Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Luke

12

1YA ayo na tiempo, anae mandaña megae na mit na linajyan taotao, asta managacha uno yan otro; ya jatutujon sumangane y disipuluña sija finenana: Adaje jamyo ni y libaduran y Fariseo sija ni y hipocresia.
1Wakati watu kwa maelfu walipokuwa wamekusanyika hata wakawa wanakanyagana, Yesu aliwaambia kwanza wanafunzi wake, "Jihadharini na chachu ya Mafarisayo, yaani unafiki.
2Sa taya na matatampe na ti umababa; pat mananana, na ti umatungo.
2Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa.
3Enaomina jafa guinin sinanganmiyo gui jemjom, umajungog gui manana; ya jafa y incuentuse gui talanga gui jalom aposento, umaagangnaejon gui jilo guma.
3Kwa hiyo, kila mliyosema gizani, watu watayasikia katika mwanga, na kila mliyonong'ona faraghani milango imefungwa, yatatangazwa juu ya nyumba.
4Ya jusangane jamyo ni y amigujo sija: Chamiyo fanmaaañao ni ayo sija y pumuno y tataotao, sa an munjayan ayo, taya jafa siña ujafatinas.
4"Nawaambieni ninyi rafiki zangu: msiwaogope wale wanaoua mwili, wasiweze kufanya kitu kingine zaidi.
5Lao jusangane jamyo jaye inmaañagüe: Fanmaañao jamyo ni ayo y yanguin munjayan japuno, guaja ninasiñaña na uyute asta sasalaguan: Junggan, jusangañe jamyo: Fanmaañao jamyo nu güiya.
5Nitawaonyesheni yule ambaye ni lazima kumwogopa: mwogopeni yule ambaye baada ya kuua ana uwezo wa kumtupa mtu katika moto wa Jehanamu. Naam, ninawaambieni, mwogopeni huyo.
6Ada ti mabende sinco na pajaro, pot dos na octabo? ya ni uno guiya sija mamalefañaejon gui menan Yuus?
6Inajulikana kwamba shomoro watano huuzwa kwa senti kumi, au sivyo? Lakini mbele ya Mungu hasahauliki hata mmoja.
7Lao asta y gaponulonmiyo esta manmatufong. Chamiyo fanmaaañao: sa manbaliña jamyo qui y megae pajaro.
7Lakini hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Msiogope, basi, ninyi mna thamani zaidi kuliko shomoro wengi!
8¶ Ya jusangane jamyo: Jayeja y comonfesatñaejonyo gui menan y taotao sija; uquinenfesatñaejon locue ni y Lajin taotao gui menan y angjet Yuus.
8"Nawaambieni kweli, kila mtu anayekiri hadharani kwamba yeye ni wangu, Mwana wa Mtu naye atakiri mbele ya malaika wa Mungu kwamba mtu huyo ni wake.
9Lao ayo y pumuneyo gui menan taotao sija, siempre pune güe gui menan y angjet Yuus.
9Lakini, mtu yeyote anayenikana mbele ya watu, naye atakanwa mbele ya malaika wa Mungu.
10Ya jayeja y cumuentos contra y Lajin taotao, umaasie; lao y chumatfino contra Espiritu Santo, ti umaasie.
10"Yeyote anayesema neno la kumpinga Mwana wa Mtu atasamehewa; lakini anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa.
11Ya anae manmacone jamyo gui menan y sinagoga sija, yan y manmagas, yan y gaesisiña, chamiyo madadaje jaftaemano yan jafa para inepe, ni jafa para insangan;
11"Watakapowapeleka ninyi mbele ya masunagogi na mbele ya wakuu na watawala msiwe na wasiwasi juu ya jinsi mtakavyojitetea au jinsi mtakavyosema.
12Sa y Espiritu Santo infanfinanagüe güije na ora jafa para insangan.
12Kwa maana wakati huo Roho Mtakatifu atawafundisheni kile mnachopaswa kusema."
13¶ Ya uno gui linajyan taotao ilegña nu güiya: Maestro, tayo y chelujo ya ufacaeyo ni y erensia.
13Mtu mmoja katika ule umati wa watu akamwambia, "Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane urithi aliotuachia baba."
14Lao ilegña nu güiya: Taotao, jaye pumoloyo gui jilomo para jues, pat para mamacae?
14Yesu akamjibu, "Rafiki, ni nani aliyeniweka mimi mwamuzi au msuluhishi kati yenu?"
15Ya ilegña nu sija: Atan, ya inguesadaje jamyo ni y linagga: sa y linâlâ y taotao, ti guinin y manadan güinaja sija ni y jasagagaye.
15Basi, akawaambia wote, "Jihadharini na kila aina ya tamaa; maana uzima wa mtu hautegemei wingi wa vitu alivyo navyo."
16Ya mansinangane un parabola, ilegña: y fangualuan un taotao na rico, jumujuyong megae na quineco.
16Kisha akawaambia mfano: "Kulikuwa na tajiri mmoja ambaye shamba lake lilizaa mavuno mengi.
17Ya manjaso gui sumanjalomña, ilegña: Jafa jufatinas, sa taya mano nae jupolo y quinecojo.
17Tajiri huyo akafikiri moyoni mwake: Nitafanyaje nami sina mahali pa kuhifadhia mavuno yangu?
18Ya ilegña: Este bae jufatinas: bae jujala papa y lanchoco, ya jujatsa y mas dangculo; ya ayo nae jupolo todo y maiisso yan y güinajajo.
18Nitafanya hivi: nitabomoa ghala zangu na kujenga kubwa zaidi, na humo nitahifadhi mavuno yangu yote na mali yangu.
19Ya jualog ni y antijo: Ante, megae güinajamo, para megae na sacan; descansa, ya unchocho, yan unguimen, yan unmagof.
19Hapo nitaweza kuiambia roho yangu: sasa unayo akiba ya matumizi kwa miaka na miaka. Ponda mali, ule, unywe na kufurahi.
20Lao si Yuus ilegña nu güiya: Taejinaso jao! pago na puenge nesesita umachule y antimo: ya para jaye ayo sija na güinaja ni unnaetnon?
20Lakini Mungu akamwambia: Mpumbavu wewe; leo usiku roho yako itachukuliwa. Na vitu vile vyote ulivyojilundikia vitakuwa vya nani?"
21Taegüenaoja y manaetnon y güinaja para güiyaja, ya ti urico para si Yuus.
21Yesu akamaliza kwa kusema "Ndivyo ilivyo kwa mtu anayejilundikia mali kwa ajili yake mwenyewe, lakini si tajiri mbele ya Mungu."
22¶ Ya ilegña ni y disipoluña sija: Enaomina jusangane jamyo, Chamiyo madadaje pot y linâlânmiyo, jafa para incano; ni y tataotaonmiyo, jafa para innaminagago.
22Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Kwa sababu hiyo nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula mnachohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu.
23Sa y linâlâ mas qui y nengcano, ya y tataotao mas qui y magago.
23Kwa sababu uzima ni bora kuliko chakula, na mwili ni bora kuliko mavazi.
24Jaso y aga sija, na ti manmanananom, ni ufanmangoco; ni uguaja sagannengcanoñija ni lancho; ya si Yuus janachocho sija; ya cuanto mas manmauleg jamyo qui y pajaro!
24Chukueni kwa mfano, kunguru: hawapandi, hawavuni wala hawana ghala yoyote. Hata hivyo, Mungu huwalisha. Ninyi mna thamani zaidi kuliko ndege!
25Yan jaye guiya jamyo pot inadaje siña uaumenta un codo y linecaña?
25Ni nani kati yenu kwa kuwa na wasiwasi anaweza kuongeza urefu wa maisha yake?
26Yanguin ti siña inchegüe y mas diquique, para jafa inadadaje y pumalo?
26Basi, kama hamwezi kufanya jambo dogo kama hilo, kwa nini kuwa na wasiwasi juu ya yale mengine?
27Jaso y lirio sija, jaftaemano mandocoñiñija! ti manmachochocho, ni ufanmanjila; ya jusangane jamyo na si Salomon contodo y minalagña, ti minagago parejo yan uno guiya sija.
27Angalieni maua jinsi yanavyomea. Hayafanyi kazi wala hayafumi. Hata hivyo, nawahakikishieni kwamba hata Solomoni mwenyewe na fahari zake zote hakupata kuvikwa vizuri kama ua mojawapo.
28Yanguin si Yuus janafanminagago y chaguan qui fangualuan ni y gaegue pago, ya agupa esta mayute guato gui jetno; ti mas magajet na inninafanminagago jamyo, O jamyo didide na jinenggue?
28Lakini, kama Mungu hulivika vizuri jani la shambani ambalo leo liko na kesho latupwa motoni, je, hatawafanyia ninyi zaidi? Enyi watu wenye imani haba!
29Ya chamiyo umaliligao jafa para incano, ni jafa para inguimen, ni infanbuébuente gui jinasonmiyo.
29"Basi, msivurugike akili, mkihangaika daima juu ya mtakachokula au mtakachokunywa.
30Sa todo este sija na güinaja manmaaliligao ni y nasion sija gui tano: lao y tatanmiyo jatungoja na innesesita estesija na güinaja.
30Kwa maana hayo yote ndiyo yanayohangaikiwa na watu wasiomjua Mungu. Baba yenu anajua kwamba mnahitaji vitu hivyo.
31Lao aligao finena y raenoña; ya todo este sija na güinaja umanafandaña para jamyo.
31Shughulikieni kwanza Ufalme wa Mungu, na hayo yote mtapewa kwa ziada.
32Chamiyo fanmaaañao, jamyo diquique na manada; sa este minagof y tatanmiyo, na infanninae ni y raeno.
32"Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni Ufalme.
33Bende y güinajamo, ya unfannae. limosna; fanmamamauleg botsa ni ti ubijo, un güinaja gui langet na ti ufatta, anae ti usineda ni y saque, ni ti upotliya.
33Uzeni mali yenu mkawape maskini misaada. Jifanyieni mifuko isiyochakaa, na jiwekeeni hazina mbinguni ambako haitapungua. Huko wezi hawakaribii, wala nondo hawaharibu.
34Sa manoja nae gaegue y güinajamo, ayoja nae gaegue locue y corasonmo.
34Pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.
35¶ Polo ya esta madudog y senturanmiyo, ya esta masonggue y candet miyo;
35"Muwe tayari! Jifungeni mkanda kiunoni, na taa zenu ziwe zinawaka;
36Ya infanparejo yan ayo na taotao sija y jananangga y señotñija, yanguin tumalo guato guinin y guipot umasagua; sa para yanguin mato ya manyajo, umababaye enseguidas.
36muwe kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka arusini, ili wamfungulie mara atakapobisha hodi.
37Mandichoso ayo sija na tentago, yanguin mato y señot, mansineda manbebela; magajet jusangane jamyo, na ududog güe, ya unafanmatachong para ufañocho, ya ufalag y sumanmena ya usetbe sija.
37Heri yao watumishi wale ambao bwana wao atakaporudi atawakuta wanakesha! Nawaambieni hakika, huyo bwana atajifunga mkanda kiunoni, atawaketisha mezani na kuwahudumia.
38Ya yanguin ufato gui segundo na bela ya gui tetsero, ya mansineda sija taegüijeja, mandichoso ayo sija na tentago.
38Heri yao watumishi hao ikiwa bwana wao atawakuta wanakesha hata ikiwa atarudi usiku wa manane au alfajiri.
39Este tingo na yanguin y tata gui guima mojon jatungo jafa na ora nae ufato y saque, upulan ya ti upolo na umayulang y guimaña.
39Jueni kwamba, kama mwenye nyumba angejua saa ambayo mwizi atakuja, angekesha, wala hangeiacha nyumba yake ivunjwe.
40Enaomina nafanlisto jamyo locue, sa ufato y Lajin taotao, güije na ora gui anae ti injajaso.
40Nanyi, kadhalika muwe tayari, maana Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoitazamia."
41¶ Ayonae ilegña si Pedro: Señot, unsangan este na acomparasion para jame, pat para todos?
41Petro akamwambia, "Bwana, mfano huo ni kwa ajili yetu tu, au ni kwa ajili ya watu wote?"
42Ya y Señot ilegña: Jaye nae ayo y mauleg yan mejnalom na mayetdomo, ni y ninamagas ni y señotña gui güinajana, para uninanae naña gui tiempoña?
42Bwana akajibu, "Ni nani basi, mtumishi aliye mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka juu ya watumishi wake ili awape chakula wakati ufaao?
43Dichoso ayo na tentago y yanguin mato y señotña, sineda na jachochogüe taegüije.
43Heri yake mtumishi huyo ikiwa bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.
44Magajet jusangane jamyo; na uninamagas gui jilo y güinajaña, todo.
44Hakika atampa madaraka juu ya mali yake yote.
45Lao yanguin ayo na tentago y ilegña gui jalom corasonña: Y señotjo caeja mato; ya jatutujon pumanag y famalaoan na tentago, yan y lalaje; ya chumocho, yan gumimen, ya bumolacho;
45Lakini, kama mtumishi huyo atafikiri moyoni mwake: na kusema: Bwana wangu amekawia sana kurudi halafu aanze kuwapiga watumishi wenzake, wa kiume au wa kike, na kula, kunywa na kulewa,
46Y señot ayo na tentago, ufato güije na jaane gui anae ti jananangga, yan gui ora anae ti jatungo, ya uninasuja, ya uninafandaña y patteña yan y ti manmanjonggue.
46bwana wake atarudi siku asiyoitazamia na saa asiyoijua; atamkatilia mbali na kumweka fungu moja na wasioamini.
47Ya ayo na tentago y jatungo y minalago y señotña; ya ti jalisto güe, ni jafatinas jaftaemano y minalagoña, umasaulag megae.
47Mtumishi ambaye anajua matakwa ya bwana wake lakini hajiweki tayari kufanya anavyotakiwa, atapigwa sana.
48Lao ayo y ti jatungo, ya jafatinas digno na umasauleg, lao didide masaulagña. Sa jayeja y megae manaiña, siempre megae uchule, ya jaye y megae catgoña, mas megae magagaoña.
48Lakini yule afanyaye yanayostahili adhabu bila kujua, atapigwa kidogo. Aliyepewa vingi atatakiwa vingi; aliyekabidhiwa vingi zaidi atatakiwa kutoa vingi zaidi.
49¶ Matoyo para juyute y guafe gui jilo tano: ya jafa malagojo yanguin esta todo mañiñila?
49"Nimekuja kuwasha moto duniani, laiti ungekuwa umewaka tayari!
50Lao guaja tagpangeco para jumatagpange; ya jafa chachatsagajayo asta qui umacumple!
50Ninao ubatizo ambao inanipasa niupokee; jinsi gani ninavyohangaika mpaka ukamilike!
51Injajaso jamyo na matoyo para junae pas y tano? Jusangane jamyo, na aje; lao mas para inaguaguat.
51Mnadhani nimekuja kuleta amani duniani? Hata kidogo; si amani bali utengano.
52Sa desde pago sigue mona, uguaja gui un guma sinco na ti manparejo, y tres contra y dos, ya y dos contra y tres.
52Na tangu sasa, jamaa ya watu watano itagawanyika; watatu dhidi ya wawili, na wawili dhidi ya watatu.
53Y tata uaguaguat contra y lajiña, ya y laje contra y tata; ya y nana contra y jagaña, ya y jaga contra y nana; y suegra contra y yetna, ya y yetna contra y suegraña.
53Baba atakuwa dhidi ya mwanawe, mwana dhidi ya baba yake; mama dhidi ya bintiye, binti dhidi ya mama yake; mama mkwe dhidi ya mke wa mwanawe na huyo dhidi ya mama mkwe wake."
54¶ Ya ilegña locue ni y taotao sija: Yanguin inlilie y mapagajes na cajulo gui sumanlichan, siempre ilelegmiyo: Mamamaela y ichan; ya magajet.
54Yesu akayaambia tena makundi ya watu, "Mnapoona mawingu yakitokea upande wa magharibi, mara mwasema: Mvua itanyesha, na kweli hunyesha.
55Ya yanguin manguaefe y manglo sanjaya, ilelegmiyo: Uguaja maepe; ya ufato.
55Mnapoona upepo wa kusi unavuma, mwasema Kutakuwa na hali ya joto na ndivyo inavyokuwa.
56Manhipocrita jamyo; intingo umegsamina y langet, yan y tano; ya jafa na ti intingo umegsamina y tiempo pago?
56Enyi wanafiki! Mnajua kutabiri hali ya hewa kwa kuangalia dunia na anga; kwa nini basi, hamwezi kujua maana ya nyakati hizi?
57Ya jafa na ni jamyo ti injisga jafa y tinas?
57"Na kwa nini hamwezi kujiamulia wenyewe jambo jema la kufanya?
58Ya mientras jumanao jao yan y enemigumo para y magas, procura munaquelibre jao gui jinanaomo; na noseaja uninarastra guato gui jues, ya y jues uninentrega gui ofisiat, ya y ofisiat unpinelo gui calaboso.
58Maana kama mshtaki wako anakupeleka mahakamani, ingekuwa afadhali kwako kupatana naye mkiwa bado njiani, ili asije akakupeleka mbele ya hakimu, naye hakimu akakutoa kwa polisi, nao wakakutia ndani.
59Jusangane jao: Ti unjanao juyong güije, asta qui unapase y uttimo na marabidi.
59Hakika hutatoka huko nakwambia, mpaka utakapomaliza kulipa senti ya mwisho."