Lithuanian

Swahili: New Testament

John

16

1“Aš jums tai pasakiau, kad nepasipiktintumėte.
1"Nimewaambieni hayo kusudi msiiache imani yenu.
2Jie šalins jus iš sinagogų, ir ateina valanda, kada tie, kurie jus žudys, tarsis tarnaują Dievui.
2Watu watawatenga ninyi na masunagogi yao. Tena, wakati unakuja ambapo kila atakayewaua ninyi atadhani anamhudumia Mungu.
3Jie jums tai darys, nes nei Tėvo, nei manęs nepažįsta.
3Watawatendeeni mambo hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi.
4Aš jums visa tai kalbėjau, kad tai valandai atėjus, atsimintumėte, jog buvau jus įspėjęs. Aš jums to nesakiau iš pradžių, nes buvau su jumis.
4Basi, nimewaambieni mambo haya ili saa yake itakapofika mkumbuke kwamba niliwaambieni. "Sikuwaambieni mambo haya tangu mwanzo kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi.
5O dabar einu pas Tą, kuris mane siuntė, ir niekas iš jūsų neklausia: ‘Kur Tu eini?’
5Lakini sasa namwendea yule aliyenituma; na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: Unakwenda wapi?
6Kadangi jums tai pasakiau, liūdesys jūsų širdis užliejo.
6Kwa kuwa nimewaambieni mambo hayo mmejaa huzuni mioyoni mwenu.
7Bet sakau jums tiesą: jums geriau, kad Aš išeinu, nes jei neišeičiau, pas jus neateitų Guodėjas. O nuėjęs Jį jums atsiųsiu.
7Lakini, nawaambieni ukweli: afadhali kwenu mimi niende zangu, maana nisipokwenda Msaidizi hatakuja kwenu. Lakini nikienda, basi, nitamtuma kwenu.
8Atėjęs Jis įtikins pasaulį dėl nuodėmės, dėl teisumo ir dėl teismo.
8Naye atakapokuja atawathibitishia walimwengu kwamba wamekosea kuhusu dhambi, uadilifu na hukumu ya Mungu.
9Dėl nuodėmės,­kad netiki manimi.
9Wamekosea kuhusu dhambi kwa sababu hawaniamini;
10Dėl teisumo,­kad Aš pas savo Tėvą einu, ir jūs manęs daugiau nebematysite.
10kuhusu uadilifu, kwa sababu naenda zangu kwa Baba, nanyi hamtaniona tena;
11Dėl teismo,­kad šio pasaulio kunigaikštis yra nuteistas.
11kuhusu hukumu kwa sababu mkuu wa ulimwengu huu amekwisha hukumiwa.
12Dar daug ką turiu jums pasakyti, bet dabar negalite pakelti.
12"Ninayo bado mengi ya kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili.
13Bet kai ateis Ji, Tiesos Dvasia, jus Ji įves į visą tiesą. Ji nekalbės iš savęs, bet kalbės, ką išgirs, ir praneš, kas dar turi įvykti.
13Lakini atakapokuja huyo Roho wa kweli atawaongoza kwenye ukweli wote; maana hatasema kwa mamlaka yake mwenyewe, bali atawaambieni yote atakayosikia, na atasema mambo yatakayokuwa yanakuja.
14Ji pašlovins mane, nes ims iš to, kas mano, ir jums tai paskelbs.
14Yeye atanitukuza mimi kwa kuwa atawaambieni yale atakayopata kutoka kwangu.
15Visa, ką turi Tėvas, yra mano, todėl Aš pasakiau, kad Ji ims iš to, kas mano, ir jums tai paskelbs.
15Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu; ndiyo maana nimesema kwamba huyo Roho Mtakatifu atawaambieni yale atakayopata kutoka kwangu.
16Prabėgs valandėlė­ir manęs nematysite, ir dar valandėlė­ir vėl mane pamatysite, nes Aš pas Tėvą einu”.
16"Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona!"
17Tada kai kurie mokiniai ėmė vienas kitą klausinėti: “Ką reiškia Jo pasakyti žodžiai: ‘Prabėgs valandėlė­ir manęs nematysite, ir dar valandėlė­ir vėl mane pamatysite’ ir: ‘Aš pas Tėvą einu’?”
17Hapo baadhi ya wanafunzi wake wakaulizana, "Ana maana gani anapotwambia: Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona? Tena anasema: Kwa kuwa ninakwenda kwa Baba!"
18Tad jie klausinėjo: “Ką reiškia ‘valandėlė’? Mums neaišku, ką Jis kalba”.
18Basi, wakawa wanaulizana, "Ana maana gani anaposema: Bado kitambo kidogo? Hatuelewi anaongelea nini."
19Supratęs, kad jie norėjo Jį klausti, Jėzus tarė: “Klausinėjate vieni kitus dėl mano žodžių: ‘Prabėgs valandėlė­ir manęs nematysite, ir dar valandėlė­ir vėl mane pamatysite’?
19Yesu alijua kwamba walitaka kumwuliza, basi akawaambia, "Je, mnaulizana juu ya yale niliyosema: Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona?
20Iš tiesų, iš tiesų sakau jums: jūs verksite ir vaitosite, o pasaulis džiaugsis. Jūs liūdėsite, bet jūsų liūdesys pavirs džiaugsmu.
20Nawaambieni kweli, ninyi mtalia na kuomboleza, lakini ulimwengu utafurahi: mtaona huzuni lakini huzuni yenu itageuka kuwa furaha.
21Gimdydama moteris būna sielvarto prislėgta, nes atėjo jos valanda, bet, kūdikiui gimus, ji skausmą užmiršta iš džiaugsmo, kad gimė į pasaulį žmogus.
21Wakati mama anapojifungua huona huzuni kwa sababu saa ya maumivu imefika; lakini akisha jifungua hayakumbuki tena maumivu hayo kwa sababu ya furaha kwamba mtu amezaliwa duniani.
22Taip ir jūs dabar nuliūdę, bet Aš vėl jus pamatysiu; ir jūsų širdys džiūgaus, ir jūsų džiaugsmo niekas iš jūsų nebeatims.
22Ninyi pia mna huzuni sasa; lakini nitawajieni tena, nanyi mtajaa furaha mioyoni mwenu, na furaha hiyo hakuna mtu atakayeiondoa kwenu.
23Tą dieną jūs manęs nieko neklausinėsite. Iš tiesų, iš tiesų sakau jums: ko tik prašysite Tėvą mano vardu, Jis jums duos.
23Siku hiyo hamtaniomba chochote. Kweli nawaambieni, chochote mtakachomwomba Baba kwa jina langu, atawapeni.
24Iki šiol jūs nieko neprašėte mano vardu. Prašykite ir gausite, kad jūsų džiaugsmui nieko netrūktų.
24Mpaka sasa hamjaomba chochote kwa jina langu. Ombeni nanyi mtapata ili furaha yenu ikamilike.
25Aš jums kalbėjau palyginimais, bet ateina valanda, kada nebekalbėsiu jums palyginimais, bet atvirai apie Tėvą jums skelbsiu.
25"Nimewaambieni mambo hayo kwa mafumbo. Lakini wakati utakuja ambapo sitasema tena nanyi kwa mafumbo, bali nitawaambieni waziwazi juu ya Baba.
26Tą dieną jūs prašysite mano vardu, ir Aš nesakau, kad Aš prašysiu Tėvą už jus,­
26Siku hiyo mtaomba kwa jina langu, na siwaambii kwamba nitamwomba Baba kwa niaba yenu;
27juk pats Tėvas jus myli, nes jūs mane pamilote ir įtikėjote, jog Aš esu iš Dievo išėjęs.
27maana yeye mwenyewe anawapenda ninyi, kwa sababu ninyi mmenipenda mimi na mmeamini kwamba nimetoka kwa Mungu.
28Išėjau iš Tėvo ir atėjau į pasaulį. Vėl palieku pasaulį ir einu pas Tėvą”.
28Mimi nilitoka kwa Baba, nikaja ulimwenguni; na sasa nauacha ulimwengu na kurudi kwa Baba."
29Mokiniai tarė: “Štai dabar Tu aiškiai kalbi ir nebesakai jokių palyginimų.
29Basi, wanafunzi wake wakamwambia, "Ahaa! Sasa unasema waziwazi kabisa bila kutumia mafumbo.
30Mes dabar suprantame, kad Tu viską žinai ir nereikia, kad kas Tave klausinėtų. Todėl tikime, kad Tu esi išėjęs iš Dievo”.
30Sasa tunajua kwamba wewe unajua kila kitu, na huna haja ya kuulizwa maswali na mtu yeyote; kwa hiyo tunaamini kwamba umetoka kwa Mungu."
31Jėzus jiems atsakė: “Dabar tikite?
31Yesu akawajibu, "Je, mnaamini sasa?
32Štai ateina valanda,­ir jau atėjo,­kai jūs išsisklaidysite kas sau ir paliksite mane vieną. Tačiau Aš ne vienas, nes su manimi yra Tėvas.
32Wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo ninyi nyote mtatawanyika kila mtu kwake, nami nitaachwa peke yangu. Kumbe, lakini mimi siko peke yangu, maana Baba yu pamoja nami.
33Aš jums tai kalbėjau, kad manyje turėtumėte ramybę. Pasaulyje jūs turėsite priespaudą, bet būkite drąsūs: Aš nugalėjau pasaulį!”
33Nimewaambieni mambo haya ili mpate kuwa na amani katika kuungana nami. Ulimwenguni mtapata masumbuko; lakini jipeni moyo! Mimi nimeushinda ulimwengu!"