1Y mina tres na jaane, mafatinas y guipot umasagua, gui Cana, siudan Galilea, ya y nanaña si Jesus gaegue güije.
1Siku ya tatu kulikuwa na arusi mjini Kana, mkoani Galilaya. Mama yake Yesu alikuwapo,
2Ya si Jesus yan y disipuluña maagange locue para y guipot umasagua.
2naye Yesu alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake.
3Anae taya y bino, y nanaña si Jesus ilegña nu güiya: Taya binoñija.
3Divai ilipokwisha, mama yake akamwambia, "Hawana divai!"
4Ya ilegña nu güiya si Jesus: Pot jafayo na juentalo nu jago, palaoan? trabia ti mafato y orajo.
4Yesu akamjibu, "Mama, usiniambie la kufanya. Saa yangu bado."
5Si nanaña ilegña ni manmañeñetbe: Fatinas todo y tinagoña.
5Hapo mama yake akawaambia watumishi, "Lolote atakalowaambieni, fanyeni."
6Y estaba güije saes lauyan acho, parejoja yan y guinasgasñija y Judios, na manulat, cada uno, dos pat tres cantaro.
6Hapo palikuwa na mitungi sita ya mawe, ambayo kila mmoja uliweza kuchukua kiasi cha madebe mawili au matatu. Ilikuwa imewekwa hapo kufuatana na desturi ya Kiyahudi ya kutawadha.
7Ylegña si Jesus nu sija: Nafanbula este sija lauyan janom. Ya manafanbula asta y pachot.
7Yesu akawaambia, "Ijazeni mitungi hiyo maji." Nao wakaijaza mpaka juu.
8Ya ilegña nu sija: Chile pago ya innae y maestrosala; ya machule.
8Kisha akawaambia, "Sasa choteni mkampelekee mkuu wa karamu."
9Ya anae y maestrosala jachague y janom na mafatimas bino, ya ti jatungo guine mano: (lao y manmañeñetbe tumungo, na jachule y janom), y maestrosala jaagange y nobio;
9Mkuu wa karamu alipoonja hayo maji, kumbe yalikuwa yamegeuka kuwa divai. Yeye hakujua ilikotoka, (lakini wale watumishi waliochota maji walijua). Mkuu wa karamu akamwita bwana arusi,
10Ya ilegña nu güiya: Todo y taotao janafofona y mauleg na bino; ya yaguin esta manjaspog, ayo nae y mas manaelaye: lao jago unnanana y mauleg na bino asta pago.
10akamwambia, "Kila mtu huandaa divai nzuri kwanza hata wakisha tosheka huandaa ile hafifu. Lakini wewe umeiweka divai nzuri mpaka sasa!"
11Este na tutujon y señatña sija, jafatinas si Jesus, guiya Cana suidan Galilea, ya janamatungo y minalagña; ya y disipuluña sija majonggue güe.
11Yesu alifanya ishara hii ya kwanza huko Kana, Galilaya, akaonyesha utukufu wake; nao wanafunzi wake wakamwamini.
12Despues di este tumunog guiya Capernaum, güiya yan y mañeluña yan y disipuluña sija, ya mañaga güije ti megae na jaane.
12Baada ya hayo, Yesu alishuka pamoja na mama yake, ndugu zake na wanafunzi wake, wakaenda Kafarnaumu ambako walikaa kwa siku chache.
13¶ Y estaba güije jijot y pascuan y Judios, ya si Jesus cajulo guiya Jerusalem.
13Sikukuu ya Wayahudi ya Pasaka ilikuwa imekaribia; hivyo Yesu akaenda Yerusalemu.
14Ya jasoda gui guimayuus manmanbebende y nubiyo yan y quinilo, yan y paluma, yan y manmanulalaeca manmatatachong:
14Hekaluni aliwakuta watu wakiuza ng'ombe, kondoo na njiwa, na wavunja fedha walikuwa wamekaa kwenye meza zao.
15Ya mañaolag ni tale, ya janafanmalago todo gui guimayuus, yan y quinilo, yan y nubiyo; yan y machapon y salape y manmanulalaeca, yan manaalinquin y lamasa,
15Akatengeneza mjeledi wa kamba, akawafukuza wote nje ya Hekalu pamoja na kondoo na ng'ombe wao, akazimwaga sarafu za wenye kuvunja fedha na kupindua meza zao.
16Ya ilegña ni manmanbebende ni paluma: Nafanjanao güine este sija na güinaja, ya chamiyo fumatitinas y guima tata, guima namajan.
16Akawaambia wale waliokuwa wanauza njiwa, "Ondoeni vitu hivi hapa. Msiifanye nyumba ya Baba yangu kuwa soko!"
17Entonses manmanjaso y disipuluña ni estaba matugue: Ynigo y guimamo cumano yo.
17Wanafunzi wake wakakumbuka kwamba Maandiko yasema: "Upendo wangu kwa nyumba yako waniua."
18¶ Y Judio sija manmanope ya ilegñija; Jafa na señat unfanuejam taegüije ayo, sa jago unfatinas este sija na güinaja?
18Baadhi ya Wayahudi wakamwuliza Yesu, "Utafanya muujiza gani kuonyesha kwamba unayo haki kufanya mambo haya?"
19Si Jesus manope ya ilegña: Yulang este na gumayuus, ya y tres na jaane; junacajulo talo.
19Yesu akawaambia, "Vunjeni Hekalu hili, nami nitalijenga kwa siku tatu."
20Ayonae y Judio sija ilegñija: Gui cuarentaisaes años manacajulo este na gumayuus, ya jago, gui tres na jaane, unacajulo?
20Hapo Wayahudi wakasema, "Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka arobaini na sita. Je, wewe utalijenga kwa siku tatu?"
21Lao güiya umadingan ni guima tataotaoña.
21Lakini Yesu alikuwa anaongea juu ya Hekalu ambalo ni mwili wake.
22Enao mina anae cajulo guine manmatae, y disipuluña jajaso na munjayan jasangane este, ya manmanjonggue ni tinigue sija yan y sinangan ni jasangan si Jesus.
22Basi, alipofufuliwa kutoka wafu, wanafunzi wake walikumbuka kwamba alikuwa amesema hayo, wakaamini Maandiko Matakatifu na yale maneno aliyokuwa akisema Yesu.
23¶ Ya, güiya gaegue guiya Jerusalem gui pascua, y jaane ni guipot, ya megae manmanjonggue ni naanña, anae malie sija y señatña sija ni jafatinas.
23Yesu alipokuwa Yerusalemu kwa sikukuu ya Pasaka, watu wengi walimwamini walipoona ishara alizozifanya.
24Lao si Jesus namaesa, ti jaangoco güe guiya sija, sa güiya jatungo todo taotao,
24Lakini Yesu hakuwa na imani nao kwa sababu aliwajua wote.
25Ya taya nesesida na jaye unae testimonio ni taotao, sa güiya tumungo y guaja gui jalom taotao.
25Hakuhitaji kuambiwa chochote juu ya watu, maana aliyajua barabara mambo yote yaliyomo mioyoni mwao.