Lithuanian

Swahili: New Testament

Mark

13

1Jam išeinant iš šventyklos, vienas iš mokinių Jam sako: “Mokytojau, pažvelk, kokie akmenys ir kokie pastatai!”
1Yesu alipokuwa anatoka Hekaluni, mmoja wa wanafunzi wake alimwambia, "Mwalimu, tazama jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo ya ajabu!"
2Jėzus jam atsakė: “Matai šituos didžiulius pastatus? Čia neliks akmens ant akmens, viskas bus išgriauta”.
2Yesu akamwambia, "Je, unayaona majengo haya makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalosalia juu ya lingine; kila kitu kitabomolewa."
3Kai Jis sėdėjo Alyvų kalne, priešais šventyklą, Petras, Jokūbas, Jonas ir Andriejus atskirai nuo kitų klausė Jį:
3Yesu alipokuwa ameketi juu ya mlima wa Mizeituni akielekea Hekalu, Petro, Yakobo, Yohane na Andrea wakamwuliza kwa faragha,
4“Pasakyk mums, kada tai įvyks ir koks bus ženklas, kai visa tai pradės pildytis?”
4"Twambie mambo haya yatatukia lini? Ni ishara gani itakayoonyesha kwamba mambo haya karibu yatimizwe?"
5Jėzus, jiems atsakydamas, pradėjo kalbėti: “Žiūrėkite, kad niekas jūsų nesuklaidintų.
5Yesu akaanza kuwaambia, "Jihadharini msije mkadanganywa na mtu.
6Daug kas ateis mano vardu ir sakys: ‘Tai Aš’, ir daugelį suklaidins.
6Maana wengi watakuja wakilitumia jina langu, wakisema, Mimi ndiye! nao watawapotosha watu wengi.
7Išgirdę apie karus ir karų gandus, neišsigąskite. Tai turi įvykti, bet dar ne galas.
7Mtakaposikia juu ya vita na fununu za vita, msifadhaike. Mambo hayo lazima yatokee, lakini mwisho wenyewe ungali bado.
8Tauta sukils prieš tautą ir karalystė prieš karalystę. Įvairiose vietose bus žemės drebėjimų, bus badmečių ir neramumų. Tai gimdymo skausmų pradžia.
8Taifa moja litapigana na taifa lingine; utawala mmoja utapigana na utawala mwingine; kila mahali kutakuwa na mitetemeko ya ardhi na njaa. Mambo haya ni kama tu maumivu ya kwanza ya kujifungua mtoto.
9Jūs saugokitės, nes atidavinės jus teismams, plaks sinagogose, ir jūs turėsite dėl manęs stoti prieš valdytojus ir karalius jiems liudyti.
9"Lakini ninyi jihadharini. Maana watu watawapelekeni mahakamani, na kuwapigeni katika masunagogi. Mtapelekwa mbele ya watawala na wafalme kwa sababu yangu ili mpate kunishuhudia kwao.
10Ir Evangelija pirmiau turės būti paskelbta visoms tautoms.
10Lakini lazima kwanza Habari Njema ihubiriwe kwa mataifa yote.
11Kai suėmę jus ves, nesirūpinkite ir negalvokite iš anksto, ką kalbėsite. Kalbėkite tai, kas tą valandą bus jums duota, nes kalbėsite ne jūs, o Šventoji Dvasia.
11Nao watakapowatieni nguvuni na kuwapeleka mahakamani, msiwe na wasiwasi juu ya yale mtakayosema; saa ile itakapofika, semeni chochote mtakachopewa, maana si ninyi mtakaosema, bali Roho Mtakatifu.
12Brolis išduos nužudyti brolį, o tėvas­savo vaiką. Vaikai pakels ranką prieš savo gimdytojus ir juos žudys.
12Ndugu atamsaliti ndugu yake auawe; baba atamsaliti mwanae; watoto watawashambulia wazazi wao na kuwaua.
13Jūs būsite visų nekenčiami dėl mano vardo. Bet kas ištvers iki galo, tas bus išgelbėtas”.
13Watu wote watawachukieni ninyi kwa sababu ya jina langu. Lakini atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.
14“Kai pamatysite per pranašą Danielių paskelbtą naikinimo bjaurastį, stovinčią ten, kur jos neturi būti (kas skaito­teišmano), tada, kas bus Judėjoje, tebėga į kalnus;
14"Mtakapoona Chukizo Haribifu limesimama mahali ambapo si pake, (msomaji na atambue maana yake!) Hapo watu walioko Yudea wakimbilie milimani.
15kas bus ant stogo, tenelipa žemyn į namus ir tegul neina ko nors pasiimti iš savo namų;
15Mtu aliye juu ya paa la nyumba asishuke kuingia nyumbani mwake kuchukua kitu.
16o kas laukuose, tenegrįžta pasiimti apsiausto.
16Aliye shambani asirudi nyuma kuchukua vazi lake.
17Vargas nėščioms ir žindančioms tomis dienomis!
17Ole wao waja wazito na wanaonyonyesha siku hizo!
18Melskitės, kad jums netektų bėgti žiemą!
18Ombeni ili mambo hayo yasitukie nyakati za baridi.
19Tomis dienomis bus toks suspaudimas, kokio nėra buvę nuo pradžios pasaulio, kurį Dievas sutvėrė, iki šiol, ir daugiau nebebus.
19Maana wakati huo kutakuwa na dhiki ambayo haijatokea tangu Mungu alipoumba ulimwengu mpaka leo, wala haitatokea tena.
20Ir, jeigu Viešpats nebūtų sutrumpinęs tų dienų, neišsigelbėtų nė vienas kūnas. Tačiau dėl išrinktųjų, kuriuos išsirinko, Jis sutrumpino tas dienas.
20Kama Bwana asingepunguza siku hizo, hakuna binadamu ambaye angeokolewa. Lakini kwa ajili ya wateule wake, Bwana amezipunguza siku hizo.
21Jei tada kas nors jums sakys: ‘Štai čia Kristus’, arba: ‘Jis tenai!’,­netikėkite,
21"Basi mtu akiwaambieni, Tazama, Kristo yupo hapa! au Yupo pale! msimsadiki.
22nes atsiras netikrų kristų ir netikrų pranašų. Jie darys ženklų ir stebuklų, kad suklaidintų, jei įmanoma, net išrinktuosius.
22Maana watatokea kina Kristo wa uongo na manabii wa uongo, watafanya ishara na maajabu, ili kuwapotosha wateule wa Mungu, kama ikiwezekana.
23Todėl būkite atidūs; štai Aš jums iš anksto visa tai pasakiau”.
23Lakini ninyi jihadharini. Mimi nimewaambieni mambo yote kabla hayajatokea.
24“Tomis dienomis, po ano suspaudimo, saulė užtems, mėnulis nebeduos šviesos,
24"Basi, siku hizo baada ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza na mwezi hautaangaza.
25dangaus žvaigždės kris ir dangaus jėgos bus sudrebintos.
25Nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za mbingu zitatikiswa.
26Tada jie pamatys Žmogaus Sūnų, ateinantį debesyse su didžia jėga ir šlove.
26Hapo watamwona Mwana wa Mtu akija katika mawingu kwa nguvu nyingi na utukufu.
27Jis pasiųs savo angelus, ir tie surinks Jo išrinktuosius iš keturių žemės pusių, nuo žemės pakraščių iki dangaus tolybių.
27Kisha atawatuma malaika wake; atawakusanya wateule wake kutoka pande zote nne za dunia, kutoka mwisho wa dunia mpaka mwisho wa mbingu.
28Pasimokykite iš palyginimo su figmedžiu: kai jo šaka suminkštėja ir sprogsta lapai, žinote, jog artėja vasara.
28"Kwa mtini jifunzeni mfano huu: Mara tu matawi yake yanapoanza kuwa laini na kuchanua majani, mnajua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.
29Taip pat jūs, išvydę visa tai dedantis, žinokite, jog Jis jau arti, prie durų.
29Hali kadhalika nanyi mtakapoona mambo hayo yakitendeka, jueni kwamba Mwana wa Mtu yuko karibu sana.
30Iš tiesų sakau jums: ši karta nepraeis, iki visa tai įvyks.
30Nawaambieni kweli, kizazi hiki hakitapita kabla ya mambo hayo yote kutukia.
31Dangus ir žemė praeis, o mano žodžiai nepraeis.
31Mbingu na dunia zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
32Tačiau tos dienos ir valandos niekas nežino, nei angelai danguje, nei Sūnus, tik Tėvas”.
32"Lakini hakuna mtu ajuaye siku au saa hiyo itakuja lini; wala malaika wa mbinguni, wala Mwana; Baba peke yake ndiye ajuaye.
33“Žiūrėkite, budėkite ir melskitės, nes nežinote, kada ateis laikas!
33Muwe waangalifu na kesheni, maana hamjui wakati huo utafika lini.
34Bus kaip su žmogumi, kuris iškeliavo toli, paliko namus, suteikė tarnams valdžią, kiekvienam paskyrė darbą, o durininkui įsakė budėti.
34Itakuwa kama mtu anayeondoka nyumbani kwenda safari akiwaachia watumishi wake madaraka, kila mmoja na kazi yake; akamwambia mlinzi wa mlango awe macho.
35Taigi budėkite, nes nežinote, kada grįš namų šeimininkas: ar vakare, ar vidurnaktyje, ar gaidžiui giedant, ar rytmety,
35Kesheni, basi, kwa maana hamjui mwenye nyumba atarudi lini; huenda ikawa jioni, usiku wa manane, alfajiri au asubuhi.
36kad, netikėtai sugrįžęs, nerastų jūsų miegančių.
36Kesheni ili akija ghafla asije akawakuta mmelala.
37Ką sakau jums, sakau ir visiems: budėkite!”
37Ninayowaambieni ninyi, nawaambia wote: Kesheni!"