Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Acts

2

1YA anae mato y jaanen y Pentecostes, estaba todos na mandadaña gui un sagayan.
1Siku ya Pentekoste ilipofika, waumini wote walikuwa wamekusanyika pamoja.
2Ya enseguidas mato y boruca guinen y langet, taegüije y güinaefen y dangculo na manglo, ya ninabula todo y guima anae manmatatachong sija.
2Ghafla, sauti ikasikika kutoka angani; sauti iliyokuwa kama ya upepo mkali, ikajaza ile nyumba yote walimokuwa wamekaa.
3Ya ayo nae manmato gui jiloñija dinga na jula sija, taegüije y guafe, ya sumaga gui jilo cada uno guiya sija.
3Kisha, vikatokea vitu vilivyoonekana kama ndimi za moto, vikagawanyika na kutua juu ya kila mmoja wao.
4Ya sija todo manbula ni y Espiritu Santo, yan jatutujon sumangan y otro na finijo, taegüijija y Espiritu numae sija na ujasangan.
4Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema lugha mbalimbali kadiri Roho alivyowawezesha.
5Ya mañasaga güije guiya Jerusalem, Judio sija, na mandeboto na taotao, guinen todo y nasion ni y mangaegue gui papa y langet.
5Na huko Yerusalemu walikuwako Wayahudi, watu wamchao Mungu, waliotoka katika kila nchi duniani.
6Ya anae majungog esta na boruca, mandaña y linajyan taotao, ya sija manyinalaca, sa cada taotao jajungog sija na manguecuentos ni y finoñijaja.
6Waliposikia sauti hiyo, kundi kubwa la watu lilikusanyika. Wote walishtuka sana kwani kila mmoja wao aliwasikia hao waumini wakisema kwa lugha yake mwenyewe.
7Ya sija todos ninafanlujan, yan ninafanmanman, ilegñija y uno ni y otro: Ada ti todo Galileo estesija y manguecuentos?
7Walistaajabu na kushangaa, wakisema, "Je, hawa wote tunaowasikia wakisema hivi, si wenyeji wa Galilaya?
8Ya jafa muna tajujungog cada taotao ni y finotaja gui anae manmafañagojit?
8Imekuwaje, basi, kwamba kila mmoja wetu anawasikia wakisema kwa lugha yake mwenyewe?
9Partos, yan Medos, yan Elamitas, yan sija y mañasaga guiya Mesopotamia, yan Judea, yan Capadosia, yan Ponto, yan Asia,
9Baadhi yetu ni Waparthi, Wamedi na Waelami; wengine ni wenyeji wa Mesopotamia, Yudea, Kapadokia, Ponto na Asia,
10Yan Phrygia, yan Pamfilia, yan Egipto, yan iya Libia ni y gaegue gui otro bandan Sirene, yan y manaotao juyong guiya Roma, Judio sija yan proselitos,
10Frugia na Pamfulia, Misri na sehemu za Libya karibu na Kurene; wengine wetu ni wageni kutoka Roma,
11Cretensija, yan Arabsija: tajujungog sija manguecuentos ni y finota, y namanman na checho Yuus sija.
11Wayahudi na watu walioongokea dini ya Kiyahudi; wengine wametoka Krete na Arabia. Sisi sote tunasikia wakisema kwa lugha zetu wenyewe mambo makuu ya Mungu."
12Ya sija todos ninafanmanman, ya manbuebuenteja ilegñija uno yan y otro: Jafa este na taegüine?
12Wote walishangaa na kufadhaika huku wakiulizana, "Hii ina maana gani?"
13Lao y palo sija manmanbotlelea ilegñija: Estesija na taotao manbula nuebo na bino.
13Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, "Watu hawa wamelewa divai mpya!"
14¶ Lao si Pedro tumojgue julo gui entalo onse, ya jajatsa julo y inagangña, ya ilegña nu sija: Jamyo taotao Judea, yan todo y mañasaga guiya Jerusalem, polo ya este umatungo guiya jamyo, yan ecungog y sinanganjo.
14Lakini Petro alisimama pamoja na wale kumi na mmoja akaanza kuwahutubia watu kwa sauti kubwa: "Ndugu Wayahudi nanyi nyote mnaokaa hapa Yerusalemu, sikilizeni kwa makini maneno yangu.
15Sa estesija ti manbulacho, taegüenao y pinelonmiyo, sa pago y mina tresja na ora gui jaane.
15Watu hawa hawakulewa kama mnavyodhani; mbona ni saa tatu tu asubuhi?
16Lao este ayo y guinen masangan pot y profeta Joel:
16Ukweli ni kwamba jambo hili ni lile alilosema nabii Yoeli:
17Na umasusede gui uttimo jaane sija, ilegña si Yuus, juchuda y Espiritujo gui jilo todo y catne; ya y famaguonmiyo lalaje yan famaguonmiyo famalaoan ufanmanprofetisa, ya patgonmiyo lalaje ujalie y liniiñija, ya y manbijo sija guiya jamyo, ufanmangüife ni y güinife sija;
17Katika siku zile za mwisho, asema Bwana, nitawamiminia binadamu wote Roho wangu. Watoto wenu, wanaume kwa wanawake, watautangaza ujumbe wangu; vijana wenu wataona maono, na wazee wenu wataota ndoto.
18Magajet na y jilo y tentagojo lalaje, yan y tentagojo famalaoan nae bae juchuda güije na jaane y Espiritujo; ya sija ujaprofetisa.
18Naam, hata watumishi wangu, wanaume kwa wanawake, nitawamiminia Roho wangu, siku zile, nao watautangaza ujumbe wangu.
19Ya bae jufanue ni y na manman gui sanjilo gui langet, yan señat gui sanpapa gui tano; jâgâ yan guafe yan y asgon y aso:
19Nitatenda miujiza juu angani, na ishara chini duniani; kutakuwa na damu, moto na moshi mzito;
20Y atdao umatolaeca mafajomjom, ya y pilan mafajâgâ; antes di ufato y jaanin y Señot, ayo na jaane dangculo yan magas.
20jua litatiwa giza, na mwezi utakuwa mwekundu kama damu, kabla ya kutokea ile siku kuu na tukufu ya Bwana.
21Ya umasusede na masquesea jaye ni y umagang y naan y Señot, ufansatbo.
21Hapo, yeyote atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.
22¶ Jamyo taotao Israel sija, jingog estesija finojo; si Jesus, taotao Nasaret, un taotao maasegura na güinaeyan Yuus güe guiya jamyo pot y ninasiña sija yan y namanman, yan y señat ni y finatinas Yuus pot güiya gui entalo miyo, taegüijeja jamyo locue intingoja;
22"Wananchi wa Israeli, sikilizeni maneno haya! Yesu wa Nazareti alikuwa mtu ambaye mamlaka yake ya kimungu yalithibitishwa kwenu kwa miujiza, maajabu na ishara Mungu alizofanya kati yenu kwa njia yake, kama mnavyojua.
23Güiya manaenñaejon pot tinancho pinagat yan antes na tiningo Yuus, jamyo inquene, ni y manaelaye sija na canae ya inatane gui quiluus ya inpino.
23Kufuatana na mpango wake mwenyewe Mungu alikwisha amua kwamba Yesu angetiwa mikononi mwenu; nanyi mkamuua kwa kuwaachia watu wabaya wamsulubishe.
24Ya si Yuus janacajulo, ya japula y piniten finatae; sa ayo ti siña maguut güe.
24Lakini Mungu alimfufua kutoka wafu akamwokoa katika maumivu ya kifo kwa maana haingewezekana kabisa kifo kimfunge.
25Sa si David sumangan pot güiya: Guajo julie siempre y Señot gui menan matajo; sa güiya gaegue agapa na canaejo, para ti siña junacalamten:
25Maana Daudi alisema juu yake hivi: Nilimwona Bwana mbele yangu daima; yuko nami upande wangu wa kulia, na hivyo sitatikisika.
26Enao mina y corasonjo mumagof, yan y jilajo senmagof; yan y catneco locue usaga gui ninangga.
26Kwa hiyo, moyo wangu ulifurahi; tena nilipiga vigelegele vya furaha. Mwili wangu utakaa katika tumaini;
27Sa ti undingo y antijo gui naftan, ni ti unnae y Santosmo para ulie y minitong.
27kwa kuwa hutaiacha roho yangu katika kuzimu, wala kumruhusu mtakatifu wako aoze.
28Jago guinen munatungoyo ni y chalan linâlâ: yan unnabulayo minagof gui menamo.
28Umenionyesha njia za kuufikia uzima, kuwako kwako kwanijaza furaha!
29Mañelujo lalaje, siñayo libre na jusangane jamyo ni y patriarca David, na matae ya majafot, ya y naftanña gaegue guiya jita asta pago na jaane.
29"Ndugu zangu, napenda kuwaambieni waziwazi juu ya mambo yaliyompata Daudi, babu yetu. Yeye alikufa, akazikwa, tena kaburi lake liko papa hapa petu mpaka leo.
30Taegüine, na güiya profeta, ya jatungo na si Yuus manjula ni y juramento pot güiya, na y tinegcha y lomoña ya unafatachong Uno gui tronuña.
30Lakini kwa vile Daudi alikuwa nabii, alijua kuwa Mungu alimwapia kiapo kwamba atamtawaza mmoja wa uzawa wake kuwa mfalme mahali pake.
31Sa guinen jalie este antes, na jasangan y quinajulo Cristo, na y antiña ti mapolo gui naftan; ni y catneña ulie y minitong.
31Daudi aliona kabla mambo yatakayofanywa na Mungu na hivyo akasema juu ya ufufuo wa Kristo wakati aliposema: Hakuachwa kuzimu, mwili wake haukuoza.
32Este y as Jesus ni y ninacajulo as Yuus, ya enaomina jita todos mantestigo.
32Basi, Mungu alimfufua huyo Yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo.
33Taegüine na majatsa gui agapa na canae Yuus, ya guinen jaresibe guine y Tata y promesan Espiritu Santo, güiya chumuda este y inlie pago yan y injingog.
33Yesu aliinuliwa juu mpaka upande wa kulia wa Mungu, akapokea kutoka kwa Baba ile zawadi aliyoahidi yaani Roho Mtakatifu; na mnachoona sasa na kusikia ni mmiminiko wa huyo Roho.
34Sa si David ti cajulo gui langet; lao ilegña nu güiyaja: Y Señot ilegña ni y Señotjo, fatachong gui agapa na canaejo,
34Maana Daudi mwenyewe, hakupanda mpaka mbinguni; ila yeye alisema: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia,
35Asta que jupolo y enemigumo para fañajangan y adengmo.
35hadi nitakapowafanya adui zako kibao cha kukanyagia miguu yako.
36Polo ya todo y guima Israel ujatungo magajet, na si Yuus fumatinas güe y Señot yan Cristo; este uje y inatane gui quiluus.
36"Watu wote wa Israeli wanapaswa kufahamu kwa hakika kwamba huyo Yesu mliyemsulubisha ninyi, ndiye huyo ambaye Mungu amemfanya kuwa Bwana na Kristo."
37Ya anae sija jajungog este, manmañiente gui corasonñija, ya ilegñija as Pedro yan y palo na apostoles sija: Mañelujo lalaje, jafajam infatinas?
37Basi, watu waliposikia hayo, walichomwa moyo, wakawauliza Petro na wale mitume wenzake: "Ndugu zetu, tufanye nini?"
38Ayo nae si Pedro ilegña nu sija: Fanmañotsot, ya infanmatagpange cada uno guiya jamyo, ni y naan Jesucristo, para inasiin y isaomiyo, yan inresibe y ninaen y Espiritu Santo.
38Petro akajibu, "Tubuni na kila mmoja wenu abatizwe kwa jina la Yesu Kristo ili mpate kuondolewa dhambi zenu na kupokea ile zawadi ya Roho Mtakatifu.
39Sa y promesa para jamyo, yan para y famaguonmiyo, yan para todos, asta ayo sija y mangaegue gui chago, jayeja y inagang ni y Señot Yuusta.
39Maana, ahadi ile ilikuwa kwa ajili yenu, kwa ajili ya watoto wenu, kwa ajili ya wote wanaokaa mbali; na kwa ajili ya kila mtu ambaye Bwana Mungu wetu atamwita kwake."
40Yan megae otro na finijo janae testimonio, yan jasangane ilegña: Satba jamyo güine gui managuaguat na generasion.
40Kwa maneno mengine mengi, Petro alisisitiza na kuwahimiza watu akisema, "Jiokoeni katika kizazi hiki kiovu."
41¶ Ya ayo sija y manmagof rumesibe y finoña, manmatagpange: ya ayo na jaane, maaumenta guiya sija buente tres mit na taotao.
41Wengi waliyakubali maneno yake, wakabatizwa. Watu wapatao elfu tatu wakaongezeka katika kile kikundi siku hiyo.
42Ya sija sisigueja fitme gui finanagüen y apostoles sija, yan mandadañaja yan maipe y pan, yan an manmaetae.
42Hawa wote waliendelea kujifunza kutoka kwa mitume, kuishi pamoja kidugu, kumega mkate na kusali.
43Ya minaañao mato gui jilo todo y ante: yan megae na namanman yan señat manmafatinas pot y apostoles sija.
43Miujiza na maajabu mengi yalifanyika kwa njia ya mitume hata kila mtu akajawa na hofu.
44Ya todo ayo sija y manmanjonggue, mandadañaja, yan manguaja todo güinaja para uiyon todo;
44Waumini wote waliendelea kuwa kitu kimoja na mali zao waligawana pamoja.
45Ya jabende iyonñija y güinajañija, yan ya manmapapatte y taotao sija cada uno taemanoja y nesesitaoña.
45Walikuwa wakiuza mali na vitu vyao kisha wakagawana fedha kadiri ya mahitaji ya kila mmoja.
46Ya sija sisigueja fitme, yan unoja corasonñija todo y jaane, gui guimayuus, yan an maipe y pan sija gui iyasija, ya jacano nañija ni y mainagof, yan sensiyo y corasonñija.
46Waliendelea kukutana pamoja kila siku Hekaluni. Lakini wakati wa kumega mkate, walikutana katika nyumba zao na wakakishiriki chakula hicho kwa furaha na moyo mkunjufu.
47Manmanalaba as Yuus, yan mangaefabot ni y todo y taotao sija. Ya y Señot jaaumenta sija cada jaane, ni ayo sija y mansasatbo.
47Walimtukuza Mungu, wakapendwa na watu wote. Kila siku Bwana aliwaongezea idadi ya watu waliokuwa wakiokolewa.