Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Luke

2

1YA susede na ayo sija na jaane, jumuyong un bando guinen as Augusto Sesat, para todo y tano na mataotagüe, na y naanñija ufanmatugue gui padron.
1Siku zile, tangazo rasmi lilitolewa na Kaisari Augusto kuwataka watu wote chini ya utawala wake wajiandikishe.
2Este finenana na padron esta fumatinas, anae si Sirenio y magalaje guiya Siria.
2Kuandikishwa huku kulikuwa mara ya kwanza, wakati Kirenio alipokuwa mkuu wa mkoa wa Siria.
3Ya manjanao todo y taotao para ninatugue y naanñija gui padron, cada uno gui siudaña.
3Basi, wote waliohusika walikwenda kujiandikisha, kila mtu katika mji wake.
4Ya jumanao si José guinin Galilea, guinin un siuda na naanña Nasaret, para ufalag Judea, gui siudan David, na mafanaan Betlehem, sa güiya y guima y familian David;
4Yosefu pia alifanya safari kutoka mjini Nazareti mkoani Galilaya. Kwa kuwa alikuwa wa jamaa na ukoo wa Daudi alikwenda mjini Bethlehemu mkoani Yuda alikozaliwa Mfalme Daudi.
5Para ufanmatugue gui padron yan si Maria, asaguaña umacamo yan güiya, anae estaba dangculo sa mapotgue,
5Alikwenda kujiandikisha pamoja na mchumba wake Maria ambaye alikuwa mja mzito.
6Ya susede, anae gaegue sija güije, y jaaniña ni para ufañago esta macumple;
6Walipokuwa huko, siku yake ya kujifungua ikawadia,
7Ya mañago un laje finenana na patgon; ya mabalutan ni y pañales, ya manaason qui cajon sacate; sa taya sagañija gui guima.
7akajifungua mtoto wake wa kwanza wa kiume, akamvika nguo za kitoto, akamlaza horini kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.
8¶ Ya guaja pastot sija güije na tano, na mañaga gui fangualuan, ya jaadadaje y manadan quinilo gui puenge.
8Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao.
9Ya estagüe y angjet y señot tumotojgue guiya sija; y minalag Yuus jaina gui oriyañija; ya guaja dangculo na minaañao.
9Malaika wa Bwana akawatokea ghafla, na utukufu wa Bwana ukawaangazia pande zote. Wakaogopa sana.
10Lao y angjet ilegña nu sija: Chamiyo fanmaañao; sa, estagüe, na juchule para jamyo mauleg na sinangan dangculo na minagof, para todo y taotao:
10Malaika akawaambia, "Msiogope! Nimewaleteeni habari njema ya furaha kuu kwa watu wote.
11Sa esta mafañago para jamyo gui siudan David, pago na jaane, un Satbadot, na güiya si Cristo, y Señot.
11Kwa maana, leo hii katika mji wa Daudi, amezaliwa Mwokozi kwa ajili yenu, ndiye Kristo Bwana.
12Ya este y señatmiyo: Inseda y patgon mabalutan ni y pañales, ya umaason gui cajon sacate.
12Na hiki kitakuwa kitambulisho kwenu: mtamkuta mtoto mchanga amevikwa nguo za kitoto, amelazwa horini."
13Ya enseguidas anog yan y angjet y linajyan y sendalo gui langet, na manmantutuna as Yuus, ya ilegñija:
13Mara kundi kubwa la jeshi la mbinguni likajiunga na huyo malaika, wakamsifu Mungu wakisema:
14Minalag gui y Gueftaquilo as Yuus, ya y tano pas gui entalo taotao ni y minagofña dangculo.
14"Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na amani duniani kwa watu aliopendezwa nao!"
15Ya jumuyong anae y angjet sija manmamapos guiya sija para y langet, y pastot sija manasangane. uno yan otro: Nije tafanmalag pues, asta Betlehem, ya talie este na güinaja ni esta jumuyong, na si Yuus jafanuejit.
15Baada ya hao malaika kuondoka na kurudi mbinguni, wachungaji wakaambiana: "Twendeni moja kwa moja mpaka Bethlehemu tukalione tukio hili Bwana alilotujulisha."
16Ya manmato chadeg, ya jasoda si Maria yan José, yan y diquique na patgon umaason gui cajon sacate.
16Basi, wakaenda mbio, wakamkuta Maria na Yosefu na yule mtoto mchanga amelazwa horini.
17Ya anae esta malie, janatungo y sinangan na mansinangane sija nu y diquique na patgon.
17Hao wachungaji walipomwona mtoto huyo wakawajulisha wote habari waliyokuwa wamesikia juu yake.
18Ya todo y manmanjungog, ninafanmanman pot y pastot sija, ni y sinanganñija.
18Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.
19Lao si Maria jananana todo este sija na sinangan, jajasosoye gui corasonña.
19Lakini Maria aliyaweka na kuyatafakari mambo hayo yote moyoni mwake.
20Ya manato guato y pastot sija yan manmagof ya matuna si Yuus pot todo y güinaja ni munjayan jajungog yan jalie, jaftaemano y esta jasangane sija.
20Wale wachungaji walirudi makwao huku wakimtukuza na kumsifu Mungu kwa yote waliyokuwa wamesikia na kuona; yote yalikuwa kama walivyokuwa wameambiwa.
21¶ Ya anae esta macumple y ocho na jaane, para umasirconsida güe mafanaan naanña si Jesus, taegüije y finanaan nu y angjet antes qui umamapotgueñaejon gui tiyan nanaña.
21Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.
22Ya anae esta macumple y jaanin y guinasgas, jaftaemanoja y lay Moises, sija macone güe guiya Jerusalem para umanae gui Señot.
22Siku zilipotimia za Yosefu na Maria kutakaswa kama walivyotakiwa na Sheria ya Mose, wazazi hao walimchukua mtoto, wakaenda naye Yerusalemu ili wamweke mbele ya Bwana.
23(Jaftaemanoja y matuque gui lay y Señot: todo laje na jababa y tiyan, umafanaan santos para y Señot);
23Katika Sheria ya Bwana imeandikwa: "Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume atawekwa wakfu kwa Bwana."
24Ya para umanae inefrese jaftaemanoja y masangan y lay y Señot, un pares na tortola pat dos patgon na paluma.
24Pia walikwenda ili watoe sadaka: hua wawili au makinda wawili ya njiwa, kama ilivyotakiwa katika Sheria ya Bwana.
25Ya, estagüe, guaja un taotao guiya Jerusalem, na naanña si Simeon, ya este na taotao, cabales ya guefmanjonggue na jananangga y quinensuela y Israel: ya y Espiritu Santo gaegue gui jiloña.
25Wakati huo huko Yerusalemu kulikuwa na mtu mmoja, mwema na mcha Mungu, jina lake Simeoni. Yeye alikuwa akitazamia kwa hamu ukombozi wa Israeli. Roho Mtakatifu alikuwa pamoja naye.
26Ya esta mafanue güe nu y Espiritu Santo, na ti ulie finatae, antes na ulie Cristo, y Señot.
26Roho Mtakatifu alikuwa amemhakikishia kwamba hatakufa kabla ya kumwona Masiha wa Bwana.
27Ya mato güe pot y Espiritu gui templo, ya anae machule, nu si tataña, y patgon Jesus gui templo para umafatinas pot guiya, taemanoja y costumbren y lay,
27Basi, akiongozwa na Roho Mtakatifu, Simeoni aliingia Hekaluni; na wazazi wa Yesu walipomleta Hekaluni mtoto wao ili wamfanyie kama ilivyotakiwa na Sheria,
28Ayo nae güiya jajogue gui canaeña ya jabendise si Yuus ya ilegña:
28Simeoni alimpokea mtoto Yesu mikononi mwake huku akimtukuza Mungu na kusema:
29Pago polo, Señot, y tentagomo ya jumanao yan pas, taemanoja y sinanganmo.
29"Sasa Bwana, umetimiza ahadi yako, waweza kumruhusu mtumishi wako aende kwa amani.
30Sa jalie y matajo y satbasionmo,
30Maana kwa macho yangu nimeuona wokovu utokao kwako,
31Ni esta unfamauleg gui menan todo y taotao;
31ambao umeutayarisha mbele ya watu wote:
32Y candit para ufanmatungo y nasion sija, yan y minalag para y taotaomo, Israel.
32Mwanga utakaowaangazia watu wa mataifa, na utukufu kwa watu wako Israeli."
33¶ Ya si José yan y nanaña ninafanmanman nu ayo sija y jasasangan nu güiya;
33Baba na mama yake Yesu walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto.
34Ya jabendise si Simeon ya ilegña ni nanaña as Maria: Estagüe na patgon esta mapolo para pinedong yan para ufanjinatsa y megae guiya Israel; yan para y señat ni y ninachatsaga,
34Simeoni akawabariki, akamwambia Maria mama yake, "Mtoto huyu atakuwa sababu ya kupotea na kuokoka kwa watu wengi katika Israeli. Naye atakuwa ishara itakayopingwa na watu;
35Yan y jago locue, sa y antimo na umadotgan nu y espada, ya para jinasoñija y megae na corason nae umatungo.
35na hivyo mawazo ya watu wengi yataonekana wazi. Nawe mwenyewe, uchungu ulio kama upanga mkali utauchoma moyo wako."
36Gaegue locue güije, si Ana y profeta palaoan, jagan Fanuel gui tribun Aser (na güiya guaja megae na jaaniña, yan sumaga yan y asaguaña siete años desde y binitgenña;
36Palikuwa na nabii mmoja mwanamke, mzee sana, jina lake Ana, binti Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa ameishi na mumewe kwa miaka saba tangu alipoolewa.
37Ya bumiuda asta ochenta y cuatro años) ya ti jafapos gui templo, ya jaadodora si Yuus, puenge yan jaane nu y umayuyunat yan manaenaetae.
37Halafu alibaki mjane hadi wakati huo akiwa mzee wa miaka themanini na minne. Wakati huo wote alikaa Hekaluni akifunga na kusali usiku na mchana.
38Ya este mato güijija na ora ya janae si Yuus maase, ya jacumuentuse pot güiya todo sija y manmannangga ni linibre guiya Jerusalem.
38Saa hiyohiyo alijitokeza mbele, akamshukuru Mungu, na akaeleza habari za huyo mtoto kwa watu wote waliokuwa wanatazamia ukombozi wa Yerusalemu.
39Lao anae esta jacumple todo sija, taemanoja y gaegue gui lay y Señot, manalo guato Galilea gui siudañija guiya Nasaret.
39Hao wazazi walipokwisha fanya yote yaliyoamriwa na Sheria ya Bwana, walirudi makwao Nazareti, mkoani Galilaya.
40Ya y patgon dumangculo yan ninamatatnga ya bulagüe tiningo: ya y grasian Yuus gaegue gui jiloña.
40Mtoto akakua, akazidi kupata nguvu, akajaa hekima, na neema ya Mungu ilikuwa pamoja naye.
41¶ Ya manjajanao sija tataña todo y sacan asta Jerusalem gui guipot y pascua.
41Wazazi wa Yesu walikuwa na desturi ya kwenda Yerusalemu kila mwaka wakati wa sikukuu ya Pasaka.
42Ya anae guaja esta dose na años, sija mangajulo guiya Jerusalem taemanoja y costumbren y guipot.
42Mtoto alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili, wote walikwenda kwenye sikukuu hiyo kama ilivyokuwa desturi.
43Ya anae jocog y jaane sija, manalo sija, ya sumaga y patgon, Jesus, guiya Jerusalem taetiningo nu y tataña sija.
43Baada ya sikukuu, walianza safari ya kurudi makwao, lakini Yesu alibaki Yerusalemu bila wazazi wake kuwa na habari.
44Ya jinasoñija na gaegue gui mangachongñija, ya un jaane na manjajanaoja; ya maaliligao güe gui entalo y parientesñija yan y manatungoñija.
44Walidhani alikuwa pamoja na kundi la wasafiri, wakaenda mwendo wa kutwa, halafu wakaanza kumtafuta miongoni mwa jamaa na marafiki.
45Lao anae ti masoda güe, manalo guato Jerusalem maaliligao güe.
45Kwa kuwa hawakumwona, walirudi Yerusalemu wakimtafuta.
46Ya susede anae esta malofan tres na jaane, inseda güe gui templo matatachong gui entalo y manfaye maecungog yan mafafaesen.
46Siku ya tatu walimkuta Hekaluni kati ya walimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.
47Ya todo sija y jumujungog ninafanmanman ni tiningoña yan y inepeña.
47Wote waliosikia maneno yake walistaajabia akili yake na majibu yake ya hekima.
48Ya anae malie manmajngan ya ilegña nu güiya si nanaña: Patgon, jafa na unfatinasjam taeguenao? Estagüe si tatamo yan guajo na inaliligao jao yan y pinitinmame!
48Wazazi wake walipomwona walishangaa. Maria, mama yake, akamwuliza, "Mwanangu, kwa nini umetutenda hivyo? Baba yako na mimi tumekuwa tukikutafuta kwa huzuni."
49Ayo nae ilegña nu sija: Pot jafa yo na inaliligao? Ti intingo na y checho y tatajo nesesita yo na fatinas?
49Yeye akawajibu, "Kwa nini mlinitafuta? Hamkujua kwamba inanipasa kuwa katika nyumba ya Baba yangu?"
50Lao sija ti jatungo ayo na sinangan y mansinangane.
50Lakini wazazi wake hawakuelewa maana ya maneno aliyowaambia.
51Ya tumunog yan sija ya manjanao. guato Nasaret ya mansinejeta sija. Ya si nanaña jaadaje este todo sija gui corasoña.
51Basi, akarudi pamoja nao hadi Nazareti, akawa anawatii. Mama yake akaweka mambo hayo yote moyoni mwake.
52Ya si Jesus lumálamodong gui tiningoña yan y linecaña yan y grasia gui as Yuus yan y taotao sija.
52Naye Yesu akaendelea kukua katika hekima na kimo; akazidi kupendwa na Mungu na watu.