1Taigi tu, mano sūnau, būk stiprus malone, kuri yra Kristuje Jėzuje,
1Basi, wewe mwanangu, uwe na nguvu katika neema tunayopata katika kuungana na Kristo Yesu.
2ir, ką iš manęs girdėjai prie daugelio liudytojų, patikėk ištikimiems žmonėms, kurie sugebės ir kitus mokyti.
2Chukua yale mafundisho uliyonisikia nikitangaza mbele ya mashahidi wengi, uyakabidhi kwa watu wanaoaminika, ambao wataweza kuwafundisha wengine pia.
3Iškęsk sunkumus kaip geras Kristaus Jėzaus karys.
3Shiriki katika mateso kama askari mwaminifu wa Kristo yesu.
4Nė vienas kareivis neįsivelia į gyvenimo reikalus, norėdamas patikti jį pašaukusiam.
4Mwanajeshi vitani hujiepusha na shughuli za maisha ya kawaida ili aweze kumpendeza mkuu wa jeshi.
5Ir kas stoja į rungtynes, negaus vainiko, jei nebus grūmęsis pagal taisykles.
5Mwanariadha yeyote hawezi kushinda na kupata zawadi ya ushindi kama asipozitii sheria za michezo.
6Sunkiai dirbantis žemdirbys turi pirmas pasiimti vaisių.
6Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno.
7Suprask, ką sakau; Viešpats teduoda tau išmanymo apie visus dalykus.
7Fikiria hayo ninayosema, kwani Bwana atakuwezesha uyaelewe yote.
8Prisimink prikeltąjį iš numirusių Jėzų Kristų iš Dovydo palikuonių, kaip skelbiama mano Evangelijoje,
8Mkumbuke Yesu Kristo aliyefufuliwa kutoka wafu, aliyekuwa wa ukoo wa Daudi, kama isemavyo Habari Njema ninayoihubiri.
9dėl kurios aš kenčiu ir net esu surakintas lyg piktadarys. Bet Dievo žodis nesurakinamas!
9Kwa sababu ya kuihubiri Habari Njema mimi nateseka na nimefungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu haliwezi kufungwa minyororo,
10Todėl aš visa pakenčiu dėl išrinktųjų, kad ir jie įgytų išgelbėjimą Kristuje Jėzuje su amžinąja šlove.
10na hivyo navumilia kila kitu kwa ajili ya wateule wa Mungu, ili wao pia wapate ukombozi upatikanao kwa njia ya Yesu Kristo, na ambao huleta utukufu wa milele.
11Štai patikimas žodis: jei mes su Juo mirėme, su Juo ir gyvensime.
11Usemi huu ni wa kweli: "Ikiwa tulikufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye.
12Jei kenčiame, su Juo ir valdysime. Jeigu mes Jo išsižadėsime, ir Jis mūsų išsižadės.
12Tukiendelea kuvumilia, tutatawala pia pamoja naye. Tukimkana, naye pia atatukana.
13Jeigu esame neištikimi, Jis lieka ištikimas, nes savęs Jis negali išsižadėti.
13Tukikosa kuwa waaminifu, yeye hubaki mwaminifu daima, maana yeye hawezi kujikana mwenyewe."
14Primink tai, liepdamas Viešpaties akivaizdoje, kad nekovotų žodžiais, nes iš to jokios naudos, vien tik žala klausytojams.
14Basi, wakumbushe watu wako mambo haya, na kuwaonya mbele ya Mungu waache ubishi juu ya maneno. Ubishi huo haufai, ila huleta tu uharibifu mkuu kwa wale wanaousikia.
15Uoliai stenkis pasirodyti Dievui tinkamu darbininku, neturinčiu ko gėdytis, tiksliai perteikiančiu tiesos žodį.
15Jitahidi kupata kibali kamili mbele ya Mungu kama mfanyakazi ambaye haoni haya juu ya kazi yake, na ambaye hufundisha sawa ule ujumbe wa kweli.
16Venk bedieviškų ir tuščių tauškalų, kurie vis giliau ves į bedievystę.
16Jiepushe na majadiliano ya kidunia na ya kipumbavu; kwani hayo huzidi kuwatenga watu mbali na Mungu.
17Jų kalba, tarsi gangrena, vis plis. Tokie yra Himenėjas ir Filetas,
17Mafundisho ya aina hiyo ni kama donda linalokula mwili. Miongoni mwa hao waliofundisha hayo ni Humenayo na Fileto.
18kurie nuklydo nuo tiesos, tvirtindami, kad prisikėlimas jau įvykęs, ir tuo griaudami kai kurių tikėjimą.
18Hawa wamepotoka kabisa mbali na ukweli, na wanatia imani ya watu wengine katika wasiwasi kwa kusema ati ufufuo wetu umekwisha fanyika.
19Bet tvirtai stovi Dievo pamatas, turintis tokį antspaudą: “Viešpats pažįsta savuosius” ir: “Tepasitraukia nuo neteisybės kiekvienas, kuris šaukiasi Kristaus vardo”.
19Lakini msingi thabiti uliowekwa na Mungu uko imara, na juu yake yameandikwa maneno haya: "Bwana anawafahamu wale walio wake," na "Kila asemaye yeye ni wa Bwana, ni lazima aachane na uovu."
20O dideliuose namuose yra ne tik auksinių ir sidabrinių indų, bet ir medinių bei molinių. Vieni tarnauja garbingiems reikalams, kitinegarbingiems.
20Katika nyumba kubwa kuna mabakuli na vyombo vya kila namna: vingine ni vya fedha na dhahabu, vingine vya mbao na udongo, vingine ni vya matumizi ya pekee na vingine kwa ajili ya matumizi ya kawaida.
21Jeigu kas apsivalys nuo minėtų dalykų, bus indas, skirtas garbei, pašventintas, tinkamas Šeimininkui, pasiruošęs kiekvienam geram darbui.
21Basi, kama mtu atajitakasa kwa kujitenga mbali na mambo hayo yote maovu, atakuwa chombo cha matumizi ya pekee, kwa sababu amewekwa wakfu, anamfaa Bwana wake na yupo tayari kwa kila kazi njema.
22Bėk nuo jaunystės geidulių ir siek teisumo, tikėjimo, meilės ir ramybės su tais, kurie iš tyros širdies šaukiasi Viešpaties.
22Jiepushe na tamaa za ujana, fuata uadilifu, imani, upendo, amani, pamoja na watu wote ambao wanamwomba Bwana kwa moyo safi.
23O kvailų ir nemokšiškų ginčų venk, žinodamas, kad jie sukelia kovas.
23Epuka ubishi wa kijinga na kipumbavu; wajua kwamba hayo huleta magomvi.
24Viešpaties tarnas neturi kivirčytis, bet būti malonus su visais, gabus pamokyti, kantrus,
24Mtumishi wa Bwana asigombane. Anapaswa kuwa mpole kwa watu wote, mwalimu mwema na mvumilivu,
25romiai aiškinti prieštaraujantiems,rasi Dievas duos jiems atgailauti, kad pažintų tiesą
25ambaye ni mpole anapowaonya wapinzani wake, kwani huenda Mungu akawajalia nafasi ya kutubu, wakapata kuujua ukweli.
26ir atsipeikėtų nuo pinklių velnio, kuris pavergęs juos savo valiai.
26Hapo fahamu zao zitawarudia tena, wakaponyoka katika mtego wa Ibilisi aliyewanasa na kuwafanya wayatii matakwa yake.