Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

John

3

1YA guaja un taotao Fariseo na naanña si Nicodemo, prinsipe y Judiosija.
1Kulikuwa na kiongozi mmoja Myahudi, wa kikundi cha Mafarisayo, jina lake Nikodemo.
2Este mato gui as Jesus gui puenge ya ilegna nu güiya: Rabi, jame intingo na jago maestro guine as Yuus, sa taya siña fumatinas este sija na señat, ni unfatitinas, yaguin ti sumisija yan Yuus.
2Siku moja alimwendea Yesu usiku, akamwambia, "Rabi, tunajua kwamba wewe ni mwalimu uliyetumwa na Mungu, maana hakuna mtu awezaye kufanya ishara unazozifanya Mungu asipokuwa pamoja naye."
3Ynepe as Jesus ya ilegña nu güiya: Magajet ya magajet y jusangane jao, na y ti mafañago talo, ti siña jalie y raenon Yuus.
3Yesu akamwambia, "Kweli nakwambia, mtu asipozaliwa upya hataweza kuuona ufalme wa Mungu."
4Ylegña nu güiya si Nicodemo: Jafa muna siña y taotao mafañago yaguin este biju; siña güe jumalom dos biaje, talo gui jalom y tiyan nanaña ya umafañago?
4Nikodemo akamwuliza, "Mtu mzima awezaje kuzaliwa tena? Hawezi kuingia tumboni mwa mama yake na kuzaliwa mara ya pili!"
5Ynepe as Jesus: Magajet ya magajet jusangane jao, na y ti mafañago ni janom yan ni iyon Espiritu, ti siña jumalom gui raenon Yuus.
5Yesu akamjibu, "Kweli nakwambia, mtu asipozaliwa kwa maji na Roho, hawezi kamwe kuingia katika ufalme wa Mungu.
6Todo y mafañago ni guine catne, catneja güe; ya y mafañago guine Espiritu, espirituja güe.
6Mtu huzaliwa kimwili kwa baba na mama, lakini huzaliwa kiroho kwa Roho.
7Chamo ninamamanman ni jusangane jao: Y nesesita jamyo na mafañago talo.
7Usistaajabu kwamba nimekwambia kuwa ni lazima kuzaliwa upya.
8Y manglo manguaefe mano malagoña, ya unjungog y bengbengña, lao ti untungo guine manu mague, ni tampoco para manu guato. Taegüenao todo ayo y manmafañago guine Espiritu.
8Upepo huvuma kuelekea upendako; waisikia sauti yake, lakini hujui unakotoka wala unakokwenda. Ndivyo ilivyo kwa mtu aliyezaliwa kwa Roho."
9Si Nicodemo manope ya ilegña: Jafa muna siña este?
9Nikodemo akamwuliza, "Mambo haya yanawezekanaje?"
10Ynepe as Jesus ya ilegña nu güiya: Jago un maestro guiya Israel ya ti untungo este?
10Yesu akamjibu, "Je, wewe ni mwalimu katika Israel na huyajui mambo haya?
11Magajet ya magajet jusangane jao, Y tatungo, tasangan; ya y talie tadeclara, ya ti inresibe y testimoniota.
11Kweli nakwambia, sisi twasema tunayoyajua na kushuhudia tuliyoyaona, lakini ninyi hamkubali ujumbe wetu.
12Yaguin jusangane jao güinajan tano, ya ti unjonggue, jafa taemano unjonggue yaguin jusangane jao güinajan langet?
12Ikiwa nimewaambieni mambo ya kidunia nanyi hamniamini, mtawezaje kuamini nikiwaambieni mambo ya mbinguni?
13Ya taya cajulo gui langet, güiyaja y tumunog guine y langet, güiya matungo, y Lajin taotao ni y gaegue gui langet,
13Hakuna mtu aliyepata kwenda juu mbinguni isipokuwa Mwana wa Mtu ambaye ameshuka kutoka mbinguni.
14Ya jaf taemanoja si Moises janacajulo y serpiente gui desierto, taegüijeja na nesesita na y Lajin taotao umanacajulo.
14"Kama vile Mose alivyomwinua juu nyoka wa shaba kule jangwani, naye Mwana wa Mtu atainuliwa juu vivyo hivyo,
15Para todo ayo y jumonggue güe, ti siña malingo, ya guaja linâlâña na taejinecog.
15ili kila anayemwamini awe na uzima wa milele.
16¶ Sa taegüenao na jaguaeya si Yuus y tano, janae ni linilisja Lajiña y para todo ayo y jumonggue güe, ti siña malingo, ya guaja linâlâña na taejinecog.
16Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
17Sa ti jatago si Yuus y Lajiña guato gui tano, para usapit y tano, lao para y tano unalibre pot güiya.
17Maana Mungu hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe ulimwengu.
18Y jumonggue güe, ti umasapit; ayo y ti jumonggue güe ayo umasapit, sa ti manjonggue ni naan unoja na Lajin Yuus.
18"Anayemwamini Mwana hahukumiwi; asiyemwamini amekwisha hukumiwa kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu.
19Ya este na sinapit, na y inina malag y tano, ya y taotao sija gaonñija y jemjom qui y inina, sa y finatinasñija taelaye.
19Na hukumu yenyewe ndiyo hii: Mwanga umekuja ulimwenguni lakini watu wakapenda giza kuliko mwanga, kwani matendo yao ni maovu.
20Sa todo ayo y fumatinas y taelaye, chatlie y inina, ya ti malag y inina, sa y chechoña no sea umareprende.
20Kila mtu atendaye maovu anauchukia mwanga, wala haji kwenye mwanga, maana hapendi matendo yake maovu yamulikwe.
21Ayo y fumatinas y magajet, malag y inina, para y unamatungo finatinasña, sa y finatinasña guine as Yuus.
21Lakini mwenye kuuzingatia ukweli huja kwenye mwanga, ili matendo yake yaonekane yametendwa kwa kumtii Mungu."
22¶ Despues di estesija, mato si Jesus yan y disipuluña sija, gui un tano Judea ya gaegue güije yan sija managpange.
22Baada ya hayo, Yesu alifika mkoani Yudea pamoja na wanafunzi wake. Alikaa huko pamoja nao kwa muda, akibatiza watu.
23Managpapange locue si Juan, guiya Enon, jijot guiya Salim, sa gaegue güije megae na janom: ya sija manmamaela, ya manmatagpange.
23Yohane pia alikuwa akibatiza watu huko Ainoni, karibu na Salemu, maana huko kulikuwa na maji mengi. Watu walimwendea, naye akawabatiza.
24Sa si Juan trabia ti mapopolo gui catset.
24(Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.)
25Ya guaja un inaguaguat entre sija yan y disipulon Juan yan y Judio sija pot y guinasgas.
25Ubishi ulitokea kati ya baadhi ya wanafunzi wa Yohane na Myahudi mmoja kuhusu desturi za kutawadha.
26Ya manmato gui as Juan, ya ilegñija nu güiya: Rabi, ayo y gaegue güije guinin iya jago, gui otro banda Jordan ni unnae testimonio, estagüe! na jatagpange, yan y todo y taotao manmato guiya güiya.
26Basi, wanafunzi hao wakamwendea Yohane na kumwambia, "Mwalimu, yule mtu aliyekuwa pamoja nawe ng'ambo ya Yordani na ambaye wewe ulimshuhudia, sasa naye anabatiza, na watu wote wanamwendea."
27Manope si Juan ilegña: Ti siña y taotao manresibe jafa, yaguin ti manae guine y langet.
27Yohane akawaambia, "Mtu hawezi kuwa na kitu asipopewa na Mungu.
28Jamyoja innae testimonio na guinin jusangan: Ti guajo si Jesucristo, lao guajo matago gui menaña.
28Nanyi wenyewe mwaweza kushuhudia kuwa nilisema: Mimi siye Kristo, lakini nimetumwa ili nimtangulie!
29Ya guaja asaguaña, güiya y nobio locue; lao amigon nobio, ni y tomotojgue ya jajujungogja, ya magof dangculo pot y sinangan y nobio. Taegüine pues este minagofjo esta macumple.
29Bibiarusi ni wake bwanaarusi, lakini rafiki yake bwana arusi, anayesimama na kusikiliza, hufurahi sana anapomsikia bwana arusi akisema. Ndivyo furaha yangu ilivyokamilishwa.
30Güiya siempre, lumálamodong; ya guajo manaladiquique.
30Ni lazima yeye azidi kuwa maarufu, na mimi nipungue.
31¶ Y guinin jila mague, güiya mas taquilo qui todo; ya y iyon y tano, tanoja güe, ya iyon y tanoja jasasangan; ya y mamaela guine langet, güiya iyajululo.
31"Anayekuja kutoka juu ni mkuu kuliko wote; atokaye duniani ni wa dunia, na huongea mambo ya kidunia. Lakini anayekuja kutoka mbinguni ni mkuu kuliko wote.
32Tanae testimonio, nu y lumie ya jajungog, ya taya rumesibe y testimonioña.
32Yeye husema yale aliyoyaona na kuyasikia, lakini hakuna mtu anayekubali ujumbe wake.
33Ya y rumesibe y testimonioña, este sumeyo na si Yuus, güiya magajet.
33Lakini mtu yeyote anayekubali ujumbe wake anathibitisha kwamba Mungu ni kweli.
34Sa y tinago as Yuus, y fino Yuus jasangan; sa si Yuus ti mannanae güe ni y Espiritu pot medida.
34Yule aliyetumwa na Mungu husema maneno ya Mungu, maana Mungu humjalia mtu huyo Roho wake bila kipimo.
35Sa y tata yaña y Lajiña ya todo y güinaja japolo gui canaeña.
35Baba anampenda Mwana na amemkabidhi vitu vyote.
36Y jumonggue y Lajiña guaja taejinecog na linâlâ; ya ayo y ti manjonggue y Lajiña, ti ulie linâlâ, lao y binibon Yuus gaegue gui jiloña.
36Anayemwamini Mwana anao uzima wa milele; asiyemtii Mwana hatakuwa na uzima wa milele, bali ghadhabu ya Mungu hubaki juu yake."