Croatian

Swahili: New Testament

2 Corinthians

9

1A o posluživanju svetih suvišno je da vam pišem.
1Si lazima kuandika zaidi kuhusu huduma hiyo yenu kwa ajili ya watu wa Mungu.
2Ta poznajem vašu spremnost s koje se vama ponosim pred Makedoncima: "Ahaja je spremna od prošle godine." I vaša gorljivost potaknu mnoge.
2Ninajua jinsi mlivyo na moyo wa kusaidia, na nilijivuna juu yenu kuhusu jambo hilo mbele ya watu wa Makedonia. Niliwaambia: "Ndugu zetu wa Akaya wako tayari tangu mwaka jana." Hivyo, moto wenu umekwisha wahimiza watu wengi zaidi.
3Ipak šaljem braću da se u tome pogledu ne opovrgne što se vama ponosimo; da budete spremni kao što sam tvrdio te se -
3Basi, nimewatuma ndugu zetu hao, ili fahari yetu juu yenu ionekane kwamba si maneno matupu, na kwamba mko tayari kabisa na msaada wenu kama nilivyosema.
4ako sa mnom dođu Makedonci i nađu vas nespremne - ne osramotimo s preuzetnosti mi, da ne kažemo vi.
4Isije ikawa kwamba watu wa Makedonia watakapokuja pamoja nami tukawakuta hamko tayari, hapo sisi tutaaibika--bila kutaja aibu mtakayopata ninyi wenyewe--kwa sababu tutakuwa tumewatumainia kupita kiasi.
5Smatrao sam dakle potrebnim zamoliti braću da unaprijed pođu k vama i da pripreme vaš još prije obećani dar te bude pripravan - kao dar darežljivosti, a ne škrtosti.
5Kwa hiyo, nimeona ni lazima kuwaomba hawa ndugu watutangulie kuja kwenu, wapate kuweka tayari zawadi yenu kubwa mliyoahidi; nayo ionyeshe kweli kwamba ni zawadi iliyotolewa kwa hiari na si kwa kulazimishwa.
6Ta eno: tko sije oskudno, oskudno će i žeti; a tko sije obilato, obilato će i žeti.
6Kumbukeni: "Apandaye kidogo huvuna kidogo; apandaye kwa wingi huvuna kwa wingi."
7Svatko neka dade kako je srcem odlučio; ne sa žalošću ili na silu jer Bog ljubi vesela darivatelja.
7Kila mmoja, basi, na atoe kadiri alivyoamua, kwa moyo na wala si kwa huzuni au kwa kulazimishwa, maana Mungu humpenda yule mwenye kutoa kwa furaha.
8A Bog vas može obilato obdariti svakovrsnim darom da u svemu svagda imate svega dovoljno za se i izobilno za svako dobro djelo -
8Mungu anaweza kuwapeni ninyi zaidi ya yale mnayoyahitaji, mpate daima kuwa na kila kitu mnachohitaji, na hivyo mzidi kusaidia katika kila kazi njema.
9kao što je pisano: Rasipno dijeli, daje sirotinji, pravednost njegova ostaje dovijeka.
9Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Yeye hutoa kwa ukarimu, huwapa maskini, wema wahudumu milele."
10A onaj koji pribavlja sjeme sijaču i kruh za jelo, pribavit će i umnožiti sjeme vaše i povećati plodove pravednosti vaše.
10Na Mungu ampaye mkulima mbegu na mkate kwa chakula, atawapa ninyi pia mbegu mnazohitaji, na atazifanya ziote, ziwe na kuwapa mavuno mengi ya ukarimu wenu.
11Tako ćete se u svemu obogatiti za svakovrsnu darežljivost koja se, našim posredovanjem, izvija u zahvalnicu Bogu.
11Yeye atawatajirisha ninyi daima kwa kila kitu, ili watu wapate kumshukuru Mungu kwa ajili ya zawadi zenu wanazozipokea kwa mikono yetu.
12Jer ovo bogoslužno posluživanje ne samo da podmiruje oskudicu svetih nego se i obilno prelijeva u mnoge zahvalnice Bogu.
12Maana huduma hii takatifu mnayoifanya si tu kwamba itasaidia mahitaji ya watu wa Mungu, bali pia itasababisha watu wengi wamshukuru Mungu.
13Osvjedočeni ovim posluživanjem, slave Boga zbog vašega pokornog ispovijedanja evanđelja Kristova i zbog velikodušnog zajedništva prema njima i prema svima.
13Kutokana na uthibitisho unaoonyeshwa kwa huduma hii yetu, watu watamtukuza Mungu kwa sababu ya uaminifu wenu kwa Habari Njema ya Kristo mnayoiungama, na pia kwa sababu ya ukarimu mnaowapa wao na watu wote.
14A moleći se za vas, čeznu za vama zbog preobilne milosti Božje na vama.
14Kwa hiyo watawaombea ninyi kwa moyo kwa sababu ya neema ya pekee aliyowajalieni Mungu.
15Hvala Bogu na njegovu neizrecivom daru!
15Tumshukuru Mungu kwa ajili ya zawadi yake isiyo na kifani!