1YA si Pablo jagueguesatan y inetnon, ya ilegña: Mañelo, lalâlâjayo contodo y minauleg y jinasoco asta este na jaane.
1Paulo aliwakodolea macho wale wanabaraza, halafu akaanza kusema, "Ndugu zangu, mpaka hivi leo nimekuwa nikiishi na dhamiri njema mbele ya Mungu."
2Ya y magas na pale as Ananias, jatago ayo sija y manotojgue gui fionña na umapatmada pachotña.
2Hapo Kuhani Mkuu Anania akaamuru wale waliokuwa wamesimama karibu na Paulo wampige kofi mdomoni.
3Ayonae ilegña si Pablo nu güiya: Si Yuus unpinatmada, apaca na padet: sa matachong jao para unjusgayo pot y lay; ya manago jao na jumapatmada contra y lay?
3Basi, Paulo akamwambia, "Mungu mwenyewe atakupiga kofi wewe uliye kama ukuta uliopakwa chokaa! Unawezaje kukaa hapo ili unihukumu kisheria na huku wewe mwenyewe unaivunja Sheria kwa kuamuru nipigwe?"
4Ya ayo sija y manotojgue gui fionña, ilegñija: Yyon Yuus y magas na pale unlalalatde?
4Watu waliokuwa wamesimama pale wakamwambia Paulo, "Unamtukana Kuhani Mkuu wa Mungu!"
5Ayo nae ilegña si Pablo: Ti jutungo, mañelo cao güiya y magas na pale: sa esta matugue, Chamo sumasangan taelaye gui magalajen y tanomo.
5Paulo akajibu, "Ndugu zangu, sikujua kama yeye ni Kuhani Mkuu. Maana Maandiko yasema hivi: Usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako."
6¶ Lao anae jatungo si Pablo na y un patte Saduseo, ya y otro Fariseo, umagang juyong gui inetnon: Mañelo, Guajo Fariseo, lajin un Fariseo: gui ninangga yan y quinajulo guinen manmatae na mafafaesenyo.
6Wakati huo Paulo alikwisha tambua kwamba sehemu moja ya wanabaraza wale ilikuwa ni Masadukayo na nyingine Mafarisayo. Basi, alipaaza sauti yake mbele ya Baraza: "Ndugu zangu, mimi ni Mfarisayo, mwana wa Mfarisayo. Mimi nimeletwa mahakamani kwa kuwa ninatumaini kwamba wafu watafufuka."
7Ya anae munjayan jasangan este, guaja inaguaguat gui entalo y Fariseo yan y Saduseo: ya manmadibide y inetnon taotao.
7Baada ya kusema hivyo, mzozo mkali ulitokea kati ya Mafarisayo na Masadukayo na mkutano ukagawanyika sehemu mbili.
8Sa y Saduseo ilegñija na taya quinajulo guinin manmatae, ni angjet, ni espiritu; lao y Fariseo jasasanganja todo.
8Kisa chenyewe kilikuwa hiki: Masadukayo hushikilia kwamba wafu hawafufuki, hakuna malaika, na roho nazo hazipo. Lakini Mafarisayo husadiki hayo yote matatu.
9Ya ayonae cajulo dangculon inagang: ya y palo escriba ni y manestaba gui Fariseo na patte, mangajulo ya managuaguat, ilegñija: Ti inseda tinaelaye güine na taotao: lao jafa, yaguin espiritu pat angjet sumangane güe?
9Kelele ziliongezeka na baadhi ya walimu wa Sheria wa kikundi cha Mafarisayo walisimama na kutoa malalamiko yao kwa nguvu: "Hatuoni chochote kilicho kiovu katika mtu huyu; huenda ikawa kwamba roho au malaika ameongea naye."
10Ya anae guaja dangculon inaguaguat, ya y magas y inetnon maañao na nosea umapidaso si Pablo nu sija, manago ni y sendalo na ujafanjanao papa, ya ujacone si Pablo guiya sija fuetsao, ya umacone jalom gui castiyo.
10Mzozo ulizidi kuwa mwingi hata mkuu wa jeshi akaogopa kwamba Paulo angeraruliwa vipandevipande. Kwa hiyo, aliwaamuru askari wake kuingia kati ya lile kundi, wamtoe Paulo na kumrudisha ndani ya ngome.
11¶ Ya anae puenge, y Señot tumojgue gui oriyaña, ya ilegña: Namauleg inangocomo Pablo: sa taemanoja y ninamatungomo nu guajo guiya Jerusalem, taegüijeja locue nae unnamatungo guiya Roma.
11Usiku uliofuata, Bwana alisimama karibu na Paulo, akamwambia, "Jipe moyo! Umenishuhudia katika Yerusalemu, utafanya vivyo hivyo mjini Roma."
12¶ Ya anae manana, palo gui Judios mandaña, ya manmanjula gui papa y matdision, ilegñija na ti ufañocho yan ti ufanguimen astaqui umapuno si Pablo.
12Kulipokucha, Wayahudi walifanya kikao cha faragha. Wakala kiapo: "Hatutakula wala kunywa mpaka tutakapokuwa tumekwisha muua Paulo."
13Ya mas di cuarenta y fumatinas este na juramento.
13Watu zaidi ya arobaini ndio waliokula njama kufanya hivyo.
14Ya manmalag y magas mamale, yan y manamco, ya ilegñija: Esta manmanjulajam gui papa y matdision, na ti infañocho ni jafa astaqui inpino si Pablo.
14Basi, walikwenda kwa makuhani wakuu na wazee, wakasema, "Sisi tumeapa kwamba hatutaonja chochote kwa vinywa vyetu mpaka hapo tutakapokuwa tumemuua Paulo.
15Ya pago jamyo yan y dinaña, fanatungo yan y magas y inetnon ya infanmaconie agupa, ya inquetungo palo mas magajet pot güiya; ya jame infamaulegjam para, yaguin esta jijot, inpino.
15Sasa basi, ninyi pamoja na Baraza tumeni ujumbe kwa mkuu wa jeshi ili amlete Paulo kwenu mkijisingizia kwamba mnataka kupata habari kamili zaidi juu yake. Tuko tayari kumuua hata kabla hajafika karibu."
16Ya anae jajungog y lajin y chelun Pablo y ninangganñiñija, mapos ya jumalom gui castiyo, ya jasangane si Pablo.
16Lakini mtoto wa kiume wa dada yake Paulo alisikia juu ya mpango huo; hivyo akaenda ndani ya ngome, akamjulisha Paulo juu ya njama hiyo.
17Ayonae si Pablo jaagang uno gui senturion ya ilegña: Cone este y patgon na taotao asta y magas y inetnon: sa guaja para usinangane.
17Hapo Paulo akamwita mmoja wa askari, akamwambia, "Mchukue kijana huyu kwa mkuu wa jeshi; ana kitu cha kumwambia."
18Ya jamantiene, ya jacone guato gui magas y inetnon, ya ilegña: Si Pablo ni y maprereso jaagangyo, ya jatayuyutyo para jucone este y taotao guato guiya jago, sa guaja para unsinangane.
18Askari akamchukua huyo kijana, akamwongoza mpaka kwa mkuu wa jeshi, akasema, "Yule mfungwa Paulo ameniita akaniomba nimlete kijana huyu kwako kwa maana ana jambo la kukwambia."
19Ayonae y magas y inetnon, minantiene canaeña ya sumuja y dos gui un banda, ya finaesen, ilegña: Jafa ayo y para unsanganeyo?
19Mkuu wa jeshi alimshika huyo kijana mkono, akampeleka mahali pa faragha, akamwuliza, "Una nini cha kuniambia?"
20Ya güiya ilegña: Y Judios esta manatungo na unmagagao ya uncone agupa papa si Pablo gui inetnon, taegüije y malagoñija, na umaquetungo y magajet guiya güiya.
20Yeye akasema, "Wayahudi wamepatana wakuombe umpeleke Paulo Barazani wakijisingizia kwamba Baraza lingependa kupata habari kamili zaidi juu yake.
21Lao chamo umangongoco jao nu sija: sa esta y manmannanangga pot güiya, mas di cuarenta na taotao ni y manmanjula na ti ufañocho, yan ti ufanguimen astaqui mapuno güe; ya pago umananggañiñija y promesamo.
21Lakini wewe usikubali kwa maana kuna watu zaidi ya arobaini walio tayari kumvamia. Wameapa kutokula wala kunywa mpaka watakapokuwa wamemuua. Sasa wako tayari, wanangojea tu uamuzi wako."
22Ayonae y magas y inetnon, janajanao y patgon na taotao, ya jaencatga, na chaña sumangangane ni jaye na taotao na ninatungo güe ni este na güinaja.
22Mkuu wa jeshi alimwacha aende zake akimwonya asimwambie mtu yeyote kwamba amemletea habari hizo.
23Ya jaagang dos na senturion, ya ilegña: Nalisto dosientos na sendalo para ufanjanao para Sesarea, yan setenta ni y manquinababayo, yan dosientos ni y manmanlalansa, para y mina tres na ora gui puenge;
23Basi, mkuu wa jeshi aliwaita askari wawili akawaambia, "Wekeni tayari askari mia mbili, wapanda farasi sabini na askari mia mbili wa mikuki, waende Kaisarea; muwe tayari kuondoka kabla ya saa tatu leo usiku.
24Ya unfamauleque sija gâgâ sija para ujanamaudae si Pablo, ya ujacone guato satbo gui as magalaje as Felix.
24Wekeni farasi kadhaa kwa ajili ya Paulo; mfikisheni salama kwa Felisi, mkuu wa mkoa."
25Ya manugue un catta, na taegüine mapoloña:
25Halafu mkuu huyo wa jeshi akaandika barua hivi:
26¶ Claudio Lysias para y mas magas na magalaje as Felix, jusaluda jao.
26"Mimi Klaudio Lusia ninakuandikia wewe Mheshimiwa Felisi, mkuu wa mkoa. Salamu!
27Este na taotao, macone ni y Judios ya para ujapuno: ya matoyo yan y sendalujo ya junalibre güe, sa jutungo na Romano güe.
27"Wayahudi walimkamata mtu huyu na karibu wangemuua kama nisingalifahamishwa kwamba yeye ni raia wa Roma na hivyo nikaenda pamoja na askari nikamwokoa.
28Ya malagoyo na jutungo pot jafa na mafaaela güe, ya jucone guato gui inetnonñija:
28Nilimpeleka mbele ya Baraza lao kuu nikitaka kujua kisa cha mashtaka yao.
29Ya jusoda na mafaaela pot finaesen gui layñija; lao taya isaoña na jamerese na umapuno, pat umapreso.
29Niligundua kwamba mashtaka yenyewe yalihusu ubishi juu ya sehemu kadha wa kadha za Sheria yao na hivyo sikuona kwamba amefanya chochote kinachostahili auawe au afungwe gerezani.
30Ya anae masanganeyo jafa y Judios ninangganñiñija pot y taotao, enseguidas jutago para iya jago, ya fanago para ayo sija y fumaaela y ujasangan gui menamo jafa guaja guiya sija contra güiya. Adios.
30Nilipofahamishwa kwamba Wayahudi walikuwa wamefanya njama za kumuua, niliamua kumleta kwako. Nikamwambia washtaki wake walete mashtaka yao mbele yako."
31¶ Ayonae y sendalo sija ni y tinagoña, macone si Pablo gui puenge ya macone guato Antipatris.
31Basi, hao askari walimchukua Paulo kama walivyoamriwa; wakampeleka usiku uleule mpaka Antipatri.
32Ya y inagpaña, mapolo y manquinababayo na ujafanjanao yan güiya, ya manalo guato gui castiyo.
32Kesho yake askari wa miguu walirudi ngomeni, wakawaacha wale askari wapanda farasi waendelee na safari pamoja na Paulo.
33Ya anae manmato Sesarea, manae y magalaje ni y catta, ya mapoloja locue si Pablo gui menaña.
33Walipofika Kaisarea walimpa mkuu wa mkoa ile barua na kumweka Paulo chini ya mamlaka yake.
34Ya anae munjayan y magalaje jataetae y catta, jafaesen jafa na provinsia güe; ya jatungo na taotao Silisia.
34Felisi alipoisoma hiyo barua aliwauliza Paulo ametoka mkoa gani. Alipofahamishwa kwamba alikuwa ametoka mkoa wa Kilikia,
35Ya ilegña nu güiya: Jujungog jao yaguin manmato locue ayo sija y fumaaela jao. Ya manago na umaadaje gui tribunal gui palasyo Herodes.
35akasema, "Nitasikiliza kesi yako baada ya washtaki wako kufika." Kisha akaamuru Paulo awekwe chini ya ulinzi ndani ya ukumbi wa Herode.