Lithuanian

Swahili: New Testament

John

13

1Prieš Paschos šventę Jėzus, žinodamas, kad atėjo Jo valanda iš šio pasaulio keliauti pas Tėvą, ir mylėdamas savuosius pasaulyje, parodė jiems savo meilę iki galo.
1Ilikuwa kabla ya sikukuu ya Pasaka. Yesu alijua kwamba saa yake ya kuondoka ulimwenguni na kwenda kwa Baba ilikuwa imefika. Alikuwa amewapenda daima watu wake walioko duniani; naam, aliwapenda mpaka mwisho!
2Vakarienės metu, kai velnias jau buvo įkvėpęs Simono sūnaus Judo Iskarijoto širdin sumanymą išduoti Jį,
2Basi, Yesu na wanafunzi wake walikuwa mezani kwa chakula cha jioni. Ibilisi alikwisha mtia Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti, nia ya kumsaliti Yesu.
3žinodamas, kad Tėvas visa atidavęs į Jo rankas ir kad Jis išėjo iš Dievo ir eina pas Dievą,
3Yesu alijua kwamba Baba alikuwa amemkabidhi kila kitu, na kwamba alikuwa ametoka kwa Mungu na anarudi kwa Mungu.
4Jėzus pakilo nuo stalo, nusivilko viršutinius drabužius ir persijuosė rankšluosčiu.
4Basi, Yesu aliondoka mezani, akaweka kando vazi lake, akachukua kitambaa na kujifunga kiunoni.
5Po to įpylė vandens į praustuvą ir ėmė plauti mokiniams kojas bei šluostyti rankšluosčiu, kuriuo buvo persijuosęs.
5Kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwaosha wanafunzi wake miguu na kuipangusa kwa kile kitambaa alichojifungia.
6Taip Jis priėjo prie Simono Petro. Šis Jam tarė: “Viešpatie, nejaugi Tu plausi man kojas?”
6Basi, akamfikia Simoni Petro; naye Petro akasema, "Bwana, wewe utaniosha miguu mimi?"
7Jėzus jam atsakė: “Tu dabar nesupranti, ką Aš darau, bet vėliau suprasi”.
7Yesu akamjibu, "Huelewi sasa ninachofanya lakini utaelewa baadaye."
8Petras atsiliepė: “Tu neplausi man kojų per amžius!” Jėzus jam atsakė: “Jei nenuplausiu tavęs, neturėsi dalies su manimi”.
8Petro akamwambia, "Wewe hutaniosha miguu kamwe!" Yesu akamjibu, "Nisipokuosha hutakuwa na uhusiano nami tena."
9Tada Simonas Petras sušuko: “Viešpatie, ne tik mano kojas, bet ir rankas, ir galvą!”
9Simoni Petro akamwambia, "Bwana, nioshe, si miguu tu, bali na mikono yangu na kichwa pia."
10Jėzus jam atsakė: “Kas nuplautas, tam reikia tik kojas nusiplauti, nes jis visas švarus. Ir jūs esate švarūs, bet ne visi”.
10Yesu akamwambia, "Aliyekwisha oga hana lazima ya kunawa isipokuwa miguu, maana amekwisha takata mwili wote. Ninyi mmetakata, lakini si nyote."
11Nes Jis žinojo, kas Jį išduos, ir todėl sakė: “Jūs ne visi švarūs”.
11(Yesu alimjua yule ambaye atamsaliti, ndiyo maana alisema: "Ninyi mmetakata, lakini si nyote.")
12Nuplovęs jų kojas, Jis užsivilko drabužius ir atsisėdęs paklausė: “Ar supratote, ką jums padariau?
12Alipokwisha waosha miguu na kuvaa tena vazi lake, aliketi mezani, akawaambia, "Je, mmeelewa hayo niliyowatendeeni?
13Jūs vadinate mane ‘Mokytoju’ ir ‘Viešpačiu’, ir gerai sakote, nes Aš Tas esu.
13Ninyi mwaniita Mwalimu na Bwana, nanyi mwasema vyema, kwa kuwa ndimi.
14Jei tad Aš­Viešpats ir Mokytojas­nuploviau jums kojas, tai ir jūs turite vieni kitiems kojas plauti.
14Basi, ikiwa mimi niliye Bwana na Mwalimu, nimewaosha ninyi miguu, nanyi pia mnapaswa kuoshana miguu.
15Aš jums daviau pavyzdį, kad Jūs darytumėte, kaip Aš jums dariau.
15Nimewapeni mfano, ili nanyi pia mfanye kama nilivyowafanyieni.
16Iš tiesų, iš tiesų sakau jums: tarnas ne didesnis už savo šeimininką ir pasiuntinys ne didesnis už savo siuntėją.
16Kweli nawaambieni, mtumishi si mkuu zaidi kuliko bwana wake, wala mtume si mkuu zaidi kuliko yule aliyemtuma.
17Jeigu tai suprantate, palaiminti esate, taip elgdamiesi.
17Basi, ikiwa mwayajua hayo, mtakuwa na heri mkiyatekeleza.
18Ne apie jus visus tai sakau. Aš žinau, ką išsirinkau, bet turi išsipildyti Raštas: ‘Tas, kuris valgo su manimi duoną, pakėlė virš manęs savo kulną’.
18"Haya nisemayo hayawahusu ninyi nyote. Mimi nawajua wale niliowachagua. Lakini lazima yatimie Maandiko Matakatifu yasemayo: Yule aliyeshiriki chakula changu amegeuka kunishambulia.
19Sakau jums dabar, prieš įvykstant, kad įvykus tikėtumėte, jog Aš Esu.
19Mimi nimewaambieni mambo haya sasa kabla hayajatokea, ili yatakapotokea mpate kuamini kuwa mimi ndimi.
20Iš tiesų, iš tiesų sakau jums: kas priima mano pasiuntinį, tas priima mane, o kas mane priima, priima Tą, kuris mane siuntė”.
20Kweli nawaambieni anayempokea yule ninayemtuma anaponipokea mimi; na anayenipokea mimi, anampokea yule aliyenituma."
21Tai pasakęs, Jėzus, sukrėstas dvasioje, tarė: “Iš tiesų, iš tiesų sakau jums: vienas iš jūsų išduos mane!”
21Alipokwisha sema hayo, Yesu alifadhaika sana rohoni, akasema wazi, "Kweli nawaambieni, mmoja wenu atanisaliti!"
22Tada mokiniai ėmė žvalgytis vienas į kitą, nesusivokdami, apie kurį Jis taip pasakė.
22Wanafunzi wakatazama wasiweze kabisa kujua anasema nani.
23Vienas iš Jo mokinių, kurį Jėzus mylėjo, buvo prisiglaudęs prie Jėzaus krūtinės.
23Mmoja wa wanafunzi, ambaye Yesu alikuwa anampenda sana, alikuwa ameketi karibu na Yesu.
24Simonas Petras pamojo jam, kad šis paklaustų, apie kurį Jis kalba.
24Basi, Simoni Petro akamwashiria na kusema: "Mwulize anasema juu ya nani."
25Tasai, pasilenkęs prie Jėzaus krūtinės, paklausė: “Kas jis, Viešpatie?”
25Mwanafunzi huyo akasogea karibu zaidi na Yesu, akamwuliza, "Bwana, ni nani?"
26Jėzus atsiliepė: “Tai tas, kuriam padažęs paduosiu kąsnį duonos”. Ir, pamirkęs duoną, Jis padavė Judui Iskarijotui, Simono sūnui.
26Yesu akajibu, "Yule nitakayempa kipande cha mkate nilichochovya katika sahani, ndiye." Basi, akatwaa kipande cha mkate, akakichovya katika sahani, akampa Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti.
27Ir po šio kąsnio įėjo į jį šėtonas. Tada Jėzus jam pasakė: “Ką darai, daryk greičiau!”
27Yuda alipokwisha pokea kipande hicho, Shetani akamwingia. Basi Yesu akamwambia, "Unachotaka kufanya, kifanye haraka!"
28Bet nė vienas iš esančių prie stalo nesuprato, kodėl Jis jam taip pasakė.
28Lakini hakuna hata mmoja wa wale waliokaa pale mezani aliyefahamu kwa nini alikuwa amemwambia hivyo.
29Kadangi Judo žinioje buvo kasa, kai kurie manė, jog Jėzus jam liepė: “Nupirk, ko mums reikia šventei”, arba kad jis duotų ką nors vargšams.
29Kwa kuwa Yuda alikuwa na wajibu wa kuutunza mfuko wa fedha, baadhi yao walidhani kwamba Yesu alikuwa amemwambia anunue vilivyohitajiwa kwa sikukuu, au kwamba alikuwa amemwambia akatoe chochote kwa maskini.
30Taigi, paėmęs duonos kąsnį, anas tuojau išėjo. Buvo naktis.
30Basi, Yuda alipokwisha twaa kile kipande cha mkate, akatoka nje mara. Na ilikuwa usiku.
31Jam išėjus, Jėzus prabilo: “Dabar Žmogaus Sūnus pašlovintas, ir Dievas pašlovintas Jame.
31Baada ya Yuda kuondoka, Yesu akasema, "Sasa Mwana wa Mtu ametukuzwa, naye Mungu ametukuzwa ndani yake.
32O jeigu Dievas pašlovintas Jame, tai Dievas pašlovins Jį savyje,­bematant Jį pašlovins”.
32Na kama utukufu wa Mungu umefunuliwa ndani ya Mwana, basi, naye Mungu ataudhihirisha utukufu wa Mwana ndani yake mwenyewe, na atafanya hivyo mara.
33“Vaikeliai, Aš jau nebeilgai būsiu su jumis. Jūs ieškosite manęs, bet sakau jums tą patį, ką žydams pasakiau: kur Aš einu, jūs negalite nueiti.
33"Watoto wangu, bado niko nanyi kwa muda mfupi tu. Mtanitafuta, lakini sasa nawaambieni yale niliyowaambia viongozi wa Wayahudi: Niendako ninyi hamwezi kwenda!
34Aš jums duodu naują įsakymą, kad jūs vienas kitą mylėtumėte: kaip Aš jus pamilau, kad ir jūs mylėtumėte vienas kitą.
34Nawapeni amri mpya: pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda ninyi.
35Iš to visi pažins, kad esate mano mokiniai, jei mylėsite vieni kitus”.
35Mkipendana, watu wote watajua kwamba ninyi ni wanafunzi wangu."
36Simonas Petras Jį paklausė: “Viešpatie, kur Tu eini?” Jėzus atsakė: “Kur Aš einu, tu dabar negali paskui mane sekti, bet vėliau nuseksi mane”.
36Simoni Petro akamwuliza, "Bwana, unakwenda wapi?" Yesu akajibu, "Niendako huwezi kunifuata sasa, lakini utanifuata baadaye."
37Petras vėl klausė: “Viešpatie, kodėl gi negaliu dabar paskui Tave sekti? Aš savo gyvybę už Tave guldysiu!”
37Petro akamwambia "Bwana, kwa nini siwezi kukufuata sasa? Niko tayari kufa kwa ajili yako!"
38Jėzus atsakė: “Tu guldysi už mane gyvybę? Iš tiesų, iš tiesų sakau tau: dar gaidžiui nepragydus, tu tris kartus manęs išsiginsi!”
38Yesu akajibu, "Je, uko tayari kweli kufa kwa ajili yangu? Kweli nakwambia, kabla jogoo hajawika utanikana mara tatu!"