Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Acts

24

1YA anae malofan sinco na jaane, si Ananias y mas magas na pale tumunog yan y manamco, yan un gacumuentos na naanña si Tertulo; mamacuentos gui magalaje contra si Pablo.
1Baada ya siku tano, Kuhani Mkuu Anania aliwasili Kaisarea pamoja na wazee kadhaa na wakili mmoja wa sheria aitwaye Tertulo. Walimwendea yule mkuu wa mkoa wakamweleza mashtaka yao juu ya Paulo.
2Ya anae janamaagange si Tertulo, jatutujon famaaela, ilegña: Liija na pot jago na mansenmagofjam ni y dinangculon pas, yan mansenmauleg na chocho y manmachogüe güine na nasion pot y minaulegmo,
2Paulo aliitwa na Tertulo akafungua mashtaka hivi: "Mheshimiwa Felisi, uongozi wako bora umeleta amani kubwa na marekebisho ya lazima yanafanywa kwa manufaa ya taifa letu.
3Ya inresisibeja siempre gui todo y lugat sija contodo y minegae y grasia, O gosmauleg Felix.
3Tunalipokea jambo hili kwa furaha daima na kutoa shukrani nyingi kwako kila mahali.
4Ya pot ti junasaga jao laapmam, jutayuyut jao na unecungogjam pot y minauleg y didide na finomo.
4Lakini, bila kupoteza wakati wako zaidi, tunakusihi kwa wema wako, usikilize taarifa yetu fupi.
5Sa inseda este na taotao na case, yan numanafanenbeste gui entalo y Judios todo y tano; yan y magas y secta y Nasareno sija;
5Tumegundua kwamba mtu huyu ni wa hatari mno. Yeye huanzisha ghasia kati ya Wayahudi kila mahali duniani na pia ni kiongozi wa kile chama cha Wanazareti.
6Güiya locue jumajanao, ya janafanataelaye y guimayuus: ya inquene güe sa manmalagojam na injisga jaftaemanoja y layta.
6Tena alijaribu kulikufuru Hekalu nasi tukamtia nguvuni. Kama ukimhoji wewe mwenyewe, utaweza kubainisha mambo haya yote tunayomshtaki kwayo." Tulitaka kumhukumu kufuatana na Sheria yetu.
7Lao y mas magas y inetnon as Lysias mato guiya jame, yan y dangculon linalaloña ya jacone gui canaemame;
7Lakini Lusia, mkuu wa jeshi, aliingilia kati, akamchukua kwa nguvu kutoka mikononi mwetu.
8Ya jatago y fumaaela na ufanmato guiya jago ya jagoja siña unegsamina ya untungo todo este sija na güinaja ni y infaaela güe.
8Kisha akaamuru washtaki wake waje mbele yako.
9Ya y Judios locue, jaconsienteja este na güinaja na utaegüine.
9Nao Wayahudi waliunga mkono mashtaka hayo wakisema kwamba hayo yote yalikuwa kweli.
10¶ Ayonae si Pablo, anae sineñas ni y magalaje na ucuentos; manope ilegña: Pot y jutungo na jago guinin jues megae na anos güine na nasion, juguesfanope pot guajoja;
10Basi, mkuu wa mkoa alimwashiria Paulo aseme. Naye Paulo akasema, "Nafurahi kujitetea mbele yako nikijua kwamba umekuwa hakimu wa taifa hili kwa miaka mingi.
11Para untungo na taya trabia mas di dose años, desde qui cajuloyo Jerusalem para jufanadora.
11Unaweza kujihakikishia kwamba si zaidi ya siku kumi na mbili tu zimepita tangu nilipokwenda kuabudu Yerusalemu.
12Ya taya nae masodayo gui templo juaguaguaguate ni jaye na taotao, ni junafangalamten y taotao sija; ni y sinagoga, ni mano na siuda;
12Wayahudi hawakunikuta nikijadiliana na mtu yeyote. Hawakunikuta nikichochea watu Hekaluni wala katika masunagogi yao, wala mahali pengine popote katika mji huo.
13Ya ti siña ujaaprueba y güinaja ni y mafaaelajo pago.
13Wala hawawezi kuthibitisha mashtaka waliyotoa juu yangu.
14Lao este juconfesatñaejon guiya jago, na y jinanao ni y mafananaan un Secta, taegüenao nae jusesetbe si Yuus mañaenata; jujonggue todo y güinaja ni y manmatugue gui Lay yan y profeta sija.
14Ninachokubali mbele yako ni hiki: Mimi ninamwabudu Mungu na wazee wetu nikiishi kufuatana na Njia ile ambayo wao wanaiita chama cha uzushi. Ninaamini mambo yote yaliyoandikwa katika vitabu vya Sheria na manabii.
15Ya guaja ninanggaco as Yuus, taegüije iya sija locue, na uguaja quinajulo guinin manmatae; parejoja y manmauleg yan y manaelaye.
15Mimi namtumainia Mungu, na wao wanalo tumaini hilo, kwamba watu, wema na wabaya, watafufuka.
16Ya pot este na juprocucura, na uguaja siempre gui jinasoco na chajo umofefende si Yuus, ni y taotao sija.
16Kwa hiyo ninajitahidi daima kuwa na dhamiri njema mbele ya Mungu na mbele ya watu.
17Ya pago megae esta na años manmalofan matoyo para juchulie limosna y nasionjo, yan inefrese sija:
17"Baada ya kukaa mbali kwa miaka kadhaa, nilirudi Yerusalemu ili kuwapelekea wananchi wenzangu msaada na kutoa dhabihu.
18Masodayo yan estesija, gasgas gui jalom y guimayuus, ya taya linajyan taotao, ni atboroto; lao guaja palo Judios ni y manguinin Asia:
18Wakati nilipokuwa nikifanya hayo ndipo waliponikuta Hekaluni, nilipokuwa nimekwisha fanya ile ibada ya kujitakasa. Hakukuwako kundi la watu wala ghasia.
19Ya sija, mannesesita ufangaegue güine gui menamo, ya ujasangan cao guaja jafa contra guajo.
19Lakini kulikuwa na Wayahudi wengine kutoka mkoa wa Asia; hao ndio wangepaswa kuwa hapa mbele yako na kutoa mashtaka yao kama wana chochote cha kusema dhidi yangu.
20Patseno, sotta este y mangaegue güine ya ujasangan, yaguin manmañoda taelaye na finatinas guiya guajo, mientras tumotojgueyo gui menan y inetnon,
20Au, waache hawa walio hapa waseme kosa waliloliona kwangu wakati niliposimama mbele ya Baraza lao kuu,
21Ya pot esteja y un inagang, anae estabayo gui entaloñija, ya umagangyo: Pot y quinajulo guinin y manmatae na jumafaesen pago na jaane pot jamyo.
21isipokuwa tu maneno haya niliyosema niliposimama mbele yao: Mnanihukumu leo hii kwa sababu ya kushikilia kwamba wafu watafufuliwa!"
22¶ Lao si Felix, pot guaja mas magajet tiningoña ni ayo na jinanao, janafanmadetiene sija ya ilegña: Yaguin tumunog y mas magas y inetnon as Lysias, jutungo tododoja este y chechomiyo.
22Hapo, Felisi, ambaye mwenyewe alikuwa anaifahamu hiyo Njia vizuri, aliahirisha kesi hiyo. Akawaambia, "Nitatoa hukumu juu ya kesi hiyo wakati Luisa, mkuu wa jeshi, atakapokuja hapa."
23Ya jatago un senturion na uadaje si Pablo, yan unae linibre ya chaña chumochoma y manatungoña na ufanmato guiya güiya, pat umasetbe.
23Kisha akamwamuru yule jemadari amweke Paulo kizuizini, lakini awe na uhuru kiasi, na rafiki zake wasizuiwe kumpatia mahitaji yake.
24¶ Ya malofan unos cuantos na jaane, mato si Felix yan y asaguaña as Drusila na Judia, ya janamaagange si Pablo, ya majungog guiya güiya pot y jinenggue as Jesucristo.
24Baada ya siku chache, Felisi alifika pamoja na mkewe Drusila ambaye alikuwa Myahudi. Aliamuru Paulo aletwe, akamsikiliza akiongea juu ya kumwamini Yesu Kristo.
25Ya anae jaadingane pot y tininas, yan y minauleg, yan y jinisga ni ufato, ninamaañao si Felix, ya manope ilegña: Janao unjanao pago, ya yaguin guaja mauleg na lugat junamaagagange jao.
25Lakini wakati Paulo alipoanza kuongea juu ya uadilifu, juu ya kuwa na kiasi na juu ya siku ya hukumu inayokuja, Felisi aliogopa, akasema, "Kwa sasa unaweza kwenda; nitakuita tena nitakapopata nafasi."
26Ya jananangga locue na uninae as Pablo salape para usinetta; enaomina jatago na ufafato cada rato, ya ujaatungo.
26Wakati huohuo alikuwa anatumaini kwamba Paulo angempa fedha. Kwa sababu hii alimwita Paulo mara kwa mara na kuzungumza naye.
27Lao anae malofan dos años, si Porcio Festo mato gui cuatton Felix: ya si Felix malago na ufanue y Judios minagof, japolo si Pablo na umapreso.
27Baada ya miaka miwili, Porkio Festo alichukua nafasi ya Felisi, akawa mkuu wa Mkoa. Kwa kuwa alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi, Felisi alimwacha Paulo kizuizini.