1A ovo znaj: u posljednjim danima nastat će teška vremena.
1Kumbuka kwamba, katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati za taabu.
2Ljudi će doista biti sebeljupci, srebroljupci, preuzetnici, oholice, hulitelji, roditeljima neposlušni, nezahvalnici, bezbožnici,
2watu watakuwa na ubinafsi, wenye tamaa ya fedha, wenye majivuno, wenye kujiona, wenye kumtukana Mungu, wasiowatii wazazi wao, wasio na shukrani na waovu;
3bešćutnici, nepomirljivci, klevetnici, neobuzdanici, goropadnici, neljubitelji dobra,
3watatokea watu wasio na upendo moyoni, wasio na huruma, wachongezi, walafi na wakali; watachukia chochote kilicho chema;
4izdajice, brzopletnici, naduti, ljubitelji užitka više nego ljubitelji Boga.
4watakuwa wahaini, wakaidi na waliojaa kiburi; watapenda anasa kuliko kumpenda Mungu.
5Imaju obličje pobožnosti, ali snage su se njezine odrekli. I njih se kloni!
5Kwa nje wataonekana kama watu wenye kumcha Mungu, lakini wataikana nguvu yake. Jiepushe kabisa na watu wa namna hiyo.
6Od njih su doista oni što se uvlače u kuće i zarobljuju ženice, natovarene grijesima, vodane najrazličitijim strastima:
6Baadhi yao huenda katika nyumba za watu na huwateka wanawake dhaifu waliolemewa mizigo ya dhambi na ambao wanaongozwa na tamaa za kila aina;
7one uvijek uče, a nikako ne mogu doći do spoznaje istine.
7wanawake ambao wanajaribu daima kujifunza lakini hawawezi kuufikia ujuzi wa huo ukweli.
8Kao što se Janes i Jambres suprotstaviše Mojsiju, tako se i ovi, ljudi pokvarena uma, u vjeri neprokušani, suprotstavljaju istini.
8Watu hao huupinga ukweli kama vile Yane na Yambre walivyompinga Mose.
9Ali neće više napredovati jer bezumlje će ovih postati očito, kako se to i onima dogodilo.
9Lakini hawataweza kuendelea zaidi kwa maana upumbavu wao utaonekana wazi kwa wote. Ndivyo ilivyokuwa kwa akina Yane na Yambre.
10A ti si pošao za nmom u poučavanju, u ponašanju, u naumu, u vjeri, u strpljivosti, u ljubavi, u postojanosti;
10Wewe lakini, umeyafuata mafundisho yangu, mwenendo wangu, makusudi yangu katika maisha, imani yangu, uvumilivu wangu, upendo wangu, subira yangu,
11u progonstvima, u patnjama koje su me zadesile u Antiohiji, u Ikoniju, u Listri. Kakva li sam progonstva podnio! I iz svih me izbavio Gospodin!
11udhalimu na mateso yangu. Unayajua mambo yaliyonipata huko Antiokia, Ikonio na Lustra. Nilivumilia udhalimu mkubwa mno! Lakini Bwana aliniokoa katika mambo hayo yote.
12A i svi koji hoće živjeti pobožno u Kristu Isusu, bit će progonjeni.
12Kila mtu anayetaka kuishi maisha ya kumcha Mungu katika kuungana na Kristo Yesu lazima adhulumiwe.
13Zli pak ljudi i vračari napredovat će sve više u zlu - kao zavodnici i zavedeni.
13Watu waovu na wadanyanyifu watazidi kuwa waovu zaidi na zaidi kwa kuwadanganya wengine na kudanganyika wao wenyewe.
14Ti, naprotiv, ostani u onome u čemu si poučen i čemu si vjeru dao, svjestan od koga si sve poučen
14Lakini wewe dumu katika ukweli ule uliofundishwa, ukaukubali kabisa. Unawajua wale waliokuwa walimu wako.
15i da od malena poznaješ Sveta pisma koja su vrsna učiniti te mudrim tebi na spasenje po vjeri, vjeri u Kristu Isusu.
15Unakumbuka kwamba tangu utoto wako umeyajua Maandiko Matakatifu ambayo yaweza kukupatia hekima iletayo wokovu kwa njia ya imani kwa Kristo Yesu.
16Sve Pismo, bogoduho, korisno je za poučavanje, uvjeravanje, popravljanje, odgajanje u pravednosti,
16Maandiko yote Matakatifu yameandikwa kwa uongozi wa Mungu, na yanafaa katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, na kuwaongoza watu waishi maisha adili,
17da čovjek Božji bude vrstan, za svako dobro djelo podoban.
17ili mtu anayemtumikia Mungu awe mkamilifu, na tayari kabisa kufanya kila tendo jema.