Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Acts

4

1YA anae manguecuentos yan y taotao sija, y magas na mamale yan y magas y templo, yan y Saduseosija, manmato guiya sija,
1Petro na Yohane walipokuwa bado wanawahutubia watu, makuhani na mkuu wa walinzi wa Hekalu pamoja na Masadukayo walifika.
2Ya guesinestotba, sa sija jafananagüe y taotao sija, ya japredidica y quinajulo guinin y manmatae, pot si Jesus.
2Walikasirika sana, maana hao mitume walikuwa wanawahubiria watu kwamba Yesu alifufuka, jambo ambalo linaonyesha wazi kwamba wafu watafufuka.
3Ya manmapolo canae gui jiloñija, ya manmapreso asta y inagpaña, sa estaba esta pupuenge.
3Basi, waliwatia nguvuni na kwa kuwa usiku ulikuwa umekaribia, wakawaweka chini ya ulinzi mpaka kesho yake.
4Lao megae sija y jumungog y sinangan majonggue; ya y numeron y taotao sija, buente sinco mit.
4Lakini wengi kati ya wale waliosikia ujumbe wao waliamini, na idadi ya waumini ikawa imefika karibu elfu tano.
5¶ Ya y inagpaña güije, y magasñija yan y manamco, yan y escriba sija mandaña guiya Jerusalem;
5Kesho yake, viongozi wa Wayahudi, wazee na walimu wa Sheria, walikusanyika pamoja huko Yerusalemu.
6Yan mangaegue si Annas, magas y mamale, yan si Caefas, yan si Juan, yan si Alejandro, yan ayosija parientes y magas mamale,
6Walikutana pamoja na Anasi, Kayafa, Yohane, Aleksanda na wengine waliokuwa wa ukoo wa Kuhani Mkuu.
7Ya anae munjayan japlanta sija gui talo, jafaesen: Pot jafa na ninasiña, pat jaye na naan na infatinas este?
7Waliwasimamisha mitume mbele yao, wakawauliza, "Ninyi mmefanya jambo hili kwa nguvu gani na kwa jina la nani?"
8Ya si Pedro, bula ni y Espiritu Santo, ilegña nu sija: Jamyo ni y magas y taotao, yan y manamco guiya Israel,
8Hapo, Petro, akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akawaambia, "Viongozi na wazee wa watu!
9Yaguin manmachaguejam pago na jaane pot y mauleg finatinas para y malango na taotao, sa jafa muna manajomlo;
9Ikiwa mnatuuliza leo juu ya kile kitendo chema alichofanyiwa yule mtu aliyekuwa kiwete na jinsi alivyopata kuwa mzima,
10Intingo todo jamyo, yan todo y taotao guiya Israel, na pot y naan Jesucristo, y Nasareno, ni y inatane gui quiluus, ni y ninacajulo as Yuus guinin y manmatae; pot güiyaja este na taotao na tumojgue gui menan miyo ya jomlo.
10basi, ninyi na watu wote wa Israeli mnapaswa kujua kwamba mtu huyu anasimama mbele yenu leo, mzima kabisa, kwa nguvu ya jina lake Yesu wa Nazareti ambaye ninyi mlimsulubisha, lakini Mungu akamfufua kutoka wafu.
11Güiya yuje na acho y innataebale jamyo ni y manmanjatsa, na jumuyong cabesan esquina.
11Huyu ndiye ambaye Maandiko Matakatifu yanasema: Jiwe mlilokataa ninyi waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi.
12Ya ni uguaja satbasion gui otro; sa taya otro naan gui papa y langet, manmanae y taotao sija, para usiña utafansatbo.
12Wokovu haupatikani kwa mtu mwingine yeyote, kwa maana duniani pote, binadamu hawakupewa jina la mtu mwingine ambaye sisi tunaweza kuokolewa naye."
13¶ Ya anae malie y minatatngan Pedro yan Juan, ya jinasonñija na manaetiningo ya manlanga na taotao, ninafanmanman, ya ayonae matungo na guinin mañisija yan si Jesus.
13Hao wazee wa baraza, wakiwa wanajua kwamba Petro na Yohane walikuwa watu wasio na kisomo wala elimu yoyote, walishangaa juu ya jinsi walivyosema kwa uhodari. Wakatambua kwamba walikuwa wamejiunga na Yesu.
14Ya anae malie y taotao ni y manajomlo na mañisija manojgue, taya jafa siña ujasangan contra ayo.
14Lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu.
15Lao anae jatago sija na ufanjuyong gui dinaña, manasangane entre sija,
15Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha.
16Ilegñija: Jafa tafatinas ni este sija na taotao? sa magajet na afamao na milagro mafatinas pot sija, ya manmamatungo esta ni todo ayo sija y mañasaga Jerusalem; ya ti siña tapune.
16Wakaulizana, "Tufanye nini na watu hawa? Kila mtu anayeishi Yerusalemu anajua kwamba mwujiza huu wa ajabu umefanyika, nasi hatuwezi kukana jambo hilo.
17Lao trabia mientras ti chachago matalaña gui entalo y taotao sija; nije taencatga sija, ya chañija fanmañangangane ni este na naan desde pago.
17Lakini ili tupate kuzuia jambo hili lisienee zaidi kati ya watu, tuwaonye wasiongee na mtu yeyote kwa jina la Yesu."
18Ya jaagang sija, ya jaencatga na senchañija sumasangan, ni ufanmamanagüe ni y naan Jesus.
18Kwa hiyo wakawaita tena ndani, wakawaonya wasiongee tena hadharani, wala kufundisha kwa jina la Yesu.
19Lao si Pedro yan Juan manope ilegñija: Jusga, cao tunas gui menan Yuus na inosgueña jamyo qui si Yuus;
19Lakini Petro na Yohane wakawajibu, "Amueni ninyi wenyewe kama ni haki mbele ya Mungu kuwatii ninyi kuliko kumtii yeye.
20Sa tisiña inpelo na ti insangan y liniimame yan y jiningogmame.
20Kwa maana hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo yale tuliyoyaona na kuyasikia."
21Ya anae esta jaencatga sija mas, jasotta, sa taya siña jafa ujasoda para ujacastiga, pot causa y taotaosija; sa todo mumalag si Yuus pot ayo y mafatinas.
21Basi, hao wazee wa Baraza wakawaonya kwa ukali zaidi, halafu wakawaacha huru. Hawakuweza kuwapa adhabu kwa sababu watu wote walikuwa wakimtukuza Mungu kwa sababu ya tukio hilo.
22Sa y taotao ni y anae mafatinas este y milagron y jinelo, mas di cuarenta años inamcoña.
22Huyo mtu aliyeponywa alikuwa na umri wa miaka zaidi ya arobaini.
23¶ Ya anae masotta na ujanao, manjanao para y mangachongñija, ya jasangane todo ni y mansinangane sija ni y magas mamale yan y manamco.
23Mara tu walipoachwa huru, Petro na Yohane walirudi kwa wenzao, wakawaeleza yale waliyoambiwa na makuhani wakuu na wazee.
24Ya anae jajungog sija ayo, jajatsa y inagangñija para as Yuus, ilegñija: O Señot, jago Yuus, ni y fumatinas y langet, yan y tano, yan y tase, yan todo y mangae gui sanjalomñija;
24Waliposikia habari hiyo waliungana pamoja katika kumwomba Mungu wakisema, "Bwana, wewe ni Muumba wa mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo!
25Ni y pot Espiritu Santo ni y pachot y tentagomo as David ilegmo: Sa jafa y Gentiles na manlalalo, ya y taotao sija manmanjaso ni y taebale na güinaja?
25Ndiwe uliyemfanya mtumishi wako, babu yetu Daudi, aseme kwa nguvu ya Roho Mtakatifu: Kwa nini mataifa yameghadhibika? Mbona watu wamefanya mipango ya bure?
26Y ray sija gui tano manotojgue julo, ya y magalaje sija mandaña contra y Señot, yan contra si Cristoña.
26Wafalme wa dunia walijiweka tayari, na watawala walikutana pamoja, ili kumwasi Bwana na Kristo wake.
27Sa magajet na gui este siuda contra y santos na Tentagomo as Jesus, ni y unpalalae; todo si Herodes, yan Poncio Pilato, yan y Gentiles yan y taotao guiya Israel, mandaña,
27"Maana, kwa hakika, ndivyo Herode, Pontio Pilato, watu wa Israeli na watu wa mataifa walivyokutanika papa hapa mjini, kumpinga Yesu Mtumishi wako Mtakatifu ambaye umemtia mafuta.
28Para ujafatinas jafa y tinancho antes y canaemo, yan y consejumo para ususede.
28Naam, walikutana ili wafanye yale ambayo ulikusudia na kupanga tangu mwanzo kwa uwezo wako na mapenzi yako.
29Ya pago, O Señot, lie y amenasoñija: ya unnae y tentagomo sija, na contodo y minatatnga ujasangan y sinanganmo,
29Lakini sasa, ee Bwana, angalia vitisho vyao. Utuwezeshe sisi watumishi wako kuhubiri neno lako kwa uhodari.
30Mientras unjujuto mona y canaemo para umajomlo; ya para y señat yan mannamanman umafatinas pot y naan y santos na Tentagomo as Jesus.
30Nyosha mkono wako uponye watu. Fanya ishara na maajabu kwa jina la Yesu Mtumishi wako Mtakatifu."
31Ya anae munjayan manmanaetae, y lugat anae mandadaña mayengyong; ya todos manbula ni y Espiritu Santo, ya manmatatnga jasangan y sinangan Yuus.
31Walipomaliza kusali, pale mahali walipokuwa wamekutanika pakatikiswa, nao wote wakajazwa Roho Mtakatifu. Wote wakaanza kuhubiri neno la Mungu bila uoga.
32¶ Ya y inetnon güije sija ni y manmanjonggue, manunoja na corason yan unoja na ante: ni uno guiya sija ualog iyoña ayo y jasagagaye; lao todo y güinaja manparejo iyonñija.
32Jumuiya yote ya waumini ilikuwa moyo mmoja na roho moja. Hakuna hata mmoja aliyekuwa na kitu chochote akakiweka kuwa mali yake binafsi, ila waligawana vyote walivyokuwa navyo.
33Yan dangculo na ninasiña na manmannae y apostoles testimonio ni y quinajulo y Señot Jesus: ya megae na grasia gaegue gui jiloñija todos.
33Mitume walishuhudia kwa nguvu nyingi kufufuka kwa Bwana Yesu, naye Mungu akawapa baraka nyingi.
34Ya ni uno guiya sija nesesitao; sa todo ayo sija y mangaeiyo tano pat guma, jabende ya jachule y balen ayo y binendenñija,
34Hakuna mtu yeyote aliyetindikiwa kitu, maana waliokuwa na mashamba au nyumba walikuwa wanaviuza
35Ya japolo gui adeng y apostoles sija: ya manmapapatte cada taotao jafataemano y janesesita.
35na kuwakabidhi mitume fedha hizo, zikagawiwa kila mmoja kadiri ya mahitaji yake.
36¶ Ayonae si José, ni y mafanaan ni y apostoles Barnabé (ni y comoqueilegña, lajin consuelo) ni y Lebita, taotao Chipre,
36Kulikuwa na Mlawi mmoja, mzaliwa wa Kupro, jina lake Yosefu, ambaye mitume walimwita jina Barnaba (maana yake, "Mtu mwenye kutia moyo").
37Guaja tanoña, ya jabende, ya jachule y salape, ya japolo gui adeng apostoles sija.
37Yeye pia alikuwa na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha, akawakabidhi mitume.