Lithuanian

Swahili: New Testament

Revelation

3

1“Sardų bažnyčios angelui rašyk: ‘Tai sako Tas, kuris turi septynias Dievo Dvasias ir septynias žvaigždes. Aš žinau tavo darbus: tave vadina gyvu, o tu esi miręs.
1"Kwa malaika wa kanisa la Sarde andika hivi: "Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye aliye na roho saba za Mungu na nyota saba. Nayajua mambo yako yote; najua unajulikana kuwa na uhai kumbe umekufa!
2Budėk ir stiprink, kas dar yra ir merdi! Aš neradau tavo darbų, kurie būtų pabaigti Dievo akivaizdoje.
2Amka! Imarisha chochote chema kilichokubakia kabla nacho hakijatoweka kabisa. Maana, mpaka sasa, sijayaona matendo yako kuwa ni makamilifu mbele ya Mungu wangu.
3Todėl prisimink, kaip priėmei ir išgirdai; laikykis to ir atgailauk! Jeigu nebudėsi, ateisiu kaip vagis, ir nežinosi, kurią valandą tave užklupsiu.
3Kumbuka, basi, yale uliyofundishwa na jinsi ulivyoyasikia, uyatii na ubadili nia yako mbaya. Usipokesha nitakujia ghafla kama mwizi, na wala hutaijua saa nitakapokujia.
4Vis dėlto tu Sarduose turi keletą vardų, kurie nesutepė savo drabužių. Jie vaikščios su manimi, apsirengę baltai, nes jie to verti.
4Lakini wako wachache huko Sarde ambao hawakuyachafua mavazi yao. Hao wanastahili kutembea pamoja nami wakiwa wamevaa mavazi meupe.
5Nugalėtojas bus aprengtas baltais drabužiais, ir jo vardo neištrinsiu iš gyvenimo knygos. Aš išpažinsiu jo vardą savo Tėvo ir Jo angelų akivaizdoje’.
5"Wale wanaoshinda, watavikwa mavazi meupe kama hao. Nami sitayafuta majina yao kutoka katika kitabu cha uzima; tena nitawakiri kwamba ni wangu mbele ya Baba yangu na mbele ya malaika wake.
6Kas turi ausis, teklauso, ką Dvasia sako bažnyčioms”.
6"Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!
7“Filadelfijos bažnyčios angelui rašyk: ‘Tai kalba Šventasis, Tikrasis, turintis Dovydo raktą,­Tas, kuris atidaro, ir niekas negali uždaryti, uždaro, ir niekas negali atidaryti.
7"Kwa malaika wa kanisa la Filadelfia andika hivi: "Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye aliye mtakatifu na wa kweli, ambaye anao ule ufunguo wa Daudi, na ambaye hufungua na hakuna mtu awezaye kufungua.
8Aš žinau tavo darbus. Štai Aš atvėriau prieš tave duris, ir niekas nebegali jų uždaryti; nedaug turi jėgų, bet išsaugojai mano žodį ir neatsižadėjai mano vardo.
8Nayajua mambo yako yote! Sasa, nimefungua mbele yako mlango ambao hakuna mtu awezaye kuufunga; najua kwamba ingawa huna nguvu sana, hata hivyo, umezishika amri zangu, umelitii neno langu wala hukulikana jina langu.
9Štai Aš tau duodu tuos iš šėtono sinagogos, kurie tvirtina, jog jie žydai, bet nėra, nes jie meluoja. Taigi padarysiu, kad jie ateitų, pultų tau po kojų ir suprastų, jog Aš pamilau tave.
9Sikiliza! Nitawapeleka kwako watu wa kundi lake Shetani, watu ambao hujisema kuwa ni Wayahudi, kumbe ni wadanganyifu. Naam, nitawapeleka kwako na kuwafanya wapige magoti mbele yako wapate kujua kwamba kweli nakupenda wewe.
10Kadangi tu išlaikei mano kantrybės žodį, tai ir Aš tave apsaugosiu nuo išbandymo valandos, kuri ištiks visą pasaulį, kad būtų išmėginti žemės gyventojai.
10Kwa kuwa wewe umezingatia agizo langu la kuwa na uvumilivu, nami pia nitakutegemeza salama wakati ule wa dhiki inayoujia ulimwengu mzima kuwajaribu wote wanaoishi duniani.
11Štai Aš veikiai ateinu. Tvirtai laikyk, ką turi, kad niekas neatimtų tavo vainiko.
11Naja kwako upesi! Linda, basi, ulicho nacho sasa, ili usije ukanyang'anywa na mtu yeyote taji yako ya ushindi.
12Nugalėtoją Aš padarysiu ramsčiu savo Dievo šventykloje, ir jis jau nebeišeis laukan; užrašysiu ant jo savo Dievo vardą ir vardą savo Dievo miesto, naujosios Jeruzalės, nužengiančios iš dangaus nuo mano Dievo, ir savo naująjį vardą’.
12"Wale wanaoshinda nitawafanya wawe minara katika Hekalu la Mungu wangu, na hawatatoka humo kamwe. Pia nitaandika juu yao jina la Mungu wangu na jina la mji wa Mungu wangu, yaani Yerusalemu mpya, mji ambao utashuka kutoka juu mbinguni kwa Mungu wangu. Tena nitaandika juu yao jina langu jipya.
13Kas turi ausis, teklauso, ką Dvasia sako bažnyčioms!”
13"Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!
14“Laodikėjos bažnyčios angelui rašyk: ‘Tai skelbia Amen, ištikimasis ir tikrasis Liudytojas, Dievo kūrinijos pradžia.
14"Kwa malaika wa kanisa la Laodikea andika hivi: "Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye aitwaye Amina. Yeye ni shahidi mwaminifu na wa kweli, ambaye ni chanzo cha viumbe vyote alivyoumba Mungu.
15Žinau tavo darbus, jog esi nei šaltas, nei karštas. O, kad būtum arba šaltas, arba karštas!
15Nayajua mambo yako yote! Najua kwamba wewe si baridi wala si moto. Afadhali ungekuwa kimojawapo: baridi au moto.
16Bet kadangi esi drungnas ir nei karštas, nei šaltas, Aš išspjausiu tave iš savo burnos.
16Basi, kwa kuwa hali yako ni vuguvugu, si baridi wala si moto, nitakutapika!
17Tu gi sakai: ‘Aš esu turtingas ir pralobęs, ir nieko man nebereikia’,­o nežinai, kad esi skurdžius, apgailėtinas, beturtis, aklas ir nuogas.
17Wewe unajisema, Mimi ni tajiri; ninajitosheleza, sina haja ya kitu chochote. Kumbe, hujui kwamba wewe ni mnyonge, unahitaji kuhurumiwa, maskini, kipofu tena uko uchi!
18Aš tau patariu pirkti iš manęs išgryninto ugnyje aukso, kad pralobtum, baltus drabužius, kad apsirengtum ir nebūtų matoma tavo nuogumo gėda, ir tepalo pasitepti akims, kad praregėtum.
18Nakushauri ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto upate kuwa tajiri kweli. Tena afadhali ununue pia vazi jeupe, uvae na kufunika aibu ya uchi wako. Nunua pia mafuta ukapake machoni pako upate kuona.
19Tuos, kuriuos myliu, Aš baru ir drausminu; būk tad uolus ir atgailauk!
19Mimi ndiye mwenye kumwonya na kumrudi yeyote ninayempenda. Kwa hiyo kaza moyo, achana na dhambi zako.
20Štai Aš stoviu prie durų ir beldžiu: jei kas išgirs mano balsą ir atvers duris, Aš pas jį užeisiu ir vakarieniausiu su juo, o jis su manimi.
20Sikiliza! Mimi nasimama mlangoni na kubisha hodi. Mtu akisikia sauti yangu na kufungua mlango, nitaingia nyumbani kwake na kula chakula pamoja naye, naye atakula pamoja nami.
21Nugalėtojui Aš duosiu atsisėsti šalia savęs, savo soste, kaip ir Aš nugalėjau ir atsisėdau šalia savo Tėvo, Jo soste’.
21"Wale wanaoshinda nitawaketisha pamoja nami juu ya kiti changu cha enzi, kama vile mimi mwenyewe nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu juu ya kiti chake cha enzi.
22Kas turi ausis, teklauso, ką Dvasia sako bažnyčioms!”
22"Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!"