Kabyle: New Testament

Swahili: New Testament

Revelation

15

1Walaɣ daɣen deg igenni licaṛa nniḍen tameqqrant yesteɛǧiben ; sebɛa n lmalayekkat ṭṭfent sebɛa n lmuṣibat tineggura, axaṭer yis-sent ara innekmal wurrif n Sidi Ṛebbi.
1Kisha nikaona ishara nyingine mbinguni, kubwa na ya kushangaza. Palikuwa hapo malaika saba wenye mabaa makubwa saba ya mwisho. Kwa mabaa hayo makubwa saba, ghadhabu ya Mungu imekamilishwa.
2Walaɣ am akken d lebḥeṛ n djaj ixelḍen akk-d tmes, wid iɣelben leɛqiṛa d lmeṣnuɛ-is akk-d numṛu n isem-is, bedden ɣef lebḥeṛ-nni n djaj. ?ṭfen snitrat i sen-d-yefka Sidi Ṛebbi,
2Kisha nikaona kitu kama bahari ya kioo, imechanganywa na moto. Nikawaona pia wale watu waliomshinda yule mnyama na sanamu yake na ambaye jina lake lilitajwa kwa ile tarakimu. Watu hao walikuwa wamesimama kando ya hiyo bahari ya kioo, wakiwa na vinubi walivyopewa na Mungu.
3țcewwiqen acewwiq n Sidna Musa, aqeddac n Sidi Ṛebbi akk-d ucewwiq n Izimer, qqaṛen : Lecɣal-ik meqqeṛ-it steɛǧiben a Sidi Ṛebbi a Bab n tezmert ! Iberdan-ik, d iberdan n lḥeqq ț-țideț ay Agellid n leǧnas.
3Walikuwa wakiimba wimbo wa Mose, mtumishi wa Mungu, na wimbo wa Mwanakondoo: "Bwana Mungu Mwenye Uwezo, matendo yako ni makuu mno! Ewe Mfalme wa mataifa, njia zako ni za haki na za kweli!
4Anwa ur nețțaggad, ur nețḥemmid isem-ik a Sidi Ṛebbi ? Axaṭer d kečč kan i d imqeddes. Leǧnas meṛṛa a d-asen ad seǧǧden zdat-ek, imi tḥekkmeḍ s lḥeqq a Bab n lḥeqq.
4Bwana, ni nani asiyekucha wewe? Nani asiyelitukuza jina lako? Wewe peke yako ni Mtakatifu. Mataifa yote yatakujia na kukuabudu maana matendo yako ya haki yameonekana na wote."
5Deffir wayagi, walaɣ lǧameɛ iqedsen anda yella uqiḍun n temlilit yeldi deg igenni.
5Baada ya hayo nikaona Hekalu limefunguliwa mbinguni, na ndani yake hema ionyeshayo kuwapo kwa Mungu.
6Sebɛa n lmalayekkat-nni yeṭṭfen sebɛa n lmuṣibat, ffɣent-ed si lǧameɛ-nni s llebsa n leḥrir yeṣfan yețfeǧǧiǧen, beggsent-ed s wagusen n ddheb ɣef yidmaren-nsent.
6Basi, wale malaika saba wenye mabaa saba wakatoka humo Hekaluni, wakiwa wamevaa nguo za kitani safi zenye kung'aa, na kanda za dhahabu vifuani mwao.
7Yiwen si ṛebɛa lxuluq-nni, yefka i sebɛa-nni n lmalayekkat sebɛa n teqbucin n ddheb ččuṛent s wurrif n Sidi Ṛebbi yeddren si lǧil ɣer lǧil.
7Kisha, mmojawapo wa vile viumbe vinne akawapa hao malaika saba mabakuli ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, aishiye milele na milele.
8Lɛaḍima akk-d lḥekma n Sidi Ṛebbi ččuṛen lǧameɛ iqedsen s dexxan, yiwen ur izmir ad yekcem ɣer lǧameɛ-nni alamma nnekmalent lmuṣibat n sebɛa lmalayekkat-nni.
8Hekalu likajaa moshi uliosababishwa na utukufu na nguvu ya Mungu, na hakuna mtu aliyeweza kuingia Hekaluni mpaka mwisho wa mabaa makubwa saba ya wale malaika saba.