Lithuanian

Swahili: New Testament

Hebrews

5

1Kiekvienas vyriausiasis kunigas imamas iš žmonių ir skiriamas atstovauti žmonėms pas Dievą, kad aukotų dovanas ir aukas už nuodėmes.
1Kila kuhani mkuu huchaguliwa kutoka miongoni mwa watu kwa ajili ya kumtumikia Mungu kwa niaba yao, kutolea zawadi na tambiko kwa ajili ya dhambi zao.
2Jis sugeba užjausti nežinančius ir klystančius, nes ir pats yra apgaubtas silpnumo
2Maadamu yeye mwenyewe yu dhaifu anaweza kuwaonea huruma wale wasiojua kitu na wanaofanya makosa.
3ir dėl to turi aukoti aukas­tiek už tautos, tiek ir už savo nuodėmes.
3Na kwa vile yeye mwenyewe ni dhaifu, anapaswa kutolea dhabihu si tu kwa ajili ya watu, bali pia kwa ajili ya dhambi zake.
4Ir niekas pats nepasiima tos garbės, vien tik tas, kuris Dievo pašauktas kaip Aaronas.
4Hakuna mtu awezaye kujitwalia mwenyewe heshima ya kuwa kuhani mkuu. Kila mmoja huteuliwa na Mungu kuwa kuhani mkuu kama alivyokuwa Aroni.
5Taip pat ir Kristus ne pats sau suteikė šlovę tapti vyriausiuoju Kunigu, bet Tas, kuris Jam pasakė: “Tu esi mano Sūnus, šiandien Aš Tave pagimdžiau”.
5Hali kadhalika naye Kristo hakujitwalia mwenyewe heshima ya kuwa kuhani mkuu, bali Mungu alimwambia: "Wewe ni Mwanangu; mimi leo nimekuwa baba yako."
6Ir kitoje vietoje sako: “Tu esi kunigas per amžius Melchizedeko būdu”.
6Alisema pia mahali pengine: "Wewe ni kuhani milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki."
7Jis savo kūno dienomis siuntė maldas bei prašymus su garsiu šauksmu bei ašaromis Tam, kuris galėjo išgelbėti Jį nuo mirties, ir buvo išklausytas dėl savo dievobaimingumo.
7Yesu alipokuwa anaishi hapa duniani, kwa kilio kikuu na machozi, alisali na kumwomba Mungu ambaye alikuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka kifo; naye alisikilizwa kwa sababu ya kumcha Mungu.
8Nors būdamas Sūnus, Jis per savo kentėjimus išmoko paklusnumo
8Lakini, ingawa alikuwa Mwana wa Mungu, alijifunza kutii kwa njia ya mateso.
9ir ištobulintas tapo amžinojo išgelbėjimo priežastimi visiems, kurie Jam paklūsta,
9Na alipofanywa mkamilifu, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wale wote wanaomtii,
10Dievo pavadintas vyriausiuoju Kunigu Melchizedeko būdu.
10naye Mungu akamteua kuwa kuhani mkuu kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.
11Apie tai mums reikėtų daug kalbėti, bet sunku jums išaiškinti, nes pasidarėte nerangūs klausyti.
11Tunayo Mengi ya kusema juu ya jambo hili, lakini ni vigumu kuwaelezeni, kwa sababu ninyi si wepesi wa kuelewa.
12Ir nors, žiūrint laiko, jūs jau turėtumėte būti mokytojai, iš tiesų reikia, kad jus vėl kas nors pamokytų Dievo žodžio pagrindų. Jūs tapote tokie, kuriems reikia pieno, o ne stipraus valgio.
12Sasa mngalipaswa kuwa tayari walimu, lakini mnahitaji bado mtu wa kuwafundisheni mafundisho ya mwanzo ya ujumbe wa Mungu. Badala ya kula chakula kigumu, mnapaswa bado kunywa maziwa.
13Juk kiekvienas, maitinamas pienu, dar nepatyręs teisumo žodyje, nes tebėra kūdikis.
13Kila anayepaswa kunywa maziwa huyo ni mtoto bado, hajui uadilifu ni nini.
14Tik subrendusiems dera stiprus maistas­tiems, kurie pratybomis išlavino savo pojūčius, kad atskirtų gera nuo blogo.
14Lakini chakula kigumu ni kwa ajili ya watu waliokomaa, ambao wanaweza kubainisha mema na mabaya.