1AYO nae manmato gui as Jesus escriba yan Fariseo sija, guiya Jerusalem, ya ilegñija:
1Kisha Mafarisayo na walimu wa Sheria wakafika kutoka Yerusalemu, wakamwendea Yesu, wakamwuliza,
2Jafa disipulomo na ti jaosgue y tradision y manbijo? sa ti jafagagase y canaeñija anae mañocho pan?
2"Kwa nini wanafunzi wako hawajali mapokeo tuliyopokea kutoka kwa wazee wetu? Hawanawi mikono yao kama ipasavyo kabla ya kula!"
3Ya güiya jaope sija ilegña: Jafa locue jamyo na ti inesgue y tinago Yuus pot tradisionmiyo?
3Yesu akawajibu, "Kwa nini nanyi mnapendelea mapokeo yenu wenyewe na hamuijali Sheria ya Mungu?
4Sa si Yuus manago, ilegña: Onra si tatamo, yan si nanamo; ya y mumatdise si tataña, pat si nanaña, magajet na umatae.
4Mungu amesema: Waheshimu baba yako na mama yako, na Anayemkashifu baba yake au mama yake, lazima auawe.
5Lao jamyo ilegmiyo: Jayeja y umalog ni tataña, pat si nanaña: Y ninae para si Yuus, ayo na probechonmiyo guiya guajo;
5Lakini ninyi mwafundisha ati mtu akiwa na kitu ambacho angeweza kuwasaidia nacho baba au mama yake, lakini akasema: Kitu hiki nimemtolea Mungu,
6Ya ti guaelaye na ujaonra si tataña. Enaomina innataelaye y Sinangan Yuus pot y tradisionmiyo.
6basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! Ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa kufuata mafundisho yenu wenyewe.
7Hipocritas! Cabales y sinangan nu jamyo as Isaias anae ilegña:
7Enyi wanafiki! Isaya alitabiri sawa kabisa juu yenu:
8Este na taotao sija, nu y labiosñija jaonrayo; lao y corasonñija chago guiya guajo.
8Watu hawa, asema Mungu, huniheshimu kwa maneno tu, lakini mioyoni mwao wako mbali nami.
9Lao taesetbe y inadodorayo, manmamananagüe y finanagüenñija ni y sinangan taotao.
9Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu."
10¶ Ya jaagang y linajyan taotao, ya ilegña nu sija: Ecungog ya intingo.
10Yesu aliuita ule umati wa watu, akawaambia, "Sikilizeni na muelewe!
11Ti y jumajalom gui pachot, muna natataelaye y taotao; na ayo y jumujuyong gui pachot, ayo muna natataelaye y taotao.
11Kitu kinachomtia mtu najisi si kile kiingiacho kinywani, bali kile kitokacho kinywani. Hicho ndicho kimtiacho mtu najisi."
12Ayo nae manmato y disipuluña sija, ya ilegnija nu güiya: Untungo na y Fariseo sija ninafandisgustao anae jajungog este na sinangan?
12Kisha wanafunzi wakamwendea, wakamwambia, "Je, unajua kwamba Mafarisayo walichukizwa waliposikia maneno yako?"
13Lao güiya jaope sija ilegña: Todo tinanom ni y ti jatanom y Tatajo na gaegue gui langet, umajajleg.
13Lakini yeye akawajibu, "Kila mmea ambao Baba yangu aliye mbinguni hakuupanda, utang'olewa.
14Polo sija: y bachet ya uguia y bachet; yaguin y bachet uguia y bachet, sija na dos uchapodongja gui joyo.
14Waacheni wenyewe! Wao ni vipofu, viongozi wa vipofu; na kipofu akimwongoza kipofu, wote wawili hutumbukia shimoni."
15Ya manope si Pedro, ilegña: Sanganejam nu este na acomparasion.
15Petro akadakia, "Tufafanulie huo mfano."
16Ya si Jesus ilegña: Ada locue trabia jamyo ti intitingoja?
16Yesu akasema, "Hata nyinyi hamwelewi?
17Ti intingo na todo y jumalom gui pachot, jumajanao para y tiyan, ya mayuyute gui lugat umatog.
17Je, hamwelewi kwamba kila kinachoingia kinywani huenda tumboni na baadaye hutupwa nje chooni?
18Lao todo y jumuyong gui pachot, estesija guine y corason, ya estesija muna natataelaye y taotao.
18Lakini yale yatokayo kinywani hutoka moyoni, na hayo ndiyo yanayomtia mtu najisi.
19Sa gui corason nae manjujuyong y taelaye na jinaso, manpegno taotao, adulterio, inabale, saque, ti manmagajet na testimonio, chatfino contra si Yuus.
19Maana moyoni hutoka mawazo maovu yanayosababisha uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na kashfa.
20Estesija muna fanataelaye y taotao; lao y chumocho yan y ti mafagase canaeña, ti ninatataelaye y taotao.
20Hayo ndiyo yanayomtia mtu najisi. Lakini kula chakula bila kunawa mikono hakumtii mtu najisi."
21Ya jumanao si Jesus güije, malag y oriyan Tiro yan Sidon.
21Yesu aliondoka mahali hapo akaenda kukaa katika sehemu za Tiro na Sidoni.
22Ya estagüe un palaoan, taotao Cananea, na jumanao gui ayo sija na oriya, ya umaagang, ilegña: Señot, Lajin David, gaemaase nu guajo; y jagajo ninachatsaga fefman ni anite.
22Basi, mama mmoja Mkaanani wa nchi hiyo alimjia, akapaaza sauti: "Mheshimiwa, Mwana wa Daudi, nionee huruma! Binti yangu anasumbuliwa na pepo."
23Lao güiya ti jaope sinangan: Ayo nae manmato y disipuluña sija, ya magagao güe ilegñija: Tago güe ya ujanao, sa esta jame jaagang.
23Lakini Yesu hakumjibu neno. Basi, wanafunzi wake wakamwendea, wakamwambia, "Mwambie aende zake kwa maana anatufuatafuata akipiga kelele."
24Ya güiya jaope ilegña: Ti guajo matago na y manmalingo na quinilo gui guima Israel.
24Yesu akajibu, "Sikutumwa ila kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo."
25Ayo nae y palaoan mato, ya jaadoro güe, ilegña: Señot, ayudayo.
25Hapo huyo mama akaja, akapiga magoti mbele yake, akasema, "Mheshimiwa, nisaidie."
26Ya manope güi ilegña: Ti mauleg na tachule y pan y famaguon ya tayute y galago sija.
26Yesu akamjibu, "Si sawa kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa."
27Ya y palaoan manope: Magajet Señot; lao y galago sija, mañochochoja ni andesmorona ni mamopodong gui lamasan y amuñijo.
27Huyo mama akajibu, "Ni kweli, Mheshimiwa; lakini hata mbwa hula makombo yanayoanguka kutoka meza ya bwana wao."
28Ayo nae manope si Jesus, ilegña: Palaoan! dangculo jinengguemo: umafatinas guiya jago jafa y malagomo. Ya jomlo y jagaña desde ayo na ora.
28Hapo Yesu akamjibu, "Mama, imani yako ni kubwa; basi, ufanyiwe kama unavyotaka." Yule binti yake akapona tangu saa hiyo wakati huohuo.
29Ya si Jesus mapos güije, ya mato jijot gui tasen Galilea: ya cajulo gui jilo un finabeca, ya matachong güije.
29Yesu alitoka hapo akaenda kando ya ziwa Galilaya, akapanda mlimani, akaketi.
30Ya manmato guiya güiya linajyan taotao, na guaja guiya sija cojo, bachet, udo, mangco, yan palo sija megae na manmalango, ya manmapolo gui adeng Jesus; ya janafanjomlo.
30Watu wengi sana wakamjia wakiwaleta vilema, vipofu, viwete, bubu na wengine wengi waliokuwa wagonjwa, wakawaweka mbele ya miguu yake, naye Yesu akawaponya.
31Pot este mina y linajyan taotao ninafanmanman, anae jalie na y udo manguentos, ya y mangco manjomlo, ya y cojo manmamocat, ya y bachet manmanlie; ya ninamaonra si Yuus Israel.
31Umati ule wa watu ulishangaa sana ulipoona bubu wakiongea, waliokuwa wamelemaa wamepona, viwete wakitembea na vipofu wakiona; wakamsifu Mungu wa Israeli.
32Ya si Jesus jaagang y disipuluña sija, ilegña: Janamaaseyo y linajyan taotao, sa esta tres na jaane na manjame, ya taya nañija: ya mungayo munafanjanao sin ufañocho, sa no seaja ufanlalango gui chalan.
32Basi, Yesu aliwaita wanafunzi wake, akasema, "Nawaonea watu hawa huruma kwa sababu kwa siku tatu wamekuwa nami, wala hawana chakula. Sipendi kuwaacha waende bila kula wasije wakazimia njiani."
33Ayo nae y disipuluña sija ilegñija nu güiya: Amano nae uguaja megae na pan güine gui desierto para utanafanjaspog este y dangculo na linajyan taotao.
33Wanafunzi wakamwambia, "Hapa tuko nyikani; tutapata wapi chakula cha kuwatosha watu wengi hivi?"
34Si Jesus ilegña nu sija: Cuanto na pan guajata? Ya sija ilegñija: Siete, yan didide güijan diquique.
34Yesu akawauliza, "Mnayo mikate mingapi?" Wakamjibu, "Saba na visamaki vichache."
35Ya jatago y linajyan taotao na ufanmatachong gui jilo oda.
35Basi, Yesu akawaamuru watu wakae chini.
36Ya jachule y siete na pan yan y güijan sija, ya janae grasias, ya jaipe, ya janae y disipuluña sija, ya y disipuluña janae y linajyan taotao.
36Akaitwaa ile mikate saba na vile visamaki, akamshukuru Mungu, akavimega, akawapa wanafunzi, nao wakawagawia watu.
37Ya mañocho todos, ya manjaspog; ya anae majoca y pedaso sija na maipe ni y sebbla; bula siete na canastra.
37Wote wakala, wakashiba. Kisha wakakusanya makombo, wakajaza vikapu saba.
38Ya y mañocho sija, cuatro mit, ti matufong y famalaoan yan y famaguon.
38Hao waliokula walikuwa wanaume elfu nne, bila kuhesabu wanawake na watoto.
39Ya anae jadespide y linajyan taotao, cajulo gui un batco, ya mato gui origan Magdala.
39Basi, Yesu akawaaga watu, akapanda mashua, akaenda katika eneo la Magadani.