1Evo treći put idem k vama. Svaka presuda neka počiva na iskazu dvojice ili trojice svjedoka.
1Hii ni mara yangu ya tatu kuja kwenu. "Kila tatizo litatatuliwa kwa ushahidi wa watu wawili au watatu," yasema Maandiko.
2Onima koji su prije sagriješili i svima drugima rekoh već i opet - kao onda drugi put nazočan, tako i sada nenazočan - unaprijed velim: ako opet dođem, neću štedjeti.
2Nilikwisha sema, na kama ilivyokuwa safari ya pili, sasa nasema tena nikiwa mbali: wale wote waliotenda uovu bila kutubu, na pia wale wengine, nitakapokuja, watakiona cha mtema kuni.
3Jer vi tražite dokaz da u meni govori Krist koji prema vama nije nemoćan, nego je snažan među vama.
3Mtajionea wenyewe kwamba Kristo anasema ndani yangu. Kwenu Kristo si dhaifu; bali nguvu yake yafanya kazi miongoni mwenu.
4I raspet bi, istina, po slabosti, ali živi po snazi Božjoj. I mi smo, istina, slabi u njemu, ali ćemo po snazi Božjoj živjeti s njime za vas.
4Maana hata kama alisulubiwa kwa sababu ya udhaifu, lakini sasa anaishi kwa uwezo wa Mungu. Sisi pia tu dhaifu kwa kuungana naye lakini tutaishi naye kwa uwezo wa Mungu kwa ajili yenu.
5Same sebe ispitujte, jeste li u vjeri! Same sebe provjeravajte! Zar ne spoznajete sami sebe: da je Isus Krist u vama? Inače niste pravi.
5Jichunguzeni ninyi wenyewe mpate kujua kama kweli mnayo imani. Jichunguzeni ninyi wenyewe. Je, hamjui kwamba Kristo Yesu yumo ndani yenu? Kama sivyo, basi ninyi mmeshindwa.
6A spoznat ćete, nadam se, da smo mi pravi.
6Lakini natumaini kwamba ninyi mnajua kuwa sisi hatukushindwa.
7Molimo se Bogu da ne činite nikakva zla; ne da se mi pokažemo pravi, nego da vi dobro činite, pa izašli mi i kao nepravi.
7Tunamwomba Mungu msifanye uovu wowote, lakini si kusudi tuonekane kama watu waliokwisha faulu, bali mpate kutenda mema, hata kama sisi tunaonekana kuwa tumeshindwa.
8Ta ništa ne možemo protiv istine, nego samo za istinu.
8Maana hatuwezi kuupinga ukweli; uwezo tulio nao ni wa kuuendeleza ukweli.
9Da, radujemo se kad smo mi slabi, a vi jaki. Za to se i molimo, za vaše usavršavanje.
9Tunafurahi kwamba sisi tu dhaifu, lakini ninyi mna nguvu; kwa hiyo tunaomba mpate kuwa wakamilifu.
10To vam nenazočan pišem zato da nazočan ne bih morao oštro nastupiti vlašću koju mi Gospodin dade za izgrađivanje, a ne za rušenje.
10Basi, ninaandika barua hii nikiwa mbali, ili nitakapofika kwenu nisilazimike kuwa mkali kwenu kwa kutumia ule uwezo alionipa Bwana; naam, uwezo wa kujenga na si wa kubomoa.
11Uostalom, braćo, radujte se, usavršujte se, tješite se, složni budite, mir njegujte i Bog ljubavi i mira bit će s vama.
11Kwa sasa, ndugu, kwaherini! Muwe na ukamilifu, shikeni mashauri yangu, muwe na nia moja; kaeni kwa amani. Naye Mungu wa mapendo na amani atakuwa pamoja nanyi.
12Pozdravite jedni druge svetim cjelovom. Pozdravljaju vas svi sveti.
12Salimianeni kwa ishara ya upendo.
13Milost Gospodina Isusa Krista, ljubav Boga i zajedništvo Duha Svetoga sa svima vama!
13(G13-12) Watu wote wa Mungu huku wanawasalimuni.
14(G13-13) Neema ya Bwana Yesu Kristo na upendo wa Mungu na umoja wa Roho Mtakatifu, viwe nanyi nyote.