Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

John

1

1Y tutujonña gaegue y Finijo, ya y Finijo güiya yan si Yuus; ya y Finijo güiya si Yuus.
1Hapo Mwanzo, Neno alikuwako; naye alikuwa na Mungu, naye alikuwa Mungu.
2Güiya gaegue gui tutujonña yan si Yuus.
2Tangu mwanzo Neno alikuwa na Mungu.
3Todo y güinaja sija manmafatinas pot güiya; yaguin ti pot güiya, taya ni esta mafatinas, nu y gaegue gui finatinas sija.
3Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye.
4Y linâlâ gaegue guiya güiya, ya y linâlâ, güiya y candet y taotao sija.
4Yeye alikuwa chanzo cha uhai na uhai huo ulikuwa mwanga wa watu.
5Ya y candet gui jalom jomjom maniina, ya y jemjom ti matungo.
5Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda.
6Y un taotao ni manafato guine as Yuus, y naanña si Juan.
6Mungu alimtuma mtu mmoja jina lake Yohane,
7Güiya mamaela para testimonio, para ufannae testimonio nu y candet, para ufanmanjonggue todo y taotao pot güiya.
7ambaye alikuja kuwaambia watu juu ya huo mwanga. Alikuja ili kwa ujumbe wake watu wote wapate kuamini.
8Güiya ti y candet, lao mamaela para ufannae testimonio nu y candet.
8Yeye hakuwa huo mwanga, ila alikuja tu kuwaambia watu juu ya huo mwanga.
9Ayo y magajet na candet ni maniina y todo taotao, na mamamaela güine gui tano.
9Huu ndio mwanga halisi, mwanga unaokuja ulimwenguni, na kuwaangazia watu wote.
10Güiya gaegue gui tano, ya y tano mafatinas pot güiya, ya y tano ti matungo güe.
10Basi, Neno alikuwako ulimwenguni; na kwa njia yake ulimwengu uliumbwa, lakini ulimwengu haukumtambua.
11Güiya mato gui iyoña ya iyoña ti marisibe güe.
11Alikuja katika nchi yake mwenyewe, nao walio wake hawakumpokea.
12Lao todo y rumesibe güe, güiya janae ninasiñanñija para ufamaguon Yuus; junggan, para todo ni y jumonggue y naanña.
12Lakini wale wote waliompokea na kumwamini, hao aliwapa uwezo wa kuwa watoto wa Mungu.
13Sija manmalilis ti guinin y jâgâ, ya ti guinin y minagof y catne, ya ti guinin minagof y taotao, lao guinin as Yuus.
13Hawa wamekuwa watoto wa Mungu si kwa uwezo wa kibinadamu, wala kwa nguvu za kimwili, wala kwa mapenzi ya mtu, bali Mungu mwenyewe ndiye baba yao.
14Ya ayo na Finijo mamacatne ya sumaga guiya jita (ya talie y minalagña, ayo na minalag taegüije y linilisja gui tata), bula y grasia yan y minagajet.
14Naye Neno akawa mwanadamu, akakaa kwetu. Nasi tumeuona utukufu wake, utukufu wake yeye aliye Mwana wa pekee wa Baba; amejaa neema na ukweli.
15Si Juan manae testimonio nu güiya ya umagang ya ilegña: Güiya ayo y jusasangan: y mamaela gui tateco, güiya dangculoña qui guajo, sa güiya finenena qui guajo.
15Yohane aliwaambia watu habari zake, akasema kwa sauti, "Huyu ndiye niliyemtaja wakati niliposema: Anakuja mtu mmoja baada yangu ambaye ni mkuu kuliko mimi, maana alikuwako kabla mimi sijazaliwa."
16Gui binilaña manmañulijit todo, yan y grasia pot y grasia.
16Kutokana na ukamilifu wake sisi tumepokea neema mfululizo.
17Sa y tinago sija pot si Moises esta manae, lao y grasia yan y minagajet, pot si Jesucristo namanmato.
17Maana Mungu alitoa Sheria kwa njia ya Mose, lakini neema na kweli vimekuja kwa njia ya Kristo.
18Si Yuus, taya taotao lumie, taya na tiempo, ayo na Lajiña, y linilisja, na gaegue san jalom y pechon tata, güiya jafanue jit nu güiya.
18Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote ule. Mwana wa pekee aliye sawa na Mungu ambaye ameungana na Baba, ndiye aliyetujulisha habari za Mungu.
19Ya este y testimonien Juan, anae y Judio sija manafanmato nu y mamale yan Lebita sija, guine Jerusalem, ni manmafasen: Jago, jaye jao?
19Huu ndio ushahidi Yohane alioutoa wakati viongozi wa Wayahudi kule Yerusalemu walipowatuma makuhani wa Walawi kwake wamwulize: "Wewe u nani?"
20Güiya jaconfesatñaejon ya ti japune, lao jaconfesatñaejon, ilegña: Guajo ti Jesucristo yo.
20Yohane hakukataa kujibu swali hilo, bali alisema waziwazi, "Mimi siye Kristo."
21Ya mafaesen: Jafa nae? Jago si Elias? Ya ilegña: Ti guajo yo. Jago ayo na profeta? Ya manope: Aje.
21Hapo wakamwuliza, "Basi, wewe ni nani? Je, wewe ni Eliya?" Yohane akajibu, "La, mimi siye." Wakamwuliza, "Je, wewe ni yule nabii?" Yohane akawajibu, "La!"
22Enaomina ilegñija nu güiya: Jaye jao? para siñajam infanmanope ni y tumago jam. Jafa ilelegmo nu jago namaesa?
22Nao wakamwuliza, "Basi, wewe ni nani? Wasema nini juu yako mwenyewe? Tuambie, ili tuwapelekee jibu wale waliotutuma."
23Ylegña: Guajo inagang yo nu y umaagang gui desierto; natunas y chalan señot, taegüije ilegña si Esaias profeta.
23Yohane akawajibu, "Mimi ndiye yule ambaye nabii Isaya alisema habari zake: Sauti ya mtu imesikika jangwani: Nyoosheni njia ya Bwana."
24Ya ayo sija ni namanmato ni y guinin Fariseo sija.
24Hao watu walikuwa wametumwa na Mafarisayo.
25Ya mafafaesen güe ya ilegñija nu güiya: Sajafa na managpangejao, yaguin ti jago si Jesucristo, ni si Elias, ni y ayo na profeta?
25Basi, wakamwuliza Yohane, "Kama wewe si Kristo, wala Eliya, wala yule nabii, mbona wabatiza?"
26Si Juan manope ilelegña: Guajo managpagpange an janom; mas y entalo miyo, guaja uno na ti intingo.
26Yohane akawajibu, "Mimi nabatiza kwa maji, lakini yuko mmoja kati yenu, msiyemjua bado.
27Este uje y mamaela gui tateco, y mas dangculo qui guajo, ya guajo ti dignoyo na jupula ni y coreas y sapatosña.
27Huyo anakuja baada yangu, lakini mimi sistahili hata kumfungua kamba za viatu vyake."
28Este sija finatinas guiya Betania y otra banda gui Jordan, anae managpagpange si Juan.
28Mambo haya yalifanyika huko Bethania, ng'ambo ya mto Yordani ambako Yohane alikuwa anabatiza.
29¶ Y siguiente na jaane jalie si Juan si Jesus na mamaela para iya güiya ya ilegña: Estagüe y corderon Yuus na janajanao y isao gui tano.
29Kesho yake, Yohane alimwona Yesu akimjia, akasema, "Huyu ndiye Mwana-kondoo wa Mungu aondoaye dhambi ya ulimwengu!
30Este yuje ileo, na y tateco mamamaela un laje y dangculoña qui guajo, sa güiya finenena qui guajo.
30Huyu ndiye niliyesema juu yake: Baada yangu anakuja mtu mmoja aliye mkuu zaidi kuliko mimi, maana alikuwako kabla mimi sijazaliwa!
31Ya guajo ti jutungo; lao para umafanue y Israel nu güiya, enao mina mato yo yan managpagpange yo an janom.
31Mimi mwenyewe sikumfahamu, lakini nimekuja kubatiza kwa maji ili watu wa Israeli wapate kumjua."
32Si Juan manae testiomonio ilegña: Julie y Espiritu ni tumutunog guinin y langet, taegüije y paluma ya sumaga gui jiloña.
32Huu ndio ushahidi Yohane alioutoa: "Nilimwona Roho akishuka kama njiwa kutoka mbinguni na kutua juu yake.
33Ya guajo ti jutungo güe, lao y munamamaela yo para ufanagpange an janom, ayo sumangane yo: Sobre ayo na unlie na tumunog y Espiritu ya sumaga guiya güiya, este uje y managpagpange ni Espiritu Santo.
33Mimi sikumjua, lakini yule aliyenituma nikabatize watu kwa maji alikuwa ameniambia: Mtu yule utakayemwona Roho akimshukia kutoka mbinguni na kukaa juu yake, huyo ndiye anayebatiza kwa Roho Mtakatifu.
34Ya guajo julie ya manae yo testimonio nu y güiya y Lajin Yuus.
34Mimi nimeona na ninawaambieni kwamba huyu ndiye Mwana wa Mungu."
35¶ Y siguiente na jaane tumalo manmatojgue si Juan yan dos gui disipuluña.
35Kesho yake, Yohane alikuwa tena mahali hapo pamoja na wanafunzi wake wawili.
36¶ Ya Jaatan si Jesus ni mamomocat güije, ya ilegña: Estagüe y Corderon Yuus.
36Alipomwona Yesu akipita akasema, "Tazameni! Huyu ndiye Mwana-kondoo wa Mungu."
37Ya majungog ni dos na disipuluña comequentosña yan madalalag si Jesus.
37Hao wanafunzi walimsikia Yohane akisema maneno hayo, wakamfuata Yesu.
38Ya jabira güe si Jesus ya jalie na madadalalag güe nu sija ya ilegña nu sija: Jafa inaliligao? Ya sija ilegñija: Rabi (este finijo comequeilegña, gui chamorro, Maestro) manu sagamo?
38Basi, Yesu aligeuka, na alipowaona hao wanafunzi wanamfuata, akawauliza, "Mnatafuta nini?" Nao wakamjibu, "Rabi (yaani Mwalimu), unakaa wapi?"
39Ylegña: mamaela ya unlie. Manmamaela ya jalie manu nae sumaga ya mañagaja yan güiya, güije na jaane, sa jijut y ora y mina dies.
39Yesu akawaambia, "Njoni, nanyi mtaona." Hao wanafunzi wakamfuata, wakaona mahali alipokuwa anakaa, wakashinda naye siku hiyo. Ilikuwa yapata saa kumi jioni.
40Si Andres y chelun Simon Pedro, güiya uno gui dos y jumungog umadingan an Juan, yan madalalag güe.
40Andrea, nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa hao wawili waliokuwa wamemsikia Yohane akisema hivyo, wakamfuata Yesu.
41Güiya jasoda finena y cheluña as Simon, ya ilegña nu güiya: Tasoda y Mesias (ni y cumequeilegña: güiya si Cristo).
41Andrea alimkuta kwanza Simoni, ndugu yake, akamwambia, "Tumemwona Masiha" (maana yake Kristo).
42Ya macone guato as Jesus; anae inatan as Jesus ilegña: Jago Simon, patgon Jonas: jago mafanaan Sefas (cumequeilegña: acho).
42Kisha akampeleka Simoni kwa Yesu. Naye Yesu akamtazama Simoni akasema, "Wewe ni Simoni mwana wa Yohane. Sasa utaitwa Kefa." (maana yake ni Petro, yaani, "Mwamba.")
43Y siguiente na jaane, malago si Jesus malag Galilea, ya jasoda si Felipe, taotao Betsaida, gui siudan Andres yan Pedro.
43Kesho yake Yesu aliamua kwenda Galilaya. Basi, akamkuta Filipo, akamwambia, "Nifuate."
45Si Felipe jasoda si Nataniel ya ilegña nu güiya: Esta tasoda ayo y jatugue si Moises gui tinago yan y profeta, Jesus, taotao Nasaret y patgon José.
44Filipo alikuwa mwenyeji wa Bethsaida, mji wa akina Andrea na Petro.
46Ya ilegña si Nataniel: Guinin Nasaret siña jumuyong minauleg? Ylegña si Felipe: maela ya unlie.
45Naye Filipo akamkuta Nathanieli, akamwambia, "Tumemwona yule ambaye Mose aliandika juu yake katika kitabu cha Sheria, na ambaye manabii waliandika habari zake, yaani Yesu Mwana wa Yosefu, kutoka Nazareti."
47Si Jesus jalie mamaela para iya güiya, si Nataniel, ya ilegña nu güiya: Estagüe senmagajet iyon Israel, na taya finababa guiya güiya.
46Naye Nathanieli akamwuliza Filipo, "Je, kitu chema chaweza kutoka Nazareti?" Filipo akamwambia, "Njoo uone."
48Ylegña nu güiya si Nataniel: Guine manu na untungo yo? Manope si Jesus ya ilegña nu güiya: Antes di si Felipe uninagang, na gaegue jao gui papa y ygos, guajo julie jao.
47Yesu alipomwona Nathanieli akimjia alisema juu yake, "Tazameni! Huyo ni Mwisraeli halisi: hamna hila ndani yake."
49Manope si Nataniel ya ilegña: Rabi, jago uje y lajin Yuus, jago uje y ray guiya Israel.
48Naye Nathanieli akamwuliza, "Umepataje kunijua?" Yesu akamwambia, "Ulipokuwa chini ya mtini hata kabla Filipo hajakuita, nilikuona."
50Manope si Jesus ya ilegña nu güiya: Sa jusangane jao, na julie jao gui papa y ygos, ya unjonggue? Jago unlie mandangculoña na güinaja qui este.
49Hapo Nathanieli akamwambia, "Mwalimu, wewe ni Mwana wa Mungu. Wewe ni Mfalme wa Israeli!"
51Ylegña nu güiya: Magajet ya magajet jusangane jao, y mamaela na tiempo nae unlie y langet mababa ya y angjet sija guine as Yuus mangajujulo yan manututunog gui jilo y Lajin taotao.
50Yesu akamwambia, "Je, umeamini kwa kuwa nimekwambia kwamba nilikuona chini ya mtini? Utaona makubwa zaidi kuliko haya."
51Yesu akaendelea kusema, "Nawaambieni kweli, mtaona mbingu zinafunguka na malaika wa Mungu wakipanda na kushuka juu ya Mwana wa Mtu."