Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Luke

24

1LAO y finenana na jaane gui semana, gui taftataf gui egaan, manmato gui naftan, mapmañuñule guato paopao ni y finamaulegñija.
1Jumapili, alfajiri na mapema, wale wanawake walikwenda kaburini wakichukua yale manukato waliyotayarisha.
2Ya masoda y acho na esta managalileg gui pettan y naftan.
2Walikuta lile jiwe limeviringishwa mbali na kaburi.
3Ya anae manjalom ti masoda y tataotao y Señot Jesus.
3Walipoingia ndani, hawakuona mwili wa Bwana Yesu.
4Ya anae manmajngang nu este, dos taotao tumotojgue gui oriyanñija, na minagagago ni y lamlam na magago.
4Walipokuwa bado wanashangaa juu ya jambo hilo, mara watu wawili waliovaa mavazi yenye kung'aa sana, wakasimama karibu nao.
5Ya anae ninafanmaañao ya manecon papa gui eda, ilegñija nu sija: Jafa muna inaliligao y lâlâ gui entalo y manmatae?
5Hao wanawake wakaingiwa na hofu, wakainama chini. Ndipo wale watu wakawaambia, "Kwa nini mnamtafuta aliye hai kati ya wafu?
6Taegüe güine, lao esta cajulo: jaso y mansinangane jamyo, anae estataba Galilea,
6Hayuko hapa; amefufuka. Kumbukeni aliyowaambieni alipokuwa kule Galilaya:
7Ylegña: Na nesesita na y Lajin taotao umaentrega gui canae y taotao sija ni manisao, y umaatane gui quiluus, ya ucajulo talo gui mina tres na jaane.
7Ni lazima Mwana wa Mtu atolewe kwa watu waovu, nao watamsulubisha, na siku ya tatu atafufuka."
8Ayonae jajaso sija y sinanganña,
8Hapo wanawake wakayakumbuka maneno yake,
9Ya manalo guato gui naftan ya jasangane y onse nu este sija, yan todo y pumalo.
9wakarudi kutoka kaburini, wakawapa mitume wale kumi na mmoja na wengine habari za mambo hayo yote.
10Ya sija si Maria Magdalena yan si Juana, yan si Maria nanan Santiago; yan y pumalo palaoan ni mangachongñija, sumangane y apostoles nu estesija.
10Hao waliotoa habari hizo kwa mitume ni: Maria Magdalene, Yoana na Maria mama wa Yakobo, pamoja na wanawake wengine walioandamana nao.
11Lao sija japolo na taetiningo, y sinanganñija ya ti majonggue.
11Mitume waliyachukua maneno hayo kama yasiyo na msingi, hivyo hawakuamini.
12¶ Ayonae cajulo si Pedro, ya malago asta y naftan: ya anae ñumejon ya jaatan jalom, jalilie y sabanasja gui un lugat, ya mapos güe iyasija ya ninamanman nu este y manmalofan.
12Lakini Petro alitoka, akaenda mbio hadi kaburini. Alipoinama kuchungulia ndani, akaiona tu ile sanda. Akarudi nyumbani huku akiwa anashangaa juu ya hayo yaliyotokea.
13¶ Ya, estagüe, dos guiya sija na jumajanao, güijeja na jaane, para un songsong ni naanña Emmaus, sesenta estadios desde Jerusalem.
13Siku hiyohiyo, wawili kati ya wafuasi wake Yesu wakawa wanakwenda katika kijiji kimoja kiitwacho Emau, umbali wa kilomita kumi na moja kutoka Yerusalemu.
14Ya cumuecuentos y dos mona pot todo estesija y masusede.
14Wakawa wanazungumza juu ya hayo yote yaliyotukia.
15Ya susede anae cumuecuentos y dos, ya manafaesen entre sija, mato si Jesus ya mañisija manjanao.
15Walipokuwa wakizungumza na kujadiliana, Yesu mwenyewe akatokea, akatembea pamoja nao.
16Lao y atadogñija calang manmatampe, para chañija tumutungo güe.
16Walimwona kwa macho, lakini hawakumtambua.
17Ya ilegña nu sija: Jafa na cuentosmimiyo uno yan otro, anae manajanao jamyo, ya mañaga ya ninafantriste?
17Akawauliza, "Mnazungumza nini huku mnatembea?" Nao wakasimama kimya, nyuso zao wamezikunja kwa huzuni.
18Inepe ni ayo y uno ni y naanña si Cleofas ya ilegña nu güiya: Ada sumagaja jao guiya Jerusalem, ya ti untungo jafa manmalofan güine sija na jaane?
18Mmoja, aitwaye Kleopa, akamjibu, "Je, wewe ni mgeni peke yako Yerusalemu ambaye hujui yaliyotukia huko siku hizi?"
19Ayonae ilegña nu sija: Jafa sija? Ya ilegñija nu güiya: Ayo sija iyon si Jesus Nasareno, ni profeta güe ni gaeninasiña gui checho yan y sinangan gui menan Yuus yan todo y taotao sija;
19Naye akawajibu, "Mambo gani?" Wao wakamjibu, "Mambo yaliyompata Yesu wa Nazareti. Yeye alikuwa nabii mwenye uwezo wa kutenda na kufundisha mbele ya Mungu na mbele ya watu wote.
20Ya maentrega, gui magas mamale yan y magalajenmame para umasentensia ni y finatae, ya maatane gui quiluus.
20Makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, wakamsulubisha.
21Lao jame innanangga sa güiya y para unafanlibre y Israel. Junggan, yan mas qui todo este, pago esta mina tres na jaane desde que masusede estesija.
21Lakini sisi tulitumaini kwamba yeye ndiye angeikomboa Israeli. Zaidi ya hayo yote, leo ni siku ya tatu tangu mambo hayo yalipotendeka.
22Yan locue palo famalaoan ni mangachongmame janamanman jam sa manmato gui naftan gui taftataf gui egaan;
22Tena, wanawake wengine wa kwetu wametushtua. Walikwenda kaburini mapema asubuhi,
23Ya anae ti masoda y tataotaoña, manmato guiya jame ilegñija na manmanlie sija y liniin angjet sija, ni y jasnangane na lâlâgüe.
23wasiukute mwili wake. Wakarudi wakasema kwamba walitokewa na malaika waliowaambia kwamba alikuwa hai.
24Ya mamjanao guato gui naftan palo gui mangachongmame ya masoda taemanoja y sinangan y famalaoan; lao ti malie güe.
24Wengine wetu walikwenda kaburini wakashuhudia yale waliyosema hao wanawake; ila yeye hawakumwona."
25Ya ilegña nu sija: O taotao manaetiningo jamyo, yan y ñateng y corasonmiyo para injenggue todo y sinangan y profeta sija!
25Kisha Yesu akawaambia, "Mbona mu wapumbavu kiasi hicho na mioyo yenu ni mizito hivyo kusadiki yote yaliyonenwa na manabii?
26Ada ti nesesita na si Cristo ufamadese nu este sija ya taegüine nae ujalom gui minalagña?
26Je, haikumpasa Kristo kuteswa, na hivyo aingie katika utukufu wake?"
27Ya jatutujon desde as Moises, yan y profeta sija, y jasangangane claro todo ni tinigue ni y pot güiya.
27Akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika Maandiko Matakatifu kuanzia Mose hadi manabii wote.
28Ya manmato gui sengsong ni jajananagüe güije; ya jasigue para mas chago jinanaoña.
28Walipokikaribia kile kijiji walikokuwa wanakwenda, Yesu akafanya kana kwamba anaendelea na safari;
29Lao sija janasaga fuetsao, ilegñija: Maela tafañaga sa este puenge ya jocog y jaane; ya jumalom para usaga mañisija.
29lakini wao wakamsihi wakisema, "Kaa pamoja nasi, maana kunakuchwa, na usiku unakaribia." Basi, akaingia kijijini, akakaa pamoja nao.
30Ya susede, anae matachong gui lamasa yan sija, jachule y pan ya jabendise, ya jaipe ya manninae.
30Alipoketi kula chakula pamoja nao, akachukua mkate, akaubariki, akaumega, akawapa.
31Ayonae manmababa atadogñija ya matungo güe; lao güiya jamalingoja gui inatanñija.
31Mara macho yao yakafumbuliwa, wakamtambua; lakini yeye akatoweka kati yao.
32Ya ilegñija entre y dos: Ada ti sinenggue y corasonta gui sumanjalomta mientras jacuentutusejit gui chalan, yan anae jababayejit ni y tinigue?
32Basi, wakaambiana, "Je, mioyo yetu haikuwa inawaka ndani yetu wakati alipokuwa anatufafanulia Maandiko Matakatifu kule njiani?"
33Ya cumajulo y dos güije na ora, ya tumalo guato Jerusalem: ya masoda y onse mandadaña, yan y manestaba mangachongñiñija,
33Wakaondoka saa ileile, wakarudi Yerusalemu: wakawakuta wale mitume kumi na mmoja na wale wengine waliokuwa pamoja nao, wamekusanyika
34Ya ilelegñija: Magajet, esta cajulo y Señot, na umalie yan si Simon.
34wakisema, "Hakika Bwana amefufuka, amemtokea Simoni."
35Ayonae sija jasangane nu este sija y masusede gui chalan; yan jafa taemano, tungoñija anae jaipe y pan.
35Basi, hao wafuasi wawili wakawajulisha yale yaliyowapata njiani, na jinsi walivyomtambua katika kumega mkate.
36¶ Ya mientras manguecuentos nu este sija, güiya tumojgueja gui entaloñija, y ilegña nu sija: Pas guiya jamyo.
36Wanafunzi wote wawili walipokuwa wakiwaambia hayo, Yesu mwenyewe akasimama kati yao, akawaambia "Amani kwenu."
37Ayonae manmaañao ya manmajngang ya jinasonñija na manmanlie sija un espiritu.
37Wakashtuka na kushikwa na hofu wakidhani wameona mzimu.
38Lao güiya ilegña nu sija: Jafa na ninafanestotba jamyo? Ya jafa na cumajulo y jinasonmiyo gui corasonmiyo?
38Lakini yeye akawaambia, "Kwa nini mnafadhaika? Mbona mnakuwa na mashaka mioyoni mwenu?
39Atanja y canaejo yan y adengjo, sa guajo mismoyo: pacha yan inlie sa y espiritu taecatne ni tolang, taegüije inliija na guajayo,
39Angalieni mikono na miguu yangu, ya kwamba ni mimi mwenyewe. Nipapaseni mkanione, maana mzimu hauna mwili na mifupa kama mnionavyo."
40Ya anae jasangan este, manfinanue ni y canaeña yan y adengña.
40Baada ya kusema hayo, akawaonyesha mikono na miguu.
41Ya anae ti jajonggue sija pot minagofñija, ya ninafanmanman, güiya ilegña nu sija: Guaja güine jafa para utacano?
41Wakiwa bado katika hali ya kutosadiki kwa sababu ya furaha yao, na wakiwa wanastaajabu, akawauliza, "Mnacho chakula chochote hapa?"
42Ya sija janae un pedason güijan na mapeja.
42Wakampa kipande cha samaki wa kuokwa.
43Ya jachule ya jacano gui menanñija.
43Akakichukua, akala, wote wakimwona.
44¶ Ya ilegña nu sija: Este sija na sinangan ni y jusangangane jamyo anae manjijita: taemanoja na nesesita na umacumple todo y esta matugue gui lay Moises yan y profeta sija, yan y Salmos pot guajo.
44Halafu akawaambia, "Hii ndiyo maana ya maneno niliyowaambia nilipokuwa pamoja nanyi: kwamba ilikuwa lazima kukamilisha yote yaliyoandikwa juu yangu katika Sheria ya Mose na katika vitabu vya manabii na katika kitabu cha Zaburi."
45Ayonae manbinaba y jinasoñija para ujatungo y tinigue;
45Kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa Maandiko Matakatifu.
46Ya ilegña nu sija: Taegüine esta matugue, na si Cristo ufamadese ya ucajulo talo guinin y manmatae gui mina tres na jaane;
46Akawaambia, "Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka wafu,
47Ya umapredica gui naanña y sinetsot yan inasiin isao, gui todo y nasion sija, umatutujon desde Jerusalem.
47na kwamba ni lazima, kwa jina lake, mataifa yote kuanzia na Yerusalemu yahubiriwe juu ya kutubu na kusamehewa dhambi.
48Ya jamyo testigo nu estesija na güinaja.
48Ninyi ni mashahidi wa mambo hayo.
49Ya, estagüe, na bae jutago y promesan y Tatajo gui jilo miyo: lao jamyo fañaga gui siuda guiya Jerusalem, asta que manminagago jamyo ni y ninasiña guinin iya jululo.
49Nami mwenyewe nitawapelekeeni yule ambaye Baba aliahidi kumtuma, lakini ngojeni huku mjini mpaka mtakapopewa ile nguvu itokayo juu."
50¶ Ya manquinene juyong asta Betania; ya jajatsa y canaeña ya manbinendise sija.
50Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.
51Ya susede anae manbinendise, jaapatte güe guiya sija ya machule julo gui Langet.
51Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni.
52Ya sija jaadora ya manalo guato Jerusalem yan y dangculon minagofñija;
52Wao wakamwabudu, wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kubwa:
53Ya mangaegue siempre gui templo, manmanbendidise as Yuus. Amen.
53wakakaa muda wote Hekaluni wakimsifu Mungu.