Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Luke

11

1YA susede anae mananaetae güe gui un lugat, ya magpo, uno gui disipuluña ilegña nu güiya: Señot, fanagüejam manmanaetae, taegüije locue as Juan ni jafanagüe y disipuluña!
1Siku moja, Yesu alikuwa mahali fulani akisali. Alipomaliza kusali, mmoja wa wanafunzi wake akamwambia, "Bwana, tunakuomba utufundishe kusali kama Yohane mbatizaji alivyowafundisha wanafunzi wake."
2Ya ilegña na sija: Yaguin manmanaetae jamyo alog: Tata, Umatuna y naanmo. Umamaela y raenomo,
2Yesu akawaambia, "Mnaposali, semeni: Baba! Jina lako litukuzwe; Ufalme wako ufike.
3Naejam pago cada jaane ni y nengcanomame.
3Utupe daima chakula chetu cha kila siku.
4Ya unasiijam ni isaomame; sa jame locue inasisie todo ayo y dumidibe jam. Ya chamojam pumopolo gui tentasion.
4Utusamehe dhambi zetu, maana sisi tunawasamehe wote waliotukosea; wala usitutie katika majaribu."
5¶ Ya ilegña nu sija: Jaye guiya jamyo y gaeamigo uno, ya ufinatoigüe gui tatalopuenge, ya ualog nu güiya: Amigo naayaoyo tres pan;
5Kisha akawaambia, "Tuseme mmoja wenu anaye rafiki, akaenda kwake usiku wa manane, akamwambia: Rafiki, tafadhali niazime mikate mitatu,
6Sa un amigojo mato guiya guajo guinin bumiaje, ya taya ni jafa para juplantaye gui menaña;
6kwa kuwa rafiki yangu amepitia kwangu akiwa safarini nami sina cha kumpa.
7Ya ayo y gaegue gui sumanjalom ufanope, ya ualog: Chamo umatbororotayo; sa esta majuchom y petta, ya estagüejam gui cama yan y famaguonjo; ti siñayo cajulo ya junae jao.
7Naye, akiwa ndani angemjibu: Usinisumbue! Nimekwisha funga mlango. Mimi na watoto wangu tumelala; siwezi kuamka nikupe!
8Ya jusangane jamyo: Achogja ti ucajulo ya uninae pot y amiguña: lao pot y magagaoña, ucajulo ya unae jaftaemano y janesesita.
8Hakika, ingawa hataamka ampe kwa sababu yeye ni rafiki yake, lakini, kwa sababu ya huyo mtu kuendelea kumwomba, ataamka ampe chochote anachohitaji.
9Ya jusangane jamyo: Gagao, ya infanmanae; aligao ya inseda; yajo, ya infanmababaye.
9Kwa hiyo, ombeni, nanyi mtapewa, tafuteni, nanyi mtapata, bisheni nanyi mtafunguliwa.
10Sa jayeja y mangagao uresibe; ya y manaligao usoda; ya y manayajo, umababaye.
10Maana yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata na abishaye hufunguliwa.
11Pat jaye guiya jamyo na tata, yan uguinagao ni y lajiña un pan, ya unnae un acho? pat un güijan ya enbes di güijan unnae culebla?
11Mtoto akimwomba baba yake samaki, je, atampa nyoka badala ya samaki?
12Pat yan guinagao un chada, ada unnae un alacran?
12Na kama akimwomba yai, je, atampa ng'e?
13Pues ombre jamyo, ni y manaelaye, intingo numae mauleg na ninae y famaguonmiyo, cuanto mas y Tatanmiyo gui langet unae ni y Espiritu Santo todo ayo y gumagao güe?
13Ninyi, ingawa ni waovu, mnajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri. Basi, baba yenu wa mbinguni atafanya zaidi; atawapa Roho Mtakatifu wale wanaomwomba."
14¶ Ya jayute juyong un anite na udo. Ya susede anae jumuyong este y anite, y ido cumuentos, ya y linajyan taotao sija ninafanmanman.
14Siku moja Yesu alikuwa anamfukuza pepo aliyemfanya mtu mmoja kuwa bubu. Basi, huyo pepo alipomtoka, yule mtu akaweza kuongea hata umati wa watu ukashangaa.
15Ya palo guiya sija ilegñija: Pot si Beetsebub, ni magas y manganite, na jayuyuteja juyong y manganite sija.
15Lakini baadhi ya watu hao wakasema, "Anamfukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo."
16Lao y pumalo matietientagüe, magagagao un señat gui langet.
16Wengine, wakimjaribu, wakamtaka afanye ishara kuonyesha kama alikuwa na idhini kutoka mbinguni.
17Lao güiya jatungo y jinason ayo sija ya ilegña nu sija: Todo y raeno umadibide contra güiyaja, uyulang; ya y guima umadibide contra guma, upodong.
17Lakini yeye, akiwa anayajua mawazo yao, akawaambia, "Ufalme wowote uliofarakana wenyewe, hauwezi kudumu; kadhalika, jamaa yeyote inayofarakana huangamia.
18Yaguin si Satanas locue madibide contra güiya namaesa, jaftaemano y raenoña sumaga? Sa ilegmiyo na juyuyute juyong y manganite pot si Beetsebub.
18Kama Shetani anajipinga mwenyewe, utawala wake utasimamaje? Mnasemaje, basi, kwamba ninawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli?
19Lao yaguin junajujuyong y manganite pot si Beetsebub, pot jaye y famaguonmiyo ufanyinite sija juyong? Enaomina sija ufanjues para jamyo.
19Kama ninafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, watoto wenu huwafukuza kwa uwezo wa nani? Kwa sababu hiyo, wao ndio watakaowahukumu ninyi.
20Lao yaguin pot y calulot Yuus nae, juyuyute juyong y manganite, magajet na y raenon Yuus mato guiya jamyo.
20Lakini ikiwa ninawafukuza pepo kwa uwezo wa Mungu, basi jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu.
21Yaguin un taotao ni matatnga, ya jafamauleg y atmasña, ya japulan y guimaña: todo güinajaña, manseguro.
21"Mtu mwenye nguvu anapolinda jumba lake kwa silaha, mali yake yote iko salama.
22Lao anae mato otro na matatngaña qui güiya ya inañao, inamot ni atmasña anae jaangoco güe ya jafacae y güinajaña.
22Lakini akija mwenye nguvu zaidi akamshambulia na kumshinda, huyo huziteka silaha zake alizotegemea na kugawanya nyara.
23Ayo y ti jumujame, contra guajo yuje; ya ayo y ti rumecocoge guiya guajo machalapon.
23Yeyote asiyejiunga nami, ananipinga; na yeyote asiyekusanya pamoja nami, hutawanya.
24Ya y espiritun áplacha, anae jumuyong gui taotao, jumajanao gui anglo na lugat, manaliligao dinescansa; ya anae ti mañoda, ilegña: Bae talo guato gui guimajo anae jumanaoyo.
24"Pepo mchafu akifukuzwa kwa mtu fulani, huzururazurura jangwani akitafuta mahali pa kupumzikia. Asipopata, hujisemea: Nitarudi kwenye makao yangu nilikotoka.
25Ya anae mato, jasoda mabale yan maadotna.
25Anaporudi, huikuta ile nyumba imefagiwa na kupambwa.
26Ya jumanao ya mangone yan güiya otro siete espiritu mas manaelayeña qui güiya, ya jumalom ya sumaga güije: ya taelayeña y uttimoña ayo na taotao qui y finena.
26Basi, huenda na kuwachukua pepo wengine saba waovu zaidi kuliko yeye; wote huenda na kumwingia mtu yule. Hivyo, basi hali ya mtu huyo sasa huwa mbaya zaidi kuliko pale mwanzo."
27¶ Ya susede anae jasangan estesija, un palaoan gui linajyan taotao, umagang ilegña nu güiya: Dichoso ayo na tuyan y chumuchulejao, yan ayo na pecho y anae sumususo jao.
27Alipokuwa akisema hayo, mwanamke mmoja katika lile kundi la watu, akasema kwa sauti kubwa: "Heri tumbo lililokuzaa, na maziwa yaliyokunyonyesha!"
28Lao güiya ilegña: junggan, lao dichosuña ayo y jumungog y sinangan Yuus, ya jaadaje.
28Lakini Yesu akasema, "Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika."
29¶ Ya anae manetnon y linajyan taotao guiya güiya, jatutujon sumangan: Este na generasion manaelaye: manmanaliligao señat; lao ti ufanmannae nu señat mas na ayoja y señat Jonas.
29Umati wa watu ulipozidi kuongezeka, Yesu akawaambia, "Kizazi hiki ni kizazi kiovu. Kinataka ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ile ya Yona.
30Sa taegüije si Jonas y señat para y taotao Ninibe taegüijeja locue y Lajin taotao para güine na generasion.
30Jinsi Yona alivyokuwa ishara kwa watu wa Ninewi, ndivyo pia Mwana wa Mtu atakavyokuwa ishara kwa kizazi hiki.
31Y raenan sanjaya cumajulo gui jaanin juisio yan y taotao este na generasion ya manquinendena; sa mato guinin y uttimon y tano para uecungog y minalate Salomon; ya estagüeja uno dangculoña qui si Salomon gaegue guine na lugat.
31Malkia wa kusini atatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa, naye atashuhudia kwamba kina hatia. Yeye alisafiri kutoka mbali, akaja kusikiliza maneno ya hekima ya Solomoni; kumbe hapa pana mkuu zaidi kuliko Solomoni.
32Y taotao sija guiya Ninibe, ufangajulo gui jaanin juisio yan este na generasion ya manquinendena; sa manmañotsot pot y prenedican Jonas; ya estagüe uno mas dangculoña qui si Jonas gaegue güine na lugat.
32Watu wa Ninewi watatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa, na watashuhudia kwamba kizazi hiki kina hatia. Hao watu wa Ninewi walitubu kwa sababu ya mahubiri ya Yona; na hapa pana mkuu zaidi kuliko Yona!
33¶ Taya ni un taotao munaaatog gui bedega y candet ni esta masonggue, ni upolo gui papa ganta, sino y candelero para todo y manjajalom ujalie y manana.
33"Hakuna mtu anayewasha taa na kuifunika kwa pishi, bali huiweka juu ya kinara ili watu wanaoingia ndani wapate kuona mwanga.
34Y candet y taotao, y atadog; yaguin y atadogmo sensiyo todo y tataotaomo maninina; lao yaguin taelaye, y tataotaomo locue bula jomjom.
34Jicho lako ni kama taa ya mwili wako; likiwa zima, mwili wako wote utakuwa katika mwanga. Jicho lako likiwa bovu, na mwili wako pia utakuwa katika giza.
35Atan pues sa y manana ni y gaegue guiya jago, munga jomjom.
35Uwe mwangalifu basi mwanga ulio ndani yako usije ukawa giza.
36Enao mina yaguin todo y tataotaomo bula manana, ni mano na lugat nae guaja jomjom, cabales na ubula manana, taegüije y yanguin malag ininaña y candet ya inina jao.
36Basi, kama mwili wako wote una mwanga, bila kuwa na sehemu yoyote yenye giza, mwili huo utang'aa kikamilifu kama vile taa inavyokuangazia kwa mwanga wake."
37¶ Ya mientras cumuecuentos, un Fariseo siniplicagüe na usija chumocho, ya jumalom ya matachong gui lamasa.
37Yesu alipokuwa akiongea, Mfarisayo mmoja alimkaribisha chakula nyumbani kwake, naye akaenda, akaketi kula chakula.
38Lao y Fariseo ninamanman anae jalie este, pot y ti jafagase güe finena antes di uchocho.
38Huyo Mfarisayo alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa.
39Ya y Señot ilegña nu güiya: Pago jamyo ni Fariseo, y sumanjiyongja gui copa yan plato innagagasgas, lao y sumanjalommiyo bula inamot an tinaelaye.
39Bwana akamwambia, "Ninyi Mafarisayo huosha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa udhalimu na uovu.
40Manaejinaso jamyo, ada ayo y fumatinas gui sumanjiyong, ti güiya locue y fumatinas gui sumanjalom?
40Wapumbavu ninyi! Je, aliyetengeneza nje si ndiye aliyetengeneza ndani pia?
41Lao todo y guajanmiyo naenñaejon limosña; ya estagüe na todo ufangasgas para jamyo.
41Toeni kwa maskini vile vitu vilivyomo ndani, na vingine vyote vitakuwa halali kwenu.
42¶ Lao ay, ay jamyo Fariseo! ni infanmannae diesmos nu y yetba buena yan laruda yan todo golae; ya innafapos y tininas yan y güinaeyan Yuus. Estesija nesesita infatinas, sin pelo y pumalo.
42"Lakini ole wenu Mafarisayo, kwa sababu mnatoza watu zaka hata juu ya majani ya kukolezea chakula, mchicha na majani mengine, na huku hamjali juu ya haki na upendo kwa Mungu. Mambo haya iliwapasa muwe mmeyazingatia bila kuyasahau yale mengine.
43Ay, ay jamyo Fariseo! sa ingüaeya etmas manaquilo na tachong gui sinagoga, yan y sinaluda sija gui metcado.
43"Ole wenu ninyi Mafarisayo, kwa sababu mnapenda kuketi mbele mahali pa heshima katika masunagogi, na kusalimiwa kwa heshima hadharani.
44Ay ay jamyo! sa calang jamyo naftan ni ti malilie; ya y taotao sija manmalolofanja gui sumanjilo ya ti matungo.
44Ole wenu, kwa sababu mko kama makaburi yaliyofichika; watu hutembea juu yake bila kufahamu."
45¶ Ya manope un magas y lay, ilegña nu güiya: Maestro, yaguin unsangan estesija unlatdejam locue.
45Mmoja wa walimu wa Sheria akamwambia, "Mwalimu, maneno yako yanatukashifu na sisi pia."
46Lao güiya ilegña: Ay ay jamyo locue y manmagas y lay! sa innafanmangangatga y taotao sija ni ayo na catga y macat para uchule, ya ni un calolotmiyo innainete para inayuda.
46Yesu akamjibu, "Na ninyi walimu wa Sheria, ole wenu; maana mnawatwika watu mizigo isiyochukulika, huku ninyi wenyewe hamnyoshi hata kidole kuwasaidia.
47Ay, ay jamyo! sa infatinas y naftan, y profeta sija, ya y tatanmiyo pumuno.
47Ole wenu, kwa kuwa mnajenga makaburi ya manabii wale ambao wazee wenu waliwaua.
48Taegüine mantestigo jamyo, ya inconsienteja y checho y tatanmiyo; sa sija magajet pumuno, ya jamyo fumatinas y naftanñija.
48Kwa hiyo mnashuhudia na kukubaliana na matendo ya wazee wenu; maana wao waliwaua hao manabii, nanyi mnajenga makaburi yao.
49Enaomina ilegña y minalate Yuus: Bae managoyo profeta yan apostoles para sija; ya megae guiya sija inpino yan inpetsigue:
49Kwa hiyo, Hekima ya Mungu ilisema hivi: Nitawapelekea manabii na mitume, lakini watawaua baadhi yao, na kuwatesa wengine.
50Sa guinin este na generasion manesesita machule y jâgâ todo y profeta, ni manmachuda desde y tutujon y tano;
50Matokeo yake ni kwamba kizazi hiki kitaadhibiwa kwa sababu ya damu ya manabii wote iliyomwagika tangu mwanzo wa ulimwengu;
51Desde jâgâ Abel, asta y jâgâ Sacharias, ni y matae gui entalo y attat yan y templo; magajet, jusangane jamyo na umanesesita machule guinin este na generasion.
51tangu kumwagwa damu ya Abeli mpaka kifo cha Zakariya ambaye walimuua kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Naam, hakika kizazi hiki kitaadhibiwa kwa matendo haya.
52Ay ay jamyo y manmagas y lay! sa innajanao y yaben tiningo; ya ti infanjalom jamyo yan y mangequejalom inchechema.
52"Ole wenu ninyi walimu wa Sheria, kwa sababu mmeuficha ule ufunguo wa mlango wa elimu; ninyi wenyewe hamkuingia na mmewazuia waliokuwa wanaingia wasiingie."
53¶ Ya anae jumuyong güije, y escribas yan y Fariseos sija, matutujon ma afuefuetsas ya macacase para usigue cumuentos megae;
53Alipokuwa akitoka pale, wale Mafarisayo na walimu wa Sheria wakaanza kumshambulia vikali na kumsonga kwa maswali mengi
54Maespipia, para umaquechule jafa guinin y pachotña.
54ili wapate kumnasa kwa maneno yake.