Lithuanian

Swahili: New Testament

Matthew

11

1Baigęs nurodymus dvylikai savo mokinių, Jėzus iškeliavo toliau mokyti ir pamokslauti kituose miestuose.
1Yesu alipomaliza kuwapa wanafunzi kumi na wawili maagizo, alitoka hapo, akaenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao.
2Jonas, išgirdęs kalėjime apie Kristaus darbus, nusiuntė du savo mokinius
2Yohane mbatizaji akiwa gerezani alipata habari juu ya matendo ya Kristo. Basi, Yohane akawatuma wanafunzi wake,
3Jo paklausti: “Ar Tu esi Tas, kuris turi ateiti, ar mums laukti kito?”
3wamwulize: "Je, wewe ni yule anayekuja, au tumngoje mwingine?"
4Jėzus jiems atsakė: “Eikite ir pasakykite Jonui, ką girdite ir matote:
4Yesu akawajibu, "Nendeni mkamwambie Yohane mambo mnayoyasikia na kuyaona:
5aklieji praregi, luošieji vaikščioja, raupsuotieji apvalomi, kurtieji girdi, mirusieji prikeliami, vargšams skelbiama Evangelija.
5vipofu wanaona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa na viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na maskini wanahubiriwa Habari Njema.
6Ir palaimintas, kas nepasipiktina manimi”.
6Heri mtu yule asiyekuwa na mashaka nami."
7Jiems nueinant, Jėzus ėmė kalbėti minioms apie Joną: “Ko išėjote į dykumą pažiūrėti? Ar vėjo linguojamos nendrės?
7Basi, hao wajumbe wa Yohane walipokuwa wanakwenda zao, Yesu alianza kuyaambia makundi ya watu habari za Yohane: "Mlikwenda kutazama nini kule jangwani? Je, mlitaka kuona mwanzi unaotikiswa na upepo?
8Ko gi išėjote pamatyti? Ar švelniais drabužiais vilkinčio žmogaus? Švelniais drabužiais vilkintys gyvena karaliaus rūmuose.
8Lakini mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumtazama mtu aliyevaa mavazi maridadi? Watu wanaovaa mavazi maridadi hukaa katika nyumba za wafalme.
9Tai ko gi išėjote pamatyti? Ar pranašo? Taip, sakau jums, ir kur kas daugiau negu pranašo!
9Basi, mlikwenda kuona nini? Nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii.
10Jis yra tas, apie kurį parašyta: ‘Štai Aš siunčiu pirma Tavęs savo pasiuntinį, kuris nuties prieš Tave kelią’.
10"Huyu ndiye anayesemwa katika Maandiko Matakatifu: Tazama, hapa namtuma mjumbe wangu, asema Bwana, akutangulie na kukutayarishia njia yako.
11Iš tiesų sakau jums: tarp gimusių iš moterų nepakilo didesnis už Joną Krikštytoją, bet ir mažiausias dangaus karalystėje didesnis už jį.
11Kweli nawaambieni, miongoni mwa watoto wote wa watu, hajatokea aliye mkuu kuliko Yohane mbatizaji. Hata hivyo, yule aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa mbinguni, ni mkubwa kuliko yeye.
12Nuo Jono Krikštytojo dienų iki dabar dangaus karalystė grobiama, ir stiprieji ją jėga ima.
12Tangu wakati wa Yohane mbatizaji mpaka leo hii, Ufalme wa mbinguni unashambuliwa vikali, na watu wakali wanajaribu kuunyakua kwa nguvu.
13Visi pranašai ir Įstatymas pranašavo iki Jono
13Mafundisho yote ya manabii na sheria yalibashiri juu ya nyakati hizi.
14ir, jeigu norite priimti, tai jis ir yra Elijas, kuris turi ateiti.
14Kama mwaweza kukubali basi, Yohane ndiye Eliya ambaye angekuja.
15Kas turi ausis klausyti­teklauso!”
15Mwenye masikio na asikie!
16“Su kuo galėčiau palyginti šią kartą? Ji panaši į vaikus, kurie sėdi prekyvietėje ir šaukia savo draugams:
16"Basi, nitakifananisha kizazi hiki na kitu gani? Ni kama vijana waliokuwa wamekaa uwanjani, wakawa wakiambiana kikundi kimoja kwa kingine:
17‘Mes jums grojome, o jūs nešokote. Mes giedojome raudas, o jūs neraudojote’.
17Tumewapigieni ngoma lakini hamkucheza; tumeimba nyimbo za huzuni lakini hamkulia!
18Atėjo Jonas, nevalgus ir negeriantis, tai jie sako: ‘Jis demono apsėstas’.
18Kwa maana Yohane alikuja, akafunga na wala hakunywa divai, nao wakasema: Amepagawa na pepo.
19Atėjo Žmogaus Sūnus, valgantis ir geriantis, tai jie sako: ‘Štai rijūnas ir vyno gėrėjas, muitininkų ir nusidėjėlių bičiulis’. Bet išmintį pateisina jos vaikai”.
19Mwana wa Mtu akaja, anakula na kunywa, nao wakasema: Mtazameni huyu, mlafi na mlevi, rafiki yao watoza ushuru na wahalifu! Hata hivyo, hekima ya Mungu inathibitishwa kuwa njema kutokana na matendo yake."
20Tada Jis pradėjo priekaištauti miestams, kuriuose buvo padaryta daugumas Jo stebuklų, kad jie neatgailavo:
20Kisha Yesu akaanza kuilaumu miji ambayo, ingawaje alifanya miujiza mingi humo, watu wake hawakutaka kubadili nia zao mbaya:
21“Vargas tau, Chorazine! Vargas tau, Betsaida! Jeigu Tyre ir Sidone būtų įvykę tokių stebuklų, kokie padaryti pas jus, jie seniai būtų atgailavę su ašutine bei pelenuose.
21"Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwako ingalifanyika kule Tiro na Sidoni, watu wake wangalikwisha vaa mavazi ya gunia na kujipaka majivu zamani, ili kuonyesha kwamba wametubu.
22Todėl sakau jums: Tyrui ir Sidonui bus lengviau teismo dieną negu jums!
22Hata hivyo nawaambieni, Siku ya hukumu, ninyi mtapata adhabu kubwa kuliko Tiro na Sidoni.
23Ir tu, Kafarnaume, išaukštintas iki dangaus, nugarmėsi iki pragaro! Jeigu Sodomoje būtų įvykę tokių stebuklų, kokių įvyko tavyje, ji būtų išlikusi iki šios dienos.
23Na wewe Kafarnaumu, je, utajikweza mpaka mbinguni? Utaporomoshwa mpaka Kuzimu! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwako ingalifanyika kule Sodoma, mji huo ungalikuwako mpaka hivi leo.
24Todėl sakau jums: Sodomos žemei bus lengviau teismo dieną negu tau”.
24Lakini nawaambieni, Siku ya hukumu itakuwa nafuu zaidi kwa watu wa Sodoma, kuliko kwako wewe."
25Anuo metu Jėzus kalbėjo: “Aš šlovinu Tave, Tėve, dangaus ir žemės Viešpatie, kad paslėpei tai nuo išmintingųjų ir gudriųjų, o apreiškei mažutėliams.
25Wakati huo Yesu alisema, "Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, maana umewaficha wenye hekima mambo haya, ukawafumbulia watoto wadogo.
26Taip, Tėve, nes Tau taip patiko.
26Naam Baba, ndivyo ilivyokupendeza.
27Viskas man yra mano Tėvo atiduota; ir niekas nepažįsta Sūnaus, tik Tėvas, nei Tėvo niekas nepažįsta, tik Sūnus ir kam Sūnus nori apreikšti.
27"Baba yangu amenikabidhi vitu vyote. Hakuna amjuaye Mwana ila Baba, wala amjuaye Baba ila Mwana, na yeyote yule ambaye Mwana atapenda kumjulisha.
28Ateikite pas mane visi, kurie vargstate ir esate prislėgti, ir Aš jus atgaivinsiu.
28Njoni kwangu ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
29Imkite ant savęs mano jungą ir mokykitės iš manęs, nes Aš romus ir nuolankios širdies, ir jūs rasite savo sieloms atgaivą.
29Jifungeni nira yangu, mkajifunze kwangu, maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtatulizwa rohoni mwenu.
30Nes mano jungas švelnus ir mano našta lengva”.
30Maana, nira niwapayo mimi ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi."