Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Luke

16

1YA ilegña locue ni y disipuluña sija: Guaja un taotao na rico, ya guaja mayetdomuña; ya este mafaaela guiya güiya na jagasta y güinajaña.
1Yesu aliwaambia wanafunzi wake: "Tajiri mmoja alikuwa na karani wake. Huyu karani alichongewa kwamba alitumia ovyo mali ya tajiri wake.
2Ya janamaagange, ya ilegña nu güiya: Jafa este y jujujungog guiya jago? Fannae cuenta pot y mayetdomumo, sa ti siña jao mumayetdomo mas.
2Yule tajiri akamwita akamwambia: Ni mambo gani haya ninayosikia juu yako? Toa hesabu ya mapato na matumizi ya mali yangu, kwa maana huwezi kuwa karani tena.
3Ayonae y mayetdomo, ilegña gui sumanjalomña: Jafa jufatinas? sa y señotjo unajanaoyo gui mayetdomujo: Taya minetgotto para ufanguadog; mamajlaojo umogagao.
3Yule karani akafikiri: Bwana wangu amenifukuza kazi ya ukarani; nitafanya nini? Kwenda kulima siwezi; kwenda kuombaomba kama maskini ni aibu.
4Jutungo esta jafa jufatinas, para yanguin manajanaoyo gui mayetdomujo, jumaresibeyo gui guimañija.
4Naam, najua la kufanya, ili nitakapofukuzwa kazi, watu waweze kunikaribisha nyumbani kwao.
5Ya jaagang cada uno gui manmadidibe ni y señotña, ya ilegña ni y finenana: Cuanto undidibe y señotjo?
5Basi, akawaita wadeni wa bwana wake, mmoja mmoja, akamwambia yule wa kwanza: Unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?
6Ya ilegña: Siento na medidan laña. Ayonae ilegña nu güiya: Chule y cuentamo ya unfatachong guse ya untugue sincuenta.
6Yeye akamjibu: Mapipa mia ya mafuta ya zeituni. Yule karani akamwambia: Chukua hati yako ya deni, keti haraka, andika hamsini.
7Ya ilegña talo ni y otro: Ya jago, cuanto dibimo? Ilegña: Siento na medidan trigo. Ylegña talo: Chule y cuentamo ya untugue ochenta.
7Kisha akamwuliza mdeni mwingine: Wewe unadaiwa kiasi gani? Yeye akamjibu: Magunia mia ya ngano. Yule karani akamwambia: Chukua hati yako ya deni, andika themanini.
8Ya jaalaba y señot y taelaye na mayetdomo; sa pot y jagostungo chumogüe: sa y famaguon este na tano, manmejnalomña y generasionñija, qui y famaguon y manana.
8"Basi, yule bwana akamsifu huyo karani asiye mwaminifu, kwa kuwa alitumia busara. Kwa maana watu wa dunia hii wana busara zaidi na mambo yao kuliko watu wa mwanga."
9Ya jusangane jamyo: Fanmamamauleg amigonmiyo pot y güinajan y timanunas; sa yanguin manfatta jamyo, infanrinesibe gui taejinecog na saganñija.
9Naye Yesu akaendelea kusema, "Nami nawaambieni, jifanyieni marafiki kutokana na mali ya dunia, ili zitakapowaishieni, mweze kupokewa nao katika makao ya milele.
10Ya y tunas gui didide, tunasja locue gui megae; ya y ti tunas gui didide, ti tunasja locue gui megae.
10Yeyote aliye mwaminifu katika mambo madogo, atakuwa mwaminifu katika mambo makubwa; na yeyote asiye mwaminifu katika mambo madogo, hatakuwa mwaminifu katika mambo makubwa.
11Yanguin ti guinin manunas jamyo gui ti magajet na güinaja, jaye infaninangoco gui magajet na güinaja?
11Kama basi, ninyi si hamjawa waaminifu mali mbaya za dunia, ni nani atakayewakabidhi zile mali za kweli?
12Ya yanguin ti guinin manunas fiet jamyo gui iyon y otro taotao, jaye infanninae ni y iyonmiyo?
12Na kama hamjakuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewakabidhi mali yenu wenyewe?
13Ni un tentago siña jasetbe dos na señot: sa uchatlie y uno, ya uguaeya y otro; pat atituye gui uno, ya udespresia y otro. Ti siña jamyo insetbe si Yuus, yan y güinaja.
13"Hakuna mtumishi awezaye kuwatumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, au ataambatana na mmoja na kumdharau mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali."
14¶ Ya y Fariseo sija locue, ni y mangasalape, majungog este sija; ya mabotlea güe.
14Lakini Mafarisayo waliposikia hayo, kwa vile wao walikuwa wanapenda sana fedha, wakamdharau Yesu.
15Ya ilegña si Jesus nu sija: Jamyo yuje sija y innafanunas maesa jamyo gui menan y taotao sija; lao si Yuus jatungoja y corasonmiyo: sa ayo y guesmaguaeya gui entalo y taotao sija y chinatlie para y menan Yuus.
15Hapo akawaambia, "Ninyi mnajifanya wema mbele ya watu, lakini Mungu anaijua mioyo yenu. Kwa maana kile kinachoonekana kuwa kitukufu mbele ya watu, Mungu anakiona kuwa takataka.
16Y lay, yan y profeta sija, mangaegue asta as Juan: ya desde ayo na tiempo y raenon Yuus mapredicañaejon, ya todoja jumalom nu y finijon.
16"Sheria na maandishi ya manabii vilikuweko mpaka wakati wa Yohane mbatizaji. Tangu hapo, Ufalme wa Mungu unahubiriwa, na kila mmoja anauingia kwa nguvu.
17Lao guseña malofan y langet yan y tano, qui na un pidasito gui lay ufatta.
17Lakini ni rahisi zaidi mbingu na dunia kupita, kuliko hata herufi moja ya Sheria kufutwa.
18Todo ayo y dumingo y asaguaña, ya umasagua yan otro, jafatinas y abale; ya y umasagua ayo na palaoan ni y diningo ni y asaguañalaje, jafatinas y abale.
18"Yeyote anayemwacha mke wake na kuoa mwingine, anazini; na yeyote anayemwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.
19¶ Guaja un taotao na rico, na minagagagoja putpura, yan y guesmauleg na magago apaca, ya cada jaane gumupupot.
19"Palikuwa na mtu mmoja tajiri, ambaye alikuwa anavaa mavazi ya bei kubwa sana ya rangi ya zambarau, na ya kitani safi, na kufanya sherehe kila siku.
20Ya guaja locue un pobble na umógagao limosna, y naanña si Lasaro, na bula chetnot, ni y estaba mapolo gui pettan y rico.
20Kulikuwa pia na maskini mmoja jina lake Lazaro, aliyekuwa amejaa vidonda na alikuwa analazwa mlangoni pa nyumba ya huyo tajiri.
21Ya malagogüe na umanachocho ni ayo y andesmoronan ni y mamopodong gui lamasan y rico; ya asta y galago manmato ya manmanjójoflag y chetnotña.
21Lazaro alitamani kula makombo yaliyoanguka kutoka meza ya tajiri; na zaidi ya hayo, mbwa walikuwa wanakuja na kulamba vidonda vyake!
22Ya despues, matae y pebble ni y umógagao limosna, ya macone ni y angjet sija asta y pechon Abraham; matae locue y rico na taotao, ya majafot;
22"Ikatokea kwamba huyo maskini akafa, malaika wakamchukua, wakamweka karibu na Abrahamu. Na yule tajiri pia akafa, akazikwa.
23Ya y ya sasalaguan, jajatsa y atadogña, anae estaba gui sinapet, ya jalie si Abraham na chago, yan si Lasaro gui pechoña.
23Huyo tajiri, alikuwa na mateso makali huko kuzimu, akainua macho yake, akamwona Abrahamu kwa mbali na Lazaro karibu naye.
24Ya umagang ilegña: Tata Abraham, gaease nu guajo, ya tago si Lasaro, para usupog y puntan calolotña gui janom ya unafresco y jilajo; sa estagüe na masasapetyo güine na mañila.
24Basi, akaita kwa sauti: Baba Abrahamu, nionee huruma; umtume Lazaro angalau achovye ncha ya kidole chake katika maji, auburudishe ulimi wangu, maana ninateseka mno katika moto huu.
25Lao si Abraham ilegña: Laje, jaso na anae lalâlâ jao unresibe todo y manmauleg na güinajamo; taegüenaoja locue si Lasaro jaresibe y manaelaye na güinaja: lao pago, güiya mamagof güine, ya jago masasapet.
25Lakini Abrahamu akamjibu: Kumbuka mwanangu, kwamba ulipokea mema yako katika maisha, naye Lazaro akapokea mabaya. Sasa lakini, yeye anatulizwa, nawe unateswa.
26Ya gui todo estesija; esta mapolo fitme gui entalota un dangculon joyo na chojfe, para todo y manmalago manmalofan güine asta iya jamyo ti ufansiña; ni ufanmalofan y manmalago güenao manmalag iya jamyo.
26Licha ya hayo, kati yetu na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wanaotaka kuja kwenu kutoka huku wasiweze, wala wanaotaka kutoka kwenu kuja kwetu wasiweze.
27Ayonae ilegña: Pues jutayuyut jao tata, tago güe para y guima tata;
27Huyo aliyekuwa tajiri akasema: Basi baba, nakuomba umtume aende nyumbani kwa baba yangu,
28Sa guajayo sinco mañelujo lalaje; para usangane sija testimonio; ni noseaja ufanmamaela locue güine gui sinapet na lugat.
28maana ninao ndugu watano, ili awaonye wasije wakaja huku kwenye mateso.
29Lao si Abraham ilegña: Gaegueja si Moises yan y profeta sija, polo ya ujaecungogja.
29Lakini Abrahamu akamwambia: Ndugu zako wanao Mose na manabii; waache wawasikilize hao.
30Ya ilegña: Aje, tata Abraham; sa yanguin uno ni y guinin manmatae jumanao para iya sija, ufanmañotsot.
30Lakini yeye akasema: Sivyo baba Abrahamu, ila kama mtu atafufuka kutoka wafu na kuwaendea, watatubu.
31Ya ilegña nu güiya: Yanguin ti maecungog si Moises, yan y profeta sija; ti ufanmaosgon achogja uguaja cajulo guinin y manmatae.
31Naye Abrahamu akasema: Kama hawawasikilizi Mose na manabii, hawatajali hata kama mtu angefufuka kutoka wafu."