1Zaklinjem te pred Bogom i Kristom Isusom, koji će suditi žive i mrtve, zaklinjem te pojavkom njegovim i kraljevstvom njegovim:
1Nakuamuru mbele ya Mungu, na mbele ya Kristo Yesu atakayewahukumu watu walio hai na wafu, na kwa sababu anakuja kutawala akiwa Mfalme:
2propovijedaj Riječ, uporan budi - bilo to zgodno ili nezgodno - uvjeravaj, prijeti, zapovijedaj sa svom strpljivošću i poukom.
2hubiri huo ujumbe, sisitiza kuutangaza (iwe ni wakati wa kufaa au wakati usiofaa), karipia, onya na himiza watu ukiwafundisha kwa uvumilivu wote.
3Jer doći će vrijeme kad ljudi neće podnositi zdrava nauka nego će sebi po vlastitim požudama nagomilavati učitelje kako im godi ušima;
3Utakuja wakati ambapo watu hawatasikiliza mafundisho ya kweli, ila watafuata tamaa zao wenyewe na kujikusanyia walimu tele watakaowaambia mambo yale tu ambayo masikio yao yako tayari kusikia.
4od istine će uho odvraćati, a bajkama se priklanjati.
4Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.
5Ti, naprotiv, budi trijezan u svemu, zlopati se, djelo izvrši blagovjesničko, služenje svoje posve ispuni!
5Wewe, lakini, uwe macho katika kila hali; vumilia mateso, fanya kazi ya mhubiri wa Habari Njema, timiza kikamilifu utumishi wako.
6Jer ja se već prinosim za žrtvu ljevanicu, prispjelo je vrijeme moga odlaska.
6Kwa upande wangu mimi, niko karibu kabisa kutolewa dhabihu na wakati wa kufariki kwangu umefika.
7Dobar sam boj bio, trku završio, vjeru sačuvao.
7Nimefanya bidii katika mashindano, nimemaliza safari yote na imani nimeitunza.
8Stoga, pripravljen mi je vijenac pravednosti kojim će mi u onaj Dan uzvratiti Gospodin, pravedan sudac; ne samo meni, nego i svima koji s ljubavlju čekaju njegov pojavak.
8Na sasa imebakia tu kupewa tuzo la ushindi kwa maisha ya uadilifu, tuzo ambalo Bwana Hakimu wa haki, atanipa mimi Siku ile na wala si mimi tu, ila na wale wote wanaotazamia kwa upendo kutokea kwake.
9Nastoj što prije doći k meni!
9Fanya bidii kuja kwangu karibuni.
10Jer Dema me, zaljubljen u sadašnji svijet, napustio i otišao u Solun; Krescencije u Galaciju, Tit u Dalmaciju.
10Dema ameupenda ulimwengu huu akaniacha na kwenda zake Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia, na Tito amekwenda Dalmatia.
11Luka je jedini sa mnom. Marka uzmi i dovedi sa sobom jer mi je koristan za služenje.
11Luka peke yake ndiye aliye hapa pamoja nami. Mpate Marko uje naye, kwa maana ataweza kunisaidia katika kazi yangu.
12Tihika sam poslao u Efez.
12Nilimtuma Tukiko kule Efeso.
13Kabanicu koju ostavih u Troadi kod Karpa, kada dođeš, donesi. I knjige, osobito pergamene.
13Utakapokuja niletee koti langu nililoacha kwa Karpo kule Troa; niletee pia vile vitabu, na hasa vile vilivyotengenezwa kwa ngozi.
14Aleksandar kovač nanio mi je mnogo zla. Uzvratio mu Gospodin po njegovim djelima!
14Yule sonara aitwaye Aleksanda amenitendea maovu mengi; Bwana atamlipa kufuatana na hayo matendo yake.
15Njega se i ti čuvaj jer se veoma usprotivio našim riječima.
15Jihadhari naye kwa sababu aliupinga ujumbe wetu kwa ukali.
16Za prve moje obrane nitko ne bijaše uza me, svi me napustiše. Ne uračunalo im se!
16Wakati nilipojitetea kwa mara ya kwanza hakuna mtu aliyesimama upande wangu; wote waliniacha. Mungu asiwahesabie kosa hilo!
17Ali Gospodin je stajao uza me, on me krijepio da se po meni potpuno razglasi Poruka te je čuju svi narodi; i izbavljen sam iz usta lavljih.
17Lakini, Bwana alikaa pamoja nami, akanipa nguvu, hata nikaweza kuutangaza ujumbe wote, watu wa mataifa wausikie; tena nikaokolewa katika hukumu ya kifo kama kinywani mwa simba.
18Izbavit će me Gospodin od svakoga zla djela i spasiti za svoje nebesko kraljevstvo. Njemu slava u vijeke vjekova! Amen!
18Bwana ataniokoa na mambo yote maovu, na kunichukua salama mpaka katika Utawala wake wa mbinguni. Kwake uwe utukufu milele na milele! Amina.
19Pozdravi Prisku i Akvilu i Oneziforov dom!
19Wasalimu Priska na Akula, pamoja na jamaa ya Onesiforo.
20Erast osta u Korintu, a Trofima ostavih u Miletu bolesna.
20Erasto alibaki Korintho, naye Trofimo nilimwacha Mileto kwa sababu alikuwa mgonjwa.
21Nastoj doći prije zime. Pozdravlja te Eubul, Pudencije, Lino, Klaudija i sva braća.
21Fanya bidii kuja kabla ya majira ya baridi. Ebulo, Pude, Lino na Klaudia wanakusalimu; vilevile ndugu wengine wote.
22Gospodin s duhom tvojim. Milost s vama!
22Bwana awe nawe rohoni mwako. Nawatakieni nyote neema.