokea."
36¶ Ya anae munjayan jasangan taegüine, dumimo papa ya manmanayuyut todos.
36Baada ya kusema hayo, Paulo alipiga magoti pamoja nao wote, akasali.
37Ya todosija mananges ya matogtog y agâgâ Pablo ya machico.
37Wote walikuwa wanalia; wakamwaga kwa kumkumbatia na kumbusu.
38Ya ninafansenpinite todos pot y sinanganña, na ti ujalie y mataña mas. Ya maosgaejon gui jinanaoña asta y batco.
38Jambo lililowahuzunisha zaidi lilikuwa neno alilosema kwamba hawangemwona tena. Basi, wakamsindikiza hadi melini.