Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Luke

10

1ANAE munjayan este sija na güinaja, jaayig y Señot otro setenta, ya jatago dos en dos gui menaña para todo y siuda yan ayo na lugat anae para ufato güe.
1Baada ya hayo, Bwana aliwachagua wengine sabini na wawili, akawatuma wawiliwawili, wamtangulie katika kila kijiji na mahali ambapo yeye mwenyewe alitaka kwenda.
2Ya ilegña nu sija: Y cosecha megae, lao y manmachochocho didide; enaomina gagao y Señot y cosecha, ya ufanago ni manmachochocho para y cosechaña.
2Akawaambia, "Mavuno ni mengi, lakini wavunaji ni wachache. Kwa hivyo, mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake.
3Fanjanao gui chalanmiyo; estagüe na jutago jamyo taegüije quinilo gui entalo y lobo sija.
3Sasa nendeni; fahamuni kwamba ninawatuma ninyi kama kondoo wanaokwenda kati ya mbwa mwitu.
4Chamiyo fanmañuñule botsa ni maleta, ni sapatos: ni jaye insaluda gui jinanaonmiyo.
4Msichukue mfuko wa fedha, mkoba, wala viatu; msimsalimu mtu yeyote njiani.
5Masqueseaja mano na guma nae manjalom jamyo, finenana in alog: Pas para este na guma.
5Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: Amani iwe katika nyumba hii!
6Yaguin guaja güije patgon y pas, y pasmiyo usaga guiya güiya; yaguin taya, utalo guato guiya jamyo.
6Kama akiwako mwenye kupenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.
7Fañaga güije na guma, fañocho yan infanguimen todo y manmanaenmiyo; sa y machochoeho ufanmerese nu y apasña. Chamiyo fanjajanao guma pot guma.
7Kaeni katika nyumba hiyo mkila na kunywa wanavyowapeni, maana mfanyakazi anastahili mshahara wake. Msiende mara nyumba hii mara nyumba ile.
8Ya masquesea mano na siuda nae manjalom jamyo, ya manmaresibe jamyo, cano jafa y manmasajyane jamyo.
8Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.
9Ya nafanjomlo y manmalango ni guaja güije, ya inalog nu sija: y raenon Yuus esta mato guiya jamyo.
9Ponyeni wagonjwa walioko huko, waambieni watu: Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu.
10Lao masqueseaja mano na suida nae manjalom jamyo, ya ti manmaresibe jamyo, fanjanao gui cayeñija, ya inalog:
10Lakini mkiingia katika mji wowote, wasipowakaribisheni, tokeni; nanyi mpitapo katika barabara zao semeni:
11Asta y petbos ni jachetune y adengmame güine gui siudanmiyo, insacude contra jamyo; lao tingo este na y raenon Yuus mato jijot guiya jamyo.
11Hata mavumbi ya mji wenu yaliyoshikamana na miguu yetu tunawakung'utieni. Lakini, jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
12Ya jusangane jamyo: mas sungunon Sodoma güije na jaane qui ayo na siuda.
12Hakika nawaambieni, siku ile mji huo utapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Sodoma.
13Ay! ay! jao Corasin: ay! ay! jao Betsaida! sa yaguin guiya Tiro yan Sidon nae manmafatinas este sija na mannamanman y manmafatinas guiya jamyo, jagas sen amco manmañotsot, infanmatachong gui silisio yan y apo.
13"Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwenu ingalifanyika kule Tiro na Sidoni, watu wake wangalikwishavaa mavazi ya gunia kitambo, na kukaa katika majivu kuonyesha kwamba wametubu.
14Enaomina mas sungunon Tiro yan Sidon qui para jamyo gui jaanin y sentensia.
14Hata hivyo, Siku ya Hukumu ninyi mtapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Tiro na Sidoni.
15Ya jago Capernaum, unacajulo jao asta y langet? umachule papa asta sasalaguan.
15Na wewe Kafarnaumu, unataka kujikweza mpaka mbinguni? La; utaporomoshwa mpaka Kuzimu."
16Y jumungog jamyo, jajungogyo; ya y dumesecha jamyo, jadesechayo; ya y dumesechayo, jadesecha y tumagoyo.
16Halafu akasema, "Anayewasikiliza ninyi, ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea ninyi, anakataa kunipokea mimi. Yeyote anayekataa kunipokea, anakataa kumpokea yule aliyenituma."
17¶ Ya manalo guato y setenta yan y minagofñija, ya ilegñija: Señot, asta y manganite insujejeta pot y naanmo.
17Baadaye, wale sabini na wawili walirudi wamejaa furaha, wakisema, "Bwana, hata pepo wametutii tulipolitaja jina lako."
18Ya ilegña nu sija: Julie si Satanas taegüije y lamlam ni y pedong guinin y langet.
18Yeye akawaambia, "Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.
19Estagüe, na junae jamyo ninasiña para ingacha y culebla, yan y alacran, yan y jilo todo y ninasiñan y enemigo, ya taya siña munafanlamen jamyo.
19Naam, nimewapeni uwezo wa kukanyaga nyoka na ng'e, na uwezo juu ya nguvu zote za yule adui; hakuna chochote kitakachowadhuru.
20Lao chamiyo ninafanmamagof pot este, pot y espiritu sija ni insujejeta; lao fanmagof jamyo pot y naanmiyo ni esta matugue gui langet.
20Hata hivyo, msifurahi kwa sababu pepo wamewatii, bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni."
21¶ Ya ayoja na ora magof si Jesus gui Espiritu Santo ya ilegña: Junae jao grasia, O Tata, Señot y langet yan y tano, sa unana este sija na güinaja gui manmejnalom yan manmanungo, ya unfanue gui mandiquique; junggan Tata, sa taegüine nae senmagof gui menamo.
21Saa ileile, Yesu akafurahi kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, akasema, "Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa kuwa umewaficha wenye hekima na elimu mambo haya, ukawafumbulia wadogo. Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza."
22Todo y güinaja sija jagasja jaentregayo y Tatajo; ya taya tumungo jaye y Lajiña, na y Tataja; ya jaye y Tata, na y Lajiñaja, yan ayo y minalago y lajiña ufinanue.
22Kisha akasema, "Baba yangu ameweka yote mikononi mwangu. Hakuna amjuaye Mwana ni nani ila Baba, wala amjuaye Baba ni nani ila Mwana, na yeyote yule ambaye Mwana anataka kumfunulia hayo."
23Ya jabiragüe guato gui disipulo sija, ya ilegña: Mandichoso y atadog ni manmanlie nu estesija ni y liniinmiyo:
23Halafu akawaelekea wafuasi wake akawaambia, "Heri wanaoona yale mnayoyaona ninyi!
24Sa jusangane jamyo, na megae na profeta yan ray sija, dumesesea na ulie nu estesija ni y liniinmiyo, ya ti malie; yan ujajungog nu estesija ni y jiningogmiyo ya ti jajungog.
24Hakika, manabii na wafalme walitamani kuona yale mnayoyaona ninyi wasiyaone, na kusikia yale mnayoyasikia wasiyasikie."
25¶ Ya, estagüe, un magas y lay na tumojgue julo ya tinietientagüe, ya ilegña: Maestro, jafa jufatinas para juereda y taejinecog na linâlâ?
25Baadaye mwalimu mmoja wa Sheria alisimama akamwuliza akitaka kumtega, "Mwalimu, nifanye nini ili nipate uzima wa milele?"
26Ya ilegña nu güiya: Jafa matugue gui tinago? jafa untataetae?
26Yesu akamwuliza, "Imeandikwa nini katika Sheria? Unaelewaje?"
27Ya güiya manope, ilegña: Guaeya y Señot Yuosmo contodo gui corasonmo, yan contodo y antimo, yan contodo y minetgotmo, yan contodo y tiningomo; yan y tiguangmo taegüije iya jago namaesa.
27Akamjibu, "Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote. Na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."
28Ya ilegña nu güiya: Mauleg inepemo: fatinas este, ya unlâlâ.
28Yesu akawaambia, "Vema! Fanya hivyo, nawe utaishi."
29Lao güiya, malago na unatunas maesa güe, ilegña as Jesus: Ya jaye tiguangjo?
29Lakini yeye akitaka kujihakikishia kuwa mwema akamwuliza Yesu, "Na jirani yangu ni nani?"
30Ya inepe as Jesus ya ilegña: Un taotao tumunog guinin Jerusalem asta Jerico, ya podong gui entalo y manaque; y machule y magaguña ya manachetnudan güe, ya manjanao ya mapolo cana matae.
30Yesu akamjibu, "Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyang'anya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.
31Ya susede na un pale tumunog güijeja na chalan; ya anae jalie malofanja gui otro banda.
31Kumbe, kuhani mmoja akawa anapita barabara ileile, akamwona, akapita kando.
32Taegüijeja locue un Lebita, anae mato jijot güije na lugat, ya jaatanja, ya malofanja gui otro banda.
32Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali akamwona, akapita kando.
33Ya un Samaritano, anae jumajanao güije na chalan, mato lugat nae gaegue güe, ya anae jalie, ninamaase,
33Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma.
34Ya mato guato guiya güiya jabee y chetnot sija ya janaye laña yan bino; ya janamaudae gui gaña gâgâ, ya jacone asta y guima publico ya jaadaje.
34Akamwendea, akamtibu majeraha yake kwa kumtia mafuta na divai; na kuyafunga halafu akampandisha juu ya punda wake akampeleka katika nyumba moja ya wageni akamuuguza.
35Ya y inagpaña güije anae para ujanao jachule dos denarion salape ya janae y magas y guima, ya ilegña nu güiya: Guesadaje güe; ya todo y palo na gastomo despues, yaguin tumaloyo mague, juapase jao.
35Kesho yake akatoa fedha dinari mbili akampa yule mwenye nyumba, akamwambia, Muuguze mtu huyu; na chochote utakachotumia zaidi, nitakulipa nitakaporudi."
36Ya jaye y tiguang entre y tres, pot ayo y pedong gui entalo y manaque?
36Kisha Yesu akauliza, "Kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonyesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa na majambazi?"
37Ya güiya ilegña: Ayo y maase nu güiya. Ayonae ilegña Janao ya unfatinas locue taegüije.
37Yule mwalimu wa Sheria akamjibu, "Ni yule aliyemwonea huruma." Yesu akamwambia, "Nenda ukafanye vivyo hivyo."
38¶ Ya anae jumajanao, jumalom gui un songsong; ya un palaoan na y naanña si Marta rinesibegüe gui guimaña.
38Walipokuwa safarini, waliingia katika kijiji kimoja na mwanamke mmoja, aitwaye Martha, alimkaribisha nyumbani kwake.
39Ya guaja uno cheluña palaoan na y naanña si Maria, na locue matatachongja gui adeng Jesus, ya jaecungogja y sinanganña.
39Martha alikuwa na dada yake aitwaye Maria; huyu aliketi karibu na Yesu akisikiliza mafundisho yake.
40Lao si Marta esta inestotba pot megae sinetbeña, ya mato guiya güiya, ya ilegña: Señot, ada ti unlie y chelujo na upaloyo ya jufañeñetbeja na maesa? Tago ya uayudayo.
40Lakini Martha alikuwa anashughulika na mambo mengi. Basi, akamwendea Yesu, akamwambia, "Bwana, hivi hujali kwamba dada yangu ameniacha nishughulike peke yangu? Mwambie basi, anisaidie."
41Ya inepe as Jesus ilegña nu güiya: Marta, Marta, esta jago inestotba ya guesmanadaje jao, pot megae na güinaja:
41Lakini Bwana akamjibu, "Martha, Martha, unahangaika na kusumbuka kwa mambo mengi.
42Lao unoja manesesita; ya si Maria jaayig ayo mauleg na patte ni ti umachule guiya güiya.
42Kitu kimoja tu ni muhimu. Maria amechagua kitu bora zaidi ambacho hakuna mtu atakayemnyag'anya."