1Općenito se čuje o bludnosti među vama, i to takvoj bludnosti kakve nema ni među poganima: da netko ima očevu ženu.
1Ziko habari za kuaminika kwamba kuna uzinzi miongoni mwenu; tena ni uzinzi mbaya ambao haujapata kuwako hata kati ya watu wasiomjua Mungu. Nimeambiwa eti mmoja wenu anaishi na mke wa baba yake!
2I vi mi se uznijeli, mjesto da žalujete pa da se iskorijeni iz vaše sredine onaj koji takvo djelo počini.
2Mnawezaje kujivuna? Ingekuwa afadhali kwenu kuomboleza, na huyo aliyefanya kitu hicho aondolewe miongoni mwenu.
3A ja, i nenazočan tijelom, ali nazočan duhom, već sam presudio kao nazočan onoga koji je takvo što počinio.
3Nami, kwa upande wangu, ingawa kwa mwili niko mbali nanyi, hata hivyo kwa roho niko hapo pamoja nanyi: na hivyo, kama vile nipo hapo, nimekwisha mhukumu huyo aliyefanya jambo hilo la aibu.
4Pošto se u ime Gospodina našega Isusa Krista okupite vi i moj duh, snagom Gospodina našega Isusa,
4Wakati mnapokusanyika pamoja kwa jina la Bwana Yesu, nami nikiwa pamoja nanyi kwa roho, basi, kwa uwezo wa Bwana wetu Yesu,
5neka se takav preda Sotoni na propast tijela da bi se spasio duh u Dan Gospodina Isusa.
5mkabidhini mtu huyo kwa Shetani ili mwili wake uharibiwe na roho yake iweze kuokolewa Siku ile ya Bwana.
6Ne valja vam hvastanje! Zar ne znate da malo kvasca sve tijesto ukvasa?
6Majivuno yenu hayafai! Je, hamjui kwamba chachu kidogo huchachusha donge lote la unga?
7Očistite stari kvasac da budete novo tijesto, kao što i jeste beskvasni jer već je žrtvovana Pasha naša, Krist.
7Jitakaseni, mkatupe mbali chachu ya kale ili mpate kuwa donge jipya lisilotiwa chachu kama mnavyopaswa kuwa; maana, Kristo, Pasaka yetu, amekwisha tolewa tambiko.
8Zato svetkujmo, ne sa starim kvascem ni s kvascem zloće i pakosti, nego s beskvasnim kruhovima čistoće i istine.
8Basi, tufanye karamu hiyo si kwa chachu ile ya kale, chachu ya ubaya na uovu, bali kwa mkate usiotiwa chachu, mkate wa usafi na kweli.
9Napisah vam u poslanici da se ne miješate s bludnicima -
9Niliwaandikia katika barua yangu msishirikiane na wazinzi.
10ne općenito s bludnicima ovoga svijeta, ili lakomcima, ili razbojnicima, ili idolopoklonicima jer biste inače morali iz svijeta izići.
10Ukweli ni kwamba sikuwa na maana ya watu wote duniani walio wazinzi, wachoyo, walaghai na wenye kuabudu sanamu. Maana, ili kuwaepa hao wote ingewalazimu ninyi kuihama dunia hii kabisa!
11Napisah vam zapravo da se ne miješate s nazovibratom koji bi bio bludnik, ili lakomac, ili idolopoklonik, ili pogrđivač, ili pijanica, ili razbojnik. S takvim ni za stol!
11Nilichoandika ni hiki: msishirikiane na ndugu Mkristo aliye mzinzi, mchoyo, mwenye kuabudu sanamu, mchongezi mlevi na mlaghai. Mtu wa namna hiyo, hata kula msile naye.
12Što spada na me suditi one vani? Ne sudite li vi one koji su unutra?
12Je, ni shauri langu kuwahukumu watu walio nje? Hao Mungu atawahukumu. Je, ninyi hampaswi kuwahukumu wale walio katika jamii yenu ninyi wenyewe?
13A one vani sudit će Bog. Iskorijenite opakoga iz svoje sredine.
13Mfukuzeni mbali nanyi huyo mwovu!