Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Acts

22

1LALAJE mañelo yan mañaena, jingog y dumefiendeyo pago guiya jamyo!
1"Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni sasa nikijitetea mbele yenu!"
2(Ya anae majungog na mancuinentuse sija ni y fino Hebreo, ninafanmamatquilo mas;) ya ilegña:
2Waliposikia akiongea nao kwa Kiebrania wakazidi kukaa kimya zaidi kuliko hapo awali. Naye Paulo akaendelea kusema,
3Guajo magajet taotao na Judio, mafañagon Tarso, un siuda guiya Silisia; lao mapogsaeyo güine na siuda gui adeng Gamaliel, mafanagüeyo taemanoja y minagajet y lay y mañaenata, ya eggoyo para as Yuus, taegüenao iya jamyo pago na jaane.
3"Mimi ni Myahudi, mzaliwa wa Tarso katika Kilikia. Lakini nililelewa papa hapa mjini Yerusalemu chini ya mkufunzi Gamalieli. Nilifundishwa kufuata kwa uthabiti Sheria ya wazee wetu. Nilijitolea kwa moyo wote kwa Mungu kama ninyi wenyewe mlivyo hivi leo.
4Ya jupetsigue sija gui este jinanao asta junafanmapuno, jugogode ya juentrerega gui catset y lalaje yan y famalaoan.
4Niliwatesa hata kuwaua wale watu waliofuata Njia hii. Niliwatia nguvuni wanaume kwa wanawake na kuwafunga gerezani.
5Ya parejoja y magas mamale locue numaeyo testimonio, yan todo y manada y manamco: guinin iya sija locue nae manresibeyo catta para y mañelo, ya jumanaoyo para Damasco, para jucone ayo sija ni y sinedajo güije ya jugode guato Jerusalem para ufanmasapet.
5Kuhani Mkuu na baraza lote la wazee wanaweza kushuhudia jambo hilo. Kutoka kwao nilipokea barua walioandikiwa wale ndugu Wayahudi waliokuwa huko Damasko. Nilikwenda Damasko ili niwatie nguvuni watu hao na kuwaleta wamefungwa mpaka Yerusalemu ili waadhibiwe.
6Ya susede anae jumajanaoyo, ya esta jijotyo para Damasco gui taloane, enseguidas manina güije guinin y langet un dangculon candet gui oriyajo,
6"Basi, nilipokuwa njiani karibu kufika Damasko, yapata saa sita mchana, mwangu mkubwa kutoka mbinguni ulitokea ghafla ukaniangazia pande zote.
7Ya podongyo gui jilo tano, ya jujungog un inagang na ilegña nu guajo: Saulo, Saulo, sa jafa na unpetsisigueyo?
7Hapo nilianguka chini, nikasikia sauti ikiniambia: Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa?
8Ya juope ilegco: Jayejao Señot? Ya ilegña nu güajo: Guajo si Jesus Nasareno ni y unpetsisigue.
8Nami nikauliza: Nani wewe, Bwana? Naye akaniambia: Mimi ni Yesu wa Nazareti ambaye wewe unamtesa.
9Ya ayo y mangachochongjo jalie magajet y candet, ya ninafanmaañao; lao ti jajungog y inagang ayo y cumuentuseyo.
9Wale wenzangu waliuona ule mwanga lakini hawakusikia sauti ya yule aliyeongea nami.
10Ya ilegco: Jafa jufatinas Señot? Ya y Señot ilegña nu guajo: Cajulo ya janao falag Damasco; ya ayonae umasangane todo güinaja ni y matancho para chechomo.
10Basi, mimi nikauliza: Nifanye nini Bwana? Naye Bwana akaniambia: Simama, nenda Damasko na huko utaambiwa yote ambayo umepangiwa kufanya.
11Ya anae ti siñayo manlie pot y minalag y candet, mapipetyo ni ayo sija y guinin mangachochongjo, ya maconeyo guato Damasco.
11Kutokana na ule mwanga mkali sikuweza kuona na hivyo iliwabidi wale wenzangu kuniongoza kwa kunishika mkono mpaka nikafika Damasko.
12Ya si Ananias, un taotao na deboto jaftaemanoja y lay, ya guaja mauleg na testimonio para todo y Judios sija ni y mañasaga güije,
12"Huko kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Anania, mtu mcha Mungu, mwenye kuitii Sheria yetu na aliyeheshimika sana mbele ya Wayahudi waliokuwa wanaishi Damasko.
13Mato guiya guajo, ya tumojgue, ya ilegña nu guajo: Chelujo Saulo, resibe y liniemo. Ya ayoja na ora nae juatan güe.
13Yeye alikuja kuniona, akasimama karibu nami, akasema: Ndugu Saulo! Ona tena. Papo hapo nikaona tena, nikamwangalia.
14Ya ilegña: Y Yuus mañaenata umayegjao, na para untungo y minalagoña, ya unlie Ayo Tunas, yan unjungog y inagang y pachotña.
14Halafu Anania akasema: Mungu wa babu zetu amekuchagua upate kujua matakwa yake na kumwona yule mtumishi wake mwadilifu na kumsikia yeye mwenyewe akiongea.
15Sa jago utestiguña todo gui taotao, jafa y liniemo yan y jiningogmo.
15Kwa maana utamshuhudia kwa watu wote ukiwaambia yale uliyoyaona na kuyasikia.
16Ya pago jafa na sumasagajaoja? Cajulo ya unmatagpange, ya ufinagase y isaomo, agang y naanña.
16Sasa basi, ya nini kukawia zaidi? Simama ubatizwe na uondolewe dhambi zako kwa kuliungama jina lake.
17Ya susede anae tumaloyo guato Jerusalem, ya mientras mananaetaeyo gui templo, malingo y jinasoco,
17"Basi, nilirudi Yerusalemu, na nilipokuwa nikisali Hekaluni, niliona maono.
18Ya julie güe, ya ilegña nu guajo: Laguse, ya unjanao juyong Jerusalem; sa ti manmalago maresibe y testemoniumo pot guajo.
18Nilimwona Bwana akiniambia: Haraka! Ondoka Yerusalemu upesi kwa maana watu wa hapa binadamu hawataukubali ushuhuda wako juu yangu.
19Ya ilegco: Señot, jatungoja sija na manpresoyo yan mañaulag gui cada sinagoga ni ayo sija y jumonggue jao;
19Nami nikamjibu: Bwana, wao wanajua wazi kwamba mimi ni yule aliyekuwa anapitapita katika masunagogi na kuwatia nguvuni na kuwapiga wale waliokuwa wanakuamini.
20Ya anae machuda y jâgâ Esteban ni y testigomo, estabajayo na tumotojgue gui oriya, ya jucousienteja y mapunoña, ya juadaje y magagon ayo sija y pumuno güe.
20Na kwamba wakati shahidi wako Stefano alipouawa, mimi binafsi nilikuwako pale nikakubaliana na kitendo hicho na kuyalinda makoti ya wale waliokuwa wanamuua.
21Ya ilegña nu guajo: Janao; sa guajo tumagojao chago desde este para y Gentiles.
21Naye Bwana akaniambia: Nenda; ninakutuma mbali kwa mataifa mengine."
22¶ Ya majungog güe asta este na sinangan, ya entonses jajatsa y inagangñija, ya ilegñija: Najanao ayo na taotao gui jilo tano, sa ti combiene na ulâlâ.
22Mpaka hapa, wale watu walikuwa wanamsikiza, lakini aliposema maneno haya, walianza kusema kwa sauti kubwa, "Mwondoe duniani! Mtu wa namna hiyo hastahili kuishi."
23Ya anae managang, yan jayute y magagonñija, ya manmanyute oda gui aire,
23Waliendelea kupayukapayuka huku wakitikisa makoti yao na kurusha vumbi angani.
24Y magas inetnon jatago na umacone güe guato gui jalom castiyo, ya manago na umasaulag para umaegsamina, para utungo pot jafa causa na manaagang contra güiya.
24Mkuu wa jeshi aliwaamuru watu wake wampeleke Paulo ndani ya ngome, akawaambia wamchape viboko ili wapate kujua kisa cha Wayahudi kumpigia kelele.
25Ya anae magode güe ni y coreas, ilegña si Pablo ni y senturion ni y tumotojgue gui oriya: Tunas para jago na unsaulag un taotao na Romano sin umacondena?
25Lakini walipokwisha mfunga ili wamchape viboko, Paulo alimwuliza jemadari mmoja aliyesimama hapo, "Je, ni halali kwenu kumpiga viboko raia wa Roma kabla hajahukumiwa?"
26Ya anae jajungog ayo y senturion, mapos ya jasangane y magas inetnon ilegña: Adaje jafa y unquequechogüe, sa este na taotao Romano.
26Yule jemadari aliposikia hayo, alimpasha habari mkuu wa jeshi akisema, "Unataka kufanya nini? Mtu huyu ni raia wa Roma!"
27Ayonae y magas inetnon mato ya ilegña: Sanganeyo, jago Romano? Ya güiya ilegña: Junggan.
27Basi, mkuu wa jeshi alimwendea Paulo, akamwambia, "Niambie; je, wewe ni raia wa Roma?" Paulo akamjibu, "Naam."
28Ya y magas inetnon manope ilegña: Pot y minegae salape na juchule este na linebre. Ya si Pablo ilegña: Lao guajo Romanoyo na finañago.
28Mkuu wa jeshi akasema, "Mimi nami nimekuwa raia wa Roma kwa kulipa gharama kubwa." Paulo akasema, "Lakini mimi ni raia wa Roma kwa kuzaliwa."
29Ayonae manjanao guiya güiya ayo sija y para umegsamina güe: ya y magas inetnon ninamaañao locue, despues di jatungo na Romano, sa güiya munamagode.
29Wale watu ambao walikuwa tayari kumchunguza Paulo walitoweka mara. Hata yule mkuu wa jeshi aliogopa alipojua kwamba Paulo ni raia wa Roma na kwamba alikuwa amekwisha mfunga minyororo.
30¶ Ya y inagpaña, malago na utungo magajet cao jafa na mafaaela güe ni y Judios, ya masotta gui mapresuña, ya manago na ufanmato y magas mamale, yan y mangachongña, ya macone papa si Pablo ya mapolo gui menañija.
30Kesho yake, mkuu wa jeshi alitaka kujua mashtaka kamili ambayo Wayahudi walikuwa wamemwekea Paulo. Hivyo, alimfungua Paulo minyororo, akaamuru makuhani wakuu na Baraza lote wafanye kikao. Kisha alimleta Paulo, akamsimamisha mbele ya Baraza.