Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Acts

5

1LAO un taotao naanña si Ananias, yan si Safira asaguaña, na jabende güinajanñija,
1Mtu mmoja aitwaye Anania na mkewe Safira waliuza shamba lao vilevile.
2Ya janana palo gui baliña, ya y asaguaña jatungo ja locue ayo, ya jachule un patteja ya japolo gui adeng y apostoles.
2Lakini, mkewe akiwa anajua, Anania akajiwekea sehemu ya fedha alizopata na ile sehemu nyingine akawakabidhi mitume.
3Lao si Pedro ilegña: Ananias, sa jafa na janabula si Satanas y corasonmo para undague y Espiritu Santo, yan unnana palo gui balen y tano?
3Basi, Petro akamwuliza, "Anania, mbona Shetani ameuingia moyo wako na kukufanya umdanganye Roho Mtakatifu kwa kujiwekea sehemu ya fedha ulizopata kutokana na lile shamba?
4Mientras sumasaga, ada ti iyomo? ya anae munjayan mabende, ada taegüe gui ninasiñamo? sa jafa na unjaso este gui corasonmo? ti y taotao undague, na si Yuus.
4Kabla ya kuliuza lilikuwa mali yako, na baada ya kuliuza, bado hizo fedha zilikuwa zako uzitumie utakavyo. Kwa nini basi, uliamua moyoni mwako kufanya jambo la namna hii? Hukumdanganya mtu; umemdanganya Mungu!"
5Ya anae jajungog si Ananias este na finijo, podong papa ya matae: ya dangculon minaañao mato gui jilo ayo sija todo y jumujungog este na güinaja.
5Anania aliposikia hayo, akaanguka chini, akafa. Watu wote waliosikia habari ya tukio hilo waliogopa sana.
6Ya mabalutan ni y manfamaguon na lalaje, ya machule juyong y majafot.
6Vijana wakafika wakaufunika mwili wake, wakamtoa nje, wakamzika.
7¶ Ya anae malofan buente tres oras, jumalom y asaguaña, ti jatungo jafa guinin mafatinas.
7Baada ya muda wa saa tatu hivi, mke wake, bila kufahamu mambo yaliyotukia, akaingia mle ndani.
8Ya si Pedro ilegña nu güiya: Sanganeyo cao inbende y tanomiyo pot un tanto. Ya güiya ilegña: Junggan pot ayo na tanto.
8Petro akamwambia, "Niambie! Je, kiasi hiki cha fedha ndicho mlichopata kwa kuuza lile shamba?" Yeye akamjibu, "Naam, ni kiasi hicho."
9Ayonae si Pedro ilegña: Jafa na umatungo jamyo para intienta y Espiritu y Señot! estagüiyaja gui petta y adeng ayo sija y jumafot y asaguamo, ya umachule jaojuyong.
9Naye Petro akamwambia, "Mbona mmekula njama kumjaribu Roho wa Bwana? Sikiliza! Wale watu waliokwenda kumzika mume wako, sasa wako mlangoni na watakuchukua wewe pia."
10Ayonae enseguidas podong papa gui adengña ya matae; ya y manfamaguon na lalaje manjalom ya masoda güe na matae, ya machule ya majafot gui oriyan y asaguaña.
10Mara Safira akaanguka mbele ya miguu ya Petro, akafa. Wale vijana walipoingia, walimkuta amekwisha kufa; hivyo wakamtoa nje, wakamzika karibu na mume wake.
11Ya mato dangculon minaañao gui jilo todo y iglesia, yan y jilo todo ayo sija y jumujungog estesija.
11Kanisa lote pamoja na wote waliosikia habari ya tukio hilo, waliogopa sana.
12¶ Ya pot y canae y apostoles sija, megae na señat yan mannamanman manmafatinas gui entalo taotao; ya sija todos mandaña gui un jinasoja gui coridot Salomon.
12Mitume walifanya miujiza na maajabu mengi kati ya watu. Waumini walikuwa wakikutana pamoja katika ukumbi wa Solomoni.
13Ya y palo sija, ni un taotao malago dumañae sija; lao y taotao manafandangculo sija.
13Mtu yeyote mwingine ambaye hakuwa mwamini hakuthubutu kujiunga nao. Hata hivyo, watu wengine wasiokuwa wa imani hiyo waliwasifu.
14Ya y manmanjonggue gui Señot, mas maaumenta y linajyan parejoja y lalaje yan y famalaoan;
14Idadi ya watu waliomwamini Bwana, wanaume kwa wanawake, iliongezeka zaidi na zaidi.
15Ya enao na sija manmangongone malango gui chalan sija, ya manmapopolo gui cama yan y camiya, na para, yaguin malofan si Pedro, y aninengña ufanjinemeja palo guiya sija.
15Kwa sababu hiyo, watu walikuwa wakipeleka wagonjwa barabarani na kuwalaza juu ya vitanda na mikeka ili Petro akipita, walau kivuli chake kiwaguse baadhi yao.
16Ya ayonae manmato locue linajyan taotao guinin y siuda, gui oriyan Jerusalem, manmangongone megae na manmalango, yan ayo sija y ninafañachatsaga ni y manáplacha na espiritu: yan manafanjomlo sija.
16Watu wengi walifika kutoka katika miji ya kando kando ya Yerusalemu, wakiwaleta wagonjwa wao na wale waliokuwa na pepo wachafu, nao wote wakaponywa.
17¶ Ya anae y magas na pale tomojgue julo, yan todo ayo sija y mangachochongña (ni y inetnon Saduseo) ya manbula inigo.
17Kisha, Kuhani Mkuu na wenzake waliokuwa wa kikundi cha Masadukayo wa mahali hapo, wakawaonea mitume wivu.
18Ya japolo canae gui jilo y apostoles, ya jacone gui calaboson y publico.
18Basi, wakawatia nguvuni, wakawafunga ndani ya gereza kuu.
19Lao y angjet y Señot anae esta puenge, jababa y pettan y calaboso ya manquinene sija, ya ilegña:
19Lakini usiku malaika wa Bwana aliifungua milango ya gereza, akawatoa nje, akawaambia,
20Janao fanojgue gui jalom y guimayuus, ya insangane y taotao todo y sinangan este na Linâlâ.
20"Nendeni mkasimame Hekaluni na kuwaambia watu kila kitu kuhusu maisha haya mapya."
21Ya anae jajungog sija ayo, manjalom gui guimayuus, taftataf gui egaan, ya manmamanagüe. Lao anae mato y magas mamale, yan ayo sija y mangachochongña, janafanmaagange y sinedrio yan todo y compañia ni mamapagot ni y famaguon Israel, ya jatago para y calaboso para ujacone sija.
21Mitume walitii, wakaingia Hekaluni asubuhi na mapema, wakaanza kufundisha. Kuhani Mkuu na wenzake walipofika, waliita mkutano wa Baraza kuu, yaani halmashauri yote ya wazee wa Wayahudi halafu wakawatuma watu gerezani wawalete wale mitume.
22Lao anae manmato y ofisiat sija gui calaboso, ti manmasoda sija; ya manalo tate ya manmañangane,
22Lakini hao watumishi walipofika huko hawakuwakuta mle gerezani. Hivyo walirudi, wakatoa taarifa mkutanoni,
23Ilegñija: Y calaboso, magajet na inseda majujuchomja todo, ya y manmamamumulan manestabaja na manotojgue gui jiyong potta: lao anae inbaba, taya taotao inseda gui sanjalom.
23wakisema, "Tulikuta gereza limefungwa kila upande na walinzi wakilinda milango. Lakini tulipofungua hatukumkuta mtu yeyote ndani."
24Anae y capitan y guimayuus, yan y manmagas mamale, jajungog este na sinangan ninafanestotba sa ti jatungo manonae ufanjuyong.
24Mkuu wa walinzi wa Hekalu na makuhani wakuu waliposikia habari hiyo wakawa na wasiwasi, wasijue yaliyowapata.
25Lao mato uno ya mansinangane sija, ilegña: Ayo sija na taotao y inpelo gui calaboso, mangaegue gui guimayuus na manmamananagüe ni y taotao sija.
25Akafika mtu mmoja, akawaambia, "Wale watu mliowafunga gerezani, hivi sasa wamo Hekaluni, wanawafundisha watu."
26Ayonae jumanao y capitan yan y manmagas sija, ya manmacone sija, ti manmaafuetsas, sa manmaañao ni y taotao sija, sa noseaja ufanmadago ni acho.
26Hapo mkuu wa walinzi wa Hekalu pamoja na watu wake walikwenda Hekaluni, akawaleta. Lakini hawakuwakamata kwa kutumia nguvu, maana waliogopa kwamba watu wangewapiga mawe.
27Ya anae manmacone sija, manmapolo gui menan y sinedrio ya manfinaesen ni y magas na pale,
27Basi, wakawapeleka, wakawasimamisha mbele ya Baraza. Kuhani Mkuu akawaambia,
28Ilegña: Inguesencatga jamyo na chamiyo fanmamananagüe ni este na naan. Ya estagüe inbula Jerusalem ni y finanagüenmiyo. Ya jinasonmiyo na inchile y jâgân este taotao gui jilomame.
28"Tuliwakatazeni waziwazi kufundisha kwa jina la mtu huyu; sasa mmeyaeneza mafundisho yenu pote katika Yerusalemu na mnakusudia kutuwekea lawama ya kifo cha mtu huyo."
29Ya manope si Pedro, yan y palo na apostoles, ilegñija: Nesesita na taosgueña si Yuus finena qui y taotao sija.
29Hapo Petro, akiwa pamoja na wale mitume wengine, akajibu, "Lazima tumtii Mungu, na siyo binadamu.
30Y Yuus y mañaenata sija, janacajulo si Jesus ni ayo y inpino, yan incana gui trongcon jayo.
30Mungu wa babu zetu alimfufua Yesu baada ya ninyi kumwua kwa kumtundika msalabani.
31Guiya jinatsa as Yuus gui agapa na canaeña, para u-Prinsipe yan u-Satbadot, para unae sinetsot iya Israel, yan inasiin y isao.
31Huyu ndiye yule aliyekwezwa na Mungu mpaka upande wake wa kulia, akawa kiongozi na Mwokozi, ili awawezeshe watu wa Israeli watubu, wapate kusamehewa dhambi zao.
32Ya jame testigo ni este sija na güinaja; yan y Espiritu Santo locue, ni y si Yuus numae ayo sija y umosgue gue.
32Sisi ni mashahidi wa tukio hilo, naye Roho Mtakatifu ambaye Mungu amewapa wale wanaomtii, anashuhudia pia tukio hilo."
33¶ Ya anae jajungog sija ayo, manchinachat asta y corasonñija, ya manaseyo para ufanmapuno sija.
33Wajumbe wote wa lile Baraza waliposikia hayo, wakawaka hasira, hata wakaamua kuwaua.
34Ayonae tumojgue julo uno gui sinedrio, un Fariseo, ni y naanña si Gamaliel, na magas y lay, ya maonra ni y taotao todo; ya manago na umanafanlasuja didide ayo sija taotao.
34Lakini Mfarisayo mmoja aitwaye Gamalieli ambaye alikuwa mwalimu wa Sheria na aliyeheshimika sana mbele ya watu wote, alisimama mbele ya lile Baraza, akataka wale mitume watolewe nje kwa muda mfupi.
35Ya ilegña nu sija: Jamyo lalajen, Israel, adaje jamyo jafa jinasonmimiyo para infatinas ni este sija na taotao.
35Kisha akawaambia wale wajumbe wa Baraza, "Wananchi wa Israeli, tahadhari kabla ya kutekeleza hicho mnachotaka kuwatenda watu hawa!
36Sa antes di este sija na jaane cajulo si Teudas, janabanidoso güi taegüije y jaye na taotao; ya iya guiya nae manguaguato un manadan lalaje, guaja buente cuatro sientos mandaña sijaja; ni y mapuno; yan todo ayo sija y umosgue güe manmachalapon ya manjuyong sin jafa.
36Zamani kidogo, kulitokea mtu mmoja jina lake Theuda, akajisema kuwa mtu wa maana na watu karibu mia nne wakajiunga naye. Lakini aliuawa, kisha wafuasi wake wote wakatawanyika na kikundi chake kikafa.
37Ya despues di este na taotao, cajulo si Judas na taotao Galileo, gui jaanen y manmaempadrona; ya jacone un manada gui tateña: ya güiya locue malingo; yan todo ayo sija y umosgue güe manmachalapon.
37Tena, baadaye, wakati ule wa kuhesabiwa watu, alitokea Yuda wa Galilaya. Huyu naye, aliwavuta watu wakamfuata; lakini naye pia aliuawa, na wafuasi wake wakatawanyika.
38Lao pago jusangane jamyo: Insetta este sija na taotao, ya inpelo sijaja; sa este na pinagat, pat este na chocho, yaguin guinin y taotao, ufanmayute,
38Na sasa pia mimi nawaambieni, msiwachukulie watu hawa hatua yoyote; waacheni! Kwa maana, ikiwa mpango huu au shughuli hii yao imeanzishwa na binadamu, itatoweka yenyewe.
39Lao yaguin as Yuus, ti siña inyilang, sa noseaja infanmumo contra si Yuus.
39Lakini kama imeanzishwa na Mungu, siyo tu kwamba hamtaweza kuwashinda, bali mtajikuta mnapigana na Mungu." Basi, wakakubaliana naye.
40Ya manafamaulegja, ya anae manmaagang y apostoles guiya sija, manmasaulag ya manmatago na chañija sumasangan y naan Jesus, ya manmapolo na ujafanjanao.
40Hivyo wakawaita wale mitume, wakaamuru wachapwe viboko na kuwaonya wasifundishe tena kwa jina la Yesu; kisha wakawaacha waende zao.
41Enao mina manjanao gui menan y sinedrio, mansenmagof sa japolo na ujamerese pumadese y minamajlao pot y naan Jesus.
41Basi, mitume wakatoka nje ya ule mkutano wa halmashauri wakiwa wamejaa furaha, kwani walistahili kuaibishwa kwa ajili ya jina la Yesu.
42Ya todo y jaane sija, ti mandescacansa manmamanagüe yan manmañangane as Jesus ni y Cristogüe, gui guimayuus, yan y iyasija.
42Wakaendelea kila siku kufundisha na kuhubiri Habari Njema ya Kristo, Hekaluni na nyumbani mwa watu.