1DESPUES di manmalofan este sija, guaja gupot y Judio sija ya si Jesus cajulo guiya Jerusalem.
1Baada ya hayo kulikuwa na sikukuu ya Wayahudi, naye Yesu akaenda Yerusalemu.
2Ya iya Jerusalem, jijot gui petta quinilo sija, guaja un tangque janom na mafananaan gui fino Hebreo, Betesda, na guaja sinco potta.
2Huko Yerusalemu, karibu na mlango uitwao Mlango wa Kondoo, kulikuwa na bwawa la maji liitwalo kwa Kiebrania Bethzatha, ambalo lilikuwa na baraza tano zenye matao.
3Ya manestaba güije megagae na manmalango: bachet, mangojo, yan mansogsog.
3Humo barazani mlikuwa na wagonjwa wengi wamekaa: vipofu, viwete na waliopooza. Walikuwa wakingojea maji yatibuliwe,
5Ya gaegue güije un taotao na esta malofan treinta y ocho años na malango.
4maana mara kwa mara malaika alishuka majini nyakati fulani na kuyatibua. Mtu yeyote aliyekuwa wa kwanza kuingia majini baada ya maji kutibuliwa, alipona ugonjwa wowote aliokuwa nao.
6Linie as Jesus na umaason, ya anae jatungo na amam na tiempo, ilegña nu güiya: Malago jao na umagong?
5Basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane.
7Ynepe güe ni y malango: Señot, taya jaye yo unninajalom gui tangque y tiempo nae y janom sigue ni calalamten, ya anae jumajanaoyo, otro tumunog antes qui guajo.
6Naye alipomwona huyo mtu amelala hapo, akatambua kwamba alikuwa amekaa hapo kwa muda mrefu, akamwuliza, "Je, wataka kupona?"
8Sinanangane as Jesus: Cajulojao, jatsa y camamo ya unjanao!
7Naye akajibu, "Mheshimiwa, mimi sina mtu wa kunipeleka majini wakati yanapotibuliwa. Kila nikijaribu kuingia, mtu mwingine hunitangulia."
9Ya enseguidas magong y chetnot ayo na taotao, ya jajatsa y camaña ya mapos. Lao ayo na jaane sabado.
8Yesu akamwambia, "Inuka, chukua mkeka wako utembee."
10¶ Ylegñija y Judio sija nu y manamagong: Sabado, este na jaane, ti tunas unchule y camamo!
9Mara huyo mtu akapona, akachukua mkeka wake, akatembea. Jambo hili lilifanyika siku ya Sabato.
11Manope güe: Ayo y munamagong yo, güiya namaesa sumangane yo: jatsa y camamo ya unjanao.
10Kwa hiyo baadhi ya Wayahudi wakamwambia huyo mtu aliyeponywa, "Leo ni Sabato, si halali kubeba mkeka wako."
12Entonses mafaesen güe: Jaye enao na taotao y sumangane jao, na unjatsa y camamo yan unjanao?
11Lakini yeye akawaambia, "Yule mtu aliyeniponya ndiye aliyeniambia: Chukua mkeka wako, tembea."
13Ayo y guinin minamagong güe, ti jatungo jaye; sa si Jesus esta mapos, sa gaegue güije na lugat, un linajyan taotao.
12Nao wakamwuliza, "Huyo mtu aliyekwambia: Chukua mkeka wako, tembea, ni nani?"
14Sineda güe despues as Jesus, gui templo, ya ilegña: Estagüe esta magong jao; chamo umiisao talo no sea na taelayeña qui este ufato guiya jago.
13Lakini yeye hakumjua huyo mtu aliyemponya, maana Yesu alikuwa amekwisha ondoka mahali hapo, kwani palikuwa na umati mkubwa wa watu.
15Ayo na taotao mapos, ya jasangane Judio sija na si Jesus ninamagong y chetnotña.
14Basi, baadaye Yesu alimkuta huyo aliyeponywa Hekaluni, akamwambia, "Sasa umepona; usitende dhambi tena, usije ukapatwa na jambo baya zaidi."
16Ya pot este na rason, y Judio sija madulalag si Jesus, sa y jafatinas este na güinaja gui sabado na jaane.
15Huyo mtu akaenda, akawaambia viongozi wa Wayahudi kwamba Yesu ndiye aliyemponya.
17Entonses si Jesus maninepe: Si tatajo jafatitinas asta pago, yan guajo locue jufatitinas.
16Kwa vile Yesu alifanya jambo hilo siku ya Sabato, Wayahudi walianza kumdhulumu.
18Ya pot este na rason y Judio sija japrocura mas dangculo para ujapuno, say ti janainaleja y sabado na jaane, lao pot y jasangan locue na si Yuus güiya y tataña; jafatitinas güiyaja parejo yan si Yuus.
17Basi, Yesu akawaambia, "Baba yangu anafanya kazi daima, nami pia nafanya kazi."
19¶ Entonses si Jesus manope ilegña nu sija: Magajet ya magajet jusangane jamyo: Ti siña y Lajiña jafatinas jafa pot güiya namaesa, lao jafa y jalie finatinas y tata; sa todo y finatinasña, taemanoja y Lajiña locue fumatinas.
18Kwa sababu ya maneno haya, viongozi wa Wayahudi walizidi kutafuta njia ya kumwua Yesu: si kwa kuwa aliivunja Sheria ya Sabato tu, bali pia kwa kuwa alisema kwamba Mungu ni Baba yake, na hivyo akajifanya sawa na Mungu.
20Sa y Tata yaña y Lajiña ya jafanue nu güiya todo ni jafatitinas; ya jafanue nu güiya y checho ni mandangculo, ya jamyo unfanmanman.
19Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, Mwana hawezi kufanya kitu peke yake; anaweza tu kufanya kile anachomwona Baba akikifanya. Maana kile anachofanya Baba, Mwana hukifanya vilevile.
21Sa taegüenao si Tata janafangajulo y manmatae ya jananae linâlâñija, taegüije locue y Lajiña janae y linâlâ, jaye malagoña.
20Baba ampenda Mwana, na humwonyesha kila kitu anachokifanya yeye mwenyewe, tena atamwonyesha mambo makuu kuliko haya, nanyi mtastaajabu.
22Sa y Tata taya jaye jajujusga, lao todo y juisio, janae y Lajiña.
21Kama vile Baba huwafufua wafu na kuwapa uzima, vivyo hivyo naye Mwana huwapa uzima wale anaopenda.
23Para todo ufanmanonra ni Lajiña jaf taemanoja jaonra y Tata. Ya y ti umonra y Lajiña, ti jaonra si Tata ni tumago güe.
22Baba hamhukumu mtu yeyote; shughuli yote ya hukumu amemkabidhi Mwana,
24Magajet ya magajet jusangane jamyo: Y jumungog y sinanganjo, ya jumonggue ayo y tumago yo, guaja linâlâfia taejinecog; ya ti ufato gui sinapet; lao esta malofan guine y finatae para y linâlâ.
23ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba ambaye amemtuma.
25Magajet ya magajet jusangane jamyo: Y ora mamamaela, ya pago esta; na y manmatae sija ujajungog y inagang Lajin Yuus; ya ayo sija y jumungog, ufanlâlâ.
24"Kweli nawaambieni, anayesikia neno langu, na kumwamini yule aliyenituma, anao uzima wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifo na kuingia katika uzima.
26Sa taegüine y Tata guaja linâlâfia guiya güiyaja; taegüineja janae locue y Lajiña, para uguaja linâlâña guiya güiyaja:
25Kweli nawaambieni, wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo wafu wataisikia sauti ya Mwana wa Mungu, nao watakaoisikia, wataishi.
27Ya janae locue ninasiñaña para ufatinas juisio, sa güiya y Lajin taotao.
26Kama vile Baba alivyo asili ya uhai, ndivyo pia alivyomjalia Mwanawe kuwa asili ya uhai.
28Chamiyo ninafanmamanman ni este: sa y ora mamamaela, na todo ayo sija y mangaegue gui naftan, umajungog y inagangña,
27Tena amempa mamlaka ya kuhukumu kwa sababu yeye ni Mwana wa Mtu.
29Ya jumanao juyong; y fumatinas mauleg, ufanjuyong gui quinajulo para linâlâ; ya ayo sija y fumatinas taelaye, y quinajulo para sinapit.
28Msistaajabie jambo hili; maana wakati unakuja ambapo wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake,
30¶ Ti siña yo namaesa mamatinas jafa: taemanoja y jiningogco, ayoja jujusga, sa y juisioco tunas, sa ti jualiligao y minalagojo; lao y minalago y tata ni tumago yo.
29nao watafufuka: wale waliotenda mema watafufuka na kuishi, na wale waliotenda maovu watafufuka na kuhukumiwa.
31Yaguin mannae yo testimonio nu guajo namaesa, y testimoniojo ti magajet.
30"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma.
32Guaja otro na mannanae testimonio. nu guajo; ya guajo jutungo na y testimonioña, ni y ninaiña pot guajo, magajet.
31Nikijishuhudia mimi mwenyewe, ushahidi wangu hauwezi kukubaliwa kuwa wa kweli.
33Jamyo manmatago para as Juan, ya güiya mannae testimonio ni magajet;
32Lakini yuko mwingine ambaye hutoa ushahidi juu yangu, nami najua kwamba yote anayosema juu yangu ni ya kweli.
34Lao y testimonio ni juresibe, ti guinin y taotao: lao jusangane estesija, para jamyo infanlibre.
33Ninyi mlituma ujumbe kwa Yohane naye aliushuhudia ukweli.
35Güiya y lámpara ni masonggue ya maniina; ya jamyo infanmalago manmagof didide na tiempo gui candetña.
34Si kwamba mimi nautegemea ushahidi wa wanadamu, lakini nasema mambo haya ili mpate kuokolewa.
36Ya y testimonio ni gaegue guiya guajo mas dangculo qui y gaegue gui as Juan; sa y finatinas ni y Tata numaeyo para umacumple, ayo na finatinas na guajo jufatinas; este jatestifica nu guajo, nu y Tata tumago yo.
35Yohane alikuwa kama taa iliyokuwa ikiwaka na kuangaza, nanyi mlikuwa tayari kufurahia mwanga huo kwa kitambo.
37Si Tata locue ni y tumago yo, güiya namaesa mannae y testimonio nu guajo. Jamyo tat nae injingog bosña, ni locue ti inlie jechuraña.
36Lakini mimi nina ushahidi juu yangu ambao ni mkuu zaidi kuliko ule wa Yohane. Kwa maana kazi ninazofanya, kazi alizonipa Baba nizifanye, ndizo zinazonishuhudia kwamba Baba ndiye aliyenituma.
38Ya taya sinanganña sumaga guiya jamyo; sa ti injenggue na güiya manago.
37Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake,
39Aligao y tinigue sija sa y jinasonmiyo iya güiya nae inguaja y linâlâ na taejinecog; ya sija todo ufanmannae testimonio nu guajo,
38na ujumbe wake haukai ndani yenu maana hamkumwamini yule aliyemtuma.
40Ti manmalago jamyo manmamaela guiya guajo, para uguaja linâlâ.
39Ninyi huyachunguza Maandiko Matakatifu mkidhani kwamba ndani yake mtapata uzima wa milele; na kumbe maandiko hayohayo yananishuhudia!
41Ynenra y taotao sija, guajo ti juresibe.
40Hata hivyo, ninyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uzima.
42Lao guajo jutungo jamyo na taya y güinaeyan Yuus ni y gaegueja guiya jamyo.
41"Shabaha yangu si kupata sifa kutoka kwa watu.
43Guajo mato yo pot y naan Tatajo, ya ti inresibe yo; yaguin otro mato pot y naanña namaesa, ayo inresibe.
42Lakini nawajua ninyi, najua kwamba upendo kwa Mungu haumo mioyoni mwenu.
44Jafa muna siña injenggue jamyo ni y rumesibe inenra uno sija yan otro, ya ti inaligao y inenraja na mato guine as Yuus na unoja?
43Mimi nimekuja kwa mamlaka ya Baba yangu, lakini hamnipokei; bali mtu mwingine akija kwa mamlaka yake mwenyewe, mtampokea.
45Ti injaso na jufaaela jamyo gui as Tata: ya y fumaaela jamyo si y Moises, ayo nae gaegue ininangganmiyo.
44Mwawezaje kuamini, hali ninyi mnapenda kupokea sifa kutoka kwenu ninyi wenyewe, wala hamtafuti sifa kutoka kwake yeye aliye peke yake Mungu?
46Pues yaguin injenggue si y Moises, injenggue yo locue: sa iya guajo nae manugue si Moises.
45Msifikiri kwamba mimi nitawashtaki kwa Baba. Mose ambaye ninyi mmemtumainia ndiye atakayewashtaki.
47Lao yaguin tinigueña sija ti injenggue, jafa muna injenggue y sinanganjo?
46Kama kweli mngemwamini Mose, mngeniamini na mimi pia; maana Mose aliandika juu yangu.
47Lakini hamuyaamini yale aliyoandika, mtawezaje basi, kuamini maneno yangu?"