Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Acts

10

1YA estaba güije un taotao guiya Sesarea na y naanña si Cornelio, ya senturion y inetnon sendalo na mafanaan, inetnon Italiano.
1Kulikuwa na mtu mmoja huko Kaisarea aitwaye Kornelio, Jemadari wa kikosi kimoja kiitwacho "Kikosi cha Italia."
2Deboto na taotao, yan maañao as Yuus contodo y guimaña, ni y janae limosna gui taotao, yan jatatayuyutja siempre si Yuus.
2Alikuwa mtu mwema; naye pamoja na jamaa yake yote walimcha Mungu; alikuwa anafanya mengi kusaidia maskini wa Kiyahudi na alikuwa anasali daima.
3Jalie gui vision claroja y angjet Yuus na mamamaela guiya güiya gui mina nuebe na ora gui jaane, ya ilelegña nu güiya: Cornelio.
3Yapata saa tisa mchana, aliona dhahiri katika maono malaika wa Mungu akiingia ndani na kumwambia, "Kornelio!"
4Ya anae jaatan, ninamaañao, ya ilegña: Jafa Señot? Ya ilegña nu güiya: Y tinayuyutmo yan y limosnamo, manmato julo para umajaso gui menan Yuus.
4Kornelio alimkodolea macho huyo malaika kwa hofu, akamwambia, "Kuna nini Mheshimiwa?" Huyo malaika akamwambia, "Mungu amezipokea sala na sadaka zako kwa maskini.
5Ya pago, fanago lalaje para Joppe, ya umacone mague si Simon ni y apeyiduña Pedro:
5Sasa, watume watu Yopa wakamwite mtu mmoja aitwaye Simoni, kwa jina lingine Petro.
6Güiya sumasaga yan un Simon titumo, na y guimaña gaegue gui oriyan tase.
6Yeye yumo nyumbani kwa Simoni mtengenezaji wa ngozi ambaye nyumba yake iko karibu na bahari."
7Ya anae mapos y augjet ni y cumuentutuse güe jaagang dos gui tentagoña gui guimaña yan un sendalo na deboto guiya sija, ni y maayuyuda güe siempre;
7Huyo malaika aliyesema hayo alipokwisha kwenda zake, Kornelio aliwaita watumishi wawili wa nyumbani na mmoja wa askari zake ambaye alikuwa mcha Mungu,
8Ya anae jasangane sija todo ni este na güinaja, jatago sija para Joppe.
8akawaeleza yote yaliyotukia, akawatuma Yopa.
9¶ Ya y inagpaña anae manjajanao gui jinanaoñija, ya manjijot gui siuda, cajulo si Pedro gui jilo guma para ufanaetae, gui mina saes na ora.
9Kesho yake, hao watu watatu wakiwa bado safarini, lakini karibu kufika Yopa, Petro alipanda juu ya paa la nyumba yapata saa sita mchana ili kusali.
10Ya mato y niñalangña, ya malago na uchocho: ya mientras mafamaulilique naña nu sija, malingo y jinasoña.
10Aliona njaa, akatamani kupata chakula. Chakula kilipokuwa kinatayarishwa, alipatwa na usingizi mzito akaona maono.
11Ya jalie y langet na mababa, yan un nayan na tumunog para iya güiya, taegüije y dangculon sabanas na magogode y cuatro punta ya mapolo papa, gui jilo tano;
11Aliona mbingu zimefunguliwa na kitu kama shuka kubwa inateremshwa chini ikiwa imeshikwa pembe zake nne.
12Ya mañañajguan todo clasen gâgâ ni y cuatro patasñija, yan y gâgâ ni y mangucunanaf gui jilo y tano, yan y pajaro sija gui aire.
12Ndani ya shuka hiyo kulikuwa na kila aina ya wanyama: wanyama wenye miguu minne, wanyama watambaao na ndege wa angani.
13Ya mato un inagang guiya güiya, ilegña: Cajulo Pedro: puno ya uncano.
13Akasikia sauti ikimwambia: "Petro, amka uchinje, ule!"
14Lao si Pedro ilegña: Aje Señot; sa guajo ti guinen juchocho ni jafa na güinaja ni y comun pat áplacha.
14Petro akajibu, "La, Bwana; mimi sijaonja kamwe chochote ambacho ni najisi au kichafu."
15Ya y inagang mato guiya güiya talo gui mina dos biaje, ilegña: Jafa y janagasgas si Yuus, chamo fumatitinas comun.
15Ile sauti ikasikika tena ikimwambia: "Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa!"
16Ya este mafatinas pot tres biaje; ya enseguidas y nayan machule julo talo gui langet.
16Jambo hili lilifanyika mara tatu, kisha ile shuka ikarudishwa juu mbinguni.
17¶ Ya mientras bumuebuente gui sumenjalom si Pedro ni y jafa liniiña na vision, estagüiya sija y taotao ni y manmatago guinin as Cornelio, na manmamamaesen ni y guima Simon ya manotojgue gui trangca.
17Petro alipokuwa bado anashangaa juu ya maana ya hilo maono alilokuwa ameliona, wale watu waliotumwa na Kornelio, baada ya kuigundua nyumba ya Simoni, walifika mlangoni,
18Ya managang, ya manmamaesen cao sumasaga güije si Simon ni y apiyiduña Pedro.
18Wakaita kwa sauti: "Je, kuna mgeni humu aitwaye Simoni Petro?"
19Ya mientras jajajaso si Pedro y vision, y Espiritu ilegña nu güiya: Estagüe tres taotao na maaliligao jao.
19Petro alikuwa bado anajaribu kuelewa lile maono, na hapo Roho akamwambia, "Sikiliza! kuna watu watatu hapa, wanakutafuta.
20Cajulo ya tunog papa, chamo bumuebuente na unjanao yan sija, sa guajo tumago sija.
20Shuka upesi na wala usisite kwenda pamoja nao kwa maana ni mimi niliyewatuma."
21Ya si Pedro tumunog papa para ayo taotao sija ya ilegña: Estagüiyayo ni y inaliligao; jafa guaja na inaliligaoyo?
21Basi, Petro akateremka chini, akawaambia hao watu, "Mimi ndiye mnayemtafuta. Kwa nini mmekuja?"
22Ya sija ilegñija: Si Cornelio ni y senturion, un taotao na tunas yan maañao as Yuus, yan guaja mauleg na testimonio gui entalo todo y nasion y Judio sija, sa ninatungo as Yuus pot y Santos na angjet ni y tinago jao na unjalom gui guimaña, ya ufanjungog finijo guiya jago.
22Wao wakamjibu, "Jemadari Kornelio ambaye ni mtu mwema, mcha Mungu na mwenye kuheshimika mbele ya Wayahudi wote ametutuma. Aliambiwa na malaika mtakatifu akualike nyumbani kwake ili asikilize chochote ulicho nacho cha kusema."
23¶ Ya jaagang sija na ufanjalom, ya ufañaga. Ya y inagpaña jumanao si Pedro yan sija, yan palo gui mañelo ni y manguinin Joppe maosgaejon güe,
23Petro akawaalika ndani, akawapa mahali pa kulala usiku ule. Kesho yake, Petro alianza safari pamoja nao, na baadhi ya ndugu wa huko Yopa walifuatana naye.
24Ya y inagpaña talo na jaane, manjalom Sesarea. Ya manninanangga as Cornelio, ya jaagange y manparientesña yan y amiguña sija ni y guesmanatungo.
24Siku ya pili yake, walifika Kaisarea na huko Kornelio alikuwa anawangojea pamoja na jamaa na marafiki aliokuwa amewaalika.
25Ya susede anae jumalom si Pedro, na tinagam as Cornelio, ya dumimo papa ya inadora güe.
25Petro alipokuwa anaingia, Kornelio alitoka nje kumlaki, akapiga magoti mbele yake na kuinama chini kabisa.
26Lao jinatsa as Pedro, ya ilegña: Tojgue julo, sa guajo taotaojayo locue.
26Lakini Petro alimwinua, akamwambia, "Simama, kwa maana mimi ni binadamu tu."
27Ya anae cumuecuentos y dos, jumalom, ya jasoda megae ni y manmato ya mandaña;
27Petro aliendelea kuongea na Kornelio wakiwa wanaingia nyumbani ambamo aliwakuta watu wengi wamekusanyika.
28Ya si Pedro ilegña nu sija: Intingoja na ti combiene y Judios na taotao na udaña patseno ufato gui otro na nasion; lao jasanganeyo si Yuus na chajo umaalog ni jaye na taotao na áplacha, pat comun:
28Petro akawaambia, "Ninyi wenyewe mnajua kwamba Myahudi yeyote amekatazwa na Sheria yake ya dini kushirikiana na watu wa mataifa mengine. Lakini Mungu amenijulisha nisimfikirie mtu yeyote kuwa najisi au mchafu.
29Enaomina matoyo guiya jamyo, sin jafa na sinangan, enseguidas qui matagoyo. Ya jufaesen jamyo jafa malagonmiyo na innamaagangeyo?
29Kwa sababu hiyo, mliponiita nimekuja bila kusita. Basi, nawaulizeni: kwa nini mmeniita?"
30Ya si Cornelio ilegña: Cuatro na jaane asta este na ora, estabayo juadadaje y mina nuebe na oran tinayuyut gui jalom gumajo, ya estaba un taotao na tumotojgue gui menajo na malag magaguña.
30Kornelio akasema, "Siku tatu zilizopita saa kama hii, saa tisa alasiri, nilikuwa nikisali chumbani mwangu. Ghafla, mtu aliyekuwa amevaa mavazi yenye kun'gaa alisimama mbele yangu,
31Ya ilelegña: Cornelio, y tinayuyutmo majungog, yan y limosnamo manmajaso gui menan Yuus.
31akasema: Kornelio! Sala yako na sadaka zako kwa maskini vimekubaliwa na Mungu.
32Fanago para Joppe, ya umaagange si Simon, ni y apiyiduña Pedro: na sumasaga gui guima un Simon titumo, gui oriyan tase;
32Mtume mtu Yopa akamwite mtu mmoja aitwaye Simoni, kwa jina lingine Petroi; yuko nyumbani kwa Simoni mtengenezaji wa ngozi karibu na bahari.
33Enaomina enseguidas junamaagange jao; ya mauleg finatinasmo sa mato jao. Pago estagüejit todos gui menan Yuus, para injingog todo y tinago jao as Señot.
33Kwa hiyo nilikutumia ujumbe bila kuchelewa, nawe umefanya vyema kuja. Sasa, sisi tuko mbele ya Mungu, kusikiliza chochote ambacho bwana amekuamuru kusema."
34¶ Ayonae si Pedro, jababa y pachotña, ya ilegña: Jutungo magajet na si Yuus taya janasasajnge taotao.
34Hapo Petro akaanza kusema: "Sasa nimetambua kwamba hakika Mungu hana ubaguzi.
35Lao gui todo na nasion masqueseaja jaye ni y maaañao nu güiya, yan jafatitinas y tininas, ayo jaguaeya.
35Mtu wa taifa lolote anayemcha Mungu na kutenda haki anapokelewa naye.
36Y sinangan ni y janamanajanao si Yuus para y famaguon Israel, mapredica y pas pot si Jesucristo: (güiya y Señot para todo)--
36Huu ndio ule ujumbe Mungu alioupeleka kwa watu wa Israeli, akitangaza Habari Njema iletayo amani kwa njia ya Yesu Kristo ambaye ni Bwana wa wote.
37Ayo na sinangan, jamyo intingoja y masanganñaejon todo guiya Judea, ya matutujon guiya Galilea, despues di y tinagpange ni y japredica si Juan:
37Ninyi mnajua jambo lililotukia katika nchi yote ya Wayahudi kuanzia Galilaya baada ya ule ubatizo aliohubiri Yohane.
38Güiya si Jesus Nasareno; jaftaemano si Yuus japalae ni y Espiritu Santo yan y ninasiña: ya jumajanao ya jafatitinas y mauleg, yan janafanjomlo todo ayo sija y manchinichiguet ni y anite; sa sumisija yan Yuus.
38Mnajua Yesu wa Nazareti na jinsi Mungu alivyomteua kwa kummiminia Roho Mtakatifu na nguvu. Mungu alikuwa pamoja naye; yeye alikwenda huko na huko akitenda mema na kuwaponya wote waliokuwa wamevamiwa na Ibilisi.
39Ya jame mantestigo todo y güinaja ni y finatinasña gui tano Judios, yan iya Jerusalem; ayo y japuno sija, ya jacana gui trongcon jayo:
39Sisi ni mashahidi wa mambo yote aliyotenda katika nchi ya Wayahudi na katika Yerusalemu. Walimuua kwa kumtundika msalabani;
40Güiya ninacajulo as Yuus gui mina tres na jaane, ya japolo ya ufinanue güe senclaroja,
40lakini Mungu alimfufua siku ya tatu, akamfanya aonekane
41Ti para todo y taotao, lao para y testigo sija ni y manmaayeg antes as Yuus; junggan, para jita, ni y guinin manjita mañocho yan manguimen despues di cajulo guinin y manmatae.
41si kwa watu wote ila kwa wale Mungu aliokwisha wachagua wawe mashahidi wake, yaani sisi tuliokula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuka kwake kutoka wafu.
42Ya jatagojit na tapredica gui taotao sija, yan tanamatungo na güiya tinancho as Yuus para ujuyong Jues y manlalâlâ yan y manmatae.
42Alituamuru kuihubiri Habari Njema kwa watu wote na kushuhudia kwamba yeye ndiye aliyeteuliwa na Mungu awe Mwamuzi wa wazima na wafu.
43Pot güiya na manmannae todo y profeta testimonio, na pot y naanña, jayeja y jumongue güe uresibe inasiin y isao.
43Manabii wote waliongea juu yake kwamba kila mtu atakayemwamini atasamehewa dhambi zake zote kwa jina lake."
44¶ Ya mientras jasanganja trabia si Pedro este sija na sinangan, y Espiritu Santo podong gui jilo ayo sija todo y jumujungog y sinangan.
44Wakati Petro alipokuwa bado anasema maneno hayo, Roho Mtakatifu aliwashukia wote waliokuwa wanasikiliza ujumbe huo.
45Ya ayo sija y manmasirconsida ni y manmanjonggue, ninafanmanman, ya megae manmato as Pedro, sa asta y Gentiles locue manmachudae ni y ninaen y Espiritu Santo.
45Wale Wayahudi waumini waliokuja pamoja na Petro kutoka Yopa walishangaa kuona kuwa Mungu aliwamiminia zawadi ya Roho Mtakatifu watu wa mataifa mengine pia;
46Sa jajungog na manguecuentos ni y jilañija, ya manadangculo si Yuus. Ayonae manope si Pedro, ilegña:
46maana waliwasikia wakiongea kwa lugha mbalimbali wakimtukuza Mungu. Hapo Petro akasema,
47Jaye siña na taotao chumoma y janom para ti ufanmatagpange este sija y rumesibe y Espiritu Santo taegüine iya jita?
47"Watu hawa wamempokea Roho Mtakatifu kama sisi wenyewe tulivyompokea. Je, kuna yeyote atakayeweza kuwazuia wasibatizwe kwa maji?"
48Ya jatago sija na ujafanmatagpange ni y naan Jesucristo. Ya matayuyut güe na ufañaga unos cuantos na jaane.
48Basi, akaamuru wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo. Kisha wakamwomba akae nao kwa siku chache.