1Jiems dar kalbant miniai, prie jų priėjo kunigų, šventyklos apsaugos viršininkas ir sadukiejų,
1Petro na Yohane walipokuwa bado wanawahutubia watu, makuhani na mkuu wa walinzi wa Hekalu pamoja na Masadukayo walifika.
2kurie buvo labai pasipiktinę, kad apaštalai mokė žmones ir skelbė mirusiųjų prisikėlimą Jėzuje.
2Walikasirika sana, maana hao mitume walikuwa wanawahubiria watu kwamba Yesu alifufuka, jambo ambalo linaonyesha wazi kwamba wafu watafufuka.
3Jie suėmė juos ir įkalino iki kitos dienos, nes jau buvo vakaras.
3Basi, waliwatia nguvuni na kwa kuwa usiku ulikuwa umekaribia, wakawaweka chini ya ulinzi mpaka kesho yake.
4Bet daugelis, girdėjusių žodį, įtikėjo, ir tikinčiųjų skaičius padidėjo maždaug iki penkių tūkstančių.
4Lakini wengi kati ya wale waliosikia ujumbe wao waliamini, na idadi ya waumini ikawa imefika karibu elfu tano.
5Rytojaus dieną Jeruzalėje susirinko tautos vadovai, vyresnieji ir Rašto žinovai,
5Kesho yake, viongozi wa Wayahudi, wazee na walimu wa Sheria, walikusanyika pamoja huko Yerusalemu.
6taip pat vyriausiasis kunigas Anas, Kajafas, Jonas, Aleksandras ir kiti vyriausiojo kunigo giminės.
6Walikutana pamoja na Anasi, Kayafa, Yohane, Aleksanda na wengine waliokuwa wa ukoo wa Kuhani Mkuu.
7Pasistatę apaštalus viduryje, jie paklausė: “Kokia jėga ar kieno vardu jūs tai padarėte?”
7Waliwasimamisha mitume mbele yao, wakawauliza, "Ninyi mmefanya jambo hili kwa nguvu gani na kwa jina la nani?"
8Tada Petras, kupinas Šventosios Dvasios, jiems atsakė: “Tautos vadovai ir Izraelio vyresnieji!
8Hapo, Petro, akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akawaambia, "Viongozi na wazee wa watu!
9Jeigu dėl gero darbo ligotam žmogui šiandien mus klausinėjate, kaip jis buvo išgydytas,
9Ikiwa mnatuuliza leo juu ya kile kitendo chema alichofanyiwa yule mtu aliyekuwa kiwete na jinsi alivyopata kuwa mzima,
10tai tebūnie jums visiems ir visai Izraelio tautai žinoma: vardu Jėzaus Kristaus iš Nazareto, kurį jūs nukryžiavote ir kurį Dievas prikėlė iš numirusių! Jo dėka šis vyras jūsų akivaizdoje stovi sveikas.
10basi, ninyi na watu wote wa Israeli mnapaswa kujua kwamba mtu huyu anasimama mbele yenu leo, mzima kabisa, kwa nguvu ya jina lake Yesu wa Nazareti ambaye ninyi mlimsulubisha, lakini Mungu akamfufua kutoka wafu.
11Jėzus yra ‘akmuo, kurį jūs, statytojai, atmetėte ir kuris tapo kertiniu akmeniu’.
11Huyu ndiye ambaye Maandiko Matakatifu yanasema: Jiwe mlilokataa ninyi waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi.
12Ir nėra niekame kitame išgelbėjimo, nes neduota žmonėms po dangumi kito vardo, kuriuo turime būti išgelbėti”.
12Wokovu haupatikani kwa mtu mwingine yeyote, kwa maana duniani pote, binadamu hawakupewa jina la mtu mwingine ambaye sisi tunaweza kuokolewa naye."
13Matydami Petro ir Jono drąsą ir patyrę, kad tai nemokyti, paprasti žmonės, jie labai stebėjosi; be to, atpažino juos buvus kartu su Jėzumi.
13Hao wazee wa baraza, wakiwa wanajua kwamba Petro na Yohane walikuwa watu wasio na kisomo wala elimu yoyote, walishangaa juu ya jinsi walivyosema kwa uhodari. Wakatambua kwamba walikuwa wamejiunga na Yesu.
14Bet, matydami stovintį su jais pagydytąjį, jie neturėjo ką pasakyti prieš.
14Lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu.
15Tada liepė jiems išeiti iš sinedriono ir ėmė tartis:
15Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha.
16“Ką daryti su šitais žmonėmis? Juk visiems Jeruzalės gyventojams žinomas jų padarytas akivaizdus stebuklas, ir mes to negalime nuneigti.
16Wakaulizana, "Tufanye nini na watu hawa? Kila mtu anayeishi Yerusalemu anajua kwamba mwujiza huu wa ajabu umefanyika, nasi hatuwezi kukana jambo hilo.
17Bet kad dalykas neišplistų žmonėse, griežtai uždrauskime, kad jie nė vienam žmogui daugiau nekalbėtų tuo vardu”.
17Lakini ili tupate kuzuia jambo hili lisienee zaidi kati ya watu, tuwaonye wasiongee na mtu yeyote kwa jina la Yesu."
18Ir vėl juos pasišaukę, įsakė jiems išvis neskelbti ir nemokyti Jėzaus vardu.
18Kwa hiyo wakawaita tena ndani, wakawaonya wasiongee tena hadharani, wala kufundisha kwa jina la Yesu.
19Tačiau Petras ir Jonas jiems atsakė: “Spręskite patys, ar teisinga Dievo akivaizdoje jūsų klausyti labiau negu Dievo!
19Lakini Petro na Yohane wakawajibu, "Amueni ninyi wenyewe kama ni haki mbele ya Mungu kuwatii ninyi kuliko kumtii yeye.
20Juk mes negalime nekalbėti apie tai, ką matėme ir girdėjome”.
20Kwa maana hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo yale tuliyoyaona na kuyasikia."
21Prigrasinę jie paleido juos, nerasdami už ką bausti,dėl žmonių, nes visi garbino Dievą už tai, kas buvo įvykę.
21Basi, hao wazee wa Baraza wakawaonya kwa ukali zaidi, halafu wakawaacha huru. Hawakuweza kuwapa adhabu kwa sababu watu wote walikuwa wakimtukuza Mungu kwa sababu ya tukio hilo.
22Vyras, kuris patyrė tą išgydymo stebuklą, buvo daugiau nei keturiasdešimties metų.
22Huyo mtu aliyeponywa alikuwa na umri wa miaka zaidi ya arobaini.
23Paleisti jie atėjo pas saviškius ir išpasakojo, ką jiems sakė aukštieji kunigai ir vyresnieji.
23Mara tu walipoachwa huru, Petro na Yohane walirudi kwa wenzao, wakawaeleza yale waliyoambiwa na makuhani wakuu na wazee.
24Išklausę visi vieningai pakėlė balsus į Dievą ir sakė: “Valdove, Tu esi Dievas, sutvėręs dangų, žemę, jūrą ir visa, kas juose yra.
24Waliposikia habari hiyo waliungana pamoja katika kumwomba Mungu wakisema, "Bwana, wewe ni Muumba wa mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo!
25Tu kalbėjai savo tarno Dovydo lūpomis: ‘Kodėl niršta pagonys, kam veltui tautos sąmokslus rengia?
25Ndiwe uliyemfanya mtumishi wako, babu yetu Daudi, aseme kwa nguvu ya Roho Mtakatifu: Kwa nini mataifa yameghadhibika? Mbona watu wamefanya mipango ya bure?
26Žemės karaliai sukilo, valdovai susibūrė draugėn prieš Viešpatį ir Jo Kristų’.
26Wafalme wa dunia walijiweka tayari, na watawala walikutana pamoja, ili kumwasi Bwana na Kristo wake.
27Prieš Tavo šventąjį Sūnų Jėzų, kurį Tu patepei, iš tiesų susibūrė Erodas, Poncijus Pilotas su pagonimis ir Izraelio tauta,
27"Maana, kwa hakika, ndivyo Herode, Pontio Pilato, watu wa Israeli na watu wa mataifa walivyokutanika papa hapa mjini, kumpinga Yesu Mtumishi wako Mtakatifu ambaye umemtia mafuta.
28kad įvykdytų, ką Tavo ranka ir sprendimas iš anksto buvo nulėmę įvykti.
28Naam, walikutana ili wafanye yale ambayo ulikusudia na kupanga tangu mwanzo kwa uwezo wako na mapenzi yako.
29O dabar, Viešpatie, pažvelk į jų grasinimus ir duok savo tarnams su didžia drąsa skelbti Tavo žodį,
29Lakini sasa, ee Bwana, angalia vitisho vyao. Utuwezeshe sisi watumishi wako kuhubiri neno lako kwa uhodari.
30ištiesdamas savo ranką išgydymams, ir kad būtų daromi ženklai bei stebuklai Tavo šventojo Sūnaus Jėzaus vardu”.
30Nyosha mkono wako uponye watu. Fanya ishara na maajabu kwa jina la Yesu Mtumishi wako Mtakatifu."
31Jiems pasimeldus, sudrebėjo susirinkimo vieta, visi prisipildė Šventosios Dvasios ir drąsiai skelbė Dievo žodį.
31Walipomaliza kusali, pale mahali walipokuwa wamekutanika pakatikiswa, nao wote wakajazwa Roho Mtakatifu. Wote wakaanza kuhubiri neno la Mungu bila uoga.
32Visa tikinčiųjų daugybė buvo vienos širdies ir vienos sielos. Ką turėjo, nė vienas nevadino savo nuosavybe, bet visa jiems buvo bendra.
32Jumuiya yote ya waumini ilikuwa moyo mmoja na roho moja. Hakuna hata mmoja aliyekuwa na kitu chochote akakiweka kuwa mali yake binafsi, ila waligawana vyote walivyokuwa navyo.
33Apaštalai su didžiule jėga liudijo apie Viešpaties Jėzaus prisikėlimą, ir gausi malonė buvo su jais visais.
33Mitume walishuhudia kwa nguvu nyingi kufufuka kwa Bwana Yesu, naye Mungu akawapa baraka nyingi.
34Tarp jų nebuvo stokojančių, nes visi, kurie turėjo žemės sklypus ar namus, juos parduodavo, o už tai gautus pinigus atnešdavo
34Hakuna mtu yeyote aliyetindikiwa kitu, maana waliokuwa na mashamba au nyumba walikuwa wanaviuza
35ir sudėdavo prie apaštalų kojų, ir kiekvienam buvo dalijama, kiek kam reikėjo.
35na kuwakabidhi mitume fedha hizo, zikagawiwa kila mmoja kadiri ya mahitaji yake.
36Jozė, apaštalų pramintas Barnabu (išvertus tai reiškia: “Paguodos sūnus”), levitas, kilęs iš Kipro,
36Kulikuwa na Mlawi mmoja, mzaliwa wa Kupro, jina lake Yosefu, ambaye mitume walimwita jina Barnaba (maana yake, "Mtu mwenye kutia moyo").
37pardavęs savo žemės sklypą, atnešė pinigus ir padėjo apaštalams po kojų.
37Yeye pia alikuwa na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha, akawakabidhi mitume.