1YA anae esta malofan y sabado, si Maria Magdalena, yan si Maria nanan Santiago, yan si Salome, manmamajan paopao, para ufato ya umapalalae güe.
1Baada ya siku ya Sabato, Maria Magdalene, Salome na Maria mama yake Yakobo walinunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu.
2Ya taftataf gui egaan, gui finenana na jaane gui semana, manmato gui naftan gui quinajulo y atdao.
2Basi, alfajiri na mapema siku ya Jumapili, jua lilipoanza kuchomoza, walienda kaburini.
3Ya ilegñija entre sija: Jaye uninagalileg y acho gui pettan y naftan?
3Nao wakawa wanaambiana, "Nani atakayetuondolea lile jiwe mlangoni mwa kaburi?"
4Ya anae maaatan, malie na esta managalileg y acho, sa gosdangculo.
4Lakini walipotazama, waliona jiwe limekwisha ondolewa. (Nalo lilikuwa kubwa mno.)
5Ya manjalom gui naftan, malie un patgon na taotao, na matatachong gui agapa na banda, minagagon apaca na anaco; ya ninafangosmaañao.
5Walipoingia kaburini, walimwona kijana mmoja aliyevaa vazi jeupe, ameketi upande wa kulia; wakashangaa sana.
6Ya ilegña nu sija: Chamiyo fanmaaañao: inaliligao si Jesus Nasareno, ni y maatane gui quiluus: esta cajulo; taegüe güine; liija y lugat anae mapopolo güe.
6Lakini huyo kijana akawaambia, "Msishangae. Mnamtafuta Yesu wa Nazareti aliyesulubiwa. Amefufuka, hayumo hapa. Tazameni mahali walipokuwa wamemlaza.
7Janao infanjanao, ya insangane y disipuluña, yan si Pedro: Güiya jumanao gui menanmiyo guiya Galilea; ayo nae inlie güe, ni y guinin mansinangane jamyo.
7Nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro ya kwamba anawatangulieni kule Galilaya. Huko mtamwona kama alivyowaambieni."
8Ya manmapos juyong, ya manmalago gui naftan, sa jumuyong manlalaolao yan manmanman; ya ti ufanmanangane jafa ni y taotao; sa mangosmanmaañao.
8Basi, wakatoka pale kaburini mbio, maana walitetemeka kwa hofu na kushangaa. Hawakumwambia mtu yeyote kitu, kwa sababu waliogopa mno.
9¶ Lao anae cajulo si Jesus, taftataf gui egaan gui finenana na jaane gui semana, umalie finena, yan Maria Magdalena, ni y guinin janajuyong siete na anite.
9Yesu alipofufuka mapema Jumapili, alijionyesha kwanza kwa Maria Magdalene, ambaye Yesu alikuwa amemtoa pepo saba.
10Ya mapos güe, ya jasangane ayo y guinin mangachochongña, ni y mantriste, yan manatanges.
10Maria Magdalene akaenda, akawajulisha wale waliokuwa pamoja na Yesu, na wakati huo walikuwa wanaomboleza na kulia.
11Ya sija, anae jajungog na esta lâlâ ya umalie yan Mana, ti majonggue.
11Lakini waliposikia ya kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria Magdalene amemwona, hawakuamini.
12Ya anae manmalofan estesija, manmalie talo yan dos, lao otro jechuraña; gui anae manjajanao gui fangualuan.
12Baadaye Yesu aliwatokea wanafunzi wawili akiwa na sura nyingine. Wanafunzi hao walikuwa wanakwenda shambani.
13Ya manmapos, ya manmasangane y palo disipulo: lao ti majonggue.
13Nao pia wakaenda wakawaambia wenzao. Hata hivyo hawakuamini.
14¶ Despues di ayo, manmalie yan y onse gui anae mañochocho, ya jalalatde ni y ti manjengguenñija, yan y majetog corasonñija, sa ti majonggue ayo sija y lumie güe despues di cumajulo.
14Mwishowe, Yesu aliwatokea wanafunzi kumi na mmoja walipokuwa pamoja mezani. Akawakemea sana kwa sababu ya kutoamini kwao na ukaidi wao, maana hawakuwaamini wale waliokuwa wamemwona baada ya kufufuka.
15Ya ilegña nu sija; Janao fanmalag todo y tano, ya predica y ibangelio todo y ninajuyong sija.
15Basi, akawaambia, "Nendeni ulimwenguni kote mkahubiri Habari Njema kwa kila mtu.
16Jaye y manjonggue ya matagpange, usatba; lao ayo y ti manjonggue; umasentensia.
16Anayeamini na kubatizwa ataokolewa; asiyeamini atahukumiwa.
17Ya este sija na señat ufantinattitiye ayo sija y manmanjonggue: Pot y naanjo ujayute juyong y anite sija; ufanguentos ni y nuebo na finijo;
17Na ishara hizi zitaandamana na wale wanaoamini: kwa jina langu watatoa pepo na watasema kwa lugha mpya.
18Ufanmangajat culebla sija, ya, yanguin manguimen jafa na beneno; ti uninafanlamen: ya ujapolo y canaeñija gui manmalango sija, ya ujanafanjomlo.
18Wakishika nyoka au wakinywa kitu chochote chenye sumu, hakitawadhuru. Watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona."
19¶ Enao y Señot, despues di mansinangane sija, rinisibe ni y langet, ya matachong gui agapa Yuus.
19Basi, Bwana Yesu alipokwisha sema nao, akachukuliwa mbinguni, akaketi upande wa kulia wa Mungu.
20Ya manmapos, ya mapredica y sinangan gui todo y lugat, mañisija manmachocho yan y Señot, ya manafitme y sinangan ni y umatitiye na señat. Amen.
20Wanafunzi wakaenda wakihubiri kila mahali. Bwana akafanya kazi pamoja nao na kuimarisha ujumbe huo kwa ishara zilizoandamana nao.