Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Acts

9

1YA si Saulo, sisigueja di jumagong juyong y amenaso yan matadura contra y disipulon y Señot, ya mapos para y magas mamale,
1Wakati huo Saulo alikuwa akizidisha vitisho vikali vya kuwaua wafuasi wa Bwana. Alikwenda kwa Kuhani Mkuu,
2Ya jagagao catta, para Damasco gui sinagoga, para yaguin jasoda jaye güine na Jinanaoña, masqueseaja, laje pat palaoan, siña ucone preso para Jerusalem.
2akaomba apatiwe barua za utambulisho kwa masunagogi ya Kiyahudi kule Damasko, ili akikuta huko wanaume au wanawake wanaofuata Njia ya Bwana, awakamate na kuwaleta Yerusalemu.
3Ya y jinanaoña, susede na matogüe jijot Damasco; ya enseguidas manina gui oriyaña y candet guinen y langet;
3Lakini alipokuwa njiani karibu kufika Damasko, ghafla mwanga kutoka angani ulimwangazia pande zote.
4Ya podonggüe gui jilo oda, ya jajungog y inagang na ilegña nu güiya: Saulo, Saulo, sa jafa na unpetsisiguejayo?
4Akaanguka chini na kusikia sauti ikimwambia: "Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa?"
5Ya ilegña: Jaye jao Señot? ya ilegña: Guajo si Jesus ni y unpetsisigue:
5Naye Saulo akauliza, "Ni nani wewe Bwana?" Na ile sauti ikajibu, "Mimi ni Yesu ambaye wewe unamtesa.
6Lao cajulo ya janao falag y siuda, ya ayonae unmasangane jafa unfatinas.
6Lakini simama sasa, uingie mjini na huko utaambiwa unachopaswa kufanya."
7Ya y taotao sija ni y mangachochongña manojgue ya taya cuentosñija; jajujungogja y inagang, lao taya taotao liniiñija.
7Wale watu waliokuwa wanasafiri pamoja na Saulo walisimama pale, wakiwa hawana la kusema; walisikia ile sauti lakini hawakumwona mtu.
8Ya si Saulo cajulo guinin y jilo oda; ya anae mababa y atadogña taya jalie, lao mamantiene canaeña, ya macone guato Damasco.
8Saulo aliinuka, na alipofumbua macho yake hakuweza kuona chochote; hivyo wale watu wakamwongoza kwa kumshika mkono mpaka mjini Damasko.
9Ya sumaga güije tres na jaane, ni manatan, yan ni chumocho, yan ni gumimen.
9Saulo alikaa siku tatu bila kuona, na wakati huo hakula au kunywa chochote.
10¶ Ya estaba güije un disipulo guiya Damasco, na y naanña si Ananias; sa güiya sinangane ni y Señot gui vision, ilegña: Ananias; ya güiya ilegña: Estagüiyajayo Señot.
10Basi, huko Damasko kulikuwa na mfuasi mmoja aitwaye Anania. Bwana akamwambia katika maono, "Anania!" Anania akaitika, "Niko hapa, Bwana."
11Ya y Señot ilegña nu güiya: Cajulo ya janao falag y caye ni y mafanaan tunas, ya unaligao y guima Judas, uno na y naanña Saulo, taotao Tarso, sa estagüe na mananaetae,
11Naye Bwana akamwambia, "Jitayarishe uende kwenye barabara inayoitwa Barabara ya Moja kwa Moja, na katika nyumba ya Yuda umtake mtu mmoja kutoka Tarso aitwaye Saulo. Sasa anasali;
12Ya guinin jalie gui vision un taotao na y naanña si Ananias, na mato ya japolo y canaeña guiya güiya para uninafanlie.
12na katika maono ameona mtu aitwaye Anania akiingia ndani na kumwekea mikono ili apate kuona tena."
13Ya si Ananias, manope ilegña: Señot, megae jujungog ni este na taotao, na megae na taelaye finatinasña gui mañantosmo guiya Jerusalem.
13Lakini Anania akajibu, "Bwana, nimesikia habari za mtu huyu kutoka kwa watu wengi; nimesikia juu ya mabaya aliyowatendea watu wako huko Yerusalemu.
14Ya güine na gaeninasiña guinin y magas mamale, para ugode todo ayo sija y umaagang y naanmo.
14Na amekuja hapa akiwa na mamlaka kutoka kwa makuhani wakuu kuwatia nguvuni wote wanaoomba kwa jina lako."
15Lao y Señot ilegña nu güiya: Janao unjanao; sa güiya y inayeg na nayan guiya guajo, para uchule y naanjo gui menan y Gentiles, yan y ray sija, yan y famaguon Israel:
15Lakini Bwana akamwambia, "Nenda tu, kwa maana nimemchagua awe chombo changu, alitangaze jina langu kwa mataifa na wafalme wao na kwa watu wa Israeli.
16Sa guajo fumanue güe cuanto mandangculon güinaja, na janesesita umasapet pot y naanjo.
16Mimi mwenyewe nitamwonyesha mengi yatakayomlazimu kuteswa kwa ajili ya jina langu."
17Ya si Ananias jumanao, ya jumalom gui guima; ya japolo y canaeña guiya güiya, ilegña: Chelujo Saulo, y Señot as Jesus ni y mato guiya jago gui chalan anae mamamaela jao, jatagoyo para usiña unlie, yan unbula ni y Espiritu Santo.
17Basi, Anania akaenda, akaingia katika hiyo nyumba. Kisha akaweka mikono yake juu ya Saulo, akasema, "Ndugu Saulo, Bwana ambaye ndiye Yesu mwenyewe aliyekutokea ulipokuwa njiani kuja hapa, amenituma ili upate kuona tena na kujazwa Roho Mtakatifu."
18Ya enseguidas manbasnag guinin y mataña taegüije y guenaf sija: ya manlie, ya cajulo ya matagpange.
18Mara vitu kama magamba vikaanguka kutoka macho ya Saulo, akaweza kuona tena. Akasimama, akabatizwa.
19Ya anae chumocho ninametgot. Ya si Saulo güije sija na jaane dumisipulo guiya Damasco.
19Na baada ya kula chakula, nguvu zake zikamrudia. Saulo alikaa siku chache pamoja na wafuasi huko Damasko.
20¶ Ya enseguidas japredica gui sinagoga na si Jesus güiya y Lajin Yuus.
20Mara alianza kuhubiri katika masunagogi kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.
21Lao todo y jumungog güe, ninafanmanman ya ilegñija: Ada ti este ayo y yumulang ayo sija y umagang este na naan guiya Jerusalem? ya guinin mato güine pot enao na jinaso, para ucone ya ugode guato gui magas mamale.
21Watu wote waliomsikia walishangaa, wakasema, "Je, mtu huyu si yuleyule aliyewaua wale waliokuwa wanaomba kwa jina hili kule Yerusalemu? Tena alikuja hapa akiwa na madhumuni ya kuwatia nguvuni watu hao na kuwapeleka kwa makuhani!"
22Lao si Saulo lumalametgotja, yan janafangadon y Judio sija ni y mañasaga Damasco, sa jafanue na este si Cristo.
22Saulo alizidi kupata nguvu, na kwa jinsi alivyothibitisha wazi kwamba Yesu ndiye Kristo, Wayahudi wa huko Damasko walivurugika kabisa.
23¶ Ya anae manmalofan megae na jaane, mandaña y Judio sija para umapuno güe.
23Baada ya siku nyingi kupita, Wayahudi walikusanyika na kufanya mpango wa kumwua Saulo.
24Lao y ninanggañiñija, matungo gui as Saulo. Ya sija japupulanja y trangcasija, jaane yan puenge para umaquepuno güi.
24Lakini Saulo alipata habari ya mpango huo. Usiku na mchana walilinda milango ya kuingia mjini ili wapate kumwua.
25Ayonae macone puenge ni y disipulo, ya masajguane gui un canastra, ya manatunog gui quelat.
25Lakini wakati wa usiku wanafunzi wake walimchukua, wakamteremsha chini ndani ya kapu kubwa kwa kupitia nafasi iliyokuwako ukutani.
26¶ Ya anae mato güe Jerusalem, malago na udañae y disipulo sija; lao sija manmaañao nu güiya, ya ti majonggue na disipulo güe.
26Saulo alipofika Yerusalemu alijaribu kujiunga na wale wanafunzi. Lakini wote walimwogopa, na hawakuweza kuamini kwamba yeye amekuwa mfuasi.
27Lao quinene as Barnabé guato gui disipulo sija, ya jasangane sija jaftaemano y liniiña ni y Señot gui chalan ya jacuentuse nu güiya, ya jaftaemano manpredica matatnga si Saulo güiya Damasco ni y naan Jesus.
27Hapo, Barnaba alikuja akamchukua Saulo, akampeleka kwa mitume na kuwaeleza jinsi Saulo alivyomwona Bwana njiani na jinsi Bwana alivyoongea naye. Aliwaambia pia jinsi Saulo alivyokuwa amehubiri bila uoga kule Damasko.
28Ya mañisijaja manjuyong yan manjalom guiya Jerusalem.
28Basi, Saulo alikaa pamoja nao, akatembelea Yerusalemu yote akihubiri neno la Bwana bila hofu.
29Ya japredica matatnga ni y naan Señot Jesus: ya jasangan managuaguat yan y Helenista sija; lao maquequepunoja güe nu sija.
29Pia aliongea na kubishana na Wayahudi wasemao Kigiriki, lakini wao walijaribu kumwua.
30Ya anae matungo ni y mañelo, macone güe para Sesarea, ya matago para Tarso.
30Wale ndugu walipogundua jambo hilo walimchukua Saulo, wakampeleka Kaisarea, wakamwacha aende zake Tarso.
31¶ Ya mangaepas todo y iglesia sija guiya Judea, yan Galilea, yan Samaria, ya manmamanagüe, ya manmamomocat gui minaañao as Señot, yan y minagof y Espiritu Santo, lumamegae.
31Wakati huo kanisa likawa na amani popote katika Yudea, Galilaya, na Samaria. Lilijengwa na kukua katika kumcha Bwana, na kuongezeka likitiwa moyo na Roho Mtakatifu.
32¶ Ya susede anae malofan si Pedro gui todo y lugat, na matogüe locue gui mañantos ni y mañasaga Lydda.
32Petro alipokuwa anasafirisafiri kila mahali alifika pia kwa watu wa Mungu waliokuwa wanaishi Luda.
33Ya mañoda güije un taotao na y naanña si Eneas, na esta ocho años gui cama, sa malango paralitico.
33Huko alimkuta mtu mmoja aitwaye Enea ambaye kwa muda wa miaka minane alikuwa amelala kitandani kwa sababu alikuwa amepooza.
34Ya ilegña si Pedro nu güiya: Eneas, si Jesucristo unninajomlo: cajulo ya unfamauleg y camamo. Ya enseguidas cajulo.
34Basi, Petro akamwambia, "Enea, Yesu Kristo anakuponya. Amka utandike kitanda chako." Enea akaamka mara.
35Ya todo y mañasaga guiya Lyyda yan. Saron, malie güe; ya jabira sija para y Señot.
35Wakazi wote wa Luda na Saroni walimwona Enea, na wote wakamgeukia Bwana.
36¶ Ya guaja un disipulo guiya Joppe, na y naanña Tabita: na comequeilegña Dorcas; este na palaoan bula manmauleg na chocho, yan limosna sija ni y finatinasña.
36Kulikuwa na mfuasi mmoja mwanamke mjini Yopa aitwaye Tabitha (kwa Kigiriki ni Dorka, maana yake, Paa). Huyo mwanamke alikuwa akitenda mema na kuwasaidia maskini daima.
37Ya ayo sija na jaane, mumalango, ya matae; ya anae munjayan mafagase, mapolo gui aposento gui san jilo.
37Wakati huo ikawa kwamba aliugua, akafa. Watu wakauosha mwili wake, wakauzika katika chumba ghorofani.
38Ya como jijot Lydda guiya Joppe, ya majungog ni y disipulo sija na gaegue güije si Pedro, matago dos taotao para iya güiya, para umagagao: munga atrasao na ufato guiya jame.
38Yopa si mbali sana na Luda; kwa hiyo wafuasi waliposikia kwamba Petro alikuwa Luda, wakawatuma watu wawili kwake na ujumbe: "Njoo kwetu haraka iwezekanavyo."
39Ayonae cajulo si Pedro, ya jumanao mañisija. Ya anae matogüe, macone guato gui aposento gui san jilo; ya todo y manbiuda manotojgue gui oriyaña ya manatanges ya mafanue ni y magago sija ni y finatinas Dorcas anae manisija.
39Basi, Petro akaenda pamoja nao. Alipofika alipelekwa ghorofani katika kile chumba. Huko wajane wengi walimzunguka Petro wakilia na kumwonyesha makoti na nguo ambazo Dorka alikuwa akitengeneza wakati alipokuwa hai.
40Lao ninafañuja as Pedro, ya dumimo ya manaetae; ya jabira güe guato gui tataotao, ya ilegña: Tabita, cajulo. Ya jababa y atadogña: ya anae jalie si Pedro matachong julo.
40Petro aliwatoa nje wote, akapiga magoti, akasali. Kisha akamgeukia yule maiti, akasema, "Tabitha, amka" Naye akafumbua macho yake na alipomwona Petro, akaketi.
41Ya janae si Pedro ni y canaeña, ya jinatsa güe julo; ya si Pedro jaagang todo y mañantos yan y manbiuda, ya japresenta na lâlâ.
41Petro akamsaidia kusimama, halafu akawaita wale watu wa Mungu na wale wajane, akamkabidhi kwao akiwa mzima.
42Ya matungo todo guiya Joppe; ya megae manmanjonggue ni y Señot.
42Habari ya tukio hili ilienea kila mahali huko Yopa, na watu wengi wakamwamini Bwana.
43Ya susede na sumaga si Pedro guiya Joppe megae na jaane gui guima un taotao na y naanña si Simon titumo.
43Petro alikaa siku kadhaa huko Yopa, akiishi kwa mtu mmoja mtengenezaji wa ngozi aitwaye Simoni.