Croatian

Swahili: New Testament

Ephesians

2

1I vi bijaste mrtvi zbog prijestupa i grijeha
1Ninyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa na dhambi zenu.
2u kojima ste nekoć živjeli po Eonu ovoga svijeta, po Knezu vlasti zraka, po tomu duhu koji sada djeluje u sinovima neposlušnima.
2Wakati ule mliishi kufuatana na mtindo mbaya wa ulimwengu huu, mkawa mnamtii mtawala wa pepo wenye nguvu wa anga, pepo ambao huwatawala sasa watu wasiomtii Mungu.
3Među njima smo i mi nekoć živjeli u požudama tijela svoga, udovoljavajući prohtjevima tijela i ćudi, te po naravi bijasmo djeca gnjeva kao i drugi.
3Na hata sisi sote tulikuwa kama wao; tuliishi kufuatana na tamaa zetu za kidunia na kufanya tu mambo yale yaliyoipendeza miili na akili zetu. Kidunia, sisi kama vile pia wao, tulistahili ghadhabu ya Mungu.
4Ali Bog, bogat milosrđem, zbog velike ljubavi kojom nas uzljubi,
4Lakini Mungu ni mwenye huruma nyingi. Alitupenda kwa mapendo yasiyopimika,
5nas koji bijasmo mrtvi zbog prijestupa, oživi zajedno s Kristom - milošću ste spašeni! -
5hata, ingawa tulikuwa tumekufa kwa sababu ya dhambi, alitufanya hai pamoja na Kristo. Kwa neema ya Mungu ninyi mmeokolewa.
6te nas zajedno s njim uskrisi i posadi na nebesima u Kristu Isusu:
6Kwa kuungana na Kristo Yesu, Mungu alitufufua pamoja naye, tukatawale pamoja naye mbinguni.
7da u dobrohotnosti prema nama u Kristu Isusu pokaže budućim vjekovima preobilno bogatstvo milosti svoje.
7Ndivyo alivyopenda kuonyesha kwa watu wa nyakati za baadaye, ukuu wa neema yake aliyotujalia kwa ukarimu katika kuungana kwetu na Kristo Yesu.
8Ta milošću ste spašeni po vjeri! I to ne po sebi! Božji je to dar!
8Maana, kwa neema ya Mungu mmekombolewa kwa njia ya imani. Jambo hili si matokeo ya juhudi zenu, bali ni zawadi ya Mungu.
9Ne po djelima, da se ne bi tko hvastao.
9Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.
10Njegovo smo djelo, stvoreni u Kristu Isusu za dobra djela, koja Bog unaprijed pripravi da u njima živimo.
10Sisi ni viumbe vyake Mungu, na kwa kuungana na Kristo Yesu, alituumba kwa ajili ya kuishi maisha ya matendo mema aliyotutayarishia tuyatende.
11Spominjite se stoga da nekoć bijaste neznabošci u tijelu - neobrezanicima su vas zvali oni koji se zovu obrezani, rukom, na tijelu -
11Ninyi mlio kwa asili watu wa mataifa mengine--mnaoitwa, "wasiotahiriwa" na Wayahudi ambao hujiita, "Waliotahiriwa," (kwa sababu ya kile wanachoifanyia miili yao) --kumbukeni mlivyokuwa zamani.
12i da u ono vrijeme bijaste izvan Krista, udaljeni od građanstva izraelskoga, tuđi Savezima obećanja, bez nade bijaste i neznabošci na svijetu.
12Wakati ule ninyi mlikuwa bila Kristo; mlikuwa nje ya jamii ya Israeli; mlikuwa wageni na hamkuwa na sehemu yoyote katika lile agano la zile ahadi. Mlikuwa bila matumaini Mungu hapa duniani.
13Sada pak, u Kristu Isusu, vi koji nekoć bijaste daleko, dođoste blizu - po Krvi Kristovoj.
13Lakini sasa, kwa kuungana na Kristo Yesu, ninyi ambao hapo awali mlikuwa mbali, mmekaribishwa kwa njia ya damu yake Kristo.
14Doista, on je mir naš, on koji od dvoga učini jedno: pregradu razdvojnicu, neprijateljstvo razori u svome tijelu.
14Maana Kristo mwenyewe ametuletea amani kwa kuwafanya Wayahudi na watu wa mataifa mengine kuwa jamii moja. Kwa mwili wake yeye mwenyewe aliubomoa ule ukuta uliowatenganisha na kuwafanya maadui.
15Zakon zapovijedi s propisima obeskrijepi da u sebi, uspostavljajući mir, od dvojice sazda jednoga novog čovjeka
15Aliiondoa ile Sheria ya Wayahudi pamoja na amri zake na kanuni zake, ili kutokana na jamii hizo mbili aumbe jamii moja mpya katika umoja naye na hivyo kuleta amani.
16te obojicu u jednome Tijelu izmiri s Bogom po križu, ubivši u sebi neprijateljstvo.
16Kwa mwili wake, Kristo aliuangamiza uadui wao; kwa msalaba wake aliziunganisha jamii hizo kuwa moja na kuzipatanisha na Mungu.
17I dođe te navijesti mir vama daleko i mir onima blizu,
17Basi, Kristo alikuja akahubiri Habari Njema ya amani kwenu ninyi watu wa mataifa mengine mliokuwa mbali na Mungu, na pia kwa Wayahudi ambao walikuwa karibu na Mungu.
18jer po njemu jedni i drugi u jednome Duhu imamo pristup Ocu.
18Hivyo, kwa njia yake, sisi sote, Wayahudi na watu wa mataifa mengine, tunaweza kumwendea Baba katika Roho mmoja.
19Tako dakle više niste tuđinci ni pridošlice, nego sugrađani ste svetih i ukućani Božji
19Basi, ninyi si wageni tena, wala si watu wa nje; ninyi ni raia pamoja na watu wa Mungu, na ni watu wa jamaa ya Mungu.
20nazidani na temelju apostola i proroka, a zaglavni je kamen sam Krist Isus.
20Mmejengwa juu ya msingi uliowekwa na mitume na manabii, naye Kristo mwenyewe ndiye jiwe kuu la msingi.
21U njemu je sva građevina povezana i raste u hram svet u Gospodinu.
21Yeye ndiye mwenye kulitengeneza jengo lote na kulikuza hata liwe hekalu takatifu kwa ajili ya B wana.
22U njemu ste i vi ugrađeni u prebivalište Božje u Duhu.
22Katika kuungana naye, ninyi pia mnajengwa pamoja na wote wengine, muwe makao ya Mungu kwa njia ya Roho wake.