Croatian

Swahili: New Testament

1 Corinthians

16

1U pogledu sabiranja za svete, i vi činite kako odredih crkvama galacijskim.
1Sasa, yahusu ule mchango kwa ajili ya watu wa Mungu: fanyeni kama nilivyoyaagiza makanisa ya Galatia.
2Svakoga prvog dana u tjednu neka svaki od vas kod sebe na stranu stavlja i skuplja što uzmogne da se ne sabire istom kada dođem.
2Kila Jumapili kila mmoja wenu atenge kiasi cha fedha kadiri ya mapato yake, ili kusiwe na haja ya kufanya mchango wakati nitakapokuja.
3A kada dođem, poslat ću s preporučnicom one koje odaberete da odnesu vašu ljubav u Jeruzalem.
3Wakati nitakapokuja kwenu, nitawatuma wale mtakaowachagua miongoni mwenu wapeleke barua na zawadi zenu Yerusalemu.
4Bude li vrijedno da i ja pođem, poći će sa mnom.
4Kama itafaa nami niende, basi, watakwenda pamoja nami.
5A k vama ću doći kad prođem Makedoniju; Makedonijom ću samo proći,
5Nitakuja kwenu, baada ya kupitia Makedonia--maana nataraji kupitia Makedonia.
6a kod vas ću se možda zadržati ili čak zimovati da me otpratite kamo god pođem.
6Labda nitakaa kwenu kwa muda fulani, au huenda nitakaa pamoja nanyi wakati wote wa baridi, ili mpate kunisaidia niendelee na safari yangu kokote nitakakokwenda.
7Ne bih vas doista htio tek na prolazu vidjeti jer se nadam neko vrijeme proboraviti kod vas, dopusti li Gospodin.
7Sipendi kupita kwenu harakaharaka na kuendelea na safari. Natumaini kukaa kwenu kwa kitambo fulani, Bwana akiniruhusu.
8U Efezu ću ostati do Pedesetnice
8Lakini nitabaki hapa Efeso mpaka siku ya Pentekoste.
9jer vrata mi se otvoriše velika i uspješna, a protivnika mnogo.
9Mlango uko wazi kabisa kwa ajili ya kazi yangu muhimu hapa, ingawa wapinzani nao ni wengi.
10Ako dođe Timotej, gledajte da bude kod vas bez bojazni jer radi djelo Gospodnje kao i ja.
10Timotheo akija, angalieni asiwe na hofu yoyote wakati yupo kati yenu, kwani anafanya kazi ya Bwana kama mimi.
11Neka ga dakle nitko ne prezre. A ispratite ga u miru da dođe k meni jer ga s braćom iščekujem.
11Kwa hiyo mtu yeyote asimdharau, ila msaidieni aendelee na safari yake kwa amani ili aweze kurudi kwangu, maana mimi namngojea pamoja na ndugu zetu.
12A što se tiče brata Apolona: mnogo sam ga nagovarao da ode k vama s braćom. I nikako mu ne bijaše s voljom da sada dođe, no doći će kad mu bude zgodno.
12Kuhusu ndugu Apolo, nimemsihi sana aje kwenu pamoja na ndugu wengine, lakini hapendelei kabisa kuja sasa ila atakuja mara itakapowezekana.
13Bdijte postojani u vjeri, muževni budite, čvrsti.
13Kesheni, simameni imara katika imani, muwe hodari na wenye nguvu.
14Sve vaše neka bude u ljubavi!
14Kila mfanyacho kifanyike kwa upendo.
15Zaklinjem vas, braćo - znate dom Stefanin, da je prvina Ahaje i da se posvetiše posluživanju svetih -
15Ndugu, mnaifahamu jamaa ya Stefana; wao ni watu wa kwanza kabisa kuipokea imani ya Kikristo katika Akaya, na wamejitolea kuwatumikia watu wa Mungu. Ninawasihi ninyi ndugu zangu,
16da se i vi pokoravate takvima i svakomu tko surađuje i trudi se.
16muufuate uongozi wa watu kama hao, na uongozi wa kila mtu afanyaye kazi na kutumikia pamoja nao.
17Radujem se s dolaska Stefanina i Fortunatova i Ahajikova jer oni nadoknadiše vašu nenazočnost:
17Nafurahi sana kwamba Stefana, Fortunato na Akaiko wamefika; wamelijaza pengo lililokuwako kwa kutokuwako kwenu.
18umiriše duh moj i vaš. Cijenite dakle takve.
18Wameiburudisha roho yangu na yenu pia. Kwa hiyo inafaa kuwakumbuka watu wa namna hii.
19Pozdravljaju vas crkve azijske. Pozdravljaju vas mnogo u Gospodinu Akvila i Priska zajedno s Crkvom u njihovu domu.
19Makanisa yote ya Asia yanawasalimuni. Akula na Priskila pamoja na watu wote wa Mungu walio nyumbani mwao wanawasalimuni sana katika Bwana.
20Pozdravljaju vas sva braća. Pozdravite jedni druge cjelovom svetim.
20Ndugu wote wanawasalimuni. Nanyi salimianeni kwa ishara ya mapendo ya Mungu.
21Pozdrav mojom rukom, Pavlovom.
21Mimi Paulo nawasalimuni, nikiandika kwa mkono wangu mwenyewe.
22Ako tko ne ljubi Gospodina, neka bude proklet. Marana tha!
22Yeyote asiyempenda Bwana, na alaaniwe. MARANA THA--BWANA, njoo!
23Milost Gospodina Isusa s vama!
23Neema ya Bwana Yesu iwe nanyi.
24Ljubav moja sa svima vama u Kristu Isusu!
24Mapendo yangu yawe kwenu katika kuungana na Kristo Yesu.