1YA anae munjayan jatago si Jesus y dose disipuluña, jumanao para ufamanagüe, yan usetmom gui siudañija.
1Yesu alipomaliza kuwapa wanafunzi kumi na wawili maagizo, alitoka hapo, akaenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao.
2Anae jajungog si Juan, gui guima presuña, y finatinas Jesucristo; jatago. dos gui disipuluña,
2Yohane mbatizaji akiwa gerezani alipata habari juu ya matendo ya Kristo. Basi, Yohane akawatuma wanafunzi wake,
3Ya ilegña: Jago ayo y para ufato pat infanmannanggajam otro?
3wamwulize: "Je, wewe ni yule anayekuja, au tumngoje mwingine?"
4Ya manope si Jesus ilegña: Janao ya innatungo si Juan todo ni y liniimiyo yan y jiningogmiyo.
4Yesu akawajibu, "Nendeni mkamwambie Yohane mambo mnayoyasikia na kuyaona:
5Y bachet manmanlie, y mancojo manmamocat, y manategtog mangasgas, y mananga manmanjungog: y manmatae manafangajulo ya y mamoble manmasangane ni y evangelio.
5vipofu wanaona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa na viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na maskini wanahubiriwa Habari Njema.
6Ya dichoso y ti sumasoda lugat para umatompo guiya guajo.
6Heri mtu yule asiyekuwa na mashaka nami."
7¶ Anae manmapos sija, jatutujon si Jesus sumangan si Juan gui linajyan taotao. Jafa injanagüe jamyo para inlie gui desierto? un trongcon piao na ninamayeyengyong ni y manglo?
7Basi, hao wajumbe wa Yohane walipokuwa wanakwenda zao, Yesu alianza kuyaambia makundi ya watu habari za Yohane: "Mlikwenda kutazama nini kule jangwani? Je, mlitaka kuona mwanzi unaotikiswa na upepo?
8Pat, jafa injanagüe jamyo para inlie? un taotao na minagagon fino na magago? Estagüe, sija y manminagagon fino na magago, mangaegue gui guima y ray sija.
8Lakini mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumtazama mtu aliyevaa mavazi maridadi? Watu wanaovaa mavazi maridadi hukaa katika nyumba za wafalme.
9Lao pot jafa injanagüe jamyo? Para inlie un profeta? Junggan, jusangane jamyo, mas qui y profeta.
9Basi, mlikwenda kuona nini? Nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii.
10Sa este yuje y munjayan matugue: Estagüe na junajanao y taotao y tinagojo gui menan matamo, para ufamauleg y chalanmo gui menamo.
10"Huyu ndiye anayesemwa katika Maandiko Matakatifu: Tazama, hapa namtuma mjumbe wangu, asema Bwana, akutangulie na kukutayarishia njia yako.
11Magajet jusangane jamyo, na ti ucajulo gui entalo y manmafañañago gui famalaoan, uno mas dangculo qui si Juan Bautista; lao y mas diquique gui raenon langet mas dangculo qui güiya.
11Kweli nawaambieni, miongoni mwa watoto wote wa watu, hajatokea aliye mkuu kuliko Yohane mbatizaji. Hata hivyo, yule aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa mbinguni, ni mkubwa kuliko yeye.
12Ya desde y jaanin Juan Bautista asta pago, y raenon langet gaeninasiña; ya y manmatatnga sija uamot.
12Tangu wakati wa Yohane mbatizaji mpaka leo hii, Ufalme wa mbinguni unashambuliwa vikali, na watu wakali wanajaribu kuunyakua kwa nguvu.
13Sa todo y profeta sija, yan y lay, japrofetisa asta si Juan.
13Mafundisho yote ya manabii na sheria yalibashiri juu ya nyakati hizi.
14An manmalago jamyo inresibe; güiya si Ilias ni y umamaela.
14Kama mwaweza kukubali basi, Yohane ndiye Eliya ambaye angekuja.
15Y gaetalanga para unfanjungog, güiya ujungog.
15Mwenye masikio na asikie!
16¶ Lao jaye nae juacompara este na rasa? Manparejo yan y famaguon ni manmatatachong gui plasa ya jaagang y mangachongñija,
16"Basi, nitakifananisha kizazi hiki na kitu gani? Ni kama vijana waliokuwa wamekaa uwanjani, wakawa wakiambiana kikundi kimoja kwa kingine:
17Ya ilegñija: Indandane jamyo flauta, ya ti manbaela jamyo, manuugong jamyo lao ti manatanges jamyo.
17Tumewapigieni ngoma lakini hamkucheza; tumeimba nyimbo za huzuni lakini hamkulia!
18Sa mato si Juan ya ti chumocho ni gunimen, ya ilegñija: Gaeanite güe.
18Kwa maana Yohane alikuja, akafunga na wala hakunywa divai, nao wakasema: Amepagawa na pepo.
19Ya mato y Lajin taotao ya chumocho yan gumimen, ya ilegñija: Estagüe un taotao na gachumocho, yan gagumimem, amigon y publicano sija yan y manisao; lao y tiningo manacabales ni y finatinasña.
19Mwana wa Mtu akaja, anakula na kunywa, nao wakasema: Mtazameni huyu, mlafi na mlevi, rafiki yao watoza ushuru na wahalifu! Hata hivyo, hekima ya Mungu inathibitishwa kuwa njema kutokana na matendo yake."
20¶ Ayo nae jatutujon lumalalatde y siuda sija nae guinin jafatinas sumenmegae na namanman Sa ti manmanjonggue, ilegña:
20Kisha Yesu akaanza kuilaumu miji ambayo, ingawaje alifanya miujiza mingi humo, watu wake hawakutaka kubadili nia zao mbaya:
21Ayjao, Corasin! Ayjao, Betsaida! sa yaguin iya Tiro yan Sidon nae mafatinas ayo y mannamanman ni y mafatinas guiya jamyo, esta jagas manmañotsot gui silisio yan apo.
21"Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwako ingalifanyika kule Tiro na Sidoni, watu wake wangalikwisha vaa mavazi ya gunia na kujipaka majivu zamani, ili kuonyesha kwamba wametubu.
22Lao guajo sumangane jamyo, na mas songunon Tiro yan Sidon qui para jamyo gui jaanin y sentensia.
22Hata hivyo nawaambieni, Siku ya hukumu, ninyi mtapata adhabu kubwa kuliko Tiro na Sidoni.
23Ya jago, Capernaum, ni y jagas manataquito jao asta y langet; unmayute jao papa sasalaguan; sa yaguin iya Sodoma nae mojon mafatinas todo ayo y mannamanman ni jagas mafatinas guiya jago, mangagaegueja mojon asta pago na jaane.
23Na wewe Kafarnaumu, je, utajikweza mpaka mbinguni? Utaporomoshwa mpaka Kuzimu! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwako ingalifanyika kule Sodoma, mji huo ungalikuwako mpaka hivi leo.
24Lao guajo sumangane jamyo; na y mas songunon tano Sodoma, qui para jago gui jaanin y sentensia.
24Lakini nawaambieni, Siku ya hukumu itakuwa nafuu zaidi kwa watu wa Sodoma, kuliko kwako wewe."
25¶ Ayo na tiempo nae, manope si Jesus ilegña: Grasias junaejao, Tata, Señot y langet yan y tano, sa unnafanatog estesija gui manmalate yan manmejnalom, ya unfanue y famaguon.
25Wakati huo Yesu alisema, "Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, maana umewaficha wenye hekima mambo haya, ukawafumbulia watoto wadogo.
26Taegüenaoja Tata: sa taegüenao y mauleg gui liniimo.
26Naam Baba, ndivyo ilivyokupendeza.
27Todo y güinaja jaentrega yo si Tata; ya taya tumungo y Lajiña na si Tataja: ni taya tumungo, si Tata na y lajiñaja, ya ayoja y lajiña malagoña unafanungo.
27"Baba yangu amenikabidhi vitu vyote. Hakuna amjuaye Mwana ila Baba, wala amjuaye Baba ila Mwana, na yeyote yule ambaye Mwana atapenda kumjulisha.
28¶ Maela guiya guajo todo y manyayas, yan y menoson, ya guajo junafandescansa.
28Njoni kwangu ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
29Polo y yugojo gui jilomiyo, ya infaneyag guiya guajo, sa guajo manso yan umitde gui corasonjo; ya infanmañoda descanso para y antinmiyo.
29Jifungeni nira yangu, mkajifunze kwangu, maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtatulizwa rohoni mwenu.
30Sa y yugojo mañana, ya y catgaco ñajlalang.
30Maana, nira niwapayo mimi ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi."