1Zato kad više ne mogosmo izdržati, pristadosmo ostati u Ateni sami
1Mwishowe hatukuweza kuvumilia zaidi. Basi, tuliamua kubaki kule Athene peke yetu,
2te poslasmo Timoteja, brata našega i suradnika Božjega u Kristovu evanđelju, da vas učvrsti i ohrabri u vjeri
2na kumtuma kwenu ndugu yetu Timotheo, ambaye ni mfanyakazi mwenzetu kwa ajili ya Mungu katika kuhubiri Habari Njema ya Kristo. Tulimtuma ili awaimarisheni na kuwafarijini,
3da se nitko ne pokoleba u tim nevoljama. Ta i sami znate da smo za to određeni:
3kusudi imani ya mtu yeyote miongoni mwenu isije ikafifia kwa sababu ya taabu hizo. Ninyi mnajua kwamba tunapaswa kupata mateso.
4doista, kad smo bili kod vas, pretkazivali smo kako nas imaju zadesiti nevolje, što se, kako znate, i dogodilo.
4Maana, tulipokuwa pamoja nanyi, tuliwaambieni kwamba tutateswa; na kama mjuavyo ndivyo ilivyotukia.
5Zbog toga i ja, ne mogavši više izdržati, poslah da saznam o vašoj vjeri, da vas možda Zavodnik nije zaveo te je naš trud postao uzaludan.
5Ndio maana nilimtuma Timotheo kwenu. Sikuweza kungoja zaidi, na hivyo nilimtuma nipate habari za imani yenu. Isije ikawa labda Mshawishi aliwajaribuni na kazi yote tuliyofanya miongoni mwenu imepotea bure!
6A sada kad se Timotej od vas k nama vratio i donio nam radosnu vijest o vašoj vjeri i ljubavi, i da nas se sveudilj ugodno sjećate i čeznete vidjeti nas, kao i mi vas -
6Sasa Timotheo amekwisha rudi, naye ametupa habari za kufurahisha kuhusu imani na upendo wenu. Ametuarifu kwamba mnatukumbuka daima, na kwamba mna hamu ya kutuona sisi kama nasi tulivyo na hamu ya kuwaoneni.
7zbog toga smo, braćo, nad vama, vašom vjerom, bili utješeni uza svu svoju tjeskobu i nevolju.
7Basi, habari za imani yenu zimetutia moyo katika taabu na mateso yetu yote,
8Da, sada živimo kada ste vi postojani u Gospodinu!
8kwani sasa tunaishi kweli ikiwa ninyi mnasimama imara katika kuungana na Bwana.
9I kojom bismo zahvalom mogli Bogu uzvratiti za vas, za svu radost kojom se zbog vas radujemo pred Bogom svojim,
9Sasa twaweza kumshukuru Mungu wetu kwa ajili yenu. Tunamshukuru kwa furaha tuliyo nayo mbele yake kwa sababu yenu.
10dok noću i danju najusrdnije molimo da vidimo vaše lice i nadoknadimo manjkavosti vaše vjere?
10Tunazidi kumwomba Mungu usiku na mchana kwa moyo wetu wote ili atupatie fursa ya kuwaoneni uso kwa uso ili tuweze kurekebisha chochote kilichopungua katika imani yenu.
11A sam Bog i Otac naš i Gospodin naš Isus upravio naš put prema vama!
11Tunamwomba Mungu, Baba yetu mwenyewe, na Bwana wetu Yesu atutayarishie njia ya kuja kwenu.
12Vama pak Gospodin dao te jedni prema drugima i prema svima rasli i obilovali ljubavlju kakva je i naša prema vama.
12Bwana awawezeshe ninyi kupendana na kuwapenda watu wote zaidi na zaidi, kama vile sisi tunavyowapenda ninyi.
13Učvrstio vam srca da budu besprijekorno sveta pred Bogom i Ocem našim o Dolasku Gospodina našega Isusa i svih svetih njegovih s njime.
13Hivyo ataiimarisha mioyo yenu, nanyi mtakuwa wakamilifu na watakatifu mbele ya Mungu na Baba yetu wakati Bwana wetu Yesu atakapokuja pamoja na wote walio wake.