Lithuanian

Swahili: New Testament

Acts

2

1Atėjus Sekminių dienai, visi mokiniai vieningai buvo vienoje vietoje.
1Siku ya Pentekoste ilipofika, waumini wote walikuwa wamekusanyika pamoja.
2Staiga iš dangaus pasigirdo ūžesys, tarsi pūstų smarkus vėjas. Jis pripildė visą namą, kur jie sėdėjo.
2Ghafla, sauti ikasikika kutoka angani; sauti iliyokuwa kama ya upepo mkali, ikajaza ile nyumba yote walimokuwa wamekaa.
3Jiems pasirodė tarsi ugnies liežuviai, kurie pasidaliję nusileido ant kiekvieno iš jų.
3Kisha, vikatokea vitu vilivyoonekana kama ndimi za moto, vikagawanyika na kutua juu ya kila mmoja wao.
4Visi pasidarė pilni Šventosios Dvasios ir pradėjo kalbėti kitomis kalbomis, kaip Dvasia jiems davė prabilti.
4Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema lugha mbalimbali kadiri Roho alivyowawezesha.
5Jeruzalėje gyveno žydų ir dievobaimingų žmonių iš visų tautų po dangumi.
5Na huko Yerusalemu walikuwako Wayahudi, watu wamchao Mungu, waliotoka katika kila nchi duniani.
6Kilus tam ūžesiui, subėgo daugybė žmonių. Jie buvo priblokšti, kiekvienas girdėdamas savo kalba juos kalbant.
6Waliposikia sauti hiyo, kundi kubwa la watu lilikusanyika. Wote walishtuka sana kwani kila mmoja wao aliwasikia hao waumini wakisema kwa lugha yake mwenyewe.
7Lyg nesavi ir nustebę, jie vienas kitam kalbėjo: “Argi štai šitie kalbantys nėra galilėjiečiai?
7Walistaajabu na kushangaa, wakisema, "Je, hawa wote tunaowasikia wakisema hivi, si wenyeji wa Galilaya?
8Tai kaipgi mes kiekvienas juos girdime savo gimtąja kalba?!
8Imekuwaje, basi, kwamba kila mmoja wetu anawasikia wakisema kwa lugha yake mwenyewe?
9Mes, partai, medai, elamitai, Mesopotamijos, Judėjos ir Kapadokijos, Ponto ir Azijos,
9Baadhi yetu ni Waparthi, Wamedi na Waelami; wengine ni wenyeji wa Mesopotamia, Yudea, Kapadokia, Ponto na Asia,
10Frygijos ir Pamfilijos, Egipto bei Libijos pakraščio ties Kirėne gyventojai, ateiviai romiečiai, žydai ir prozelitai,
10Frugia na Pamfulia, Misri na sehemu za Libya karibu na Kurene; wengine wetu ni wageni kutoka Roma,
11kretiečiai ir arabai,­girdime juos skelbiant didingus Dievo darbus mūsų kalbomis”.
11Wayahudi na watu walioongokea dini ya Kiyahudi; wengine wametoka Krete na Arabia. Sisi sote tunasikia wakisema kwa lugha zetu wenyewe mambo makuu ya Mungu."
12Visi labai stebėjosi ir, nieko nesuprasdami, klausinėjo: “Ką tai reiškia?”
12Wote walishangaa na kufadhaika huku wakiulizana, "Hii ina maana gani?"
13O kiti šaipydamiesi kalbėjo: “Jie prisigėrė jauno vyno”.
13Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, "Watu hawa wamelewa divai mpya!"
14Tada stojo Petras su vienuolika ir, pakėlęs balsą, prabilo į juos: “Jūs, vyrai judėjiečiai bei visi Jeruzalės gyventojai, tebūnie jums žinoma,­įsidėmėkite mano žodžius!
14Lakini Petro alisimama pamoja na wale kumi na mmoja akaanza kuwahutubia watu kwa sauti kubwa: "Ndugu Wayahudi nanyi nyote mnaokaa hapa Yerusalemu, sikilizeni kwa makini maneno yangu.
15Šitie nėra, kaip jūs manote, prisigėrę,­juk dabar vos trečia dienos valanda,­
15Watu hawa hawakulewa kama mnavyodhani; mbona ni saa tatu tu asubuhi?
16bet čia išsipildė, kas buvo pasakyta per pranašą Joelį:
16Ukweli ni kwamba jambo hili ni lile alilosema nabii Yoeli:
17‘Paskutinėmis dienomis,­sako Dievas,­Aš išliesiu savo Dvasios kiekvienam kūnui, ir jūsų sūnūs bei dukterys pranašaus, jūsų jaunuoliai matys regėjimus, o senieji sapnuos sapnus.
17Katika siku zile za mwisho, asema Bwana, nitawamiminia binadamu wote Roho wangu. Watoto wenu, wanaume kwa wanawake, watautangaza ujumbe wangu; vijana wenu wataona maono, na wazee wenu wataota ndoto.
18Ir savo tarnams bei tarnaitėms tomis dienomis Aš išliesiu savo Dvasios, ir jie pranašaus.
18Naam, hata watumishi wangu, wanaume kwa wanawake, nitawamiminia Roho wangu, siku zile, nao watautangaza ujumbe wangu.
19Aš darysiu stebuklų aukštai danguje ir apačioje, žemėje, parodysiu ženklų: kraujo, ugnies bei rūkstančių dūmų.
19Nitatenda miujiza juu angani, na ishara chini duniani; kutakuwa na damu, moto na moshi mzito;
20Saulė pavirs tamsybe, o mėnulis­krauju, prieš ateinant didingai ir šlovingai Viešpaties dienai.
20jua litatiwa giza, na mwezi utakuwa mwekundu kama damu, kabla ya kutokea ile siku kuu na tukufu ya Bwana.
21Ir kiekvienas, kuris šauksis Viešpaties vardo, bus išgelbėtas’.
21Hapo, yeyote atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.
22Izraelio vyrai! Klausykite šitų žodžių: Jėzų iš Nazareto­vyrą, Dievo jums patvirtintą galingais darbais, stebuklais ir ženklais, kuriuos per Jį nuveikė Dievas tarp jūsų,­kaip ir patys žinote,­
22"Wananchi wa Israeli, sikilizeni maneno haya! Yesu wa Nazareti alikuwa mtu ambaye mamlaka yake ya kimungu yalithibitishwa kwenu kwa miujiza, maajabu na ishara Mungu alizofanya kati yenu kwa njia yake, kama mnavyojua.
23Jį, išankstiniu Dievo sprendimu bei numatymu atiduotą, jūs piktadarių rankomis nužudėte, prikaldami prie kryžiaus.
23Kufuatana na mpango wake mwenyewe Mungu alikwisha amua kwamba Yesu angetiwa mikononi mwenu; nanyi mkamuua kwa kuwaachia watu wabaya wamsulubishe.
24Dievas Jį prikėlė, išvaduodamas iš mirties skausmų, nes buvo neįmanoma, kad Jis liktų jos galioje.
24Lakini Mungu alimfufua kutoka wafu akamwokoa katika maumivu ya kifo kwa maana haingewezekana kabisa kifo kimfunge.
25Juk Dovydas apie Jį sako: ‘Aš visuomet matau Viešpatį priešais save. Jis mano dešinėje, kad Aš nesusvyruočiau.
25Maana Daudi alisema juu yake hivi: Nilimwona Bwana mbele yangu daima; yuko nami upande wangu wa kulia, na hivyo sitatikisika.
26Todėl džiūgavo mano širdis, krykštavo mano lūpos, ir mano kūnas ilsėsis viltyje,
26Kwa hiyo, moyo wangu ulifurahi; tena nilipiga vigelegele vya furaha. Mwili wangu utakaa katika tumaini;
27nes Tu nepaliksi mano sielos pragare ir neduosi savo Šventajam matyti supuvimo.
27kwa kuwa hutaiacha roho yangu katika kuzimu, wala kumruhusu mtakatifu wako aoze.
28Tu man atvėrei gyvenimo kelius ir pripildysi mane džiaugsmu prieš savo veidą’.
28Umenionyesha njia za kuufikia uzima, kuwako kwako kwanijaza furaha!
29Vyrai broliai! Noriu jums drąsiai pasakyti apie patriarchą Dovydą. Jis mirė, buvo palaidotas, ir jo kapas tebėra pas mus iki šios dienos.
29"Ndugu zangu, napenda kuwaambieni waziwazi juu ya mambo yaliyompata Daudi, babu yetu. Yeye alikufa, akazikwa, tena kaburi lake liko papa hapa petu mpaka leo.
30Būdamas pranašas ir žinodamas, jog Dievas jam prisiekdamas pažadėjo, kad iš jo palikuonių pagal kūną pakils Kristus užimti jo sosto,
30Lakini kwa vile Daudi alikuwa nabii, alijua kuwa Mungu alimwapia kiapo kwamba atamtawaza mmoja wa uzawa wake kuwa mfalme mahali pake.
31Dovydas tai numatė ir kalbėjo apie Kristaus prisikėlimą, kad ‘Jo siela neliks pragare ir Jo kūnas nematys supuvimo’.
31Daudi aliona kabla mambo yatakayofanywa na Mungu na hivyo akasema juu ya ufufuo wa Kristo wakati aliposema: Hakuachwa kuzimu, mwili wake haukuoza.
32Tą Jėzų Dievas prikėlė, ir mes visi esame šito liudytojai.
32Basi, Mungu alimfufua huyo Yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo.
33Dievo dešinės išaukštintas, Jis gavo iš Tėvo Šventosios Dvasios pažadą ir išliejo tai, ką dabar matote ir girdite.
33Yesu aliinuliwa juu mpaka upande wa kulia wa Mungu, akapokea kutoka kwa Baba ile zawadi aliyoahidi yaani Roho Mtakatifu; na mnachoona sasa na kusikia ni mmiminiko wa huyo Roho.
34Juk Dovydas neįžengė į dangų. Jis pats kalba: ‘Viešpats tarė mano Viešpačiui: sėskis mano dešinėje,
34Maana Daudi mwenyewe, hakupanda mpaka mbinguni; ila yeye alisema: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia,
35kol Aš patiesiu Tavo priešus, tarsi pakojį po Tavo kojų’.
35hadi nitakapowafanya adui zako kibao cha kukanyagia miguu yako.
36Tad tvirtai žinokite, visi Izraelio namai: Dievas padarė Viešpačiu ir Kristumi tą Jėzų, kurį jūs nukryžiavote”.
36"Watu wote wa Israeli wanapaswa kufahamu kwa hakika kwamba huyo Yesu mliyemsulubisha ninyi, ndiye huyo ambaye Mungu amemfanya kuwa Bwana na Kristo."
37Tie žodžiai vėrė jiems širdį, ir jie klausė Petrą bei kitus apaštalus: “Ką mums daryti, vyrai broliai?”
37Basi, watu waliposikia hayo, walichomwa moyo, wakawauliza Petro na wale mitume wenzake: "Ndugu zetu, tufanye nini?"
38Petras jiems tarė: “Atgailaukite, ir kiekvienas tepasikrikštija Jėzaus Kristaus vardu, kad būtų atleistos jūsų nuodėmės, ir jūs gausite Šventosios Dvasios dovaną.
38Petro akajibu, "Tubuni na kila mmoja wenu abatizwe kwa jina la Yesu Kristo ili mpate kuondolewa dhambi zenu na kupokea ile zawadi ya Roho Mtakatifu.
39Juk jums skirtas pažadas, taip pat ir jūsų vaikams ir visiems toli esantiems, kuriuos tik pasišauks Viešpats, mūsų Dievas”.
39Maana, ahadi ile ilikuwa kwa ajili yenu, kwa ajili ya watoto wenu, kwa ajili ya wote wanaokaa mbali; na kwa ajili ya kila mtu ambaye Bwana Mungu wetu atamwita kwake."
40Dar daugeliu kitų žodžių jis liudijo ir ragino juos, sakydamas: “Gelbėkitės iš šios iškrypusios kartos!”
40Kwa maneno mengine mengi, Petro alisisitiza na kuwahimiza watu akisema, "Jiokoeni katika kizazi hiki kiovu."
41Kurie mielai priėmė jo žodį, buvo pakrikštyti, ir tą dieną prisidėjo prie jų apie tris tūkstančius sielų.
41Wengi waliyakubali maneno yake, wakabatizwa. Watu wapatao elfu tatu wakaongezeka katika kile kikundi siku hiyo.
42Jie ištvermingai laikėsi apaštalų mokymo, bendravimo, duonos laužymo ir maldų.
42Hawa wote waliendelea kujifunza kutoka kwa mitume, kuishi pamoja kidugu, kumega mkate na kusali.
43Baimė apėmė kiekvieną, nes per apaštalus vyko daug stebuklų ir ženklų.
43Miujiza na maajabu mengi yalifanyika kwa njia ya mitume hata kila mtu akajawa na hofu.
44Visi tikintieji laikėsi drauge ir turėjo visa bendra.
44Waumini wote waliendelea kuwa kitu kimoja na mali zao waligawana pamoja.
45Nuosavybę bei turtą jie parduodavo ir, ką gavę, padalydavo visiems, kiek kam reikėdavo.
45Walikuwa wakiuza mali na vitu vyao kisha wakagawana fedha kadiri ya mahitaji ya kila mmoja.
46Jie kasdien vieningai rinkdavosi šventykloje, o savo namuose tai vienur, tai kitur laužydavo duoną, vaišindavosi su džiugia ir tauria širdimi,
46Waliendelea kukutana pamoja kila siku Hekaluni. Lakini wakati wa kumega mkate, walikutana katika nyumba zao na wakakishiriki chakula hicho kwa furaha na moyo mkunjufu.
47šlovindami Dievą, ir turėjo malonę visų žmonių akyse. O Viešpats kasdien gausino bažnyčią išgelbėtaisiais.
47Walimtukuza Mungu, wakapendwa na watu wote. Kila siku Bwana aliwaongezea idadi ya watu waliokuwa wakiokolewa.