1POT y guaja megae y umapolo y canaeñija para ufannaregla y cuentos nu y ayo na güinaja na esta guefmaasegura gui entalo jame,
1Mheshimiwa Theofilo: Watu wengi wamejitahidi kuandika juu ya mambo yale yaliyotendeka kati yetu.
2Jaftaemanoja ninaejam ni guine y tutujoña y testigojam ni y malie, nu y yan y ministrojam y sinangan;
2Waliandika kama tulivyoelezwa na wale walioyaona kwa macho yao tangu mwanzo, na waliotangaza ujumbe huo.
3Y jinasoco mauleg locue nu guajo, sa juguefegaga sinengcabales todo y güinaja guine y tutujonña, na jutuguie jao pot y inaregla, jago guesmagas na Teofilo;
3Inafaa nami pia, Mheshimiwa, baada ya kuchunguza kwa makini mambo yote tangu mwanzo, nikuandikie kwa mpango,
4Para untungo sija y magajet ayosija mano nae unresibe y finanagüe.
4ili nawe uweze kujionea mwenyewe ukweli wa mambo yale uliyofundishwa.
5¶ Guaja gui jaanin Herodes, ray guiya Judea, un pale, naanña si Sacharias, y clasen Abias; y asaguaña guinin sija jagan Aaron ya y naaña si Elisabet.
5Wakati Herode alipokuwa mfalme wa Yudea, kulikuwa na kuhani mmoja jina lake Zakaria, wa kikundi cha Abia. Mke wake alikuwa anaitwa Elisabeti, naye alikuwa wa ukoo wa kuhani Aroni.
6Este na dos mauleg gui sanmenan Yuus, jajananao gui todo y lay yan y tinago Señot, ti lalatdiyon.
6Wote wawili walikuwa wanyofu mbele ya Mungu, wakiishi kwa kufuata amri na maagizo yote ya Bwana bila lawama.
7Ya taya patgonñija; sa si Elisabet tifáfañago; yan y dos megae jaaniñija.
7Lakini hawakuwa wamejaliwa watoto kwa vile Elisabeti alikuwa tasa, nao wote wawili walikuwa wazee sana.
8¶ Ya jumuyong, anae mañeñetbe si Sacharias, gui ofisio y pale gui menan Yuus, gui chechon y clasiña,
8Siku moja, ilipokuwa zamu yake ya kutoa huduma ya ukuhani mbele ya Mungu,
9Jaftaemanoja y costumbren y ofisio y pale, y chechoña na jumalom gui guimayuus ya jasonggue y paopao.
9Zakariya alichaguliwa kwa kura, kama ilivyokuwa desturi, kuingia hekaluni ili afukize ubani.
10Ya todo y linajyan taotao mangaegue gui sanjiyong manmananaetae gui oran paopao.
10Watu, umati mkubwa, walikuwa wamekusanyika nje wanasali wakati huo wa kufukiza ubani.
11Ya mato guiya güiya y angjet y Señot, na gaegue gui agapa y attat y paopao.
11Malaika wa Bwana akamtokea humo ndani, akasimama upande wa kulia wa madhabahu ya kufukizia ubani.
12Ya inestotba si Sacharias anae jalie, ya mato minaañao gui jiloña.
12Zakariya alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia.
13Lao y angjet ilegña nu güiya: Sacharias, chamo maaañao; sa y tinaetaemo este majungog; ya y asaguamo as Elisabet ufañago y patgon laje, ya umafanaan naanña si Juan.
13Lakini malaika akamwambia, "Zakariya, usiogope, kwa maana sala yako imesikilizwa, na Elisabeti mkeo atakuzalia mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yohane.
14Ya uguaja jao minagof yan alegria; ya y megae umagof nu y mafañaguña.
14Utakuwa na furaha kubwa na watu wengi watashangilia kwa sababu ya kuzaliwa kwake.
15Sa udangculo güe gui menan Señot; ya ti uguimen bino ni metgot na guinem ya ubulagüe Espiritu Santo, guinin y tiyan nanaña.
15Atakuwa mkuu mbele ya Bwana. Hatakunywa divai wala kileo, atajazwa Roho Mtakatifu tangu tumboni mwa mama yake.
16Ya megae gui famaguon Israel, ujabira nu y Señot, Yuusñija.
16Atawaelekeza wengi wa watu wa Israeli kwa Bwana Mungu wao.
17Ya ujanaogüe gui menan y mataña nu y espiritu yan y ninasiñan Elias, para unanalo y corasonñija y mañaena guiya y famaguon, yan y manchátmatago ni y tiningo y manunas; para ufamauleg nu y Señot y taotao, ni y esta fanmauleg para güiya.
17Atamtangulia Bwana akiongozwa na nguvu na roho kama Eliya. Atawapatanisha kina baba na watoto wao; atawafanya wasiotii wawe na fikira za uadilifu, na hivyo amtayarishie Bwana watu wake."
18Ya ilegña si Sacharias nu y angjet: Jaftaemano jutungo este? sa guajo bijoyo ya y asaguajo megae jaaniña.
18Zakariya akamwambia huyo malaika, "Ni kitu gani kitakachonihakikishia jambo hilo? Mimi ni mzee, hali kadhalika na mke wangu."
19Ya manope y angjet ya ilegña nu güiya: Guajo si Gabriel, na gaegue yo tumotojgue gui menan Yuus; ya guajo esta matago na jucuentusejao, ya junaejao ni este mauleg na sinangan.
19Malaika akamjibu, "Mimi ni Gabrieli, nisimamaye mbele ya Mungu, na nimetumwa niseme nawe, nikuletee hii habari njema.
20Ya estagüe, na jago udojao ya ti siña uncuentos, asta y jaane nae este macumple estesija; sa y ti unjongue y sinanganjo, ni umacumple y tiempoña.
20Sikiliza, utakuwa bubu kwa sababu huyasadiki haya maneno yatakayotimia kwa wakati wake. Hutaweza kusema mpaka hayo niliyokuambia yatakapotimia."
21Ya y taotao sija manmannanangga as Sacharias, ya ninafanmanman ni y inapmamña gui guimayuus.
21Wakati huo, wale watu walikuwa wanamngoja Zakariya huku wakishangaa juu ya kukawia kwake Hekaluni.
22Ya anae jumuyong, ti siña umadingane sija; ya matungo na manlie un linie gui guimayuus; lao güiya sigue di fumatinas y señatja; ya sumaga udo.
22Alipotoka nje, hakuweza kusema nao. Ikawa dhahiri kwao kwamba alikuwa ameona maono Hekaluni. Lakini akawa anawapa ishara kwa mikono, akabaki bubu.
23Ya anae esta munjayan y jaanin y ministroña, jumanao para y guimaña.
23Zamu yake ya kuhudumu ilipokwisha, alirudi nyumbani.
24¶ Ya despues di ayo sija na jaane mapotgue y asaguaña as Elisabet, ya janana sinco na meses, ya ilegña:
24Baadaye Elisabeti mkewe akapata mimba. Akajificha nyumbani kwa muda wa miezi mitano, akisema:
25Taemanoja y Señot jafatinas para guajo, este sija na jaane nae jaatanyo para unajanao y mamajlaojo gui entalo taotao sija.
25"Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana; ameniangalia na kuniondolea aibu niliyokuwa nayo mbele ya watu."
26Y mina saes na mes, y angjet Gabriel esta tumago guine as Yuus, para un siuda guiya Galilea, ni y naanña y Nasaret,
26Mnamo mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu aende kwenye mji uitwao Nazareti huko Galilaya,
27Guiya un bitgen, nobia y un laje naanña si José, familian David; ya y naan y bitgen si Maria.
27kwa msichana mmoja aitwaye Maria, mchumba wa mtu mmoja jina lake Yosefu, wa ukoo wa Daudi.
28Ya jumalom manu nae estaba güe, ya ilegña: Jafa tatatmana jao na guefmaborese jao; y Señot gaegue guiya
28Malaika akamwendea, akamwambia, "Salamu Maria! Umejaliwa neema nyingi! Bwana yu pamoja nawe."
29Lao pot este na sinangan, ninaestotba güe, ya jajajaso na jaftaemano este na sinaluda.
29Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: maneno haya yanamaanisha nini?
30Entonses y angjet ilegña nu güiya: Maria, chamo maaañao; sa unsoda y finaborese gui menan Yuus.
30Malaika akamwambia, "Usiogope Maria, kwa maana Mungu amekujalia neema.
31Ya estagüe, na unmapotgue gui tiyanmo ya unfañago un patgon laje, ya umafanaan y naaaña si Jesus.
31Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume na utampa jina Yesu.
32Ya udangculo güe, ya umafanaan Lajin Gueftaquilo: ya y Señot Yuus ufannae güe y tronon David tataña.
32Yeye atakuwa mkuu na ataitwa Mwana wa Mungu Mkuu. Bwana Mungu atampa kiti cha mfalme Daudi, babu yake.
33Ya ugobietna gui guima Jacob siesiempreja; ya y raenoña ugagaegue taejinecog.
33Kwa hivyo atautawala ukoo wa Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho."
34Entonses si Maria ilegña ni y angjet: Jafa jumuyong este? sa ti jutungo laje.
34Maria akamjibu, "Yatawezekanaje hayo, hali mimi ni bikira?"
35Ya manope y angjet, ya ilegña nu güiya: Y Espiritu Santo umamaela guiya jago, ya y ninasiña y Gueftaquilo jafatinas y anineng gui jilomo; enaomina ayo na Santos na umafañago, umafanaan Lajin Yuus.
35Malaika akamjibu, "Roho Mtakatifu atakushukia, na uwezo wake Mungu Mkuu utakujia kama kivuli; kwa sababu hiyo, mtoto atakayezaliwa ataitwa Mtakatifu, Mwana wa Mungu.
36Ya, estagüe, si Elisabet, parentesmo, locue güiya mapotgue un laje gui inamcoña; ya este y mina saes na mes nu güiya na mafanaan tifáfañago.
36Ujue pia kwamba hata Elisabeti, jamaa yako, naye amepata mimba ingawa ni mzee, na sasa ni mwezi wa sita kwake yeye ambaye watu walimfahamu kuwa tasa.
37Sa y sinangan Yuus, taya uno na taeninasiña.
37Kwa maana hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu."
38Entonses si Maria ilegña: Estagüe y tentagon Señot; ufatinas guiya guajo taemanoja y sinanganmo. Ya y angjet mapos guiya güiya.
38Maria akasema, "Mimi ni mtumishi wa Bwana, nitendewe kama ulivyosema." Kisha yule malaika akaenda zake.
39¶ Ya ayo na jaane sija, cajulo si Maria ya jumanao gusise para un tano taquilo, guiya un siudan Juda;
39Siku kadhaa baadaye, Maria alifunga safari akaenda kwa haraka hadi mji mmoja ulioko katika milima ya Yuda.
40Ya jumalom gui guima Sacharias ya jasaluda si Elisabet.
40Huko, aliingia katika nyumba ya Zakariya, akamsalimu Elisabeti.
41Ya jumuyong taegüije na anae jajungog si Elisabet y sinaludan Maria, y patgon tumayog gui jalom tiyanña; si Elisabet bula Espiritu Santo,
41Mara tu Elisabeti aliposikia sauti ya Maria, mtoto mchanga tumboni mwake Elisabeti akaruka. Naye Elisabeti akajazwa Roho Mtakatifiu,
42Ya umagang ni dangculo na inagang ya ilegña: Dichosojao gui entalo y famalaoan, ya dichoso y tinegchan tiyanmo.
42akasema kwa sauti kubwa, "Umebarikiwa kuliko wanawake wote, naye utakayemzaa amebarikiwa.
43Ya guine manu este guiya guajo, na mato guiya guajo y nanan y Señotto.
43Mimi ni nani hata mama wa Bwana wangu afike kwangu?
44Sa estagüe, na anae mato y inagang y sinaludamo gui talangajo, y patgon, gui jalom tiyanjo, tumayog ni minagofña.
44Nakwambia, mara tu niliposikia sauti yako, mtoto mchanga tumboni mwangu aliruka kwa furaha.
45Ya dichosogüe y jumonggue; sa uguaja y quinimple gui güinaja, ni esta masangane güe ni guinin y Señot.
45Heri yako wewe uliyesadiki kwamba yatatimia yale Bwana aliyokwambia."
46¶ Entonses ilegña si Maria: Janadangculo y antijo y Señot,
46Naye Maria akasema,
47Ya y espiritujo ninamagof gui as Yuus y Satbadotto.
47"Moyo wangu wamtukuza Bwana, roho yangu inafurahi kwa sababu ya Mungu Mwokozi wangu.
48Sa jaatan y dinespresiaoña y tentgoña; sa estagüe na desde pago jumafanaan dichosa ni todo y generasion.
48Kwa kuwa amemwangalia kwa huruma mtumishi wake mnyenyekevu. Hivyo tangu sasa watu wote wataniita mwenye heri.
49Sa ayo na guaja ninasiña, jafatinas guiya guajo dangculo na güinaja; ya santos y naanña.
49Kwa kuwa Mwenyezi Mungu amenitendea makuu, jina lake ni takatifu.
50Ya y minaaseña gaegue gui generasion taotao sija, gui jiloñija ni manmaañao nu güiya.
50Huruma yake kwa watu wanaomcha hudumu kizazi hata kizazi.
51Ya pot y canaeña jafanue minetgot; janafañuja y sobetbio sija gui jinason y corasonñija.
51Amefanya mambo makuu kwa mkono wake: amewatawanya wenye kiburi katika mawazo ya mioyo yao;
52Ya jayute papa y magas gui tronoñija, ya jajatsa y manumitde.
52amewashusha wenye nguvu kutoka vitu vyao vya enzi, akawakweza wanyenyekevu.
53Ya y manñalang janafanbula ni y minauleg; ya y manmigüinaja janafanjanao yan y tae sinajguan.
53Wenye njaa amewashibisha mema, matajiri amewaacha waende mikono mitupu.
54Ya jaayuda si Israel tentagoña, para ufanjaso y miñaase,
54Amemsaidia Israeli mtumishi wake, akikumbuka huruma yake.
55(Taemano y jasangane y mañaenata), as Abraham yan y semiyaña para todo y tiempo.
55Kama alivyowaahidia wazee wetu Abrahamu na wazawa wake hata milele."
56Si Maria sumaga yan güiya calang tres meses ya despues jumanao asto iyasija.
56Maria alikaa na Elisabeti kwa muda upatao miezi mitatu, halafu akarudi nyumbani kwake.
57¶ Ya si Elisabet jacumple y tiempo nae para ufañago; ya mañago un patgon laje.
57Wakati wa kujifungua kwake Elisabeti ulifika, akajifungua mtoto wa kiume.
58Ya anae majungog ni tiguangña yan y parientesña, na si Yuus janadangculo y minaaseña guiya güiya; ya manmagof yan güiya.
58Jirani na watu wa jamaa yake walipopata habari kwamba Bwana amemwonea huruma kubwa, walifurahi pamoja naye.
59Ya susede na y mina ocho na jaane manmato para umasircunsida y patgon: ya malagoñija umafanaan ni y naan tataña as Sacharias.
59Halafu siku ya nane walifika kumtahiri mtoto, wakataka kumpa jina la baba yake, Zakariya.
60Ya manope y nanaña ya ilegña: Aje, sa umafanaan si Juan.
60Lakini mama yake akasema, "La, sivyo, bali ataitwa Yohane."
61Ya ilegñija nu güiya: Taya gui manparientesmo mafanaan nu este na naan.
61Wakamwambia, "Mbona hakuna yeyote katika ukoo wake mwenye jina hilo?"
62Ya maseñat y tataña, ya mafaesen jafa malagoña umafanaan.
62Basi, wakamwashiria baba yake wapate kujua alitaka mtoto wake apewe jina gani.
63Ya mangagao un diquique na tabla ya jatugue ilegña: Si Juan naanña. Ya todo sija ninafanmanman.
63Naye akaomba kibao cha kuandikia, akaandika hivi: "Yohane ndilo jina lake." Wote wakastaajabu.
64Ya enseguidas mababa y pachotña, ya mapula y jilaña, ya cumuentos, jabendise si Yuus.
64Papo hapo midomo na ulimi wake Zakariya vikafunguliwa, akawa anaongea akimsifu Mungu.
65Ya guaja minaañao gui jiloñija todo y mañasaga gui oriyañija: ya gui todo y tano taquilo guiya Judea, masasangan este sija na sinangan.
65Hofu ikawaingia jirani wote, na habari hizo zikaenea kila mahali katika milima ya Yudea.
66Ya todosija y jumujungog jaadaje gui corasonñija ya ilegñija: Jafa jumuyong este na patgon? Sa y canae Yuus gaegue guiya güiya.
66Wote waliosikia mambo hayo waliyatafakari mioyoni mwao wakisema: "Mtoto huyu atakuwa mtu wa namna gani?" Maana, hakika nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye.
67¶ Ya si Sacharias, tataña, bula Espiritu Santo ya japrofetisa, ilegña:
67Zakariya, baba yake mtoto, akajazwa Roho Mtakatifu, akatamka ujumbe wa Mungu:
68Bendito y Señot, y Yuus y Israel; sa jabisita ya jafatinas y redension, para taotaoña,
68"Asifiwe Bwana Mungu wa Israeli, kwani amekuja kuwasaidia na kuwakomboa watu wake.
69Ya janacajulo para jita un canggelon y satbasion, gui guima y tentagoña as David,
69Ametupatia Mwokozi shujaa, mzawa wa Daudi mtumishi wake.
70(Taegüijija na jasasangan gui pachot y mañantos na profetaña, ni esta gaegue guinin tutujonña y tano),
70Aliahidi hapo kale kwa njia ya manabii wake watakatifu,
71Satbasion gui y enemiguta yan gui canae todo y chumatliijit;
71kwamba atatuokoa mikononi mwa adui zetu na kutoka mikononi mwa wote wanaotuchukia.
72Para umafanue y minaaseña gui mañaenata, ya umajaso y santos na tratoña;
72Alisema atawahurumia wazee wetu, na kukumbuka agano lake takatifu.
73Y juramento ni manjula as Abraham ni tatata,
73Kiapo alichomwapia Abrahamu baba yetu, ni kwamba atatujalia sisi
74Na güiya unaejit linibreta gui canae y enemiguta ya utasetbe güe sin minaañao,
74tukombolewe kutoka adui zetu, tupate kumtumikia bila hofu,
75Y sinantos yan y tinunas gui menaña todo y jaanita.
75kwa unyofu na uadilifu mbele yake, siku zote za maisha yetu.
76Ya, jago, patgon, unmafanaan profetan y Gueftaquilo; sa unjanao gui menan y Señot para unfamauleg y chalanña;
76Nawe mwanangu, utaitwa, nabii wa Mungu Mkuu, utamtangulia Bwana kumtayarishia njia yake;
77Para ufanamatungo y satbasion gui taotaoña ni y maasiin y isaoñija,
77kuwatangazia watu kwamba wataokolewa kwa kuondolewa dhambi zao.
78Pot causa y corason y minaaseña y Yuusta, anae y candit ogaan guinin taquilo, jabisitajit,
78Mungu wetu ni mpole na mwenye huruma. Atasababisha pambazuko angavu la ukombozi litujie kutoka juu,
79Para junae inina y manmatatachong gui jemjom yan y anineng y finatae; para ufanue y patasta gui chalan y pas.
79na kuwaangazia wote wanaokaa katika giza kuu la kifo, aongoze hatua zetu katika njia ya amani."
80Ya y patgon lumala ya mumetgot gui espiritu ya sumaga gui desierto asta y jaane anae esta matungo guiya Israel.
80Mtoto akakua, akapata nguvu rohoni. Alikaa jangwani mpaka alipojionyesha rasmi kwa watu wa Israeli.